Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Nawewe dhibitisha kama hayupo!
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendowote ambaye kaumba ulimwengu huu ambao unamabaya mengi hayupo.

Kwa sababu dhana ya kuwepokwake inajipinga yenyewe. Angekuwepo, dunia isingekuwa na magonjwa, njaa, kifo, kunya etc.

Zaidi, angekuwepo, kila mtu angemjua bila utata, huu mjadala usingekuwepo.

Kuwepo kwa mjadala huu ni ishara kwamba hayupo, katungwa na watu tu.
 
Kwahiyo ilikuwa ni lazima Adam ale lile tunda alilo likataza Mungu?
ilikua si lazima ila baada ya kuvunja taratibu alizowekewa na Mungu akajikuta kala tayari ndio maana alipokula alijua tayari kashaharibu mambo akajificha. alijua tayari kashatenda kosa.
ww ukiiba si unajua umeiba na ni kosa?kipi kinakufanya ujue ni kosa?
 
Yupo kwasababu wewe upo!na utakufa na naukifa huwezi kurudi tena
Kifo hicho inathibitisha Mungu hayupo, hakithibitishi Mungu yupo.

Aangekuwepo Mungu muweza yote, mweye ujuzi wote na upendo wote, kungekuwa hakuna kifo popote kwa yeyote.
 
Mkuu kitu kisichokuwepo hakihitaji kuthibitishwa kwamba hakipo.

Kwani tayari hakipo.
Hakuna anayesema uthibitishe kitu ambacho teyari hakipo bali wanataka uthibitishe kutokuwepo hicho kitu kama unavyodai au tuseme uthibitishe dai lako la kwamba hicho kitu hakipo.

Sasa mtu adai yeye kuwa kitu hakipo halafu tena aseme hawezi kuthibitisha kwa kuwa hakipo?! maana yake ni kwamba mtu akisema kitu hakipo moja kwa moja kauli hiyo huwa ni kweli tu na ndiyo maana haihitaji kuthibitishwa.

Kuna tofauti ya kuthibitisha kitu ambacho hakipo na kuthibitisha madai ya kutokuwepo kwa hicho kitu.
 
Nikukumbushe tuu kwamba.....Mungu haja muumba mwanadamu ili afurahie maisha ya duniani...bali ya baada y kifo.
Maisha ya hapa ni njia ya kuyengeneza maisha baad ya kifo.
Tajiri amewekewa maskini ili kupima imani yake.
Maskini amenyimwa mali ili kupima uvumilivu wake...

Bila maskini huwezi onekana unasaidia watu. Maanaa ukiandaa karamu na kuwaalika matajiri wenzako...pale unatafuta faida ya kulipwa fadhila.
Mwalike ambaye hawezi kuja kukupa chochote.

Ni mameno magumu sana kuyaelewa lakin rudia tena kusom
Umenena mkuu
 
  • Thanks
Reactions: Ok9
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendowote ambaye kaumba ulimwengu huu ambao unamabaya mengi hayupo.

Kwa sababu dhana ya kuwepokwake inajipinga yenyewe. Angekuwepo, dunia isingekuwa na magonjwa, njaa, kifo, kunya etc.

Zaidi, angekuwepo, kila mtu angemjua bila utata, huu mjadala usingekuwepo.

Kuwepo kwa mjadala huu ni ishara kwamba hayupo, katungwa na watu tu.
Umejuaje kama kuna mabaya? Na je mazuri ni yapi?
 
Unaelewa kwamba dhana nzima ya kitu kulazimika kutokea kwa kuanzishwa na kingine, dhana ambayounaitumia kuonesha huyo muumba ndiye muanzisha vyote, ni potofu?

Unaelewa kwamba hata kama si potofu, dhana hiyoinaonesha Mungu hayupo, haioneshi kwamba Mungu yupo?
Unaniuliza maswali tena mie? mimi nimekuonesha udhaifu wa hoja yako kwamba et muumba nae atakuwa na muumba. Mimi sijatoa dhana yeyote hapa,wewe eleza unachotaka kueleza tu.
 
