Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiwa mwanaume ndio kabisa nabaki kushangaa tuu..Kuna wale Ndugu zetu wa kuweka picha zaid ya 20 kwa siku, Wale huwa naskip bila hata kujiuliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Dharau hizo tunaitamimi situmii status za whatsapp na siangalii za watu ila isipokuwa ya mtu mmoja tu
sio dharau mkuu, siangalii kwa sababu zinaniuzunisha tu, na mimi siweki kwa sababu sina chochote cha ku share maisha yangu yamejaa loneliness, huyo ninayeangalia zake she is the woman i loved.Dharau hizo tunaita
Thank you 1kush
Inasaidia kuepusha lawama, Kuna watu huwa wanalalamika kwamba nakuona tu "unaview status zangu ila hata kucomment chochote hakuna" au hata salamu" eti wanataka ukiview status ucomment pia aargh , so it's better ukaview tu kimya kimya yani😀😀Inabidi uniambie hii inafaida gani?[emoji1][emoji1][emoji1] niliacha kuweka status sababu watu walikua wanacomment status zangu ila nikiangalia siwaoni kwenye views.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunguni nani sasa mkuu?, acha hizo kunguni mwenzetu.
Aisee nilikua sijui hili,thank youYes unatoa read receipt, inaapply hadi kwenye status
Ngoja nikupe tu likeKunguni nani sasa mkuu?, acha hizo kunguni mwenzetu.
Mi sikupi umeniudhi kutuita kunguni.😀
Mbona haikubali mkuuHawa huwa napita tu kiukweli hata mimi.
Ulienda kuupdate playstore kwani mwanzo ulidownload playstore?
Shusha hapa latest version
GBWhatsapp APK Download (Updated) Anti-Ban V9.1 | OFFICIAL
yesMtu unakuta kapata ki kazi fulani tu, cha kampuni ila kapiga hadi kitambulisho cha kazi kuweka status, ili tuone ,et anamshukuru Mungu, kwani Mungu ana smart phone!
Chek hapo ktk hide view statusMkuu ivi kwenye iyo gb Whatsapp Ni kwa wapi una set ili kukamilisha ilo zoezi la kula chabo bila kubainika
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA