Wanawake sijui huwa na shetani gani?
Kwa nini umtunze mume? Mimi mke wangu akininunulia hata c h u p i huwa naamini amechepuka kidogo siku hiyo!
Mwanamume yoyote anayetunzwa na mke wake ni LAZIMA atakuwa anao wanawake wengi nje ya ndoa maana anafurahia "kutunzwa"!
La hasha sio uungwana!
It is obvious that the guy values money, more than his wife!
Sis saita...
hivi tumfanyeje mwanaume kama huyu???
Hivi Bacha kwani huyu mshikaji hafanyi kazi banaakazi kweli kweli!
huyu jamaa hata kwenye kile chama hafai kuwa hata mfagia ofisi......lol....
You chop off his thing:biggrin1:
bacha naomba nikutanie.......................
Rafiki wa dadako afu we hizi habari unazijua kiundani hivi!!! afu nijuavyo weye ni mkaka ila kwa jinsi ulivyoandika mh............. imekuuma/kukera sana anachokifanya huyu mwanaume mwenzio (which is not normal- wanaume huwa mna tendency ya kuteteana!!
Ni utani tu my friend.
BTW
hapa ninachowezaona ni kuwa mwanaume anaujua udhaifu wa mkewe na ndio maana anayafanya hayo. Lakini je baada ya huyo mdada kugundua kuwa ana mshirika, amejaribu kumconfront mumewe?? Kwa sababu huwenda huyo mume anakosa haya kwa kuwa anajua siri yake bado ni siri na mkewe hajui. Sasa haya ataipata wapi? pengine angejua kuwa mkewe kajua anacheat, angezipata haya na kupunguza dharau na kuomba matumizi!
Dada yangu kuna mambo mengine ni kutiana aibu tu halafu mwanaume mzima unaenda kumpigia magoti mwanamke kumuomba hela ya matumizi halafu anaenda kuzitumia na nyumba ndogo ambayo hiyo hiyo anaileta nyumbani, mimi kwa upande mwingine namlaumu huyu mwanamke analiona kosa halafu bado anaendelea kulifumbia macho maana baadae akija kusimulia mwanamke ndio ataonekana mwenye makosa kwa kuacha upuuzi na ushenzi huu uendelee hata kama ni ndoa, ndoa gani ya kudhalilishana kiasi hicho si ajabu huyu mwanaume anatumia kitanda hicho hicho wanacholala na mkewe kulala na hiyo nyumba ndogo yake.Pumbavu zake kabisa huyu.
Once you chop it off all the problems are solved unafikiri atatumia nini tena labda atumie mguu au mkono:biggrin1::biggrin1:Hahahahahahah lol
dahhh haya ndo matatizo
ya kuongea na wewe sana
maana hilo ndo jibu liokuwa lina elea elea hewani hahahahh lol
Hivi Bacha kwani huyu mshikaji hafanyi kazi banaa
unajua MJ1, hizi habari nimeambiwa na dada yangu,
sasa sijui nimefanya kosa kupeleleza umbea huu,
Mungu aniepushie mbali,
Nashukuru kwa mchango !!!!!!!!!
Same Goes..Angekuwa ni mwanamke mngesemaje?
Once you chop it off all the problems are solved unafikiri atatumia nini tena labda atumie mguu au mkono:biggrin1::biggrin1:
Namimi namshangaa
Sawa lakini siku zote naamini kuna kusaidiana kwa wanafamilia wawili pindi mmoja anapokuwa amekwama sasa yeye anachukulia kigezo hicho kum-exploit mke wake na sia ajabu hata hizo biashara zake haziendelei kutokana na mambo anayoyafanya.huyu jamaa anafanya kazi za kijasiriamali,
ila kwa sasa mambo kidogo sio shwari kivile.....................
Aisee hii kitu imenifanya nishikwe na hasira ingawa hata sio muhusikaHa ha ha ha hata mie naona hii ndio solution yake shenzi kabisa