Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Mtu anakwambia Mungu yupo. Kwa sababu watu wote wanazaliwa na viungo sawa.

Wakati hajui kwamba kuna watu wanazaliwa bila mikono.

Ukimwambia kwa msingi huo, Mungu hayupo.

Kwa sababu kuna watu wanazaliwa bila mikono.

Hataki hata kukubali kwamba kakosea.

Ubishi tu.
Wewe unasemaje yupo au hayupo.
 
Wewe unasemaje yupo au hayupo.
Mungu anayesemwa kuwa muweza yote, mjuzi wa yote, mwenye upendo wote, aliyeumba ulimwengu, hayupi. Ninhadithi tu. Ni dhana.

Kwa nini?

Kwa sababu, habari ya kuwepo kwake inajipinga yenyewe kabla mimi sijapinga uwepo wake. Ina kitu kwa Kiingereza kinaitwa "contradiction". Contradiction mara nyingi inaonesha habari ina uongo.

Kwa nini?

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, ana uwezo wote, ujuzi wote, uoendo wote wa kuumba ulimwengu ambao baya lolote haliwezekani.

Asiki yake haimruhusu kujinasibisha na chenye ubaya. Hususan kama anaumba viumbe anaowapenda. Angefanya yote ili ubaya usiwezekane.

Tunaona ulimwengu huu una mabaya mengi. Vifo, magonjwa, vita, majinzi, majanga ya asili kama matetemeko ya ardhi na tsunami etc.

Imekuwaje Mungu huyo akaruhusu ubaya wote huu ilhali alikuwa nanuwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Usijibu hayo mabaya yametokana na uasi au dhambi za watu.

Tushapangua hoja hiyo. Mungu angeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani.

Usijibu kuhusu freewill. Tushaona freewill haipo ni ndoto tu.

Sasa swali linabaki. Mungu mnayemsema yupo alipokiwa anaumba ulimwengu, mwanzo kabisa, kablabya kuumba chochote, alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mazuri tu ndiyo yanawezekana. Mabaya hayawezekani.

Kwa nini hakuumba ulimwengu huo, kaumba huu ambao mabaya yanawezekana?
 
Matendo yote unayisema yanaonesha Mungu yupo, unasema hivyo kwa sababu hujayachambua kwa undani.

Umesema Mungu yupo kwa sababu watu wote wanazaliwa na viungo sawa.

Nikakwambia kama watu wote kuzaliwa na viungo sawa kunaonesha Mungu yupo, basi Mungu hayupo.

Kwa sababu kuna watu wanazaliwa bila viungo.

Unakubali hilo?

Ukiuliza watu wanatoka wapi, kama vyote vilivyopo ni lazima viwe na chanzo kwenye kingine, nimekuuliza Mungu naye katoka wapi?

Hujajibu.

Hujibu maswali yangu.

Hukubali pale ambapo unakosea wazi kabisa.

Unalazimisha hoja.

Kwa sababu huyo Mungu unayemsema yupo, hayupo.
Binadamu asili yao ni wapi? hujajibu hili swali ! Unarukaruka tu.
 
Binadamu asili yao ni wapi? hujajibu hili swali ! Unarukaruka tu.
Nikikwambia sijui, hilo halithibitishi Mungu yupo.

Zaidi, linaonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendobwote hayupo. Angekuwepo asingetuachia maswali ambayo majibu yake hatuna.

Na wewe huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha watu asili yao ni Mungu.

Na zaidi, ukishikilia habari ya kwamba kila kilichopo kina asiki yake kwenye kingine, nitakuuliza, Mungu wako asili yake ni wapi?

Mungu wako asili yake wapi?

Unaweza kujibu?
 
Nikikwambia sijui, hilo halithibitishi Mungu yupo.

Zaidi, linaonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendobwote hayupo. Angekuwepo asingetuachia maswali ambayo majibu yake hatuna.

Na wewe huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha watu asili yao ni Mungu.

Na zaidi, ukishikilia habari ya kwamba kila kilichopo kina asiki yake kwenye kingine, nitakuuliza, Mungu wako asili yake ni wapi?

Mungu wako asili yake wapi?

Unaweza kujibu?
Kwanini hujui?
 
Kwanini hujui?
Kwa sababu sina habari kamili za kunifanya nijue.

Kwa sababu Mungu mjuzi wa yote mwenye uwezo wote na upendo wote ambaye angekuwepo angenipa majibu kwa upendo wake na ujuzi wake hayupo.

Mbina hujibu maswali yangu unaukiza wewe tu nikujibu.

Sitaki kukujibu tena mpaka unijibu maswali haya.

1. Unakubali kwamba watu wengine wanazaliwa bila viungo na hivyo hija ya kwamba Mungu yupo kwa sababu watu wote wanazaliwa na viungo sawa ni potofu?

2. Ondoa contradiction ya kuwepi ubaya duniani katika dunia iliyoumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye ujuzibwote na uoendo wote.

3. Thibitisha Mungu huyo yupo.

Bila kunijibu hoja hizi. Sitaki kuendelea majibizano nawe . kwani ni majibizano ya upande mmoja. Unauliza maswalibwewe tu lakini maswali unayoulizwa hutaki kujibu.
 
Unaamini kila kitu ni mpango wa Mungu?
Kila kitu ni mpango wa Mungu ila kwa sababu binadamu tumeumbwa na akili nyingi mpaka inasababisha wakati Mwingine binadamu anakuwa na mipango yake binafsi hivyo anachelewesha aua kughailisha kabisa kusudi la Mungu
Mfano adamu na hawa wale walibadilisha kusud la Mungu na Mungu akawaamuru waijaze Dunia kwa sharti la mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho
 
Back
Top Bottom