Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

blackstarline

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2016
Posts
3,278
Reaction score
7,966
Je’ ni kweli kila kitu ni mpango wa Mungu? Kwa muujibu wa biblia yapo maandiko mengi ambayo kwakweli yana hitaji tafakari nzito, kuyaelewa. baadhi ya maandiko ya biblia…Ni kama haya.

4 ‘’Bwana amefanya kila kitu kwa kusudi lake; Naam, hata wabaya kwa siku ya ubaya’’. Methali 16

“Kuna wakati uliowekwa wa kila kitu, hata kuna wakati wa kila jambo chini ya mbingu,” inasema Biblia. Mfalme Sulemani mwenye hekima wa kale, ambaye aliandika maneno hayo, aliendelea kusema kwamba kuna wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kujenga na wakati wa kubomoa, wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia. Mwishowe akasema: “Mtendaji ana faida gani katika jambo analofanyia kazi ngumu?”—Mhubiri 3:1-9

13 Tafakari vema kazi yake Mungu; kwa sababu ni nani awezaye kukinyosha kitu kile alichokipotosha yeye?
14 Siku ya kufanikiwa ufurahi, Na siku ya mabaya ufikiri. Mungu ameifanya hiyo moja kwenda sambamba na hiyo ya pili, ili mwanadamu asipate kulijua neno lo lote litakalofuata baada yake. Mhubiri 7

10 Wala si hivyo tu, lakini Rebeka naye, akiisha kuchukua mimba kwa mume mmoja, naye ni Isaka, baba yetu,
11 (kwa maana kabla hawajazaliwa wale watoto, wala hawajatenda neno jema wala baya, ili lisimame kusudi la Mungu la kuchagua, si kwa sababu ya matendo, bali kwa sababu ya nia yake aitaye),
12 aliambiwa hivi, Mkubwa atamtumikia mdogo.
13 Kama ilivyoandikwa, Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia.
14 Tuseme nini basi? Kuna udhalimu kwa Mungu? Hasha!
15 Maana amwambia Musa, Nitamrehemu yeye nimrehemuye, nitamhurumia yeye nimhurumiaye.
16 Basi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakaye, wala wa yule apigaye mbio; bali wa yule arehemuye, yaani, Mungu.
17 Kwa maana maandiko yasema juu ya Farao, ya kwamba, Nilikusimamisha kwa kusudi hili, ili nionyeshe nguvu zangu kwako, jina langu likatangazwe katika nchi yote.
18 Basi, kama ni hivyo, atakaye kumrehemu humrehemu, na atakaye kumfanya mgumu humfanya mgumu.
19 Basi, utaniambia, Mbona angali akilaumu? Kwa maana ni nani ashindanaye na kusudi lake?
20 La! Sivyo, Ee binadamu; wewe u nani umjibuye Mungu? Je! Kitu kilichoumbwa kimwambie yeye aliyekiumba, Kwani kuniumba hivi?
21 Au mfinyanzi je! Hana amri juu ya udongo, kwa fungu moja la udongo kuumba chombo kimoja kiwe cha heshima, na kimoja kiwe hakina heshima? Warumi 9.

1 Bwana akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa kama Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruni atakuwa nabii wako.
2 Utanena hayo yote nikuagizayo; na ndugu yako Haruni atanena na Farao, ili awape wana wa Israeli ruhusa watoke nchi yake.
3 Nami nitaufanya mgumu moyo wa Farao, nami nitazifanya kuwa nyingi ishara zangu na ajabu zangu katika nchi ya Misri.
4 Lakini Farao hatawasikiza ninyi, nami nitaweka mkono wangu juu ya Misri, na kuyatoa majeshi yangu, watu wangu, hao wana wa Israeli, watoke nchi ya Misri kwa hukumu zilizo kuu. Kutoka 9.
Je' inawezekana kila binadamu kabla ya kuzaliwa tiyari Mungu anamjua na hata mwisho wake anaujua?
Kama mambo ndivyo yalivyo mbona sisi tunalaumiana?


NB: Mods naomba hii maana isiamishwe kwenye jukwaa la dini sababu siyo ya kidini.
 
