Je, ilichukua muda gani kuanza kupata faida katika biashara yako?

Je, ilichukua muda gani kuanza kupata faida katika biashara yako?

Ukitaka kufanikiwa kwa njia za ki-Mungu ufuate kanuni zifuatazo.
1.uanze kuishi maisha ya kumpendeza Mungu, kwa nje na sirini
2.kosea vyote ila usizini.ukikosea mengine ukaomba toba,Mungu atakusamehe na biashara itaendelea.
Ila ukizini lazima ufirisike kwanza,uaibike na ndio adhabu yako.
Ndio uje uanze mwanzo tena
3.Usiibe hela au kumdhulumu mtu Mali yake au kuiibia serikali then uje uanze biashara ukategemea Mungu ataibariki,NEVER

3.
Ahsante sana mkuu, Nimekuelewa vzr sana
Ila ni kwa nini dhambi ya kuzinzi ikawa na nguvu sana? Kuliko nyingine...

Kwa sababu tunaona hata Yusufu alikataa zigo la mke wa Kigogo wa serikali ya Misri (Potifa). Mungu akambariki Yusufu mpaka akawa waziri mkuu

Hii dhambi kwenye ulimwengu wa Roho inanguvu gani?

au ni kwa sabbu ya transmition kati ya Ke na Me????
 
Yaan Kuna nyakati unaona chain nzima unaotrade nao wanafanya ushirikina....mahali unapotoa malighafi washirikina na unaowauzia bidhaa washirikina...ni hatari Inabidi uweke mtu wa kusali Sana Kama Huamini ushirikina
 
Ahsante sana mkuu,Nimekuelewa vzr sana
Ila ni kwa nini dhambi ya kuzinzi ikawa na nguvu sana? Kuliko nyingine...

Kwa sababu tunaona hata Yusufu alikataa zigo la mke wa Kigogo wa serikali ya Misri (Potifa). Mungu akambariki Yusufu mpaka akawa waziri mkuu

Hii dhambi kwenye ulimwengu wa Roho inanguvu gani?

au ni kwa sabbu ya transmition kati ya Ke na Me????
Vizuri, uzinzi ndio silaha kubwa shetani anaitumia, Yusufu angezini na yule mke wa Potifa asingekuwa waziri mkuu
 
1. Miaka 2-3 ya mwanzo ni migumu mno. Bila roho ya paka, utaacha biashara,ila ukivumilia utaanza kuiona faida.

2. Lazima uchague kuwa mtu wa Mungu kweli au uwe mshirikina, bila hivyo hutoboi.

3. Lazima uwe na usimamizi Mzuri au ujenge strong team
4. Nidhamu ni muhimu sana

Ukijitahidi kufuata hizo rules utatoboa
Miaka 2 ~ 3 years mbona ni mingi sana mkuu, kupata faida mtu japo upambane angalau mwaka mmoja
 
Ukitaka kufanikiwa kwa njia za ki-Mungu ufuate kanuni zifuatazo.
1.uanze kuishi maisha ya kumpendeza Mungu, kwa nje na sirini
2.kosea vyote ila usizini.ukikosea mengine ukaomba toba,Mungu atakusamehe na biashara itaendelea.
Ila ukizini lazima ufirisike kwanza,uaibike na ndio adhabu yako.
Ndio uje uanze mwanzo tena
3.Usiibe hela au kumdhulumu mtu Mali yake au kuiibia serikali then uje uanze biashara ukategemea Mungu ataibariki,NEVER

3.
Namba 3 inashindikana kwetu wengi
 
Habari wakuu!

Kuendesha biashara inahitaji akili nyingi sana, huu uzi ni maalum kwa watu ambao wamewahi kuanzisha biashara na zikafanikiwa.

Katika biashara kuna mtaji (Fungu la pesa la kueendeshea biashara), matumizi (kodi ya fremu, umeme, ulinzi, usafirishaji n.k) pia kuna faida (Mauzo - mtaji)

Je, ilikuchukua muda gani kuanza kupata faida ktk biashara yako?
Je, ulianzaje anzaje mpaka ukafikia hapo ulipo?

