Huu wote ni kuonyesha ujinga tu, (hapana, neno sahihi hapa ni upumbavu), unapoandika kwamba tunamwabudu sana Nyerere, umeona wapi tukimwabudu kama siyo mwendelezo wa kuonyesha ujuha wako.
Sasa hata neno "kuabudu" unashindwa kujuwa maana yake?
Kwa nini sasa utoke kwenye kuandika uwezo wake wa kujuwa kiingereza na uishie kwenye 'kuabudu'; kwa hiyo wewe hapo unamwabudu Mahiga kwa kusifu alivyojuwa lugha hiyo?
All in all, you have proved beyond doubt that your reasoning ability is abnormal, and that is just stating it mildly.