Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Wewe huna hoja,mijadala hii itaendelea kuwepo tu maadamu kitu chenyewe ni kitu ambacho kinahitaji imani ya mtu kukikubali. Yani jambo la imani halafu wewe unasema et kila mtu angemjua bila utata!!!

Wewe unaongea vitu ambavyo havina hata mantiki.
Imani unaruhusiwa kuamini chochote.

Sijabishia imani.Nitatetea haki yako ya kuamini, hata kama sikubaliani na imani yako.

Hapa naongelea fact.

Katika fact, Mungu huwezi kuthibitisha kwamba yupo.

Kwa sababu hayupo.
 
Something that is above and can control nature
supernatural being - an incorporeal being believed to have powers to affect the course of human events
Is the second law of thermodynamics supernatural or natural?

It controls most of nature,it makes water flow downhill and makes time flow from the past to the future.
 
Kifo hicho inathibitisha Mungu hayupo, hakithibitishi Mungu yupo.

Aangekuwepo Mungu muweza yote, mweye ujuzi wote na upendo wote, kungekuwa hakuna kifo popote kwa yeyote.
Wewe huna hoja,kifo na sababu za kifo ni vitu viwili hivyo. Kifo sio udhaifu kwamba ukiona mtu kaumwa akafa au kapata ajari na kufa ukadhani kuwa suala la kifo lipo kwa kuwa kuna vitu kama hivyo,kwa maana hiyo visingekuwepo hivyo vitu na kifo kisingekuwepo.

Na ndiyo maana kwako wewe unaona kifo ni udhaifu.
 
Pamoja Mkuu...

Mazingira (Evironmental factors) zina determine life span yetu pia

Mazingira ya Afrika huwezi yalinganisha na ya US ama UK ndo maana magonjwa yanatuandama

Factors nyingine kama _Spiritual factors, Intellectual factors, Socio-cultural factors na nyingine zina-determine mortality yetu na well-being
Sio ulaya tu mkuu mimi Niko south Africa miezi m4 sasa,sijanywa flagyl ,ampiclox wala antibiotics yoyote ile.Nikiwa Tanzania natumia dawa sana kwa maradhi ya mara kwa mara, nadhani naweza maliza mwaka bila kuumwa kikohozi kikali.Mazingira kama haya naweza ishi maisha marefu kuliko bongo kama sitapata ajali au kua victim wa uhalifu.Environment siku zote ndiyo ina determine life span ya mwanadam.
 
Give me an example of something that is supernatural. And a solid proof that it exists, not pure fantasy.
I believe in natural established principles and thus the firts and second law of thermodynamic and others are just among the many discovered laws that pertains to nature

Coming back to Supernatural beings,... here we are shifting to spiritual thinkin...and without faith in Existence of Supernatural we are going to argue to the moon and back

Let me give you an example the Buddhist and several other Monks mainly in Asia have developed an Innate Healing ability through meditation( This does not come just from mere physics laws but also faith-based abilities)

If you don't believe in the existence of supernatural it doesn't mean it does not exist...
 
Sio ulaya tu mkuu mimi Niko south Africa miezi m4 sasa,sijanywa flagyl ,ampiclox wala antibiotics yoyote ile.Nikiwa Tanzania natumia dawa sana kwa maradhi ya mara kwa mara, nadhani naweza maliza mwaka bila kuumwa kikohozi kikali.Mazingira kama haya naweza ishi maisha marefu kuliko bongo kama sitapata ajali au kua victim wa uhalifu.Environment siku zote ndiyo ina determine life span ya mwanadam.
Asante sana kwa Mfano Mkuu

Tunaweza ku-increase life span yetu hapa duniani kwa kuboresha mazingira na lifestyle tunazoishi...(from the food we eat and some behaviours)
 
I believe in natural established principles and thus the firts and second law of thermodynamic and others are just among the many discovered laws that pertains to nature

Coming back to Supernatural beings,... here we are shifting to spiritual thinkin...and without faith in Existence of Supernatural we are going to argue to the moon and back

Let me give you an example the Buddhist and several other Monks mainly in Asia have developed an Innate Healing ability through meditation( This does not come just from mere physics laws but also faith-based abilities)

If you don't believe in the existence of supernatural it doesn't mean it does not exist...
If you believe that your piece of shit is God, does that make your piece of shit God?
 
