Je huu ndio ukweli kuhusu mshana jr ?

Nilikutana nae anga la ufilipino alikuwa sijui anaenda wapi ungo wake una spidi ya hatari maana alituovataki
 
@ Mshana jr jibu shutuma zako hapo juu... Na mimi nataka unibadilishie cheti changu cha diploma kiwe masters!! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
@ Mshana jr jibu shutuma zako hapo juu... Na mimi nataka unibadilishie cheti changu cha diploma kiwe masters!! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
[emoji23] [emoji23] itachukua miaka miwili uko tayari!
 
[emoji23] [emoji23] itachukua miaka miwili uko tayari!
Kwa usawa huu ukiangalia kutoka dip, uingie degree 3yrs halafu ndio uanze ishu ya masters miaka mengine kibaaaaao ningekwambia nipo ready! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ ila mbadilishie huyo jamaa atoke kwenye ubashite aende kwenye div 1 kwanza! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sasa jamaa yupi tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…