blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,278
- 7,966
- Thread starter
- #121
Mkuu kumbe unaujua mlima Kilimanjaro! Hivi asili yaule mlima ni wapi?Mabaya yapokwa sababu hakuna Mungu wa kuyazuia.
Kamamabaya hayana nafsi ya kuelewa na utashi wa kusema yatafute faida gani, kuuliza mabaya yanapata faida gani ni sawa na kuuliza "Mlima Kilimanjaro unapata faida gani kuwa Kilimanjaro"?
As if Mlima Kilimanjaro usipopata faida fulani Kilimanjaro utahama na kwenda kukaa Fouta Djalon kwenye faida zaidi!