Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Natumai mko poa na mnaendelea vyema kuchapa kazi katika kipindi hiki kigumu kwa sasa duniani. Kila mtu kwa imani yake na aendelee kuomba Mungu atuvushe salama.
Iko hivi, leo katika kupitia pitia whatsapp kule status nimegundua kuna baadhi ya watu huwa nina kawaida ya kutohangaika kuview status zao kabisa. Yaani huwa napita tu naenda kuview kwa baadhi, nadhani huenda maudhui yao mara nyingi huwa hayanifurahishi. Kuna wengine kila mara ni watu wa kuweka vijembe. Wengine kuweka weka tu picha na video zao zisizo na mbele wala nyuma(mara anaimba imba). Sasa kwa kiasi flani kama nimewakalili status zao siku zote huwa za aina fulani. Inaweza isiwe mada muhimu sana lakini nilijiuliza tu maswali.
Vipi wewe huwa huangaiki na status kabisa? Kwanini? Au kipi hupelekea wewe kupuuza badhi ya status za watu fulani mara nyingi?
Fuata maelekezo ya wataalamu, jilinde na linda na wengine dhidi ya COVID-19.
Iko hivi, leo katika kupitia pitia whatsapp kule status nimegundua kuna baadhi ya watu huwa nina kawaida ya kutohangaika kuview status zao kabisa. Yaani huwa napita tu naenda kuview kwa baadhi, nadhani huenda maudhui yao mara nyingi huwa hayanifurahishi. Kuna wengine kila mara ni watu wa kuweka vijembe. Wengine kuweka weka tu picha na video zao zisizo na mbele wala nyuma(mara anaimba imba). Sasa kwa kiasi flani kama nimewakalili status zao siku zote huwa za aina fulani. Inaweza isiwe mada muhimu sana lakini nilijiuliza tu maswali.
Vipi wewe huwa huangaiki na status kabisa? Kwanini? Au kipi hupelekea wewe kupuuza badhi ya status za watu fulani mara nyingi?
Fuata maelekezo ya wataalamu, jilinde na linda na wengine dhidi ya COVID-19.