Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Kwahiyo uwepo wa shetani ni kusudi la Mungu?
ndio maana yake, Mungu alikua peke yake hivyo vyote shetani na sisi wanadamu, tulimkuta Mungu yupo tayari kitambo.Mungu ndio chanzo cha vyote
 
Nipo na popcon zangu hapa kisado kizima namfuatilia jiwe kiranga!
 
Baba anayeweza kujenga nyumba ambayo udokozi wa sukari hauwezekani wala kufikirika, anaacha kujenga nyumba hiyo, anajenga nyumba ambayo udokozi wa sukari unawezekana na watoto wake wadokozi anawakata mikono, ili wengine waone udokozi ni mbaya wasidokoe.

Sasa kwa nini huyu baba asingejenga nyumba ambayo udokozi wa sukari hauwezekani?

Mfano huu unakuwa na maana zaidi ukizingatia eti huyo baba ananuwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.
amejenga nyumba na kuwapa watoto uhuru wa kuishi, utashi na uhuru wa kuchagua mema na mabaya, sasa hapo kazi ni kwa watoto kuchagua mema au mabaya.
 
Mungu ni yule yule jana hata leo.
 
Ukisema "kila kitu kimetokezwa na Muumba" una maana Muumba naye ametokezwa na Muumba?
Hahaha...unatia huruma sana, endelea kusoma sana vitabu ukuze upeo.

Yani kama vitu vyote vimetokeza kwake huyo muumba,wewe utasemaje tena kuwa kuna kilicho kabla yake huyo muumba ambacho ndiyo chanzo cha muumba?

Mbona haimake sense kabisa! vitu vyengine haviitaji hata uwe mtu mzima ili uweze kuvielewa.
 
Kwahiyo unataka kusema mtoto akizaliwa leo akaishi siku 3 akafa! Kifo cha huyo mtoto siyo mpango wa Mungu?
Kuna kitu kwenye afya kinaitwa IMCI (Intergrated Management Of Childhood Illnesses)
Mkuu kuna magonjwa mengi yanawaathiri watoto wadogo wanapozaliwa ila kwa sababu ya sera nzuri za WHO vifo vya watoto vimepungua

Mtoto akifa baada ya kuziliwa haijalishi ni siku ya kwanza au ya tatu ila chanzo cha kifo cha

Sekta ya Afya ingefanya kazi na kanuni ya 'Ni Mipango Ya Mungu' basi Ebola ingekuwa inaua watu au Small Pox ingetumaliza
 
Hayupo kwa sababu angekuwepo kusingekuwa na mjadala kwamba yupo.

Hayupo kwa sababu dhana ya kuwepo kwake, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, inapingwa na ukweli wa uhalisi tunaouona duniani kwamba maisha yana ubaya mwingi, magonjwa, vita, kifo etc.

Angekuwepo ubaya wowote usingewezekana.
Huo ni uthibitisho au mtazamo wako wa kwanini unafikiri hakuna Mungu?

we jamaa wa unafurahisha sana.
 
Umenena vyema mkuu. Na hapo kwenye red naona maisha ya mwanadamu yantegea zaidi mazingira kuliko kitu chochote.
NI MAONI YANGU TU.
Pamoja Mkuu...

Mazingira (Evironmental factors) zina determine life span yetu pia

Mazingira ya Afrika huwezi yalinganisha na ya US ama UK ndo maana magonjwa yanatuandama

Factors nyingine kama _Spiritual factors, Intellectual factors, Socio-cultural factors na nyingine zina-determine mortality yetu na well-being
 
Hayupo kwa sababu angekuwepo kusingekuwa na mjadala kwamba yupo.

Hayupo kwa sababu dhana ya kuwepo kwake, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, inapingwa na ukweli wa uhalisi tunaouona duniani kwamba maisha yana ubaya mwingi, magonjwa, vita, kifo etc.

Angekuwepo ubaya wowote usingewezekana.
Do You Believe in the existence of a supernatural being?!
 
Baba anayeweza kujenga nyumba ambayo udokozi wa sukari hauwezekani wala kufikirika, anaacha kujenga nyumba hiyo, anajenga nyumba ambayo udokozi wa sukari unawezekana na watoto wake wadokozi anawakata mikono, ili wengine waone udokozi ni mbaya wasidokoe.

Sasa kwa nini huyu baba asingejenga nyumba ambayo udokozi wa sukari hauwezekani?

Mfano huu unakuwa na maana zaidi ukizingatia eti huyo baba ananuwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.
Hapo ajabu ipo wapi ikiwa anaweza kuikata na kuirudisha tena?
 
ndio maana yake, Mungu alikua peke yake hivyo vyote shetani na sisi wanadamu, tulimkuta Mungu yupo tayari kitambo.Mungu ndio chanzo cha vyote
Kwahiyo ilikuwa ni lazima Adam ale lile tunda alilo likataza Mungu?
 
Hahaha...unatia huruma sana, endelea kusoma sana vitabu ukuze upeo.

Yani kama vitu vyote vimetokeza kwake huyo muumba,wewe utasemaje tena kuwa kuna kilicho kabla yake huyo muumba ambacho ndiyo chanzo cha muumba?

Mbona haimake sense kabisa! vitu vyengine haviitaji hata uwe mtu mzima ili uweze kuvielewa.
Unaelewa kwamba dhana nzima ya kitu kulazimika kutokea kwa kuanzishwa na kingine, dhana ambayounaitumia kuonesha huyo muumba ndiye muanzisha vyote, ni potofu?

Unaelewa kwamba hata kama si potofu, dhana hiyoinaonesha Mungu hayupo, haioneshi kwamba Mungu yupo?
 
Huo ni uthibitisho au mtazamo wako wa kwanini unafikiri hakuna Mungu?

we jamaa wa unafurahisha sana.
Ni uthibitisho, ndiyo maana huwezi kuupinga umebakikuuliza uliza viswali vinavyoogopa hoja ya msingi kwamba Mungu wenu dhana yake ina contradiction na hivyo hawezi kuwepo.
 
Mkuu kitu kisichokuwepo hakihitaji kuthibitishwa kwamba hakipo.

Kwani tayari hakipo.
Zaidi,hakiwezi kuthibitishikakwamba hakipo.

Utaanzia wapi kukithibitisha kwamba hakipo wakati hakipo?

Ukiambiw aulete picha,fingerprints, sauti etc za kitu ambacho hakipo, iliuthibitishe kwamba hakipo, utathibitishaje?

Utaleta fingerprint useme "hizi hapa fingerprints za kitu ambachohakipo"?

Ukishaleta fingerprints za kitu utakuwa umethibitisha nini? Kwamba kipo au hakipo?

Kama hakipo fingerprint utapata wapi?Utathibitishaje kwamba hakipo?

Njia pekee ya kuthibitisha kitu ambacho hakipo kwamba hakipo ni kwahoja itakayoonesha kitu hicho hakiwezi kuwepo kutokana na dhana yake kutokuweza kuwepo katika uhalisi.

Kitu ambacho nishafanya hapa kwakuonesha contradiction katika dhana ya kuwepokwa Mungu.
 
Mkuu kitu kisichokuwepo hakihitaji kuthibitishwa kwamba hakipo.

Kwani tayari hakipo.
Sema huna jibu, aliye kufanya wewe uwepo ninani? Tunajua magari sim radio nk ni kazi ya mwanadam je, huyo mwanadamu katoka wapi?
 
Back
Top Bottom