Umejuaje kama kuna mabaya? Na je mazuri ni yapi?
Mabaya nayajua kwa sababu nayaona, nayapata.

Ninapopata ugonjwa wakati siutaki, hilo ni baya.

Ninapofiwa wakati sitaki msiba, hilo ni jambo baya.

Ninapodhulumiwa wakati sitaki, hilo ni baya.

e·vil
ˈēvəl/
adjective
  1. 1.
    profoundly immoral and malevolent.
    "his evil deeds"
    synonyms: wicked, bad, wrong, immoral, sinful, foul, vile, dishonorable, corrupt, iniquitous, depraved, reprobate, villainous, nefarious, vicious, malicious; More







noun
  1. 1.
    profound immorality, wickedness, and depravity, especially when regarded as a supernatural force.
    "the world is stalked by relentless evil"
    synonyms: wickedness, bad, badness, wrongdoing, sin, ill, immorality, vice, iniquity, degeneracy, corruption, depravity, villainy, nefariousness, malevolence; More
 
Ni uthibitisho, ndiyo maana huwezi kuupinga umebakikuuliza uliza viswali vinavyoogopa hoja ya msingi kwamba Mungu wenu dhana yake ina contradiction na hivyo hawezi kuwepo.
Mie naendelea kukuonesha udhaifu wa hoja zako,hauwezi kutoa mtazamo wako wa kwanini unadhani hakuna Mungu halafu mtazamo wako huo ndio ukaufanya kuwa uthibitisho.

Hivyo ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Unaniuliza maswali tena mie? mimi nimekuonesha udhaifu wa hoja yako kwamba et muumba nae atakuwa na muumba. Mimi sijatoa dhana yeyote hapa,wewe eleza unachotaka kueleza tu.
Ukishasema kuna "Muumba" tu ushatoa dhana, unaelewa hilo?
 
Ushaona?

Eti Mungu gani anajifichaficha kwa utata utata kama anadaiwa kodi na TRA?
Mungu ameweka machaguo mawili tu uchaguzi ni wako ukubali au ukatae yeye hatabadilika eti kwakuwa wewe kiranga umehoji haendeshwi na matakwa ya wanadamu Mungu yupo hata ukitaka uthibitisho ama usipo utaka yeye atabski kuwa Mungu mtakutana ukifa ndio utajua mbivu na mbichi
 
Mie naendelea kukuonesha udhaifu wa hoja zako,hauwezi kutoa mtazamo wako wa kwanini unadhani hakuna Mungu halafu mtazamo wako huo ndio ukaufanya kuwa uthibitisho.

Hivyo ni vitu viwili tofauti kabisa.

Kama ungekuwa mtazamowenye walakini, ungeweza kuonesha walakini wake uko wapi.

Umeshindwa kuonesha walakini wake uko wapi, kwa sababu si tu ni mtazamo, bali pia ni mtazamo sahihi.

Kamawewe ni mwanamme, nikisemawewe ni mwanamme, huo ni mtazamo wangu pia.

Lakini zaidi ya kuwa mtazamo tu, nimtazamo sahihi.

Ssa miminakwambia wewe mwanamme, unasema huo mtazamo wako tu. Unaishia hapo.

Badala ya kunidhihirishia kwamba mtazamo wangu si sahihi na wewe si mwanamme!
 
ilikua si lazima ila baada ya kuvunja taratibu alizowekewa na Mungu akajikuta kala tayari ndio maana alipokula alijua tayari kashaharibu mambo akajificha. alijua tayari kashatenda kosa.
ww ukiiba si unajua umeiba na ni kosa?kipi kinakufanya ujue ni kosa?
Adam angeweza vipi kujizuia ili asile tunda alilo katwazwa wakati tiyari mpango ulishawekwa kabla hajaumbwa?
 
