Je, ikitokea Hayati Magufuli kafufuka nini kitatokea?

Je, ikitokea Hayati Magufuli kafufuka nini kitatokea?

Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Ikitokea Nyerere je???...
 
Lengo la Uzi ni ulinganisho wa yale yaliyokuwa yakifanyika chini ya Utawala wake na haya yanayoendelea hivi sasa.
Subiri ufufuo wa Yesu..hizo nyingine ni chai tu za kijiweni..hawezi fufuka full stop [emoji23][emoji119]
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??

Afufuke kwa ajili gani? Kwanini Mengi asifufuke au mitume?
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Atakufa tena.....
 
...Ile LNG imeshawasili kwenye ile address, uwezekano wa kufufuka tena haupo
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Kwani ana hati milki ya nchi hii?
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Haya ni mawazo kwa sukuma gang wote kwamba akili zenu bado zinafikiria "kulamba asali" kama unavyosema mwenyewe kwa sababu Nchi ilibaki ni ya WasuK tu , hali inayopelekea kutokuamini BABA yenu ndio kweli hawezi kurudi ?, Ili ujiridhishe we waulize wazee wenu mtu akishakufa huwa yu arudi?,labda kama yupo na jamaa zake WASIOJULIKANA, Ila kukuridhisha kama unaota atarudi basi akionekana tu anakwenda lockup kesha mahakamani akajibu matuhuma yake.
 
Back
Top Bottom