Je, huyu ndiye IGP ajaye? Mfahamu Kamishna Awadhi Juma Haji, anayesimamia Operesheni za Polisi

Je, huyu ndiye IGP ajaye? Mfahamu Kamishna Awadhi Juma Haji, anayesimamia Operesheni za Polisi

Mwamba enzi zake amekula sana rushwa ya madereva wa daladala. Na amefanya kazi ya kutukuka sana kukabiliana na Chadema juzi kule Mbeya, yeye kwa mikono yake amewashughulikia vizuri sana Sugu na Mnyika na wote wako hoi Hospitslini, mimi nasema APEWE U IGP ANASTAHILI.
Awadh anatufaa maana Sugu amefanya Mbeya kuwa mahali pa hovyo sana
 
Mkuu si unakumbuka Ramadhani Kingai alivyosuka kesi ya mchongo ya ugaidi na jinsi alivyodhalilishwa kwa maswali ya Kibatala hadi akapata fistula baada ya kesi kufutwa akazawadiwa kuwa DCI. Huko CCM udhalimu ni sifa ya utendaji uliotukuka.
sasa hapo kapanda ngazi au kashuka? ilitakiws ashtakiwe km kina Bageni lkn anapeta.
usuahindane na aliyeshika mpini, lile kundi lililokamatwa na kina Moiwe kuna waliokufa acha kuteswa, sasa usuahindane na Kamishna wa Visuwani aliyetoka Kondoa
 
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani.

Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji, ambaye anasimamia operesheni na mafunzo, amepata umaarufu wa umma kufuatia tuhuma za vurugu za polisi wakati wa kukamatwa kwa viongozi wa upinzani huko Mbeya Jumapili kwenye mkutano wa vijana uliozuiwa.

CP Haji aliongoza binafsi operesheni hiyo ambayo ilisababisha kukamatwa kwa mamia ya viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao. Zaidi ya watu 500 walikamatwa katika operesheni hiyo ya Polisi.

Mabasi na magari binafsi yaliyokuwa yamebeba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao waliokuwa wakielekea Mbeya kuhudhuria mkutano wa upinzani uliopangwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Vijana yalizuiliwa na Polisi barabarani.

Wakati wa operesheni hiyo, viongozi wa CHADEMA walidai kuwa walikabiliwa na ukatili mkubwa kutoka kwa Polisi.
View attachment 3069803
Kamishna Awadhi Juma Haji

JE, KAMISHNA AWADHI JUMA HAJI NI NANI?

Kamishna Awadhi Juma Haji (CP) kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Operesheni na Mafunzo katika Jeshi la Polisi la Tanzania.

Mnamo Februari 2, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, alimteua Awadhi Juma Haji kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar.

Kabla ya uteuzi huu, mnamo Januari 31, 2022, Rais Samia alimpandisha Cheo kutoka Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) hadi Kamishna wa Polisi.

SAFARI YA KUTOKA KUJIUNGA NA POLISI HADI KUTEULIWA

Awadhi Juma Haji alijiunga na Jeshi la Polisi la Tanzania mnamo Aprili 1, 1993, na alipanda vyeo mbalimbali hadi kufikia cheo cha ACP, ambacho alishikilia hadi Januari 31, 2022.

Katika utumishi wake, alishikilia nyadhifa muhimu kadhaa, zikiwemo:​
  1. Mwendesha Mashtaka​
  2. Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS) – Kituo cha Polisi Oysterbay​
  3. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Mkoa wa Kipolisi Ilala​
  4. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kinondoni​
  5. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZTO)​
  6. Afisa Mnadhimu wa Kwanza – Mkoa wa Kipolisi Temeke​
  7. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Mjini Magharibi​
  8. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Kagera (Nafasi aliyoishikilia hadi uteuzi wa Zanzibar)​
Akiendekeza tabia ya Omary Mahita kwa kizazi cha sasa atayeyuka kama mvute kwenye kiangazi
 
Huwezi kubadikisha IGP wakati una uchaguzi wa Serikali za mitaa na huu Mkuu.

