The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Pakua y.wasap kwenye gugo kwahy sachi na uandike mwshoni mwa hilo neno apkSasa nafanyaje, Kuna mtu natamani niwe naview status zake kimya kimya 🤷♂️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pakua y.wasap kwenye gugo kwahy sachi na uandike mwshoni mwa hilo neno apkSasa nafanyaje, Kuna mtu natamani niwe naview status zake kimya kimya 🤷♂️
Inawezekana ukiwa na Gbwhatsapp au FMWhatsAppDuh, Kuna watu wanaweka vijembe hao,mtu anaweka status si chini ya picha 10 why?, ni mwendo wa kuskip na kumute tu.
Hivi inawezekana mtu akaview status yako afu asionekane kwenye viewers ?,I mean akaview kimya kimya bila wewe kujua??
Hahaa, hapana bana kuna huyo mmoja anaweka status 20 hivi analalamika huyo, mara fake friends utawajua tu, one day yes nk ,dah, nimeamua kumute tu isijekua I am among her fake friends 😀😀Hasa nyie wadada wa kazini.😃
Ngoja nicheki playstore hii, thank you mkuuInawezekana ukiwa na Gbwhatsapp au FMWhatsApp
Ahsante rafiki, soon.Pakua y.wasap kwenye gugo kwahy sachi na uandike mwshoni mwa hilo neno apk
Tena ni wewee ,nataka niwe nakuchora kimya kimya😀
Yes, inawezekana ila mimi natumia Whatsapp Plus sijui wanaotumia official kama inawezekanaDuh, Kuna watu wanaweka vijembe hao,mtu anaweka status si chini ya picha 10 why?, ni mwendo wa kuskip na kumute tu.
Hivi inawezekana mtu akaview status yako afu asionekane kwenye viewers ?,I mean akaview kimya kimya bila wewe kujua??
Kuna wauza nguo na vipochi huwa napita mita mia pembeni, motivational speakers na wanaojaza videos zako walizojirekodi wakibenua midomo na kuzungukwa na vipepeo sijui kama paka duh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok,thank you ntajaribu pia hiiYes, inawezekana ila mimi natumia Whatsapp Plus sijui wanaotumia official kama inawezekana
Ok,thank you ntajaribu pia hii
Ndiyo na ntashukuru mkuu.Nikupe link?
Kuna moja ya asili hiyo,unapoangalia zile picha juu Kuna mistari inayoonesha uko picha ya ngapi.Sasaaaa unapoangaliaa hakikisha umehold Ile line ya mwisho.Ile rangi ya blue inapofika kwa hiyo line tu unacancell fasta kabla haijamaliza .Kambinu pori hako lkn kanasaidia.Ok,thank you ntajaribu pia hii