Je, ile 'confidence' ya Kuongea Kiingereza 'fluently' bila kuandikiwa au kusoma akina Nyerere na Mkapa waliitoa wapi nami nikajifunze?

Kwa kukusaidia nenda Youtube na Umsikilize Nyerere na pia umsikilize Mahiga, Hata Mkapa was better in English than Nyerere.

Mahaba yenu kwa nyerere kama baba wa taifa yasiwapofue mkadhani kuwa yeye alikuwa pia ni baba wa English Tz.[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wale walisoma shule za mission kuanzia la kwanza mpaka chuo kikuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sababu moja kubwa ya Waganda kumpenda Idd Amin hata kama alikua katili, hakubadilisha kabisa mfumo wa Elimu ulioachwa na Wakoloni. Mpaka sasa hivi Uganda ni moja ya makoloni ya Uingereza yanayoongea Kiingereza kwa ufasaha mkubwa.
Hakika kabisaaah.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa kukusaidia nenda Youtube na Umsikilize Nyerere na pia umsikilize Mahiga, Hata Mkapa was better in English than Nyerere.

Mahaba yenu kwa nyerere kama baba wa taifa yasiwapofue mkadhani kuwa yeye alikuwa pia ni baba wa English Tz.[emoji1787]
Nakubaliana nawe.
 
Mkapa ana bachelor ya English Kama sikosei

Mchonga yule Ni genius kwa level zake alikuwa ticha kasoma enzi za mitaala ya kikoloni .ALikuwa msomaji na debator mzuri.

Wengine walikuwa wachimbachumvi tu wazee wa kukariri.

Rudi SAUT ukapigwe brash lugha
 
Mahiga yupo fluent na grammatic licha ya kuongea a slight accent ya wazungu lakini hiyo ni added merit.

Nyerere hivyo vyote hana.

That's my take.
Wazungu!!!!?
Umewahi wasikia Wataliano, waspenishi au wafaransa wakiongea?
Au unadhani Wazungu wote wa accent moja?
Ukisikiliza Spanish wanavyoongea unaweza ukatofautisha accent yao na lugha ya Kinyakyusa?
Hebu Sky Eclat Bujibuji , masopakyindi mje mtusaidie kidogo
 
kuna wakata fulani ktk pitapita zangu ktk maofisi nili kuta baadhi ya watumishi wakimzodoa mwenzao eti hajui kuandika kizungu!!! nilishangaa sana, nilijihisi kutapika!
yaaani wewe mswahili wa kitanzania ambaye asili yako ni lugha ya Kiswahili, sasa unaanzanje kumuona mwenzio ambaye kiingereza sio kivilee uanza kumkashifu?!
tulifika pabaya sana, isinge kuwa Hayati JPM kukipa msukumo kiswahili sidhani hata Mahakama zetu kama zinge kitumia, si dhani hata kwenye bunge la Afrika mashariki n.k
Tuipe kipau mbele lugha yetu, lkn sio vibaya pia tukajifunza kiingereza.
 


Hiyo slight accent ya kizungu sio muhimu sana na ndio maana nikasema hiyo ni "added merit." au huoni nilivyoandika??
 
Mimi hiyo ndio lugha yangu ya kila siku😂😂😂😂😂😂😂Kiswahili kilisha nishinda mie
 
Kati ya makosa Julius aliyouyanya Ni kufanya Kiswahili kiwe ni lugha ya kufundishia.Yeye katika kusoma kwake hakukutana na lugha hii tangu preparatory school mpaka university level
 
Ulaya yote English ni business language ninadhani pamoja na kuwa Ujerumani wanauchumi mzuri lakini Uingereza kutawala 3/4 hasa Marekani imesaidia kuifanya lugha yao kuwa na nguvu.

Spain, France, Italy, Portugal ect kusoma English kama lugha ya pili ni lazima kwa watoto wote.
 



Yours are mere ravings of a madman whose foul mouth stinks of insults and expletives like smells exiting from a swine ass hole.

I can't pursue a mad man who stole my clothes while I was bathing .


Look, another meaning of "abudu" you poor mswahili.
 
Juzi kulikuwa na kumbukumbu ya hayati Mkapa wazungumzaji waliotangulia waliongea kizungu ila Cha kushangaza waheshimiwa Marais wa jamhuri na mapinduzi waliwasilisha hotuba zao kwa lugha ya kiswahili nilibaki na mshangao sababu zilizowapelekea Kufanya hivyo kwani toka mwanzo lugha iliyotumika ilikuwa kiingereza
 
Yours are mere ravings of a madman whose foul mouth stinks of insults and expletives like smells exiting from a swine ass hole.

I can't pursue a mad man who stole my clothes while I was bathing .
How is this any different from the previous rantings you have used to describe your own illusional mind?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…