Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,501
- 4,226
- Thread starter
- #61
Kabisa mkuuHaya mambo anayoeleza mtoa mada kama hayajakufika huwezi elewa. Kuna jambo lilinikuta sasa hivi nime-review urafiki wangu na watu niliowaona wa karibu.
Msimamo wangu kwa sasa ni huu, unachofanya kwangu ndio hicho hicho nitafanya kwako.