Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifunze kubalance shobo dundaNatumai mko poa na mnaendelea vyema kuchapa kazi katika kipindi hiki kigumu kwa sasa duniani. Kila mtu kwa imani yake na aendelee kuomba Mungu atuvushe salama.
Iko hivi, leo katika kupitia pitia whatsapp kule status nimegundua kuna baadhi ya watu huwa nina kawaida ya kutohangaika kuview status zao kabisa. Yaani huwa napita tu naenda kuview kwa baadhi, nadhani huenda maudhui yao mara nyingi huwa hayanifurahishi. Kuna wengine kila mara ni watu wa kuweka vijembe. Wengine kuweka weka tu picha na video zao zisizo na mbele wala nyuma(mara anaimba imba). Sasa kwa kiasi flani kama nimewakalili status zao siku zote huwa za aina fulani. Inaweza isiwe mada muhimu sana lakini nilijiuliza tu maswali.
Vipi wewe huwa huangaiki na status kabisa? Kwanini? Au kipi hupelekea wewe kupuuza badhi ya status za watu fulani mara nyingi?
Fuata maelekezo ya wataalamu, jilinde na linda na wengine dhidi ya COVID-19.
Roho mbaya kaziniNi mute phone book nzima isipokuwa bi mkubwa.Mana anaweka mistari ya bible.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mpenzi inawezekanaDuh, Kuna watu wanaweka vijembe hao,mtu anaweka status si chini ya picha 10 why?, ni mwendo wa kuskip na kumute tu.
Hivi inawezekana mtu akaview status yako afu asionekane kwenye viewers ?,I mean akaview kimya kimya bila wewe kujua??
InawezekanaYes, inawezekana ila mimi natumia Whatsapp Plus sijui wanaotumia official kama inawezekana
Yes hata mimi naview status za watu kimya kimya bila kuonekanaDuh, Kuna watu wanaweka vijembe hao,mtu anaweka status si chini ya picha 10 why?, ni mwendo wa kuskip na kumute tu.
Hivi inawezekana mtu akaview status yako afu asionekane kwenye viewers ?,I mean akaview kimya kimya bila wewe kujua??
AhsanteeNdio mpenzi inawezekana
U are grown up ass. Wengine wanatakiwa waige mfano wakoHayo Mambo Sijui
-ukiview usionekana
-unatoa blue tick
-Mara unatoa last seen
Na Nyingine kama hizo
Me Naonaga Bonge la utoto Aisee
.
Yaani Nikiview Naonekana na ikichekesha Sivungi Nacheka kama kawa na sipendi kumuweka mtu blue tick bila kujibu endap itakua swali Hata Kama ni Siku 2 imepita ntajibu
Hakuna Niliem'mute kama kaweka utopolo Napita Shwaaaa Shwaaaa
Una akili za kitoto badoMimi hua naskip status za wapuuz ninaowajua na ninamake sure siview status ya x wangu yan Niko makini sana, kunakipindi niliview kwa bahat mbaya yani roho iliniuma siku nzima tho yeye zangu anaview bt siku iz naona kaacha kuangalia zangu pia , mda si mrefu namblock hadi sanduku la posta
iPhone 6s plus
Mimi pia, kuna huyo mmoja anaweza kuweka picha hata 20 niliona isiwe tabuKuna watu nimemute kabisa status zao
Hawa ndio wapenzi wangu [emoji7][emoji7][emoji7]Watu wa memes
Yes unatoa read receipt, inaapply hadi kwenye statusDuh, Kuna watu wanaweka vijembe hao,mtu anaweka status si chini ya picha 10 why?, ni mwendo wa kuskip na kumute tu.
Hivi inawezekana mtu akaview status yako afu asionekane kwenye viewers ?,I mean akaview kimya kimya bila wewe kujua??
Nilikua sijui sasa leo kuna mtu ananambia kuhusu picha niliyoweka status ,ila nikiangalia kwenye viewers simuoni ,kumbe kaangalia kimya kimya🙆♂️
Acheni kufanya maisha yawe magumuMim nashangaa mtu anawek status ya video yenye dakik 3:30 anawek vipengeleee viingi hlaf sas n mziki mm haw nd waga na skip fasta sana kama Sion vile
Sent using Jamii Forums mobile app