IGP ni mtu mkubwa mno ndugu zangu, acheni mizaha..Yaana wampe u IGP huyu mtuhumiwa wa mateso ya wananch wasio na hatia kule Mbeya kweli?
Mkuu wakati wa kumtafuta huyu IGP ndipo Awadh alipopandishwa cheo na kuwa Kamishna, akumbuka akiwa Ilala tukajua ndio maandalizi ya u IGP, mkuu akashtuka hivyo yupo pending tusubirie Uchaguzi, mkumbuke yule IGP
o aliyepita hakukaa muda wambeya wakamchoma
 
Mwamba enzi zake amekula sana rushwa ya madereva wa daladala. Na amefanya kazi ya kutukuka sana kukabiliana na Chadema juzi kule Mbeya, yeye kwa mikono yake amewashughulikia vizuri sana Sugu na Mnyika na wote wako hoi Hospitslini, mimi nasema APEWE U IGP ANASTAHILI.
Hiki ndicho kipimo cha akili cha baadhi ya watanzania, ujinga bado umeota mizizi miaka 60 baada ya kupata uhuru. Imagine mtu kama wewe upewe nafasi ya kuongoza au kufanya maamuzi ni hasara tupu.
 
Hiki ndicho kipimo cha akili cha baadhi ya watanzania, ujinga bado umeota mizizi miaka 60 baada ya kupata uhuru. Imagine mtu kama wewe upewe nafasi ya kuongoza au kufanya maamuzi ni hasara tupu.
Just relax, his comment is just a sarcasm
 
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani.

Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji, ambaye anasimamia operesheni na mafunzo, amepata umaarufu wa umma kufuatia tuhuma za vurugu za polisi wakati wa kukamatwa kwa viongozi wa upinzani huko Mbeya Jumapili kwenye mkutano wa vijana uliozuiwa.

CP Haji aliongoza binafsi operesheni hiyo ambayo ilisababisha kukamatwa kwa mamia ya viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao. Zaidi ya watu 500 walikamatwa katika operesheni hiyo ya Polisi.

Mabasi na magari binafsi yaliyokuwa yamebeba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao waliokuwa wakielekea Mbeya kuhudhuria mkutano wa upinzani uliopangwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Vijana yalizuiliwa na Polisi barabarani.

Wakati wa operesheni hiyo, viongozi wa CHADEMA walidai kuwa walikabiliwa na ukatili mkubwa kutoka kwa Polisi.
View attachment 3069803
Kamishna Awadhi Juma Haji

JE, KAMISHNA AWADHI JUMA HAJI NI NANI?

Kamishna Awadhi Juma Haji (CP) kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Operesheni na Mafunzo katika Jeshi la Polisi la Tanzania.

Mnamo Februari 2, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, alimteua Awadhi Juma Haji kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar.

Kabla ya uteuzi huu, mnamo Januari 31, 2022, Rais Samia alimpandisha Cheo kutoka Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) hadi Kamishna wa Polisi.

SAFARI YA KUTOKA KUJIUNGA NA POLISI HADI KUTEULIWA

Awadhi Juma Haji alijiunga na Jeshi la Polisi la Tanzania mnamo Aprili 1, 1993, na alipanda vyeo mbalimbali hadi kufikia cheo cha ACP, ambacho alishikilia hadi Januari 31, 2022.

Katika utumishi wake, alishikilia nyadhifa muhimu kadhaa, zikiwemo:​
  1. Mwendesha Mashtaka​
  2. Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS) – Kituo cha Polisi Oysterbay​
  3. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Mkoa wa Kipolisi Ilala​
  4. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kinondoni​
  5. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZTO)​
  6. Afisa Mnadhimu wa Kwanza – Mkoa wa Kipolisi Temeke​
  7. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Mjini Magharibi​
  8. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Kagera (Nafasi aliyoishikilia hadi uteuzi wa Zanzibar)​
Naona dogo Willy Mkonda zaidi ya huyo
 
Back
Top Bottom