ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Ikitokea kafufuka maza lazima aliwe kichwa kwanza. Bahati mbaya wafu hawarudiNimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.
Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Kwamba IMANI ilojengeka Kwa wananchi juu ya Magu kusisitiza watu;Kwa ushahidi kwenye thread hii, ni wengi pande zote. Hata hivyo, kwenye mikutano, walio wengi wana uelewa mdogo kwa hiyo kazi kubwabb ya mikutano ni kutoa elimu.
Mimi sijasikia kwamba Rushwa inaruhusiwa. Pia Wananchi hao kuwaambia habari za mikopo si sawa, kwasababu hawawezi kuelewa tofauti kati ya uhimilivu wa 40% ya GDP na 70% ya GDP ni nini! Hao watakaolipa baadae watakuwa na uwezo kwasababu Uchumi utakuwa mkubwa zaidi kutokana uwekezaji wa Sasa. Ndio maana tunasema Elimu. Mikutano ya hadhara ambayo itapamba moto hivi karibuni, vyama vyote vina kazi ya kuielimisha jamii, sio kuwa populist tu!Kwamba IMANI ilojengeka Kwa wananchi juu ya Magu kusisitiza watu;
1. Wafanye KAZI Kwa bidii.
2. Kukataa RUSHWA.
3. Kukemea wahujumu raslimali za Nchi.
4. Kusimama raslimali za Nchi kama wanyama hai wasitoroshwe au kuuzwa kifisadi.
Unaamini hayo waliyoaminishwa na Magu ni sababu ya Elimu ndogo?
Unamaanisha saiz waambiwe;
1. Ikipata gap piga pesa maana nafasi haitojirudia tena.
2. Kwamba wananchi waelimishwe kuwa ni sahihi kuuza twiga Kwa waarabu.
3. Au waambiwe waache kuchangia ujenzi wa madarasa, waruhusu viongozi wakakope Ili vizazi vijavyo ndo vije kulipa?
Unadhani wananchi hawana AKILI kiasi hicho?
Kumbuka, AKILI mtu huzaliwa nayo, bt ELIMU huipata darasani.
And forgottenHe is dead and gone. [emoji1431]
Wanamkumbuka.And forgotten
ACHA BANGENimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.
Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje?
Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje?
To yeye bhanaAtaondoka tena kama alivyoondoka. Watu wanachinja wazazi wao watashindwa kuchinja mzuka.
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.
Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje?
Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje?
Shirikisha basi ubongo wako japo kidogo ili uweze kung'amua lengo la Uzi wenyewe. Yaani wewe unaona ni sahihi vipaumbele vya Taifa kuwa ni UCHAWA?
Nchi yetu inahitaji mabadiliko makubwa kwa sasa kisiasa kiuchumi na kifikra. Na wenye kuyaleta mabadiliko hayo ni Mimi na Wewe. Tusiwaachie hawa wenye kuleta vipaumbele vyao vya UCHAWA.
Na kweli. Baadhi ya Chawa wake walisababisha matatizo sehemu mbalimbali kwenye Jamhuri. Inabidi kuwa makini na Machawa huko mbele wasije kuwa out of control!Jpm mwenyewe aliendekeza uchawa! Ndio maana alijaza chawa wake bungeni ili wamtukuze na kumsifu.
Wajane wake tuWanamkumbuka.
Hilo haliwezekani kamweNimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.
Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje?
Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje?