Je, hotuba ya Mwenyekiti wa CCM 08/03/23 italenga kujenga nchi au kujiimarisha kisiasa?

Je, hotuba ya Mwenyekiti wa CCM 08/03/23 italenga kujenga nchi au kujiimarisha kisiasa?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mbowe anawaza kujenga nchi Bila kujali madhara kisiasa Kwa chama chake. Amefanya hivyo kila anapoingizwa majaribuni na watawala.

Upande wa pili viongoz WA CCM mara zote wamekuwa wakimtumia Mbowe kama mtaji WA kisiasa, kila anapowapa nafasi nakuimarisha ustawi wa nchi wao utumia mwanya huo kujiimarisha kisiasa.

Ametoa nafasi kwa Mwenyekiti wa CCM mwenye kufia kubwa ya Urais WA nchi. Je Mhe.Rais atasimamia urais au atumia uwanja huo kutafuta Kura 2025? Akitumia jukwaa Hilo kisiasa madhara yake Kwa chadema NI yapi?
 
Mama kaona akiitisha mkutano wa hadhara wa ccm watakuja watu wachache kuona wasanii , kaona ili aonekane anapendwa na watanzania bora ajichanganye na chadema , of course chandema wakibweteka mwisho wa siku ni bao la mkono
 
Mbowe anawaza kujenga nchi Bila kujali madhara kisiasa Kwa chama chake. Amefanya hivyo kila anapoingizwa majaribuni na watawala.

Upande wa pili viongoz WA CCM mara zote wamekuwa wakimtumia Mbowe kama mtaji WA kisiasa, kila anapowapa nafasi nakuimarisha ustawi wa nchi wao utumia mwanya huo kujiimarisha kisiasa.

Ametoa nafasi kwa Mwenyekiti wa CCM mwenye kufia kubwa ya Urais WA nchi. Je Mhe.Rais atasimamia urais au atumia uwanja huo kutafuta Kura 2025? Akitumia jukwaa Hilo kisiasa madhara yake Kwa chadema NI yapi?
Mama ametanguliza maslahi ya taifa mbele. Anaendelea kutibu nchi, kuponya na kujenga upendo, umoja, amani na mshikamano. This is the end of politics of confrontations and hostilities into politics of reconciliation and developing.
P
 
Mama kaona akiitisha mkutano wa hadhara wa ccm watakuja watu wachache kuona wasanii
Kwa watanzania premise hiyo inawezekana isiwe sawa hata kidogo. Watakuja maana hawana akili
 
Mbowe anawaza kujenga nchi Bila kujali madhara kisiasa Kwa chama chake. Amefanya hivyo kila anapoingizwa majaribuni na watawala.

Upande wa pili viongoz WA CCM mara zote wamekuwa wakimtumia Mbowe kama mtaji WA kisiasa, kila anapowapa nafasi nakuimarisha ustawi wa nchi wao utumia mwanya huo kujiimarisha kisiasa.

Ametoa nafasi kwa Mwenyekiti wa CCM mwenye kufia kubwa ya Urais WA nchi. Je Mhe.Rais atasimamia urais au atumia uwanja huo kutafuta Kura 2025? Akitumia jukwaa Hilo kisiasa madhara yake Kwa chadema NI yapi?
Italenga yote
 
Mama ametanguliza maslahi ya taifa mbele. Anaendelea kutibu nchi, kuponya na kujenga upendo, umoja, amani na mshikamano. This is the end of politics of confrontations and hostilities into politics of reconciliation and developing.
P
Nchi haijawahi kuendelea kwa kupiga domo!
Mtu mweusi ni rahisi sana kumdanganya kinachofanyika ni kweda kujenga himaya zao za kisiasa mwananchi aliyeko kasulu na Katori hana faida yeyote na brahbrah hizo!
 
Nchi haijawahi kuendelea kwa kupiga domo!
Mtu mweusi ni rahisi sana kumdanganya kinachofanyika ni kweda kujenga himaya zao za kisiasa mwananchi aliyeko kasulu na Katori hana faida yeyote na brahbrah hizo!
Hili ni hitimisho jumlishi ambalo linaonyesha upungufu mkubwa. Kama mtu mweusi ni rahisi kumdanganya mbona akina Bob Marley, Malcom X, Martin Luther King Jr, na wengine hawakudanganywa kirahisi kama unavyodanganya?
 
Mbowe anawaza kujenga nchi Bila kujali madhara kisiasa Kwa chama chake. Amefanya hivyo kila anapoingizwa majaribuni na watawala.

Upande wa pili viongoz WA CCM mara zote wamekuwa wakimtumia Mbowe kama mtaji WA kisiasa, kila anapowapa nafasi nakuimarisha ustawi wa nchi wao utumia mwanya huo kujiimarisha kisiasa.

Ametoa nafasi kwa Mwenyekiti wa CCM mwenye kufia kubwa ya Urais WA nchi. Je Mhe.Rais atasimamia urais au atumia uwanja huo kutafuta Kura 2025? Akitumia jukwaa Hilo kisiasa madhara yake Kwa chadema NI yapi?

Itajenga sana, na ni advantage kwa Chadema, ila chawa wamenuna sana, Mama angekuwa hana ulinzi madhubuti wangemmaliza.
 
Back
Top Bottom