Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Nyerere sio msukuna.Kwa nini usiseme Nyerere akifufuka?!
Wasukuma wengi ni makengemaji...
Walimchukulia Meko kama mungu wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere sio msukuna.Kwa nini usiseme Nyerere akifufuka?!
Halafu tutarudi pale pale...kukomeshana kwa kasi ya 100gb😄Akifufuka ataomba kijazi mfugale nao wafufuke na kina mfugale nao hivyo na wao wataomba watu wao wafufuke itakuwa mwanzo wa ufufuo 😆
Dunia itaanza upya maana kila mtu atafufuka kwann iwe yeye tu 😀Halafu tutarudi pale pale...kukomeshana kwa kasi ya 100gb😄
Ikitokea Nyerere je???...Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.
Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Kabisa..Dunia itaanza upya maana kila mtu atafufuka kwann iwe yeye tu 😀
[emoji38][emoji38][emoji38]
Subiri ufufuo wa Yesu..hizo nyingine ni chai tu za kijiweni..hawezi fufuka full stop [emoji23][emoji119]Lengo la Uzi ni ulinganisho wa yale yaliyokuwa yakifanyika chini ya Utawala wake na haya yanayoendelea hivi sasa.
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.
Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Atakufa tena.....Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.
Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Tutacheza kama kwenye Thriller halafu tutamzika tena
Kwani ana hati milki ya nchi hii?Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.
Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Haya ni mawazo kwa sukuma gang wote kwamba akili zenu bado zinafikiria "kulamba asali" kama unavyosema mwenyewe kwa sababu Nchi ilibaki ni ya WasuK tu , hali inayopelekea kutokuamini BABA yenu ndio kweli hawezi kurudi ?, Ili ujiridhishe we waulize wazee wenu mtu akishakufa huwa yu arudi?,labda kama yupo na jamaa zake WASIOJULIKANA, Ila kukuridhisha kama unaota atarudi basi akionekana tu anakwenda lockup kesha mahakamani akajibu matuhuma yake.Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.
Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
African Teacher akifufuka, itakua ni mwangaza.Kwa nini usiseme Nyerere akifufuka?!