Je, ikitokea Hayati Magufuli kafufuka nini kitatokea?

Je, ikitokea Hayati Magufuli kafufuka nini kitatokea?

Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Atakufa tena hapo hapo kwa mara ya pili kwa kuwa wale aliowakandamiza ndiyo wenye sauti na uwezo.
 
Inategemea itatokea kafufukaje maana anaweza kufufuka kama Msukule, ikawa badala ya yeye kuwashangaa wao, CCM wakamshangaa yeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Anyways usiwaze sana, kufufuka sio rahisi alishafungiwa yupo motoni saizi wanachoma mahindi na ibilisi

Alipofika tu day 1 alikutana na faili la Ben Sanane limekamilika upelelezi fasta tu akanyoa Nyundo za kutosha japo bado anahudhuria mahakamani daily kwa sababua mafaili mengine bado yanatajwa upelelezi haujakamilika
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kwa jinsi zinavyoibuka mada mfululizo kumhusu jiwe, ni dhahiri jamaa HAJAFA [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ndiyo maana hata madhila yaliyosababishwa Hitler yanafundishwa duniani kote, dictator aliyetawala kikatili huwa hasahauliki kirahisi kwani hata wanufaika wa u-dictator huwa wanachanganyikiwa mambo yanapokuwa yamebadilika.
 
Asije akajaribu kufanya hivyo. Ataondolewa kinga ya kutoshtakiwa na kupelekwa Kisutu. Kama una mawasiliano yake mwambie abaki hukohuko.. huku bado watu wana hasira nae... asubiri kupoe poe kwanza ndo afufuke.
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Kwanza kabisa tutamwambia wewe sio rais tena nahautokuwa tena rais pia wavuvi tutamdai malizetu alizokwapua namwisho tutamwambia mama aliisha APA kuwa raisi baada yamungu amueshimu mama kwamoyo wote wakati wote
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Afufuke aende wapi wacha ateketee zake huko
 
Asije akajaribu kufanya hivyo. Ataondolewa kinga ya kutoshtakiwa na kupelekwa Kisutu. Kama una mawasiliano yake mwambie abaki hukohuko.. huku bado watu wana hasira nae... asubiri kupoe poe kwanza ndo afufuke.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kama nawaona watakavyokimbia 😃 imagine wakisikia tu hata jina lake wanaogopa bado wakati hayupo.

watanzania wanafiki sana.
 
Ndiyo maana hata madhila yaliyosababishwa Hitler yanafundishwa duniani kote, dictator aliyetawala kikatili huwa hasahauliki kirahisi kwani hata wanufaika wa u-dictator huwa wanachanganyikiwa mambo yanapokuwa yamebadilika.
Ni Kweli anapendwa sana Hadi Leo na tabaka la chini,

Walig'oa geti la Airport kumuaga shujaa wao,

Matajiri na Wala RUSHWA ndo hawataki ht kumsikia.

Tutamkumbuka daima jembe.
 
Ni Kweli anapendwa sana Hadi Leo na tabaka la chini,

Walig'oa geti la Airport kumuaga shujaa wao,

Matajiri na Wala RUSHWA ndo hawataki ht kumsikia.

Tutamkumbuka daima jembe.
So brainwashed, aliwatia ujinga mkaona kuwa tabaka la chini ni sifa wakati kwake ilikuwa ni mbinu kuwafanya watu wajione wanyonge na wanamtegemea yeye yaani kwa kifupi alijifanya ni mungu mtu.
Si matajiri tu ndiyo walimchukia bali ni wenye akili timamu, wanaojielewa na kujua haki zao, wenye mawazo huru na wanaojua kutafuta maisha kwa jitihada zao ambao alifanya kila namna kuwadhulumu, kuwaibia na kuwakandamiza ili a-control kila kitu peke yake ndiyo hawakumpenda.
 
So brainwashed, aliwatia ujinga mkaona kuwa tabaka la chini ni sifa wakati kwake ilikuwa ni mbinu kuwafanya watu wajione wanyonge na wanamtegemea yeye yaani kwa kifupi alijifanya ni mungu mtu.
Si matajiri tu ndiyo walimchukia bali ni wenye akili timamu, wanaojielewa na kujua haki zao, wenye mawazo huru na wanaojua kutafuta maisha kwa jitihada zao ambao alifanya kila namna kuwadhulumu, kuwaibia na kuwakandamiza ili a-control kila kitu peke yake ndiyo hawakumpend.
Naheshimu mawazo Yako,

Umefanya utafiti Kwa unayoyasema?

Heche na Mnyika wamefanya mikutano na kuongea na wananchi,

Hawathubutu kumkejeli Magu mbele ya umma, amefanya mengi MAZURI Kwa Nchi.

Magu ndo TURUFU ya Chaguzi zijazo, amini usiamini.
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Wacha wewe !.Aliyeondoka hata mwezi mmoja katika dunia ya sasa ya mwendo kasi akifufuka anakuwa mgeni sana na mshamba,Mwenyewe tu ataduwaa na kuomba arudi kaburini haraka.
Akipitishwa njia ya uwanja wa ndege akaona yale madaraja anayoyajenga mama na SGR atajiona kama yuko wapi sijui.Hatotamani kuishi nasi tena,
Kama utampitisha njia ya Mbagala ndio kabisa atajjionea aibu.
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
atafikiri bado yeye ni Rais, so ataangalia angalia wapambe wake wote hawaoni.
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
kweli akifufuka lazima ashangae

1 kaacha watu niwoga kuisema serikali sasa serikali kila kona inasemwa nahakuna anae kamatwa

2 kaacha kikundi cha watu wasio eleweka watekaji wauaji sasa hakipo

3 alisema bila mimi miladi nilio anzisha hakuna wa kuimalizia sasa reli hiyo mpaka kigoma mwanza

3 daraja la busisi hilo shule hizo kila kijiji

4 bwawa na nyerere hilo mama kaisha lijaza maji

5 alikuwa anakopa kwa siri sasa mama anakopa wazi sio siri tena

6 aliacha wapinzani wako adui wa serikali saa serikali inakaa nao na wamerusiwa kufanya mikutano ya hadhara aliokuwa kaipiga marufuku

kweli ikitokea akafufuka lazima ashangae tu

mama samia hataki ujinga

nadanganya ndugu zangu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom