Je, huyu ni rafiki mwema kwangu?

Je, huyu ni rafiki mwema kwangu?

Mimi nilikuwa naye wa aina hii. Nilijaribu sana kumvumilia. Akawa ananifanyia visa lkn naendelea kumsaidia. Nikawa namchangia michango mikubwa mikubwa ya harusi, misiba... Lakini upande wangu hatoi kitu! Mara ya mwisho nilimkopesha milioni 1. Akarudisha lakhi 6 ikabaki lakhi 4.

Mpaka leo hajairudisha iliyobaki. Nikamwacha. Wala simdai. Kila mtu akaendelea na maisha yake. Miaka zaidi ya 8 hajawahi kuomba mkopo tena. Siku hizi nasikia anakopa kwa watu wengine, ambao nawafahamu kwa sababu tulisoma pamoja. Jibu langu - binadamu wa aina hiyo wapo. Ukishawajua, wasikusumbue.
Habari wana MMU?

Nilikuwa na rafiki yangu tulisoma pamoja chuo, wakati tupo chuo kiukweli hali yake ya maisha hata kipindi tupo chuo ilikuwa ni ngumu sana na mimi ilikuwa niyakawaida tu japo wote tulikuwa na maisha magumu ili nilijitahidi sana kusaidiana nae.

Kutokana na maisha tuliyokuwa nayo mimi nilikuwa natumiwa pesa kutoka kwa ndugu zangu ila yeye ilikuwa ni mara chache sana kupatiwa pesa hivyo ilinigharim kutoa kidogo nilicho nacho ili kumsaidia.

Ilifikia kipindi fulani tukaenda field aisee alikuwa hana kitu na mimi nilitumiwa kiasi fulani nikamchangia, na hivyo ndivyo tulivyo ishi hata kama alikuwa akiugua naenda kumnunulia dawa. Kiukweli nilimhurumia sana.

Tuliishi kwa magumashi mpaka tukamamaliza chuo, hatukuchukua mda tuka tukaajiriwa kwa pamoja serikalini bahati nzur mimi nilipelekwa Halmashauri karibu na kwao na yeye alipelekwa halimashauri karibu na kwetu. Siku moja niliwatembelea wazazi wake ila yeye aligoma kwenda kwetu maana tulikuwa tukiwasiliana kila mara.

Tumeishi kama mwaka na kitu tukiwasiliana inamaana urafiki wetu ulikuwa ni wamawasiliano tu, jamaa ukikwama ukamwambia akukope hela utamrudishia hata kama anayo hakupi.

Kunasiku nilipata msiba mwezi wa 5 mwaka huu ambapo nilifiwa na baba yang mzazi, aisee kipindi hicho nilikuwa sina pesa nilimuomba jamaa anikope pesa niende msibani alininyima aisee na wakati huo alikuwa akiniambia mishe zake kuwa anapesa kadhaa kwenye akaunt yake, na nilivyo enda msibani hakuwa hata akinijulia hali wala kunipa pole, kiukweli niliumia sana kwa mtu kama yule.

Hatimaye nilirudi kazini et ndio kuanza kunipigia akiniambia niambie jembe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na mimi kakajisemea moyoni wewe nakutema.

Saiz yupo kwenye blacklist [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyo ni mwanaume mchane live wala huna haja ya kumblock wanawake ndo wako ivi ila mwanaume unamchana ukweli afu unatulia zako
 
Habari wana MMU?

Nilikuwa na rafiki yangu tulisoma pamoja chuo, wakati tupo chuo kiukweli hali yake ya maisha hata kipindi tupo chuo ilikuwa ni ngumu sana na mimi ilikuwa niyakawaida tu japo wote tulikuwa na maisha magumu ili nilijitahidi sana kusaidiana nae.

Kutokana na maisha tuliyokuwa nayo mimi nilikuwa natumiwa pesa kutoka kwa ndugu zangu ila yeye ilikuwa ni mara chache sana kupatiwa pesa hivyo ilinigharim kutoa kidogo nilicho nacho ili kumsaidia.

Ilifikia kipindi fulani tukaenda field aisee alikuwa hana kitu na mimi nilitumiwa kiasi fulani nikamchangia, na hivyo ndivyo tulivyo ishi hata kama alikuwa akiugua naenda kumnunulia dawa. Kiukweli nilimhurumia sana.

Tuliishi kwa magumashi mpaka tukamamaliza chuo, hatukuchukua mda tuka tukaajiriwa kwa pamoja serikalini bahati nzur mimi nilipelekwa Halmashauri karibu na kwao na yeye alipelekwa halimashauri karibu na kwetu. Siku moja niliwatembelea wazazi wake ila yeye aligoma kwenda kwetu maana tulikuwa tukiwasiliana kila mara.

Tumeishi kama mwaka na kitu tukiwasiliana inamaana urafiki wetu ulikuwa ni wamawasiliano tu, jamaa ukikwama ukamwambia akukope hela utamrudishia hata kama anayo hakupi.

Kunasiku nilipata msiba mwezi wa 5 mwaka huu ambapo nilifiwa na baba yang mzazi, aisee kipindi hicho nilikuwa sina pesa nilimuomba jamaa anikope pesa niende msibani alininyima aisee na wakati huo alikuwa akiniambia mishe zake kuwa anapesa kadhaa kwenye akaunt yake, na nilivyo enda msibani hakuwa hata akinijulia hali wala kunipa pole, kiukweli niliumia sana kwa mtu kama yule.

Hatimaye nilirudi kazini et ndio kuanza kunipigia akiniambia niambie jembe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na mimi kakajisemea moyoni wewe nakutema.

Saiz yupo kwenye blacklist [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Rafiki mkia wa fisi.......
 
Hao nilisha kutana nao , nlichouma ukiamua kumsaidia mtu fanya kama unatoa sadaka tu usitegemee chochote kutoka kwake
 
Hao nilisha kutana nao , nlichouma ukiamua kumsaidia mtu fanya kama unatoa sadaka tu usitegemee chochote kutoka kwake
Sio hivyo mkuu, huyo jamaa nilishawahi kumuomba msaada wa kumkopa tu na nilimuhaidi wiki ijayo namrudishia hela yake na hapo nipo msibani, kilicho niuma ni matatizo yaliyo nipata alafu jamaa asinikope na pesa alikuwa nayo, nisingepata matatizo wala nisingemsumbua. Nilifanya hvyo kwa kuamini ndio pekee mtu aliye karibu yangu
 
Habari wana MMU?

Nilikuwa na rafiki yangu tulisoma pamoja chuo, wakati tupo chuo kiukweli hali yake ya maisha hata kipindi tupo chuo ilikuwa ni ngumu sana na mimi ilikuwa niyakawaida tu japo wote tulikuwa na maisha magumu ili nilijitahidi sana kusaidiana nae.

Kutokana na maisha tuliyokuwa nayo mimi nilikuwa natumiwa pesa kutoka kwa ndugu zangu ila yeye ilikuwa ni mara chache sana kupatiwa pesa hivyo ilinigharim kutoa kidogo nilicho nacho ili kumsaidia.

Ilifikia kipindi fulani tukaenda field aisee alikuwa hana kitu na mimi nilitumiwa kiasi fulani nikamchangia, na hivyo ndivyo tulivyo ishi hata kama alikuwa akiugua naenda kumnunulia dawa. Kiukweli nilimhurumia sana.

Tuliishi kwa magumashi mpaka tukamamaliza chuo, hatukuchukua mda tuka tukaajiriwa kwa pamoja serikalini bahati nzur mimi nilipelekwa Halmashauri karibu na kwao na yeye alipelekwa halimashauri karibu na kwetu. Siku moja niliwatembelea wazazi wake ila yeye aligoma kwenda kwetu maana tulikuwa tukiwasiliana kila mara.

Tumeishi kama mwaka na kitu tukiwasiliana inamaana urafiki wetu ulikuwa ni wamawasiliano tu, jamaa ukikwama ukamwambia akukope hela utamrudishia hata kama anayo hakupi.

Kunasiku nilipata msiba mwezi wa 5 mwaka huu ambapo nilifiwa na baba yang mzazi, aisee kipindi hicho nilikuwa sina pesa nilimuomba jamaa anikope pesa niende msibani alininyima aisee na wakati huo alikuwa akiniambia mishe zake kuwa anapesa kadhaa kwenye akaunt yake, na nilivyo enda msibani hakuwa hata akinijulia hali wala kunipa pole, kiukweli niliumia sana kwa mtu kama yule.

Hatimaye nilirudi kazini et ndio kuanza kunipigia akiniambia niambie jembe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na mimi kakajisemea moyoni wewe nakutema.

Saiz yupo kwenye blacklist [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Roll model sanamu letu limetua bandarini, ulinzi tutaomba suma Jkt
 
Kwani lazima kua na no Zake .tumia vizuri storage ya simu yako bhna vitu kama ivyo nivya kuondoa haraka sana
 
Habari wana MMU?

Nilikuwa na rafiki yangu tulisoma pamoja chuo, wakati tupo chuo kiukweli hali yake ya maisha hata kipindi tupo chuo ilikuwa ni ngumu sana na mimi ilikuwa niyakawaida tu japo wote tulikuwa na maisha magumu ili nilijitahidi sana kusaidiana nae.

Kutokana na maisha tuliyokuwa nayo mimi nilikuwa natumiwa pesa kutoka kwa ndugu zangu ila yeye ilikuwa ni mara chache sana kupatiwa pesa hivyo ilinigharim kutoa kidogo nilicho nacho ili kumsaidia.
Huyo anaroho ya kimasikini kama maisha yake yalivyo kua, maskini huzaliwa na roho mbaya ni wachache wakarimu...tenda wema uende zako usisubirie malipo
 
Kwani lazima kua na no Zake .tumia vizuri storage ya simu yako bhna vitu kama ivyo nivya kuondoa haraka sana
Kabisa mkuu watu wengine hawafai hata kuwa nao karibu.
 
Sasa maana ya kusaidiana ni nini!?

We ndo kiazi mviringo tena.
Ndo jamii yenu mnataka msaidiwe tu halafu nyie kusaidia mkono birika pumbufu kabisa.
una ID ngapi ?

kusaidia ni hiari sio lazima, ukisaidia ili utegemee usaidiwe na yule uliyemsaidia , inabidi upimwe mkojo na akili
 
Nahis rafiki yako wa damu kutembea na mpenz wako ndio inauma zaidi. Ila pole mzee baba
 
Yawezekana ulihisi ni rafiki yako kwakuwa mlikuwa karibu na alifaidika nawe, kumbe mwenzio kwake wewe sio rafiki. Lakini pia moyo wa kutoa sio kila mtu anao, wengine uchoyo uko damuni.
 
Habari wana MMU?

Nilikuwa na rafiki yangu tulisoma pamoja chuo, wakati tupo chuo kiukweli hali yake ya maisha hata kipindi tupo chuo ilikuwa ni ngumu sana na mimi ilikuwa niyakawaida tu japo wote tulikuwa na maisha magumu ili nilijitahidi sana kusaidiana nae.
Huyo ni wa kutema. achana naye
 
Yawezekana ulihisi ni rafiki yako kwakuwa mlikuwa karibu na alifaidika nawe, kumbe mwenzio kwake wewe sio rafiki. Lakini pia moyo wa kutoa sio kila mtu anao, wengine uchoyo uko damuni.
huyo jamaa amezidi aisee
 
Habari wana MMU?

Nilikuwa na rafiki yangu tulisoma pamoja chuo, wakati tupo chuo kiukweli hali yake ya maisha hata kipindi tupo chuo ilikuwa ni ngumu sana na mimi ilikuwa niyakawaida tu japo wote tulikuwa na maisha magumu ili nilijitahidi sana kusaidiana nae.

Kutokana na maisha tuliyokuwa nayo mimi nilikuwa natumiwa pesa kutoka kwa ndugu zangu ila yeye ilikuwa ni mara chache sana kupatiwa pesa hivyo ilinigharim kutoa kidogo nilicho nacho ili kumsaidia.

