Je, ikitokea Hayati Magufuli kafufuka nini kitatokea?

Je, ikitokea Hayati Magufuli kafufuka nini kitatokea?

Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa nadani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Itabidi auwawe, arudi alikotoka!
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa nadani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Tutamzika tena kwa lazima apende asipende
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa nadani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Atakufa tena nakwambia..!!
 
Tutacheza kama kwenye Thriller halafu tutamzika tena
thriller-michael-jackson.gif
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Hawezi KUFUFUKA
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Mmmmmm why yeye ? RIP JPM
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
NYUNDO YA KICHWA, HAKUNA KUAMKA MTU.. 😁😁Jokes!
 
Yaani umejiuliza sana bila majibu upupu huu
Uliona wapi mtu kafufuka? Halafu eti umekosa majibu daa kweli tunakoelekea

Huyo alishakufa hebu mkubali tu
Shirikisha basi ubongo wako japo kidogo ili uweze kung'amua lengo la Uzi wenyewe. Yaani wewe unaona ni sahihi vipaumbele vya Taifa kuwa ni UCHAWA?

Nchi yetu inahitaji mabadiliko makubwa kwa sasa kisiasa kiuchumi na kifikra. Na wenye kuyaleta mabadiliko hayo ni Mimi na Wewe. Tusiwaachie hawa wenye kuleta vipaumbele vyao vya UCHAWA.
 
Wale watu wake wa karibu ndo watakuwa wa kwanza kumrudisha.... Askari na vikosi vyote vya usalama vilivyo kuwa vikimtii ndo vitakuwa vya kwanza kumpopoa... Habari yake itamalizwa kimya kimya hutosikia hata tetesi......sifahamu kwanini lakini usiniulize.
 
Back
Top Bottom