Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Branch managers wana uhuru mkubwa sana wa kucheza michezo hiyo ya hatarikuna boya mmoja ziliingia 250m, akanistua nikaenda kuongea na teller mmoja akasema anaweza toa hyo hela ila atachukua 25m, boya akakataa akaenda kwa branch manager, ndani ya nusu saa account inasoma laki na 72 yake.
Wiki nzima wanakosea tu?Pia kuna honesty mistake huwanafanya wafanyakazi unakuta anakosea talakimu Moja kwenye account wakati wa kuweka taharifa pesa zinaenda sehemu nyingine, akiwahi kushtuka wakati wa kuhakiki inabidi a reverse muamala.
Pia Hata kwenye simu zetu hasa kabla ya mitandao kuweke huduma ya kurudisha jina watu walikuwa wanakosea sana tu.
Ni muhimu lakini afatilie, maana jumbe huwa na number za mawasiliano kama hutambui muamala.
bwege ni huyo boya maana angekubali teller achukue hyo 25m na mm anipe 25m angebaki na 200m, sasa kwa manager hakuambulia chochote na hela ilitolewa yote.jamaa bwege anapambania mgao mkubwa kama zake vile
Umepokea kiasi cha TZS 464,650 kwenye akaunti yako inayoishia 09183 kutoka 25571778440 JOHN Tar 25.10.2024 23:31:45. Kama hutambui muamala huu piga 0800002002. NMB Karibu yakoHivi ukiwekewa pesa nyingi kwenye account yako ya Bank ambayo sio yako ukiitoa kuna shida?
hata mm sijasema mm ndo umeniita bwege mkuu, teller ndo alikuwa anataka 25m, jamaa akachomoa akaenda kwa branch manager, akaambulia patupu.hujanielewa. sijasema wewe ni bwege.nimemaanisha jamaa yako aliyekataa mgawo wa mil 25 as if zake
Yawezekana manager aliipiga pesa yotebwege ni huyo boya maana angekubali teller achukue hyo 25m na mm anipe 25m angebaki na 200m, sasa kwa manager hakuambulia chochote na hela ilitolewa yote.
Utafungwa. Shida watu wengi kama sio wote huwa hawasomi terms and conditions wakati wa kufungua account.Hivi ukiwekewa pesa nyingi kwenye account yako ya Bank ambayo sio yako ukiitoa kuna shida?
Ujue hio ni mtu alikosea kufanya transfer ni mtu wa ndani ,sasa hio ni shoti mzee hakuna hela ya bure . Wali i reverse fastakuna boya mmoja ziliingia 250m, akanistua nikaenda kuongea na teller mmoja akasema anaweza toa hyo hela ila atachukua 25m, boya akakataa akaenda kwa branch manager, ndani ya nusu saa account inasoma laki na 72 yake.
Yani zipitie kwangu halafu eti niogope jela .. ?? Mather father....wajaribu kwangu waoneHahaha ukiona mtu anaogopa pesa, jua ni za mgao wa wale WASIOJULIKANA.
Deals zao huwa wanapeana cash, ukiona mtu ana account inasoma miliini 200, mara wametoa mil 100 hashtuki, usimuone mjinga, anajua ni HONEY TRAP.
Mitego hiyo sogea udakwe, nenda wewe ukaseme ni zako uozee jela.
Ukiwa attached na pesa, wanawake au familia usiwe jambazi au usifanye deals chafu, utakamatwa kama panzi.
KAMA HAZIMSHITUI MUHUSIKA, HATA WEWE USIZITAMANI.
njbu tuhuma kwan hela ilikuwa kwenye account yangu? teller alidai anaweza toa hyo pesa, akaomba mgao wake uwe 25m baada ya kutoa, huyo boya akakataa akaenda kwa manager akarudi na mapumbu yake tu.Ujue hio ni mtu alikosea kufanya transfer ni mtu wa ndani ,sasa hio ni shoti mzee hakuna hela ya bure . Wali i reverse fasta
Huyo teller angeitoa maana yake kungekuwa ma mtu ambae angeingia kwenye kesi na utaratibu wa kutoa hio gela sio rahisi. Kwani lazima ipitishwe kwenye mfumo na signature za mwenye limit ya ku aurthorize hio transaction
Huyo teller na wewe mmngejibu tuhuma
Hahaha huyo wana muita huo sio mgao, ndio maana ka relax. Deal chafu unalipwa chako kabisa tena cash, huwa huwekewi pesa bank. Ndio maana huyo anamshangaa mwenye accaount kuto kushtuka kuoana mamilioni kwenye accaount yake na katualia tuli.Yani zipitie kwangu halafu eti niogope jela .. ?? Mather father....wajaribu kwangu waone
Michezo ni mingi matajiri wengi hasa wanaoumwa wapo targetedKuna michezo huwa inafanyika kwa kudhirikiana na wafanyakazi wa benki
Wao wanatoa siri za account ambazo ziko dormant kwa muda mrefu halafu zinatumika kupitisha pesa za dili
Jamaa atakuwa msukuma ana ushamba uliochanganyika na ujinga.kuna boya mmoja ziliingia 250m, akanistua nikaenda kuongea na teller mmoja akasema anaweza toa hyo hela ila atachukua 25m, boya akakataa akaenda kwa branch manager, ndani ya nusu saa account inasoma laki na 72 yake.
Ni kosaHivi ukiwekewa pesa nyingi kwenye account yako ya Bank ambayo sio yako ukiitoa kuna shida?