Kika kitu kipo kwa sababu maalumu.
Sio kwa kubahatisha bali ni kwa makusuddi kamili.
Njia za Bwana hazichunguziki nazo ni adili
 
Kika kitu kipo kwa sababu maalumu.
Sio kwa kubahatisha bali ni kwa makusuddi kamili.
Njia za Bwana hazichunguziki nazo ni adili
kwahiyo kuna watu wameumbwa wawe maskini na wengine wawe matajiri?
 
kwahiyo kuna watu wameumbwa wawe maskini na wengine wawe matajiri?
Nikukumbushe tuu kwamba.....Mungu haja muumba mwanadamu ili afurahie maisha ya duniani...bali ya baada y kifo.
Maisha ya hapa ni njia ya kuyengeneza maisha baad ya kifo.
Tajiri amewekewa maskini ili kupima imani yake.
Maskini amenyimwa mali ili kupima uvumilivu wake...

Bila maskini huwezi onekana unasaidia watu. Maanaa ukiandaa karamu na kuwaalika matajiri wenzako...pale unatafuta faida ya kulipwa fadhila.
Mwalike ambaye hawezi kuja kukupa chochote.

Ni mameno magumu sana kuyaelewa lakin rudia tena kusom
 
Nikukumbushe tuu kwamba.....Mungu haja muumba mwanadamu ili afurahie maisha ya duniani...bali ya baada y kifo.
Maisha ya hapa ni njia ya kuyengeneza maisha baad ya kifo.
Tajiri amewekewa maskini ili kupima imani yake.
Maskini amenyimwa mali ili kupima uvumilivu wake...

Bila maskini huwezi onekana unasaidia watu. Maanaa ukiandaa karamu na kuwaalika matajiri wenzako...pale unatafuta faida ya kulipwa fadhila.
Mwalike ambaye hawezi kuja kukupa chochote.

Ni mameno magumu sana kuyaelewa lakin rudia tena kusom
Mkuu sante sana kwa somo muurua.
 
Je’ ni kweli kila kitu ni mpango wa Mungu? Kwa muujibu wa biblia yapo maandiko mengi ambayo kwakweli yana hitaji tafakari nzito, kuyaelewa. baadhi ya maandiko ya biblia…Ni kama haya.

4 ‘’Bwana amefanya kila kitu kwa kusudi lake; Naam, hata wabaya kwa siku ya ubaya’’. Methali 16

“Kuna wakati uliowekwa wa kila kitu, hata kuna wakati wa kila jambo chini ya mbingu,” inasema Biblia. Mfalme Sulemani mwenye hekima wa kale, ambaye aliandika maneno hayo, aliendelea kusema kwamba kuna wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kujenga na wakati wa kubomoa, wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia. Mwishowe akasema: “Mtendaji ana faida gani katika jambo analofanyia kazi ngumu?”—Mhubiri 3:1-9

13 Tafakari vema kazi yake Mungu; kwa sababu ni nani awezaye kukinyosha kitu kile alichokipotosha yeye?
14 Siku ya kufanikiwa ufurahi, Na siku ya mabaya ufikiri. Mungu ameifanya hiyo moja kwenda sambamba na hiyo ya pili, ili mwanadamu asipate kulijua neno lo lote litakalofuata baada yake. Mhubiri 7

10 Wala si hivyo tu, lakini Rebeka naye, akiisha kuchukua mimba kwa mume mmoja, naye ni Isaka, baba yetu,
11 (kwa maana kabla hawajazaliwa wale watoto, wala hawajatenda neno jema wala baya, ili lisimame kusudi la Mungu la kuchagua, si kwa sababu ya matendo, bali kwa sababu ya nia yake aitaye),
12 aliambiwa hivi, Mkubwa atamtumikia mdogo.
13 Kama ilivyoandikwa, Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia.
14 Tuseme nini basi? Kuna udhalimu kwa Mungu? Hasha!
15 Maana amwambia Musa, Nitamrehemu yeye nimrehemuye, nitamhurumia yeye nimhurumiaye.
16 Basi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakaye, wala wa yule apigaye mbio; bali wa yule arehemuye, yaani, Mungu.
17 Kwa maana maandiko yasema juu ya Farao, ya kwamba, Nilikusimamisha kwa kusudi hili, ili nionyeshe nguvu zangu kwako, jina langu likatangazwe katika nchi yote.
18 Basi, kama ni hivyo, atakaye kumrehemu humrehemu, na atakaye kumfanya mgumu humfanya mgumu.
19 Basi, utaniambia, Mbona angali akilaumu? Kwa maana ni nani ashindanaye na kusudi lake?
20 La! Sivyo, Ee binadamu; wewe u nani umjibuye Mungu? Je! Kitu kilichoumbwa kimwambie yeye aliyekiumba, Kwani kuniumba hivi?
21 Au mfinyanzi je! Hana amri juu ya udongo, kwa fungu moja la udongo kuumba chombo kimoja kiwe cha heshima, na kimoja kiwe hakina heshima? Warumi 9.

