allen sanga
Member
- Mar 9, 2022
- 11
- 3
Inawezekana ku apply kazi tena utumishi na huku nipo kwene tasisi ya serikali ndani ya mwaka wa kwanza wa matazamio (probation)?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteJibu ni ndio unaweza.....maombi yako ya kazi yapitie kwa mwajiri wako
Kwani ajira za utumishi zina Probation sio ukishapatiwa barua ni kuanza tu kaziInawezekana ku apply kazi tena utumishi na huku nipo kwene tasisi ya serikali ndani ya mwaka wa kwanza wa matazamio (probation)
Upi?Mleta mada fuata muongozo...
Probation ipo.Kwani ajira za utumishi zina Probation sio ukishapatiwa barua ni kuanza tu kazi
acha zako hakuna iyo labda sio utumishiProbation ipo.
Nadhani huelewi maana ya probation,kuanza kazi haina maana hakuna probation mkuu,hiki ni kipindi cha matazamio taasisi zingine zinafanya miezi 6 na kwingine mwaka huko huko serikalini ukimaliza hicho kipindi unapewa barua ya kuthibitishwa kazini,serikalini wanafanya hivyo mkuuKwani ajira za utumishi zina Probation sio ukishapatiwa barua ni kuanza tu kazi
Kweli kabisaNadhani huelewi maana ya probation,kuanza kazi haina maana hakuna probation mkuu,hiki ni kipindi cha matazamio taasisi zingine zinafanya miezi 6 na kwingine mwaka huko huko serikalini ukimaliza hicho kipindi unapewa barua ya kuthibitishwa kazini,serikalini wanafanya hivyo mkuu
Ipo probation...ukiajiriwi hupewi barua ya confirmation ad probation period ipiteacha zako hakuna iyo labda sio utumishi
Wengii wanadhani ukianza serikalini ndo umeanza😂😂😂😂..... Hadi upate confirmation letter ndo rasmi yanNadhani huelewi maana ya probation,kuanza kazi haina maana hakuna probation mkuu,hiki ni kipindi cha matazamio taasisi zingine zinafanya miezi 6 na kwingine mwaka huko huko serikalini ukimaliza hicho kipindi unapewa barua ya kuthibitishwa kazini,serikalini wanafanya hivyo mkuu
Tena waambie baada ya PP kuisha km Mwajiri wako hajaridhika na Utendaji wako, anakurudisha UTUMISHI wakupeleke watakapoona panafaa!Wengii wanadhani ukianza serikalini ndo umeanza😂😂😂😂..... Hadi upate confirmation letter ndo rasmi yan
Barua yako ya Maombi ni sharti ipitie kwa Mwajiri wako wa sasa, akuruhusu!Upi?
Unashangaa unatupwa halmashauri😂😂😂😂😂😂Tena waambie baada ya PP kuisha km Mwajiri wako hajaridhika na Utendaji wako, anakurudisha UTUMISHI wakupeleke watakapoona panafaa!
Mshahara 150k half unaish DsmUnashangaa unatupwa halmashauri😂😂😂😂😂😂
😂😂😂Mshahara 150k half unaish Dsm
Tena Sio ndogo😂😂😂Yan kama una roho ya wahehe unaweza ukajinyonga kweupeeekazi ipo