Je, ikitokea Hayati Magufuli kafufuka nini kitatokea?

Je, ikitokea Hayati Magufuli kafufuka nini kitatokea?

Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??

Kwani nchi ilikuwa mali yake? Akifufuka atakaa Kwa kutulia, vinginevyo atatakiwa kuonyesha watu alioagiza wauwawe.
 
Haya ni mawazo kwa sukuma gang wote kwamba akili zenu bado zinafikiria "kulamba asali" kama unavyosema mwenyewe kwa sababu Nchi ilibaki ni ya WasuK tu , hali inayopelekea kutokuamini BABA yenu ndio kweli hawezi kurudi ?, Ili ujiridhishe we waulize wazee wenu mtu akishakufa huwa yu arudi?,labda kama yupo na jamaa zake WASIOJULIKANA, Ila kukuridhisha kama unaota atarudi basi akionekana tu anakwenda lockup kesha mahakamani akajibu matuhuma yake.
Hivi Mkuu huwezi kutoa maoni yako bila kuhusisha kabila fulani? Mimi siyo Sukuma Gang wala sijawahi kuwa mfuasi wa hilo kundi wala Jiwe Mwenyewe.

Uzi huu ni mahususi kwa wale wenye kutumia bongo zao vizuri ktk kufikiri.
 
Wewe utaliwa tigo
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafa
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Jiwe ninani kwani nchi hii mwenye alikuwa Julius Kambarage Nyerere sio huyo mpuuzi wako !!! Bora ungesema Nyerere by the way mama anafanya vema kwenye serikali hayo ya uchawa ni Yao wenyewe ccm
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Kesho anafufuka pale airport ya kijijini kwake ngoja tuone itakuwaje, usikose kufika mapema tushuhudie mkuu wa malaika akiibuka
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Inategemea itatokea kafufukaje maana anaweza kufufuka kama Msukule, ikawa badala ya yeye kuwashangaa wao, CCM wakamshangaa yeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Anyways usiwaze sana, kufufuka sio rahisi alishafungiwa yupo motoni saizi wanachoma mahindi na ibilisi

Alipofika tu day 1 alikutana na faili la Ben Sanane limekamilika upelelezi fasta tu akanyoa Nyundo za kutosha japo bado anahudhuria mahakamani daily kwa sababua mafaili mengine bado yanatajwa upelelezi haujakamilika
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??


Akifufuka atakuwa ZOMBIE MAGUFULI KAMA HAPA CHINI



cod-wallpaper.jpg
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Kesha ondoka unataka atawale hata akiwa kaburini
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
1.Samia na kikwete watakimbilia uarabuni kutafuta hifadhi..

2. Nape na Makamba watakufa Kwa pressure.

3 Mwigulu atachanganyikiwa
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Hawezi kufufuka
 
Shirikisha basi ubongo wako japo kidogo ili uweze kung'amua lengo la Uzi wenyewe. Yaani wewe unaona ni sahihi vipaumbele vya Taifa kuwa ni UCHAWA?

Nchi yetu inahitaji mabadiliko makubwa kwa sasa kisiasa kiuchumi na kifikra. Na wenye kuyaleta mabadiliko hayo ni Mimi na Wewe. Tusiwaachie hawa wenye kuleta vipaumbele vyao vya UCHAWA.
Bora vipaumbele vya Taifa kuwa UCHAWA kuliko vipaumbele vya Taifa kuwa ni KUUA WATU WENYE MITAZAMO TOFAUTI NA YA KWAKE.
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom