Je, huwa unaignore baadhi ya status za watu whatsapp? Kwanini?

Je, huwa unaignore baadhi ya status za watu whatsapp? Kwanini?

Mi wasap mwaka wa 3 huu sina, wakati natumia wasap gb au fm nilikua naangalia za dada yangu na mama yangu tuuu, nyingn siangaliii.
Niliacha kuangalia za wengine baada ya kuona mwanaume anaweka picha status karibia 10 hiv na mdada anaweka karibu 15 hiv hlf mwanaume anakuuliza kama umeona status aliyoweka. Mdada naye anakutumia msg "mbn huangaliii status zangu na wasap unaingia kila mda?" Nikaona isiwe kesi, hakuna kuona za kwao jumla

Kumbe kutoangalia ni kosaa hahahah


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo Mambo Sijui
-ukiview usionekana
-unatoa blue tick
-Mara unatoa last seen
Na Nyingine kama hizo
Me Naonaga Bonge la utoto Aisee
.
Yaani Nikiview Naonekana na ikichekesha Sivungi Nacheka kama kawa na sipendi kumuweka mtu blue tick bila kujibu endap itakua swali Hata Kama ni Siku 2 imepita ntajibu

Hakuna Niliem'mute kama mtu kaweka utopolo Napita Shwaaaa Shwaaaa
 
Mimi hua naskip status za wapuuz ninaowajua na ninamake sure siview status ya x wangu yan Niko makini sana, kunakipindi niliview kwa bahat mbaya yani roho iliniuma siku nzima tho yeye zangu anaview bt siku iz naona kaacha kuangalia zangu pia , mda si mrefu namblock hadi sanduku la posta


iPhone 6s plus
 
Kuna wale maneno ya kwenye kanga wamehamishia kwenye status hawa siangalii Ila pia ukijifanya kuwa motivational speaker kila status yako wakati hizo motivation naona kabisa hazijakusaidia wewe kwanza status zako siangalii. Wale wa kupost picha 30 siangalii. Wakuimba huku wamepachika masikio ya sungura, pua za paka na vipini siangalii. Wauza mikoba na viatu pia siangalii
 
Hayo Mambo Sijui
-ukiview usionekana
-Mara unatoa blue tick
Na Nyingine kama hizo
Me Naonaga Bonge la utoto Aisee
.
Yaani Nikiview Naonekana na ikichekesha Sivungi Nacheka kama kawa na sipendi kumuweka mtu blue tick bila kujibu endap itakua swali Hata Kama ni Siku 2 imepita ntajibu

Hakuna Niliem'mute kama kaweka utopolo Napita Shwaaaa Shwaaaa
Hahah na mimi nashangaa siwezi kufanya hivyo lakini unakuta mshkaji kabisa anatoa sijui last seen anahide kuview ana kublue tick hajibu huwa sielewi kwakweli.
Wapo watu nimewamute ila sijawahi kumblock mtu kwa namna yoyote ilee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom