1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BAVICHA ni mdudu gani?
Duh, Kuna watu wanaweka vijembe hao,mtu anaweka status si chini ya picha 10 why?, ni mwendo wa kuskip na kumute tu.
Hivi inawezekana mtu akaview status yako afu asionekane kwenye viewers ?,I mean akaview kimya kimya bila wewe kujua??
Mimi hua naskip status za wapuuz ninaowajua na ninamake sure siview status ya x wangu yan Niko makini sana, kunakipindi niliview kwa bahat mbaya yani roho iliniuma siku nzima tho yeye zangu anaview bt siku iz naona kaacha kuangalia zangu pia , mda si mrefu namblock hadi sanduku la posta
Ahahaaa...nmejikuta nachekaa tuu,
iPhone 6s plus
Kuna watu hawana kabisa ishu za kupiga picha hii nayo sijui huwa tunasemaje.Kila kitu kina mazoea mkuu mfano mimi sijawahi kuweka kabisa picha yangu WhatsApp ,pia nina rafiki yangu anamiliki simu ya mkwaja mrefu na hajawahi kujipiga picha hata moja
Sent using IPhone X
[emoji31][emoji31][emoji31][emoji26][emoji31][emoji26][emoji31]Mtu unakuta kapata ki kazi fulani tu, cha kampuni ila kapiga hadi kitambulisho cha kazi kuweka status, ili tuone ,et anamshukuru Mungu, kwani Mungu ana smart phone!
Kwa kufanya hivyo basi mwenyewe unajiona mjanja kweliiiyes
upo sawa,kule kumekaa kimiosho miosho na ulimbukweni mwingi .huwezi amini tangu niifahamu whatsaap status nilishawahi kupost mara moja tuu,tena haikuzi masaa mawili nikafuta![emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wivu + chukiEndeleen kushusha vitu Kuna kitu nimeki observe hapa
[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mmoja ashinde mechi zakeKuna watu hawana kabisa ishu za kupiga picha hii nayo sijui huwa tunasemaje.
Mwingine unakuta hana muda na mtandao wa kijamii wowote ule.
YahDuh, Kuna watu wanaweka vijembe hao,mtu anaweka status si chini ya picha 10 why?, ni mwendo wa kuskip na kumute tu.
Hivi inawezekana mtu akaview status yako afu asionekane kwenye viewers ?,I mean akaview kimya kimya bila wewe kujua??
Duh, Kuna watu wanaweka vijembe hao,mtu anaweka status si chini ya picha 10 why?, ni mwendo wa kuskip na kumute tu.
Hivi inawezekana mtu akaview status yako afu asionekane kwenye viewers ?,I mean akaview kimya kimya bila wewe kujua??
yea..gb whatsapp inawezekanaDuh, Kuna watu wanaweka vijembe hao,mtu anaweka status si chini ya picha 10 why?, ni mwendo wa kuskip na kumute tu.
Hivi inawezekana mtu akaview status yako afu asionekane kwenye viewers ?,I mean akaview kimya kimya bila wewe kujua??
Maisha yao wiki nzima unayajua kupitia Status.. sijui wanakuwa na shida gani?Kuna wale wanaowekaga mambo yote ya maisha yao kuanzia asubuhi hadi jioni, yani akinywa chai ,lunch, dinner , akilala,sijui nani akimtembelea,sijui bajaji life ,akiiumwa, sijui maisha magumu,sijui kaachwa mara kapata bf mpya [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]sikuhiz huwa nawamute tu.
Kwani kuyajua maisha ya mtu kunakupunguzia niniMaisha yao wiki nzima unayajua kupitia Status.. sijui wanakuwa na shida gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nami npo kwny kundi ilo naview tu km sipo vileDuh, Kuna watu wanaweka vijembe hao,mtu anaweka status si chini ya picha 10 why?, ni mwendo wa kuskip na kumute tu.
Hivi inawezekana mtu akaview status yako afu asionekane kwenye viewers ?,I mean akaview kimya kimya bila wewe kujua??