Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kwa nature yako ya kupenda udaku ndugu yangu, sio rahisi uwe una ignore hayo mamboPoleeeeh sana,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nature yako ya kupenda udaku ndugu yangu, sio rahisi uwe una ignore hayo mamboPoleeeeh sana,
Linawasha kooniNa ukubali kula hivyooh tyuuh. Hakuna namna khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka hadi bas uwiiiiiiiih, in real npo tofaut sana lolKwa nature yako ya kupenda udaku ndugu yangu, sio rahisi uwe una ignore hayo mambo
Litasugua taratibu kuwa mpoleeeeeeh. UwiiiiiiiiiiihLinawasha kooni
Sema kweli. Sasa mbona unaonekana ni mwingi sana wa habari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka hadi bas uwiiiiiiiih, in real npo tofaut sana lol
Ukweli upi huo wee unaoutaka? Maan nmeshatoa uhalisia kuwa si view wala siweki.Sema kweli. Sasa mbona unaonekana ni mwingi sana wa habari
AiseeMi wasap mwaka wa 3 huu sina, wakati natumia wasap gb au fm nilikua naangalia za dada yangu na mama yangu tuuu, nyingn siangaliii.
Niliacha kuangalia za wengine baada ya kuona mwanaume anaweka picha status karibia 10 hiv na mdada anaweka karibu 15 hiv hlf mwanaume anakuuliza kama umeona status aliyoweka. Mdada naye anakutumia msg "mbn huangaliii status zangu na wasap unaingia kila mda?" Nikaona isiwe kesi, hakuna kuona za kwao jumla
Yo WhatsApp ,GB WhatsApp, FM WhatsApp mmiliki ni mmoja.Tafuta Yowhatsup ni nzuri kuliko GB .
Mmiliki wa GB Yousuf al Baashar wenye whatsup official walimtait akaiondoa hewani.
Nilikuwa mtumiaji wa GB ila Yowhatsup ni zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi Kuna dem nime mute nisione status zake sijui amegombana na bwana yake sasa kila siku anapost status za kumsifu mwanaume wake mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
FM ni kifupi cha Fouad Mokdad, ndiyo mmiliki wa FMWhatsapp.Yo WhatsApp ,GB WhatsApp, FM WhatsApp mmiliki ni mmoja.
Hata hiyo Yo WhatsApp ni kifupisho cha jina lake Yousuf.
Aisee.Inasaidia kuepusha lawama, Kuna watu huwa wanalalamika kwamba nakuona tu "unaview status zangu ila hata kucomment chochote hakuna" au hata salamu" eti wanataka ukiview status ucomment pia aargh , so it's better ukaview tu kimya kimya yani[emoji3][emoji3]
Huu sasa ni wivu.Mtu unakuta kapata ki kazi fulani tu, cha kampuni ila kapiga hadi kitambulisho cha kazi kuweka status, ili tuone ,et anamshukuru Mungu, kwani Mungu ana smart phone!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna ex wangu anaposti vijembe plus kumpost bwana ake mpya ila na view kama kawaida.
Hanikomoi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amefuta hiyo status ,ila kwa kuwa umeweka ant delete messages ndio maana umeiona.Unakuta status ya mtu iko na alama ya "block" ina inavyoenekana hapo huyo mtu anakuwa amekublock au?View attachment 1418652
Sent using Jamii Forums mobile app