Je, ile 'confidence' ya Kuongea Kiingereza 'fluently' bila kuandikiwa au kusoma akina Nyerere na Mkapa waliitoa wapi nami nikajifunze?

Je, ile 'confidence' ya Kuongea Kiingereza 'fluently' bila kuandikiwa au kusoma akina Nyerere na Mkapa waliitoa wapi nami nikajifunze?

Natamani sana nami GENTAMYCINE nijue Kuongea Kiingereza kizuri kama cha akina Nyerere na Mkapa na siyo nije nikijue vizuri baada ya Kustaafu Majukumu yangu au niwe nakiongea kwa kutegemea Kuandikiwa kisha kila nikiwa nahutubia niwe 'nazuga' kwa Kukiongea kwa Sekunde Tano, nakunywa Maji na nakohoa ili kuwaonyesha wanaonisikiliza kuwa nakijua kisha narejea tena Kusoma huku nikiwa natetemeka na kila mara.

ANGALIZO

Kujua Kiingereza si lazima kwani Kiswahili, Kizanaki na Kinyarwanda kinatosha na wala kujua Kiingereza si kipimo cha ama Mtu kuwa Msomi ( Intellectual ) au Mwerevu ( Brainiac ) katika Jamii ila katka Uga wa Kimataifa na kwa Heshima ya Lugha ya Kiingereza tokea enzi na enzi kutokujua Kiingereza ( Kiswahili cha duniani kama alivyowahi kusema Mwalimu Nyerere ) wakati hata 'Mitaala' yetu ya Elimu ni ya Kiingereza kunaweza Kutafsiriwa ni Uwendawazimu na Unafiki usiovumilika.

Fluency pekee yake haitakubeba. Unahitaji vitu vitatu, all at once: umahiri wa lugha, umahiri wa public speaking na subject matter expertise. Ukikosa umahiri wa public speaking na subject matter expertise, hata ukiongea kwa kutumia lugha ya mama yako, watu watatoka hawajui hata ulichoongea!
 
Between Mwl Nyerere, Dr Mahiga, Dr Mkapa, Dr Kissinger and Gov Shwarznegger; who will attract our attention on global matters and wahy?


Global matters are not our concerns, ours is who among the dignitaries spoken of was good at English, forget about Sect, kissinger and Gov, Arnold who aint Tanzanians.

Knowing global matters and knowing English are two different issues.
 
Hapo umetisha, hoja nzito kabisa kuwa ukitaka usikilizwe imudu lugha na kama ukishindwa kama kiongozi basi tumia wakalimani wako wanaoimudu vyema siyo tu lugha hiyo kubwa namba moja ya kimataifa bali pia wakalimani hao wawe wanafahamu mila na desturi vizuri za "mabeberu " ili kuwakabili viongozi wa mabeberu, vyombo vyao vya media vya kibeberu na hata kuweza kushawishi raia mabeberu mamilioni kwa hoja zako.

Tunaona wakalimani wa viongozi wa China, Russia, North Korea pamoja na mabalozi wao walivyo bora kuongea lugha za kigeni kutetea maslahi ya nchi zao na wameenda mbali serikali zao kuwa na magazeti, redio, television na online blog zenye waandishi bora kabisa kuweka ujumbe wao kwa lugha za kigeni kubwa.

Turudi hapa kwetu Tanzania vituo vyote vya televisheni na radio za Taifa TBC, magazeti ya serikali Daily news pia vyombo vya binafsi mpaka vya online hawana weledi wowote wa kuifikia dunia kwa kutumia lugha za kigeni.

Hii inaakisi changamoto kubwa ya waTanzania ktk kutumia lugha ya kigeni kama chombo cha kuvutia kuburudisha, kuelimisha, propaganda, biashara, uwekezaji na kila mmoja kujiwekeza kutumia kiswahili tena kisicho fasaha.
Comment tamu....