Faida inatakiwa uanze kupata soon unapoanza biashara MKUU.
 
Mimi nilichelewa kufanikiwa kibiashara sababu sikutaka kuwa mshirikina na wala sikutaka kuwa kwa Mungu, niliamini kwenye elimu yangu na mtaji. Baadae ndio nikaja kutonywa na watu.
Nimeanza ku-breakeven 2.5 years, ila miaka 3 ndio nilianza kupata faida
Baadae ndio nikaja kutonywa na watu...!

Mkuu ufafanuzi kidogo hapa tafadhali. Kwamba ulikutana na nini hadi ukaamua kutafuta upande (Mungu/ushirikina)?
 
Mimi sikupenda kuchagua upande wa ushirikina, nikaamua kujiunga na vikundi vya maombezi, huwezi amini niliingia kwa hasira sana,maana nilishapata hasara sana.
Nilifunga mfungo wa masaa 12 kwa siku 30, kuna siku wakati nipo kwenye mfungo,nikaota usiku ninapambana na jitu la miraba mi4, mimi naomba na yeye anaomba kwa ishara kwa kuninyooshea mikono, baadae nikalidondosha chini, nikashtuka ndotoni. After one week ,biashara zikaanza kunyooka. Hii dunia ni zaidi ujuavyo.
Ila ukitaka kufuata kanuni hii, uwe na uhakika hutafanya madhambi Mungu anayochukia, ukifanya tu unafirisika to zero. Trust me haswa uzinzi.
Walokole wengi ni maskini sababu kubwa wanataka kufanikiwa kibiashara kupitia Mungu lakini wanafanya dhambi nyingi sirini.
Ahsante sana kwa elimu hii ya vitendo, likes 1000 nakupa ndugu.
 
Ukitaka kufanikiwa kwa njia za ki-Mungu ufuate kanuni zifuatazo.
1.uanze kuishi maisha ya kumpendeza Mungu, kwa nje na sirini
2.kosea vyote ila usizini.ukikosea mengine ukaomba toba,Mungu atakusamehe na biashara itaendelea.
Ila ukizini lazima ufirisike kwanza,uaibike na ndio adhabu yako.
Ndio uje uanze mwanzo tena
3.Usiibe hela au kumdhulumu mtu Mali yake au kuiibia serikali then uje uanze biashara ukategemea Mungu ataibariki,NEVER

3.
Oooh
 
Nakuelewa sana...ndani ya hicho kipindi unaweza sema unaenda kufilisika...Kweli bila moyo mgumu unaweza mtafuta mchawi
1. Miaka 2-3 ya mwanzo ni migumu mno. Bila roho ya paka, utaacha biashara,ila ukivumilia utaanza kuiona faida.

2. Lazima uchague kuwa mtu wa Mungu kweli au uwe mshirikina, bila hivyo hutoboi.

3. Lazima uwe na usimamizi Mzuri au ujenge strong team
4. Nidhamu ni muhimu sana

Ukijitahidi kufuata hizo rules utatoboa
 
Biashara ya udalali.
Nilianza kama mzaha.
Jamaa yangu aliniambia anauza kitanda 4*6 kwa elfu 70, akaniambia nimtafutie mteja.

Nikaja JF jukwaa la matangazo, nikakuta mwenzangu anauza size hio hio kwa 180K. Same quality beds.

Mi nikaona isiwe shida, watanzania tunapenda cheap bei poa. Nikapost kile kwa 140K huku nikitoa ofa ya usafiri kwa elfu 30.

Nikapata mteja papo hapo nikauza.

Faida elfu 50. Muuzaji nae akanipa elfu 10.

Sikuamini aisee this fast money within three days?

Toka siku ile nikakomaa na udalali.

Nishauza sana pikipiki used. Simu mpaka sasa wateja wa viwanja wananisaka.

Nipo Dar, soko ni kubwa sana.
 
Back
Top Bottom