Je, huyu ndiye IGP ajaye? Mfahamu Kamishna Awadhi Juma Haji, anayesimamia Operesheni za Polisi

Je, huyu ndiye IGP ajaye? Mfahamu Kamishna Awadhi Juma Haji, anayesimamia Operesheni za Polisi

Mkuu si unakumbuka Ramadhani Kingai alivyosuka kesi ya mchongo ya ugaidi na jinsi alivyodhalilishwa kwa maswali ya Kibatala hadi akapata fistula baada ya kesi kufutwa akazawadiwa kuwa DCI. Huko CCM udhalimu ni sifa ya utendaji uliotukuka.
Yaani ndio maana wamekomaa sana juzi kule mbeye wanajua kuna malipo ya vyeo?
 
Ni mdini sana...
Wewe umeliangalia hivyo; pengine unayo unayoyafahamu zaidi upande huo.

Wengine tunahisi tu kwamba pengine hicho ni moja ya vielelezo juu ya upaaji wa vyeo alivyo tunukiwa kwa muda mfupi!
Hilo pia linaweza kuwa ndio kichocheo cha haya aliyoonekana kuyafanya katika muda huu.
Ni nani asiye shukrani kwa mkono unaomwezesha kufikisha chakula mdomoni? Mkono huo ukitishiwa na yeyote ni lazima anaye shibishwa ang'ake, kama alivyo fanya.
 
Back
Top Bottom