Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa hayo mambo utoto tu
Sasa mtu unahide last seen kwanini?
Kuview status kimya kimya...
Sasa kama umeview ushaview tu hata ujifiche kiasi gani ukweli unabaki palepale
Uko sahihi, last seen yangu iko off siku zote kwa sababu ya ishu kama hizo.Ku hide last seen ni kawaida maana uki hide ata wewe za watu wengine hutaziona
Mfano unapo hide last seen unaepuka maswali yasiyokuwa na msingi mfano unaweza kuamua kutojibu text ya mtu yeye akajua hujajibu kwa kuwa hujaingia online...( hapo si shida) ila ukiweka last seen anaona umeingia muda sio mrefu why hujajibu text sasa hapo ndio shida inapoanza ni bora abaki dilema asijue kama umeingia online au hujaingia kwa kutoona last seen yako
Kuna watu wengine hujisikia vibaya wasipojibiwa text zao alafu kibaya zaidi ajue umetoka online muda sio mrefu
Me binafsi last seen nimeondoa sioni last za watu wala wao hawaoni zangu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Maisha bila unafiki hayaendi.......Sina muda wa kuview status wala mie mwenyew kuweka.
Kwahyo una maansha nn? Nachosema nna uhakika nacho.Maisha bila unafiki hayaendi.......
Sina muda wa kuview status wala mie mwenyew kuweka.
HaswaaaaaahKupanga ni kuchagua
Basi sawa mkuu....Kwahyo una maansha nn? Nachosema nna uhakika nacho.
OukBasi sawa mkuu....
Huu ni uongo uliotukukaSina muda wa kuview status wala mie mwenyew kuweka.
Unatulisha tangoKwahyo una maansha nn? Nachosema nna uhakika nacho.
Poleeeeh sana,Huu ni uongo uliotukuka
Na ukubali kula hivyooh tyuuh. Hakuna namna khaaahUnatulisha tango