Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Sasa mbona mtu akitenda dhambi Mungu anamhukumu?
Dhamira ya kiumbe ndio inahukumu kiumbe,ukiona unafanya jambo na dhamira yako haishitaki basi ni halali yako

Kwakua dhamira ndio yenye kutofautisha kati ya binadamu na mtu.

Mungu hana jema wala Baya vyote kwake ni sawa tu,Kwa kuwa asili yavyo ni yeye mwenyewe

Na la kuongezea ni kuwa inabidi kujifunza kutofautisha kati ya Muumba na Miungu na ndio changamoto kubwa kwenye maandiko mnayotumia
 
Dhamira ya kiumbe ndio inahukumu kiumbe,ukiona unafanya jambo na dhamira yako haishitaki basi ni halali yako

Kwakua dhamira ndio yenye kutofautisha kati ya binadamu na mtu.

Mungu hana jema wala Baya vyote kwake ni sawa tu,Kwa kuwa asili yavyo ni yeye mwenyewe

Na la kuongezea ni kuwa inabidi kujifunza kutofautisha kati ya Muumba na Miungu na ndio changamoto kubwa kwenye maandiko mnayotumia
Mkuu unasema Mungu hana baya wa jema! Upo sahihi kweli? Kama hana baya wala jema mbona ana tuua?
 
Ni dhibitishe vipi wakati kithibitisho unacho mwenyewe, kwamba wewe upo na kuna wakati hukwepo na utakuja wakati huta kwepo.
Kuwepo kwangu kunathibitishaje Mungu yupo?

Usilazimishe. Thibitisha.
 
Asili yako ni wapi?
Sijui.Naitafuta. Lakini haiwezi kuwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na mwenye upendo wote.

Ingekuwa ni hivyo, kungekuwa hakuna kufa, ugonjwa, kula wala kunya.

Na kila mtu angemjua huyo Mungu kwa namna ambayo huu mjadala usingewezekana.

Kuwezekana mjadala huu ni ushahidi Mungu huyo hayupo.
 
Mkuu unasema Mungu hana baya wa jema! Upo sahihi kweli? Kama hana baya wala jema mbona ana tuua?
Dokezo langu bado hujalifanyia kazi

Nataka uwe na uwelewa wa kutofautisha kati ya Muumba(creator) na Miungu (Gods)

Muumba hana jema wala Baya vyote kwake kwa asili ni sawa

Ila Miungu ipo ndani ya ulimwengu nayo inaishi na kutegemea resources za maisha

Na ndio hao viranja wa maisha wenu mnaowafananisha na Muumba wakati wao ni Miungu na wana hisia kama ninyi ila katika ubora fulani tu wa maumbile
 
Sijui.Naitafuta. Lakini haiwezi kuwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na mwenye upendo wote.

Ingekuwa ni hivyo, kungekuwa hakuna kufa, ugonjwa, kula wala kunya.

Na kila mtu angemjua huyo Mungu kwa namna ambayo huu mjadala usingewezekana.

Kuwezekana mjadala huu ni ushahidi Mungu huyo hayupo.
Maneno yako yanafikilisha lakini sio kwamba nakunga mkono.

KAMA ANGEKUWEPO BASI PASINGEKUWA NA MIJADALA YAKUHOJI UWEPO WAKE.
 
Sijui.Naitafuta. Lakini haiwezi kuwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na mwenye upendo wote.

Ingekuwa ni hivyo, kungekuwa hakuna kufa, ugonjwa, kula wala kunya.

Na kila mtu angemjua huyo Mungu kwa namna ambayo huu mjadala usingewezekana.

Kuwezekana mjadala huu ni ushahidi Mungu huyo hayupo.
Ikiwa hakuna Mungu umejuaje kama kuna kufa? Umewahi kufa?
 
Ikiwa hakuna Mungu umejuaje kama kuna kufa? Umewahi kufa?
Nimeona watu wanakufa, wanazikwa.

Kisayansi kuna second law of thermodynamics inayosema katika closed systems vitu vyote hukongoroka

Wewe hukubali kwamba kuna kufa?
 
Ila mkuu wenyewe wameshasema kuwa hachunguziki na wala hana mwanzo wala mwisho.
Hachunguziki na hana mwanzo wala mwisho. Kweli. Kwa sababu hayupo.

Sasa kisichopo kitachunguzikaje wakati hakipo?

Kitakuwa na mwanzo wapi au mwisho wapi ilhali hakipo?
 
Back
Top Bottom