1 Bwana akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa kama Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruni atakuwa nabii wako.
2 Utanena hayo yote nikuagizayo; na ndugu yako Haruni atanena na Farao, ili awape wana wa Israeli ruhusa watoke nchi yake.
3 Nami nitaufanya mgumu moyo wa Farao, nami nitazifanya kuwa nyingi ishara zangu na ajabu zangu katika nchi ya Misri.
4 Lakini Farao hatawasikiza ninyi, nami nitaweka mkono wangu juu ya Misri, na kuyatoa majeshi yangu, watu wangu, hao wana wa Israeli, watoke nchi ya Misri kwa hukumu zilizo kuu. Kutoka 9.
Je' inawezekana kila binadamu kabla ya kuzaliwa tiyari Mungu anamjua na hata mwisho wake anaujua?
Kama mambo ndivyo yalivyo mbona sisi tunalaumiana?


NB: Mods naomba hii maana isiamishwe kwenye jukwaa la dini sababu siyo ya kidini.
Ni kweli kabisaa Mungu anajua kila kitu na anapanga kila kitu ndio maana ata tarehe ya siku ya hukumu anaijua
 
Ni sijisumbue vipi?
Ni vema kuweka jitihada

Wanashindwa tu kutofautisha kati ya kusudi na stadi aliyotumia Mungu kuunda ulimwengu wake

Zote kwao ni njia za Mungu na ndio maana wanakwambia hazichunguziki

Kusudi lake linafundishika na kufikika kwa wakati sahihi na halibadiliki na lina kikomo

Lakini stadi aliyotumia kuunda ulimwengu wake ni ngumu na isiyo na kikomo na ndiyo binadamu tunajichosha kutaka kuijua_'pia si kwamba haiwezekani katika kuijua' 'La'_ila haitoshani na mda unaotumia kuishi.

Tukifikiri tunaweza kuijua hiyo ili kumjua yeye

Ila kuna dili moja tu la kujitaabisha/kujisumbua na kuweka jitihada katika kujua kusudi.Na linafikika na ndio utambuzi na ukomavu

Hilo katika kutaka kulijua hukusafirisha kutoka mkiani na kuja kichwani na kujua umaana wa umbo zima
 
Ni vema kuweka jitihada

Wanashindwa tu kutofautisha kati ya kusudi na stadi aliyotumia Mungu kuunda ulimwengu wake

Zote kwao ni njia za Mungu na ndio maana wanakwambia hazichunguziki

Kusudi lake linafundishika na kufikika kwa wakati sahihi na halibadiliki na lina kikomo

Lakini stadi aliyotumia kuunda ulimwengu wake ni ngumu na isiyo na kikomo na ndiyo binadamu tunajichosha kutaka kuijua_'pia si kwamba haiwezekani katika kuijua' 'La'_ila haitoshani na mda unaotumia kuishi.

Tukifikiri tunaweza kuijua hiyo ili kumjua yeye

Ila kuna dili moja tu la kujitaabisha/kujisumbua na kuweka jitihada katika kujua kusudi.Na linafikika na ndio utambuzi na ukomavu

Hilo katika kutaka kulijua hukusafirisha kutoka mkiani na kuja kichwani na kujua umaana wa umbo zima
Kwahiyo uwepo wa shetani ni kusudi la Mungu?
 
Alikuwepo peke yake na ndipo akaamua kuunda ulimwengu kwa mapenzi yake

Ikiwa na maana nyepesi tu kuwa yeye ndiye chanzo cha vyote

Ugumu uko wapi.! Ili kuelewa.?
Sasa mbona mtu akitenda dhambi Mungu anamhukumu?
 
Je’ ni kweli kila kitu ni mpango wa Mungu? Kwa muujibu wa biblia yapo maandiko mengi ambayo kwakweli yana hitaji tafakari nzito, kuyaelewa. baadhi ya maandiko ya biblia…Ni kama haya.

