Aje tu....ataelewa somoMawazo ya kikabwela haya.
Hilo haliwezekaniki.
ππMkuu you made my day [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Thanks.
Umefikiria mbali sana Mkuu. Na kwa sheria ya nchi yetu haina Uraia Pacha siyo.Hakitatokea kitu, kwa kuwa hawezi kufufuka, Ni kutafuta Nyundo kubwa na kupiga kichwani pale kwenye upara ngwaaaa!!!!
Halafu atakuta tuna Rais SSH, ili uwe Ras lazima uwe Raia wa Tanzania, yeye ameshakuwa raia wa kuzimu, labda aingie Tizeee kwa passport
Kabisa, na baada ya kutolewa cheti Cha kifo, maana yake uraia wake ulikoma kuanzia tarehe hiyoUmefikiria mbali sana Mkuu. Na kwa sheria ya nchi yetu haina Uraia Pacha siyo.