Mungu ameweka machaguo mawili tu uchaguzi ni wako ukubali au ukatae yeye hatabadilika eti kwakuwa wewe kiranga umehoji haendeshwi na matakwa ya wanadamu Mungu yupo hata ukitaka uthibitisho ama usipo utaka yeye atabski kuwa Mungu mtakutana ukifa ndio utajua mbivu na mbichi
Unaelewa kwamba si mimi ninayehoji, ila dhana ya kuwapo huyo Mungu inajihoji yenyewe na kutuonesha kwamba hayupo?

Kwa sababu dhana ina contradiction.

Na hata kama Kiranga asingezaliwa na kuhoji uwepo wa Mungu, huyu Mungu angekuwa hawezi kuwepo, kwa sababu dhana ya kuwepokwake inajipinga yenyewe.

Unaelewa kwamba dhana ya kuwepo kwa Mungu inajipinga yenyewe kabla hata Kiranga hajaanza kusema chochote?
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendowote ambaye kaumba ulimwengu huu ambao unamabaya mengi hayupo.

Kwa sababu dhana ya kuwepokwake inajipinga yenyewe. Angekuwepo, dunia isingekuwa na magonjwa, njaa, kifo, kunya etc.

Zaidi, angekuwepo, kila mtu angemjua bila utata, huu mjadala usingekuwepo.

Kuwepo kwa mjadala huu ni ishara kwamba hayupo, katungwa na watu tu.
Wewe huna hoja,mijadala hii itaendelea kuwepo tu maadamu kitu chenyewe ni kitu ambacho kinahitaji imani ya mtu kukikubali. Yani jambo la imani halafu wewe unasema et kila mtu angemjua bila utata!!!

Wewe unaongea vitu ambavyo havina hata mantiki.
 
Adam angeweza vipi kujizuia ili asile tunda alilo katwazwa wakati tiyari mpango ulishawekwa kabla hajaumbwa?
Hakuna ushahidi kwamba Adam alikuwapo na Mungu yupo.

Kwanza kabisa, kabla ya kusema Adam hivi au vile, anza kuthoibitisha Mungu yupo na Adam alikuwapo
 
Unaelewa kwamba si mimi ninayehoji, ila dhana ya kuwapo huyo Mungu inajihoji yenyewe na kutuonesha kwamba hayupo?

Kwa sababu dhana ina contradiction.

Na hata kama Kiranga asingezaliwa na kuhoji uwepo wa Mungu, huyu Mungu angekuwa hawezi kuwepo, kwa sababu dhana ya kuwepokwake inajipinga yenyewe.

Unaelewa kwamba dhana ya kuwepo kwa Mungu inajipinga yenyewe kabla hata Kiranga hajaanza kusema chochote?
Uwezo wako wa kutambua dhana ya kuhoji ndio uthibitisho kuwa yeye yupo
 
Mabaya nayajua kwa sababu nayaona, nayapata.

Ninapopata ugonjwa wakati siutaki, hilo ni baya.

Ninapofiwa wakati sitaki msiba, hilo ni jambo baya.

Ninapodhulumiwa wakati sitaki, hilo ni baya.

e·vil
ˈēvəl/
adjective
  1. 1.
    profoundly immoral and malevolent.
    "his evil deeds"
    synonyms: wicked, bad, wrong, immoral, sinful, foul, vile, dishonorable, corrupt, iniquitous, depraved, reprobate, villainous, nefarious, vicious, malicious; More






noun
  1. 1.
    profound immorality, wickedness, and depravity, especially when regarded as a supernatural force.
    "the world is stalked by relentless evil"
    synonyms: wickedness, bad, badness, wrongdoing, sin, ill, immorality, vice, iniquity, degeneracy, corruption, depravity, villainy, nefariousness, malevolence; More
Hayo mabaya asili yake ni wapi ?
 
Back
Top Bottom