Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Utoto tuKwa sababu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utoto tuKwa sababu gani?
[emoji51][emoji51] mie nawapenda wa memes tuKuna wale wazee wa vijembe na kujilalamisha maisha magumu kila siku,hawa huwa na mute tu status zao
Inabidi uniambie hii inafaida gani?[emoji1][emoji1][emoji1] niliacha kuweka status sababu watu walikua wanacomment status zangu ila nikiangalia siwaoni kwenye views.Sasa nafanyaje, Kuna mtu natamani niwe naview status zake kimya kimya [emoji2369]
Yeah me Naonaga ni vya ajabHahah na mimi nashangaa siwezi kufanya hivyo lakini unakuta mshkaji kabisa anatoa sijui last seen anahide kuview ana kublue tick hajibu huwa sielewi kwakweli.
Wapo watu nimewamute ila sijawahi kumblock mtu kwa namna yoyote ilee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahh Absolutely ,tell them home boi [emoji2936][emoji95][emoji2935]U are grown up ass. Wengine wanatakiwa waige mfano wako
Wewe ndie bwana yake wa zamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi Kuna dem nime mute nisione status zake sijui amegombana na bwana yake sasa kila siku anapost status za kumsifu mwanaume wake mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana utoto na ujana mwingiYeah me Naonaga ni vya ajab
Kwanini usionekane yani,Usipoonekana then what next ?? Au blue tick hazisomi [emoji2][emoji2]hap unakut mtu anaenjoy eti hujaona kama amesoma au laa [emoji38][emoji38]
.
Hahahahh I never blocked Anyone ila me nimewah pigwa block(demu) [emoji38]Hahahahh Absolutely ,tell them home boi [emoji2936][emoji95][emoji2935]
Gb,fm whatsuppDuh, Kuna watu wanaweka vijembe hao,mtu anaweka status si chini ya picha 10 why?, ni mwendo wa kuskip na kumute tu.
Hivi inawezekana mtu akaview status yako afu asionekane kwenye viewers ?,I mean akaview kimya kimya bila wewe kujua??
Kuna watu status zao huwa hazikauki, kiiiiil a wakati anapost. Halafu vitu vyenye anapost sasa[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Kwa sababu gani?
Haua mambo ni kipaji[emoji134][emoji134]Mimi pia, kuna huyo mmoja anaweza kuweka picha hata 20 niliona isiwe tabu
Iphone hakuna ivo vitu[emoji23],Yeah me Naonaga ni vya ajab
Kwanini usionekane yani,Usipoonekana then what next ?? Au blue tick hazisomi [emoji2][emoji2]hap unakut mtu anaenjoy eti hujaona kama amesoma au laa [emoji38][emoji38]
.
Hahahahh I never blocked Anyone ila me nimewah pigwa block(demu) [emoji38]Hahahahh Absolutely ,tell them home boi [emoji2936][emoji95][emoji2935]
Mkuu ivi kwenye iyo gb Whatsapp Ni kwa wapi una set ili kukamilisha ilo zoezi la kula chabo bila kubainika
Ccm inakufanya uwe mpuuziMkuu ivi kwenye iyo gb Whatsapp Ni kwa wapi una set ili kukamilisha ilo zoezi la kula chabo bila kubainika
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Ila sio vibaya pia Kama BAVICHA unalifahamu ili unisaidie,unajua tuko busy na corona nyie mna jamba tuuh amjui ata nchi inaendajeCcm inakufanya uwe mpuuzi
Bado mnapendana nyieMimi hua naskip status za wapuuz ninaowajua na ninamake sure siview status ya x wangu yan Niko makini sana, kunakipindi niliview kwa bahat mbaya yani roho iliniuma siku nzima tho yeye zangu anaview bt siku iz naona kaacha kuangalia zangu pia , mda si mrefu namblock hadi sanduku la posta
iPhone 6s plus
BAVICHA ni mdudu gani?Ila sio vibaya pia Kama BAVICHA unalifahamu ili unisaidie,unajua tuko busy na corona nyie mna jamba tuuh amjui ata nchi inaendaje
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Embu nyamaza sihitaji kuvuruga uzi wa vijanaBAVICHA ni mdudu gani?
Alinishawish nikachomoa betriWewe ndie bwana yake wa zamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app