4 ‘’Bwana amefanya kila kitu kwa kusudi lake; Naam, hata wabaya kwa siku ya ubaya’’. Methali 16

“Kuna wakati uliowekwa wa kila kitu, hata kuna wakati wa kila jambo chini ya mbingu,” inasema Biblia. Mfalme Sulemani mwenye hekima wa kale, ambaye aliandika maneno hayo, aliendelea kusema kwamba kuna wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kujenga na wakati wa kubomoa, wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia. Mwishowe akasema: “Mtendaji ana faida gani katika jambo analofanyia kazi ngumu?”—Mhubiri 3:1-9

13 Tafakari vema kazi yake Mungu; kwa sababu ni nani awezaye kukinyosha kitu kile alichokipotosha yeye?
14 Siku ya kufanikiwa ufurahi, Na siku ya mabaya ufikiri. Mungu ameifanya hiyo moja kwenda sambamba na hiyo ya pili, ili mwanadamu asipate kulijua neno lo lote litakalofuata baada yake. Mhubiri 7

10 Wala si hivyo tu, lakini Rebeka naye, akiisha kuchukua mimba kwa mume mmoja, naye ni Isaka, baba yetu,
11 (kwa maana kabla hawajazaliwa wale watoto, wala hawajatenda neno jema wala baya, ili lisimame kusudi la Mungu la kuchagua, si kwa sababu ya matendo, bali kwa sababu ya nia yake aitaye),
12 aliambiwa hivi, Mkubwa atamtumikia mdogo.
13 Kama ilivyoandikwa, Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia.
14 Tuseme nini basi? Kuna udhalimu kwa Mungu? Hasha!
15 Maana amwambia Musa, Nitamrehemu yeye nimrehemuye, nitamhurumia yeye nimhurumiaye.
16 Basi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakaye, wala wa yule apigaye mbio; bali wa yule arehemuye, yaani, Mungu.
17 Kwa maana maandiko yasema juu ya Farao, ya kwamba, Nilikusimamisha kwa kusudi hili, ili nionyeshe nguvu zangu kwako, jina langu likatangazwe katika nchi yote.
18 Basi, kama ni hivyo, atakaye kumrehemu humrehemu, na atakaye kumfanya mgumu humfanya mgumu.
19 Basi, utaniambia, Mbona angali akilaumu? Kwa maana ni nani ashindanaye na kusudi lake?
20 La! Sivyo, Ee binadamu; wewe u nani umjibuye Mungu? Je! Kitu kilichoumbwa kimwambie yeye aliyekiumba, Kwani kuniumba hivi?
21 Au mfinyanzi je! Hana amri juu ya udongo, kwa fungu moja la udongo kuumba chombo kimoja kiwe cha heshima, na kimoja kiwe hakina heshima? Warumi 9.

1 Bwana akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa kama Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruni atakuwa nabii wako.
2 Utanena hayo yote nikuagizayo; na ndugu yako Haruni atanena na Farao, ili awape wana wa Israeli ruhusa watoke nchi yake.
3 Nami nitaufanya mgumu moyo wa Farao, nami nitazifanya kuwa nyingi ishara zangu na ajabu zangu katika nchi ya Misri.
4 Lakini Farao hatawasikiza ninyi, nami nitaweka mkono wangu juu ya Misri, na kuyatoa majeshi yangu, watu wangu, hao wana wa Israeli, watoke nchi ya Misri kwa hukumu zilizo kuu. Kutoka 9.
Je' inawezekana kila binadamu kabla ya kuzaliwa tiyari Mungu anamjua na hata mwisho wake anaujua?
Kama mambo ndivyo yalivyo mbona sisi tunalaumiana?


NB: Mods naomba hii maana isiamishwe kwenye jukwaa la dini sababu siyo ya kidini.
Predestination is a doctrine in Calvinism dealing with the question of the control that God exercises over the world. In the words of the Westminster Confession of Faith , God "freely and unchangeably ordained whatsoever comes to pass." [2] The second use of the word " predestination " applies this to the salvation, and refers to the belief that God appointed the eternal destiny of some to salvation by grace, while leaving the remainder to receive eternal damnation for all their sins , even their original sin . The former is called " unconditional election ", and the latter " reprobation ". In Calvinism, people are predestined and effectually called in due time ( regenerated/born again ) to faith by God.
 
Back
Top Bottom