Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Miungu yenu inawasaidiaje kwa sasa?
Yaani hizo slavesh religion ndo tuzifuate? Acheni ujinga nyie watu Africa tuna miungu yetu tuliyoitelekeza ndo maana kama tumelaniwa vile,dini za mashariki ya kati ni mizigo mizito tuliyojitwisha waafrika bila sababu za msingi,hivi tangu wazilete hizo dini huyo mungu wa wayahudi ashawahi kutusaidia zaidi ya kuongeza majanga tu?