Je, huyu ndiye IGP ajaye? Mfahamu Kamishna Awadhi Juma Haji, anayesimamia Operesheni za Polisi

Je, huyu ndiye IGP ajaye? Mfahamu Kamishna Awadhi Juma Haji, anayesimamia Operesheni za Polisi

Ni jambo la kutia huzuni sana kuna watanzania kama huwa wanafurahia sana mateso, vifo na madhila mengine kwa watanzania wenzao, hata pale ambapo sheria za nchi zinapovunjwa na wanaotakiwa kuzilinda. Kama huwezi kutetea haki ya mtanzania mwenzako inapovunjwa, basi kaa ujue kwamba hata pale utakapokosa huduma muhimu za kijamii na haki zako za msingi kutoweza kufanya chochote. Mbaya zaidi hao unaowasifia kwa kuvunja sheria, ambao wanafanya ili kujiimarisha wenyewe personally hawakukui na hawatakaa wakukumbuke au kukusaidia kwa lolote. Watu kama wewe kwenye jamii yetu ndiyo vikwazo vikubwa kwenye maendeleo, kuondoa ujinga, umaskini nk... Bahati nzuri karma mwisho wa siku inawarudia hata nyinyi.
⁷🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤑🤑🤑😅
 
Kupiga Wapinzani BILA SABABU ndio apandishwe cheo.
My friend hizi ndizo akili za vijana wa Tanzania, yaani unaweza kuona hata aibu kuwa na Taifa with watu brainless kama hawa. Imagine if this is what they think kuna kitu cha maana kweli watafanya kwenye huu ulimwengu wa science and technology? Wataishia tuu kuwajadili Mzee Magoma,Kiba,Mondi, betting,mademu na ulabu ...
 
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani.

Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji, ambaye anasimamia operesheni na mafunzo, amepata umaarufu wa umma kufuatia tuhuma za vurugu za polisi wakati wa kukamatwa kwa viongozi wa upinzani huko Mbeya Jumapili kwenye mkutano wa vijana uliozuiwa.

CP Haji aliongoza binafsi operesheni hiyo ambayo ilisababisha kukamatwa kwa mamia ya viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao. Zaidi ya watu 500 walikamatwa katika operesheni hiyo ya Polisi.

Mabasi na magari binafsi yaliyokuwa yamebeba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao waliokuwa wakielekea Mbeya kuhudhuria mkutano wa upinzani uliopangwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Vijana yalizuiliwa na Polisi barabarani.

Wakati wa operesheni hiyo, viongozi wa CHADEMA walidai kuwa walikabiliwa na ukatili mkubwa kutoka kwa Polisi.
View attachment 3069803
Kamishna Awadhi Juma Haji

JE, KAMISHNA AWADHI JUMA HAJI NI NANI?

Kamishna Awadhi Juma Haji (CP) kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Operesheni na Mafunzo katika Jeshi la Polisi la Tanzania.

Mnamo Februari 2, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, alimteua Awadhi Juma Haji kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar.

Kabla ya uteuzi huu, mnamo Januari 31, 2022, Rais Samia alimpandisha Cheo kutoka Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) hadi Kamishna wa Polisi.

SAFARI YA KUTOKA KUJIUNGA NA POLISI HADI KUTEULIWA

Awadhi Juma Haji alijiunga na Jeshi la Polisi la Tanzania mnamo Aprili 1, 1993, na alipanda vyeo mbalimbali hadi kufikia cheo cha ACP, ambacho alishikilia hadi Januari 31, 2022.

Katika utumishi wake, alishikilia nyadhifa muhimu kadhaa, zikiwemo:​
  1. Mwendesha Mashtaka​
  2. Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS) – Kituo cha Polisi Oysterbay​
  3. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Mkoa wa Kipolisi Ilala​
  4. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kinondoni​
  5. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZTO)​
  6. Afisa Mnadhimu wa Kwanza – Mkoa wa Kipolisi Temeke​
  7. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Mjini Magharibi​
  8. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Kagera (Nafasi aliyoishikilia hadi uteuzi wa Zanzibar)​
Siku mkimuweka juu mtashangaa atakavyoanikwa madudu yake pamoja na kuhonga vyeo kwa ujira wa dudu
 
Huwezi kubadikisha IGP wakati una uchaguzi wa Serikali za mitaa na huu Mkuu.