Ni kutokuwapokwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, angekuwepo angeyazuia yasiwepo.
Kama hakuna Mungu hayo mabaya yapo kwa sababu gani na yenyewe yanapata faida gani?
 
Kama ungekuwa mtazamowenye walakini, ungeweza kuonesha walakini wake uko wapi.

Umeshindwa kuonesha walakini wake uko wapi, kwa sababu si tu ni mtazamo, bali pia ni mtazamo sahihi.

Kamawewe ni mwanamme, nikisemawewe ni mwanamme, huo ni mtazamo wangu pia.

Lakini zaidi ya kuwa mtazamo tu, nimtazamo sahihi.

Ssa miminakwambia wewe mwanamme, unasema huo mtazamo wako tu. Unaishia hapo.

Badala ya kunidhihirishia kwamba mtazamo wangu si sahihi na wewe si mwanamme!
Suala hapa ni kutofautisha kati ya mtazamo na uthibitisho.

Suala la mtazamo uwe sahihi au sio sahihi ni suala lengine ila uthibitisho na mtazamo ni vitu tofauti,hilo lazima liwekwe sawa kwanza maana umekuwa ukipotosha sana.
 
Kama ungekuwa mtazamowenye walakini, ungeweza kuonesha walakini wake uko wapi.

Umeshindwa kuonesha walakini wake uko wapi, kwa sababu si tu ni mtazamo, bali pia ni mtazamo sahihi.

Kamawewe ni mwanamme, nikisemawewe ni mwanamme, huo ni mtazamo wangu pia.

Lakini zaidi ya kuwa mtazamo tu, nimtazamo sahihi.

Ssa miminakwambia wewe mwanamme, unasema huo mtazamo wako tu. Unaishia hapo.

Badala ya kunidhihirishia kwamba mtazamo wangu si sahihi na wewe si mwanamme!
Suala hapa ni kutofautisha kati ya mtazamo na uthibitisho.

Suala la mtazamo uwe sahihi au sio sahihi ni suala lengine ila uthibitisho na mtazamo ni vitu tofauti,hilo lazima liwekwe sawa kwanza maana umekuwa ukipotosha sana.
 
Kama hakuna Mungu hayo mabaya yapo kwa sababu gani na yenyewe yanapata faida gani?
Mabaya yapokwa sababu hakuna Mungu wa kuyazuia.

Kama mabaya hayana nafsi ya kuelewa na utashi wa kusema yatafute faida gani, kuuliza mabaya yanapata faida gani ni sawa na kuuliza "Mlima Kilimanjaro unapata faida gani kuwa Kilimanjaro"?

As if Mlima Kilimanjaro usipopata faida fulani Kilimanjaro utahama na kwenda kukaa Fouta Djalon kwenye faida zaidi!
 
If you believe that your piece of shit is God, does that make your piece of shit God?
Then Don't question any faith because its lacks natural evidence

Kama tukianza kuhoji kwa nn waislamu wanafuata mafundisho ya Mohammed au Wakristo wanafuata mafundisho ya Yesu au kwa nini wa Japan wanaabudu Buddha hatutofikia hatma ya kuamini kimoja....hamna kitu kigumu kubadilisha kama Imani (Ndo maana unaona wamasai wanavaa rubega na mashuka adi leo)

Kama Wewe huamini kwa Mungu au Any other Supreme Being ni ngumu kukubadilisha na pia haina maana upo sahihi...
 
Imani unaruhusiwa kuamini chochote.

Sijabishia imani.Nitatetea haki yako ya kuamini, hata kama sikubaliani na imani yako.

Hapa naongelea fact.

Katika fact, Mungu huwezi kuthibitisha kwamba yupo.

Kwa sababu hayupo.
Wewe unajionesha kuwa umedandia jambo usilolijua,nakwambia hivi suala la kwamba kuna Mungu ni imani.

Sasa kama wewe unajadili suala la uwepo wa Mungu tofauti na kwamba ni jambo la imani basi tambua umepotea njia.

Yani hao unaojadiliana nao kuhusu fact unawatambua kama waamini Mungu halafu hapa unasema haujadili imani bali fact.

Wewe una matatizo kwa kweli.
 
Back
Top Bottom