Comment ya DHAHABU kabisa 👍

Hapa pana cha kukichukua kiutekelezaji!
 
Kama wewe kweli unajua kiingereza kiasi cha kuona kwamba Nyerere hakuwa naongea kiingereza vizuri basi mimi na wewe tuanze kuchat kwa hicho kiingereza ili tuproove kwamba na wewe unamzidi Nyerere.


Tuchat na wewe kwani wewe ndiye uliyerithi kiingereza cha Nyerere ??!--- kama utasema wewe ndiye umerithi ile fimbo yake hapo hakuna shaka lakini sio kile kiingereza chake cha ajabu,

let's go
 
Huyu alikuwa ameandikiwa na akashindwa kusoma. Huyu ni professor na waziri View attachment 1854214
😂😂😂😂😂😂😂
Daah nimecheka kinoma, sawa uwezo wa mtu haupimwi kwa kuongea kingereza lakinii huyu si professor jamani huko kote alikopita lugha si ni kingereza.
Hapana jama hii si sawa mh. Waziri ajifunze kingereza sasa kwa namna hiyo ataongea vipi na wahisani??
Yani kama shishi bebi aisee😂😂
 
Natamani sana nami GENTAMYCINE nijue Kuongea Kiingereza kizuri kama cha akina Nyerere na Mkapa na siyo nije nikijue vizuri baada ya Kustaafu Majukumu yangu au niwe nakiongea kwa kutegemea Kuandikiwa kisha kila nikiwa nahutubia niwe 'nazuga' kwa Kukiongea kwa Sekunde Tano, nakunywa Maji na nakohoa ili kuwaonyesha wanaonisikiliza kuwa nakijua kisha narejea tena Kusoma huku nikiwa natetemeka na kila mara.

ANGALIZO

Kujua Kiingereza si lazima kwani Kiswahili, Kizanaki na Kinyarwanda kinatosha na wala kujua Kiingereza si kipimo cha ama Mtu kuwa Msomi ( Intellectual ) au Mwerevu ( Brainiac ) katika Jamii ila katka Uga wa Kimataifa na kwa Heshima ya Lugha ya Kiingereza tokea enzi na enzi kutokujua Kiingereza ( Kiswahili cha duniani kama alivyowahi kusema Mwalimu Nyerere ) wakati hata 'Mitaala' yetu ya Elimu ni ya Kiingereza kunaweza Kutafsiriwa ni Uwendawazimu na Unafiki usiovumilika.
You are confusing 2 issues, bravado and impromptu talk. Impromptuness hutumika against hostile journalists, wanakuuliza kunya unawajibu kunya, rapid-fire responses, hiyo inahitaji uje subject matter na ujue kujieleza. In Tanzania we never had that kind if situation hasa kwa Mkapa, kwa hiyo confidence ibatokana na cheo. Bravado ni hivyo, you 4un into a hostile crowd. Mafundi kabisa wa majibu ya kunya papo kwa papo ni Robert Mugabe na Tony Blair, auu hata Rais Trump hivi karibuni.

Hii ya speech ya kuandikiwa ni tafauti: NI LAZIMA KIONGOZI AANDIKIWE. Unachosema wewe ni departure from the written speech ili uongeze uelewa au kutokana ba hali halisi wanaokusikiliza. Hapo ndipo naam, Nyerere na Mkapa walikuwa mafundi. Lakini kulikuwa na Rais Kikwete na Waziri Cleopa Msuya, wao waliandika wenyewe, kwa mkono wake. Kwa hiyo Speechwriter ilibidi ajipe muda wa kutosha ili ikachanwechanwe itoke finals.
 
Ni Mtu asiyejua kiingereza vyakutosha ataona Nyerere alikuwa anajua kiingereza vyema, isitoshe hakuwa fluent.

Marehemu Augustino Mahiga ndiye alikuwa mswahili bingwa wa kiingereza niliyepata kumsikia akiongea with a perfect flawless fluency as a native Englishman.
Huyu unayemsifia alikuachia Mimba au?
 