IGP ni mtu mkubwa mno ndugu zangu, acheni mizaha..Yaana wampe u IGP huyu mtuhumiwa wa mateso ya wananch wasio na hatia kule Mbeya kweli?
 
Kumbe kwa nini Waunguja wanamsema vibaya?
Amewahi kufanya kazi Unguja?
Huyu Mtanganyika amefanya hivi? Good God!
( Nashukuru nimeisoma posting yako kupata fact- check. Mara huwa sisomi comment juu ya posting zangu--+ kwa sababu there are too many comments)
Sijui kafanya nini Unguja lakini aliwahi kuwa RPC Unguja kwa kipindi kifupi kabla ya kurudi bara.
 
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani.

Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji, ambaye anasimamia operesheni na mafunzo, amepata umaarufu wa umma kufuatia tuhuma za vurugu za polisi wakati wa kukamatwa kwa viongozi wa upinzani huko Mbeya Jumapili kwenye mkutano wa vijana uliozuiwa.

CP Haji aliongoza binafsi operesheni hiyo ambayo ilisababisha kukamatwa kwa mamia ya viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao. Zaidi ya watu 500 walikamatwa katika operesheni hiyo ya Polisi.

Mabasi na magari binafsi yaliyokuwa yamebeba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao waliokuwa wakielekea Mbeya kuhudhuria mkutano wa upinzani uliopangwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Vijana yalizuiliwa na Polisi barabarani.

Wakati wa operesheni hiyo, viongozi wa CHADEMA walidai kuwa walikabiliwa na ukatili mkubwa kutoka kwa Polisi.
View attachment 3069803
Kamishna Awadhi Juma Haji

JE, KAMISHNA AWADHI JUMA HAJI NI NANI?

Kamishna Awadhi Juma Haji (CP) kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Operesheni na Mafunzo katika Jeshi la Polisi la Tanzania.

Mnamo Februari 2, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, alimteua Awadhi Juma Haji kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar.

Kabla ya uteuzi huu, mnamo Januari 31, 2022, Rais Samia alimpandisha Cheo kutoka Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) hadi Kamishna wa Polisi.

SAFARI YA KUTOKA KUJIUNGA NA POLISI HADI KUTEULIWA

Awadhi Juma Haji alijiunga na Jeshi la Polisi la Tanzania mnamo Aprili 1, 1993, na alipanda vyeo mbalimbali hadi kufikia cheo cha ACP, ambacho alishikilia hadi Januari 31, 2022.

Katika utumishi wake, alishikilia nyadhifa muhimu kadhaa, zikiwemo:​
  1. Mwendesha Mashtaka​
  2. Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS) – Kituo cha Polisi Oysterbay​
  3. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Mkoa wa Kipolisi Ilala​
  4. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kinondoni​
  5. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZTO)​
  6. Afisa Mnadhimu wa Kwanza – Mkoa wa Kipolisi Temeke​
  7. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Mjini Magharibi​
  8. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Kagera (Nafasi aliyoishikilia hadi uteuzi wa Zanzibar)​
Anataka amuweke huyu mzanzibari mwenzake amsaidie kuiba uchaguzi
 
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani.

Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji, ambaye anasimamia operesheni na mafunzo, amepata umaarufu wa umma kufuatia tuhuma za vurugu za polisi wakati wa kukamatwa kwa viongozi wa upinzani huko Mbeya Jumapili kwenye mkutano wa vijana uliozuiwa.

CP Haji aliongoza binafsi operesheni hiyo ambayo ilisababisha kukamatwa kwa mamia ya viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao. Zaidi ya watu 500 walikamatwa katika operesheni hiyo ya Polisi.

Mabasi na magari binafsi yaliyokuwa yamebeba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao waliokuwa wakielekea Mbeya kuhudhuria mkutano wa upinzani uliopangwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Vijana yalizuiliwa na Polisi barabarani.

Wakati wa operesheni hiyo, viongozi wa CHADEMA walidai kuwa walikabiliwa na ukatili mkubwa kutoka kwa Polisi.
View attachment 3069803
Kamishna Awadhi Juma Haji

JE, KAMISHNA AWADHI JUMA HAJI NI NANI?

Kamishna Awadhi Juma Haji (CP) kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Operesheni na Mafunzo katika Jeshi la Polisi la Tanzania.

Mnamo Februari 2, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, alimteua Awadhi Juma Haji kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar.

Kabla ya uteuzi huu, mnamo Januari 31, 2022, Rais Samia alimpandisha Cheo kutoka Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) hadi Kamishna wa Polisi.

SAFARI YA KUTOKA KUJIUNGA NA POLISI HADI KUTEULIWA

Awadhi Juma Haji alijiunga na Jeshi la Polisi la Tanzania mnamo Aprili 1, 1993, na alipanda vyeo mbalimbali hadi kufikia cheo cha ACP, ambacho alishikilia hadi Januari 31, 2022.

Katika utumishi wake, alishikilia nyadhifa muhimu kadhaa, zikiwemo:​
  1. Mwendesha Mashtaka​
  2. Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS) – Kituo cha Polisi Oysterbay​
  3. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Mkoa wa Kipolisi Ilala​
  4. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kinondoni​
  5. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZTO)​
  6. Afisa Mnadhimu wa Kwanza – Mkoa wa Kipolisi Temeke​
  7. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Mjini Magharibi​
  8. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Kagera (Nafasi aliyoishikilia hadi uteuzi wa Zanzibar)​
9. Muuaji
 
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani.

Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji, ambaye anasimamia operesheni na mafunzo, amepata umaarufu wa umma kufuatia tuhuma za vurugu za polisi wakati wa kukamatwa kwa viongozi wa upinzani huko Mbeya Jumapili kwenye mkutano wa vijana uliozuiwa.

CP Haji aliongoza binafsi operesheni hiyo ambayo ilisababisha kukamatwa kwa mamia ya viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao. Zaidi ya watu 500 walikamatwa katika operesheni hiyo ya Polisi.

Mabasi na magari binafsi yaliyokuwa yamebeba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao waliokuwa wakielekea Mbeya kuhudhuria mkutano wa upinzani uliopangwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Vijana yalizuiliwa na Polisi barabarani.

Wakati wa operesheni hiyo, viongozi wa CHADEMA walidai kuwa walikabiliwa na ukatili mkubwa kutoka kwa Polisi.
View attachment 3069803
Kamishna Awadhi Juma Haji

JE, KAMISHNA AWADHI JUMA HAJI NI NANI?

Kamishna Awadhi Juma Haji (CP) kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Operesheni na Mafunzo katika Jeshi la Polisi la Tanzania.

Mnamo Februari 2, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, alimteua Awadhi Juma Haji kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar.

Kabla ya uteuzi huu, mnamo Januari 31, 2022, Rais Samia alimpandisha Cheo kutoka Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) hadi Kamishna wa Polisi.

SAFARI YA KUTOKA KUJIUNGA NA POLISI HADI KUTEULIWA

Awadhi Juma Haji alijiunga na Jeshi la Polisi la Tanzania mnamo Aprili 1, 1993, na alipanda vyeo mbalimbali hadi kufikia cheo cha ACP, ambacho alishikilia hadi Januari 31, 2022.

