Je, huwa unaignore baadhi ya status za watu whatsapp? Kwanini?

Je, huwa unaignore baadhi ya status za watu whatsapp? Kwanini?

Natumai mko poa na mnaendelea vyema kuchapa kazi katika kipindi hiki kigumu kwa sasa duniani. Kila mtu kwa imani yake na aendelee kuomba Mungu atuvushe salama.

Iko hivi, leo katika kupitia pitia whatsapp kule status nimegundua kuna baadhi ya watu huwa nina kawaida ya kutohangaika kuview status zao kabisa. Yaani huwa napita tu naenda kuview kwa baadhi, nadhani huenda maudhui yao mara nyingi huwa hayanifurahishi. Kuna wengine kila mara ni watu wa kuweka vijembe. Wengine kuweka weka tu picha na video zao zisizo na mbele wala nyuma(mara anaimba imba). Sasa kwa kiasi flani kama nimewakalili status zao siku zote huwa za aina fulani. Inaweza isiwe mada muhimu sana lakini nilijiuliza tu maswali.

Vipi wewe huwa huangaiki na status kabisa? Kwanini? Au kipi hupelekea wewe kupuuza badhi ya status za watu fulani mara nyingi?


Fuata maelekezo ya wataalamu, jilinde na linda na wengine dhidi ya COVID-19.
Jifunze kubalance shobo dunda
 
Duh, Kuna watu wanaweka vijembe hao,mtu anaweka status si chini ya picha 10 why?, ni mwendo wa kuskip na kumute tu.

Hivi inawezekana mtu akaview status yako afu asionekane kwenye viewers ?,I mean akaview kimya kimya bila wewe kujua??
Yes hata mimi naview status za watu kimya kimya bila kuonekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm tena sana tu yani ya kwanza ikiwa ya ukiwaki tu ujue ndio nimemaliza kuangalia hivyo.
 
Hayo Mambo Sijui
-ukiview usionekana
-unatoa blue tick
-Mara unatoa last seen
Na Nyingine kama hizo
Me Naonaga Bonge la utoto Aisee
.
Yaani Nikiview Naonekana na ikichekesha Sivungi Nacheka kama kawa na sipendi kumuweka mtu blue tick bila kujibu endap itakua swali Hata Kama ni Siku 2 imepita ntajibu

Hakuna Niliem'mute kama kaweka utopolo Napita Shwaaaa Shwaaaa
U are grown up ass. Wengine wanatakiwa waige mfano wako
 
Mimi hua naskip status za wapuuz ninaowajua na ninamake sure siview status ya x wangu yan Niko makini sana, kunakipindi niliview kwa bahat mbaya yani roho iliniuma siku nzima tho yeye zangu anaview bt siku iz naona kaacha kuangalia zangu pia , mda si mrefu namblock hadi sanduku la posta


iPhone 6s plus
Una akili za kitoto bado
 
Namute status ya mtu
-anayeweka picha nyingi hadi zinasoma...........
-mtu yeyote ninayefanya naye kazi huwa nammute pia namuweka kwenye except list
-mtu anayeweka video ya wimbo full
-status za vijembe, sijui kwio na vingine. Piga chini
 
Back
Top Bottom