Kwa kukusaidia nenda Youtube na Umsikilize Nyerere na pia umsikilize Mahiga, Hata Mkapa was better in English than Nyerere.

Mahaba yenu kwa nyerere kama baba wa taifa yasiwapofue mkadhani kuwa yeye alikuwa pia ni baba wa English Tz.🤣
Mkapa Mwenyewe hata katika Op-ed zake katika Gazeti la The Citizen miaka ya nyuma alimsifia mno Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kuwa alikuwa ni 'Wordsmiths' hasa. Je, tumuamini 'Genius' Mkapa au 'Moron' Wewe?
 
Tofauti ya kuongea kingereza kati ya Mahiga na Nyerere ni hii:
Nyerere anaongea kingereza kwa kutumia lafudhi yake ya kizanaki (kiafrika) ila matamshi mazuri na mtiririko mzuri wa lugha hiyo.
Mahiga anaongea kwa kuiga lafudhi ya kigeni na anaongea kama siyo yeye mwenyewe. Ni kama ana soma taarifa ya habari! Pia anafikiria kila neno kabla ya kulitamka ili aendelee kuiga ile lafudhi ambayo siyo yake. Anajaribu kuficha kihehe na hapo ndipo ana haribu.
My take - Nyerere is better
Ulichokiandika hapa kingekuwa ni cha Kitaaluma na natakiwa Kusahihisha ningekupa 99% ( A ya Dinstiction ) kabisa Mkuu.

Umesema ukweli, usahihi na umemaliza kila Kitu. Heko mno na nimefurahi Udadavuaji na Uchambuzi wako huu wa Kimantiki.
 
Mahiga yupo fluent na grammatic licha ya kuongea a slight accent ya wazungu lakini hiyo ni added merit.

Nyerere hivyo vyote hana.

That's my take.
Unayemsifia hakukuachia Mtoto labda?
 
Zao la Makerere university Uganda
Mwalimu alisomea uwalimu ,Mkapa bachelor of arts English.
Na huwezi Kusoma nchini Uganda iwe ni Primary School au Secondary School au University kisha ukawa Mpumbavu ( Popoma ) na usikijue vyema kabisa Kiingereza halafu pia usiwe 'Genius' katika Jamii.

Katika Elimu Uganda wametuacha mbali sana na Hongera kwa Elimu ya Uganda ambayo si tu naikubali ila naipenda kuliko hata ya Kenya na Tanzania.
 
Kiingereza cha Nyerere kilikuwa poor, Kiingereza kilikuwa na Augustino Mahiga.
Wewe unamaanisha accent, sio kiingereza. Ukiishi usukumani miaka mingi utakuwa na accent ya kisukuma. Mahiga alikaa sana USA na nje kwa ujumla, kwa hiyo huwezi kulinganisha accent yake na ya Nyerere.

Na pia art ya kuongea sio kujua lugha. Mnaweza wote mkajua kuongea kiswahili lakini mkatofautiana katika ushahiri wa kuongea
 
Nikitazama video za umahiri wa kumudu lugha ya Kiingereza waliokuwa nao kizazi cha zamani cha Ali Hassan Mwinyi na Joseph Rwegasira ninajiuliza nini kilitokea na Tanzania.

Msikilize Mh. Ali Hassan Mwinyi akitoa hotuba ndefu kwa lugha ya kigeni kwa umakini mkubwa bila kumsahau aliyekuwa waziri wake Joseph Rwegasira mpaka nabaki kushangaa kumbe siyo kina Nyerere, Mkapa, bali kuna kina Ali Hassan Mwinyi, Rwegasira, Ulimwengu na wengine wengi ila hatuna MEDIA zetu local zenye uwezo wa kuwahoji wazee hawa kwa Kiingereza swafi


Source: OWANAPAEDIA

Tangia lini Mzee A Mwinyi alijua English?
 
Back
Top Bottom