Katika utumishi wake, alishikilia nyadhifa muhimu kadhaa, zikiwemo:​
  1. Mwendesha Mashtaka​
  2. Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS) – Kituo cha Polisi Oysterbay​
  3. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Mkoa wa Kipolisi Ilala​
  4. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kinondoni​
  5. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZTO)​
  6. Afisa Mnadhimu wa Kwanza – Mkoa wa Kipolisi Temeke​
  7. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Mjini Magharibi​
  8. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Kagera (Nafasi aliyoishikilia hadi uteuzi wa Zanzibar)​
Hapa sasa ndio napigia mstari kabisa ule usemi wa wanaume weupe wana kisirani , na wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kukabiliana na mambo.kumbe na huyu bwana ni mweupe ndio maana ana kisirani
 
Sio IGP
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani.

Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji, ambaye anasimamia operesheni na mafunzo, amepata umaarufu wa umma kufuatia tuhuma za vurugu za polisi wakati wa kukamatwa kwa viongozi wa upinzani huko Mbeya Jumapili kwenye mkutano wa vijana uliozuiwa.

CP Haji aliongoza binafsi operesheni hiyo ambayo ilisababisha kukamatwa kwa mamia ya viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao. Zaidi ya watu 500 walikamatwa katika operesheni hiyo ya Polisi.

Mabasi na magari binafsi yaliyokuwa yamebeba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao waliokuwa wakielekea Mbeya kuhudhuria mkutano wa upinzani uliopangwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Vijana yalizuiliwa na Polisi barabarani.

Wakati wa operesheni hiyo, viongozi wa CHADEMA walidai kuwa walikabiliwa na ukatili mkubwa kutoka kwa Polisi.
View attachment 3069803
Kamishna Awadhi Juma Haji

JE, KAMISHNA AWADHI JUMA HAJI NI NANI?

Kamishna Awadhi Juma Haji (CP) kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Operesheni na Mafunzo katika Jeshi la Polisi la Tanzania.

Mnamo Februari 2, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, alimteua Awadhi Juma Haji kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar.

Kabla ya uteuzi huu, mnamo Januari 31, 2022, Rais Samia alimpandisha Cheo kutoka Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) hadi Kamishna wa Polisi.

SAFARI YA KUTOKA KUJIUNGA NA POLISI HADI KUTEULIWA

Awadhi Juma Haji alijiunga na Jeshi la Polisi la Tanzania mnamo Aprili 1, 1993, na alipanda vyeo mbalimbali hadi kufikia cheo cha ACP, ambacho alishikilia hadi Januari 31, 2022.

Katika utumishi wake, alishikilia nyadhifa muhimu kadhaa, zikiwemo:​
  1. Mwendesha Mashtaka​
  2. Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS) – Kituo cha Polisi Oysterbay​
  3. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Mkoa wa Kipolisi Ilala​
  4. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kinondoni​
  5. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZTO)​
  6. Afisa Mnadhimu wa Kwanza – Mkoa wa Kipolisi Temeke​
  7. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Mjini Magharibi​
  8. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Kagera (Nafasi aliyoishikilia hadi uteuzi wa Zanzibar)​
IGP ajaye huyu ni mwanasiasa namwona kabisa. IGP ajaye ni CP Suzana Kaganda
 
Just Polisi wasiozidi 50 wamewakamata kama kuku wa kizungu au senene watu 500 ndani ya masaa yasiyozidi matatu
Ulinkonyofu kangi ulinlemalema kuntu.hao polisi 50 walikuja mikono mitupu??umbwa wewe
 
Atakuwa kaambiwa na Kingai kuwa akitesa na kuonea CHADEMA ndiyo atapanda cheo fasta
Kwahiyo leo hii sisi CHADEMA ndio tumefanywa kuwa ni MAADUI yanayostahili kupotezwa?!

Sisi tumefanywa kuwa ndio IDI AMINI DADA?!

Hivi hawa Makada wa CCM waliolewa Madaraka wanaipeleka wapi TANZANIA 🇹🇿?!
 
Awadh hakuwa mla rushwa za daladala bali aliwakomalia kufuata sheria,wakawa wakijitahidi kumloga na kumshindwa,ni mrangi nafikiri
Hujui unachokiongea,jamaa tena rushwa zake zilikuwa zile kubwa kubwa,dau dogo ndo alikuwa anawakomalia,wale waliokuwa wanatoa panono anawaacha
 
Kingai kamuingiza chaka Awadhi kamuambia yeye alipata cheo cha DCI baada ya kumsukia Mbowe kesi ya ugaidi Samia akamzawadia cheo ndiyo mrangi kaingia kichwa kichwa kuwavunja watu viuno kwa mateke yake.
 