Ilifikia kipindi fulani tukaenda field aisee alikuwa hana kitu na mimi nilitumiwa kiasi fulani nikamchangia, na hivyo ndivyo tulivyo ishi hata kama alikuwa akiugua naenda kumnunulia dawa. Kiukweli nilimhurumia sana.

Tuliishi kwa magumashi mpaka tukamamaliza chuo, hatukuchukua mda tuka tukaajiriwa kwa pamoja serikalini bahati nzur mimi nilipelekwa Halmashauri karibu na kwao na yeye alipelekwa halimashauri karibu na kwetu. Siku moja niliwatembelea wazazi wake ila yeye aligoma kwenda kwetu maana tulikuwa tukiwasiliana kila mara.

Tumeishi kama mwaka na kitu tukiwasiliana inamaana urafiki wetu ulikuwa ni wamawasiliano tu, jamaa ukikwama ukamwambia akukope hela utamrudishia hata kama anayo hakupi.

Kunasiku nilipata msiba mwezi wa 5 mwaka huu ambapo nilifiwa na baba yang mzazi, aisee kipindi hicho nilikuwa sina pesa nilimuomba jamaa anikope pesa niende msibani alininyima aisee na wakati huo alikuwa akiniambia mishe zake kuwa anapesa kadhaa kwenye akaunt yake, na nilivyo enda msibani hakuwa hata akinijulia hali wala kunipa pole, kiukweli niliumia sana kwa mtu kama yule.

Hatimaye nilirudi kazini et ndio kuanza kunipigia akiniambia niambie jembe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na mimi kakajisemea moyoni wewe nakutema.

Saiz yupo kwenye blacklist [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wote tuko hivyo kama alivyo huyu unayemwita rafiki yako. Hata mimi hapa nilipo, ningeweza kufanya kama alivyofanya huyu mtu. Wapende watu bila kuwachukulai kuwa ni marafiki ama la, expect the least or nothing at all from everyone you regard as a friend or an acquaintance. That way you will live your life, a wonderful life.

Hayo uliyofanyiwa na huyo mtu hata mimi hapa nilipo sioni shida yoyote ya kukufanyia hivyo, ningeweza kukufanyia hata mimi.

Wapende watu but be very careful with the way you deal with them. Live your life hizi marginals zisizokuwa za msingi achana nazo kabisa
 
Watu wote tuko hivyo kama alivyo huyu unayemwita rafiki yako. Hata mimi hapa nilipo, ningeweza kufanya kama alivyofanya huyu mtu. Wapende watu bila kuwachukulai kuwa ni marafiki ama la, expect the least or nothing at all from everyone you regard as a friend or an acquaintance. That way you will live your life, a wonderful life.

Hayo uliyofanyiwa na huyo mtu hata mimi hapa nilipo sioni shida yoyote ya kukufanyia hivyo, ningeweza kukufanyia hata mimi.

Wapende watu but be very careful with the way you deal with them. Live your life hizi marginals zisizokuwa za msingi achana nazo kabisa
Mkuu kiingereza hicho [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
una ID ngapi ?

kusaidia ni hiari sio lazima, ukisaidia ili utegemee usaidiwe na yule uliyemsaidia , inabidi upimwe mkojo na akili
Kuna mfumo unaitwa mutualism na parasitism.
Mutualism maana yake wote mnafaidi Katika mahusiano au urafiki wenu.
Leo ukipata tatizo mm nikusaidie kkuinua na ikitokea na mm nimepata tatizo unisaidie maisha yaende.
Parasitism ni sawa na kupe kwenye ng'ombe, yeye awe anamnyonya mwenzake wakati yeye hapati chochote zaidi ya maumivu.
Jifunze vzr kitu kinaitwa association halafu tofautisha na kumsaidia mtu njiani at once huyo huwezi tegemea na yeye akusaidie tunazungumzia mtu mliyepo jiran au ndugu.
 
Back
Top Bottom