Je, huwa unaignore baadhi ya status za watu whatsapp? Kwanini?

Je, huwa unaignore baadhi ya status za watu whatsapp? Kwanini?

Mara nyingi tatizo moja linapotatuliwa, lingine linaibuka.

Whatsapp imekuja kutatua tatizo la kimawasiliano, ila imekuja na matatizo yake, kama:

- watu kuchunguzana/kufatiliana maisha

- marafiki kupigana vijembe indirectly kwa kuweka status zenye maneno ya shombo.

- kuongeza stress. kwa mfano mtu yupo online hakujibu text yako. mtu amekwambia yupo bize na kazi halafu unamkuta online. mtu amekwambia good nyt ila unamkuta online. mtu wako kumuweka status rafiki yake wa jinsia tofauti halafu anaweka vikopakopa. visa kama hivi vinaleta msongo wa mawazo.

kwa kifupi social media zimeleta emotional disturbances kwa binadamu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wajuzi hapa tatizo nini ?
Nimejaribu mbinu zote nimeshindwa.....
Screenshot_20200702-141739.jpg

Hii ni GbWhatsApp/FmWhatsApp
 
nje ya topic. naomba kujua je kuna namna yoyote naweza kuzuia incoming video calls kwenye whatsapp. sitaki kublock watu. nimajaribu kutafuta namna bila mafaniko au hiyo feature haipo 🤔
 
Kuna wauza nguo na vipochi huwa napita mita mia pembeni, motivational speakers na wanaojaza videos zako walizojirekodi wakibenua midomo na kuzungukwa na vipepeo sijui kama paka duh!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa unakuta lijamaa lina imba imba wasap linalegeza macho na mapoz kibao, ukiongezea na ma picha ya Happybirthdei mchizi na midevu et ana weka mapozi na kumwagiana maji. mambo ya kike haya
 
Inaonesha watu wanaoweka status na kuview, ni wale ambao hawajamature, na hawana kazi za kufanya,, hehe
 
Kama uview status zangu na zako sitaview.
Kama unaweka mistatus mingi isiyo na mpango tofauti na biashara pia siview.
 
Ku hide last seen ni kawaida maana uki hide ata wewe za watu wengine hutaziona

Mfano unapo hide last seen unaepuka maswali yasiyokuwa na msingi mfano unaweza kuamua kutojibu text ya mtu yeye akajua hujajibu kwa kuwa hujaingia online...( hapo si shida) ila ukiweka last seen anaona umeingia muda sio mrefu why hujajibu text sasa hapo ndio shida inapoanza ni bora abaki dilema asijue kama umeingia online au hujaingia kwa kutoona last seen yako

Kuna watu wengine hujisikia vibaya wasipojibiwa text zao alafu kibaya zaidi ajue umetoka online muda sio mrefu

Me binafsi last seen nimeondoa sioni last za watu wala wao hawaoni zangu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Umeondoaje mkuu
 
Back
Top Bottom