Hafai huyo bwana ataingiza nchi kwenye matatizo na wahisani wetu wa maendeleo. Igp wa Sasa anafaa Sana ni mtulivu na Ana hekima ndio maana Hali imetulia Sana. Huyo awadh ataturudisha nyuma.
Si ni bora kuwe na matatizo na wahisani kuliko nchi kupata uasi!
Maana nijuavyo mimi hawa wazungu wakiona huambiliki,wanaanza kufadhili vikundi visivyo rasmi ili wapambane
 
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani.

Kamishna wa Polisi Awadhi Juma Haji, ambaye anasimamia operesheni na mafunzo, amepata umaarufu wa umma kufuatia tuhuma za vurugu za polisi wakati wa kukamatwa kwa viongozi wa upinzani huko Mbeya Jumapili kwenye mkutano wa vijana uliozuiwa.

CP Haji aliongoza binafsi operesheni hiyo ambayo ilisababisha kukamatwa kwa mamia ya viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao. Zaidi ya watu 500 walikamatwa katika operesheni hiyo ya Polisi.

Mabasi na magari binafsi yaliyokuwa yamebeba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao waliokuwa wakielekea Mbeya kuhudhuria mkutano wa upinzani uliopangwa kwenye Siku ya Kimataifa ya Vijana yalizuiliwa na Polisi barabarani.

Wakati wa operesheni hiyo, viongozi wa CHADEMA walidai kuwa walikabiliwa na ukatili mkubwa kutoka kwa Polisi.
View attachment 3069803
Kamishna Awadhi Juma Haji

JE, KAMISHNA AWADHI JUMA HAJI NI NANI?

Kamishna Awadhi Juma Haji (CP) kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Operesheni na Mafunzo katika Jeshi la Polisi la Tanzania.

Mnamo Februari 2, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, alimteua Awadhi Juma Haji kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar.

Kabla ya uteuzi huu, mnamo Januari 31, 2022, Rais Samia alimpandisha Cheo kutoka Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) hadi Kamishna wa Polisi.

SAFARI YA KUTOKA KUJIUNGA NA POLISI HADI KUTEULIWA

Awadhi Juma Haji alijiunga na Jeshi la Polisi la Tanzania mnamo Aprili 1, 1993, na alipanda vyeo mbalimbali hadi kufikia cheo cha ACP, ambacho alishikilia hadi Januari 31, 2022.

Katika utumishi wake, alishikilia nyadhifa muhimu kadhaa, zikiwemo:​
  1. Mwendesha Mashtaka​
  2. Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS) – Kituo cha Polisi Oysterbay​
  3. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Mkoa wa Kipolisi Ilala​
  4. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kinondoni​
  5. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani – Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZTO)​
  6. Afisa Mnadhimu wa Kwanza – Mkoa wa Kipolisi Temeke​
  7. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Mjini Magharibi​
  8. Kamanda wa Polisi – Mkoa wa Kagera (Nafasi aliyoishikilia hadi uteuzi wa Zanzibar)​
Hata IGP Mstaafu Omar Mahita aliteuliwa baada ya kuwafanyia ushetani Wapinzani kwenye Uchaguzi wa Siasa wa Mwaka 1995.
 
Hata IGP Mstaafu Omar Mahita aliteuliwa baada ya kuwafanyia ushetani Wapinzani kwenye Uchaguzi wa Siasa wa Mwaka 1995.
Na victim wake mkubwa alikuwa Augustine Mrema aliyekuwa mgombea tishio kwa mgombea wa CCM. Ndiyo maana tunasema CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala. Bila mbeleko ya polisi na Tume ya Uchaguzi CCM ni kama TLP tu
 
Back
Top Bottom