Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Viungo hujui bado tena unaniuliza? Utaelewa kweli?
Kukuuliza wewe maana yake sikwamba sijui, maana yake nataka wewe uniambie unavyojua wewe ili tujadiliane sawa.

Nikikwambia kuna watu wanazaliwabila mikono, na hivyo hoja yakokwamba watu wote wanazaliwa na viungosawa ni potofu, na zaidi, kamaulitakakutumiahojahiyokuonesha kwamba Mungu yupo, hojayakoinaonesha Mungu hayupo, kwa sababu angekuwepo watu wasingezaliwa bila mikono, utakubali kwamba hoja yakohaina mantiki?

Kama sababu inayokufanya ukubali Mungu yuponi watu kuzaliwa na viungo sawa, ikioneshwa kwamba si kweli kwamba watu wanazaliwa na viungo sawa, unakosa hoja ya kukubali Mungu yupo.

Unaelewa hili?

Unaelewa kwamba kuna watu wanazaliwa bila mikono?

Kwa nini Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambaowatu wanaweza kuzaliwa bila mikono, wakatialiweza kuumba ulimwengu ambao kila mtu ana mikono sawa?
 
Hujathibitisha Mungu yupo. Hujaeleza kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambaomabaya yanawezekana.
Kama umeamua kutoamini kupitia unayoyaona na kukuzunguka bila kuleta kicho ndani yako

Hata Mungu ashuke utamuona kama alien aliyekuja kutusabahi viumbe wake.

Hivyo usijisumbue kudai Uthibitisho kutoka kwa Mtu kama mimi_'sahau'.

Na nishakueleza kwamba uumbaji unaendelea

Kama ungekua umeisha vilema wa maswali ya Ajabu ajabu juu ya Muumba wasingekuwepo

Raha kama hii ya kutype ningeipata wapi na kufanya hili ninalofanya..!?
 
Kama umeamua kutoamini kupitia unayoyaona na kukuzunguka bila kuleta kicho ndani yako

Hata Mungu ashuke utamuona kama alien aliyekuja kutusabahi viumbe wake.

Hivyo usijisumbue kudai Uthibitisho kutoka kwa Mtu kama mimi_'sahau'.

Na nishakueleza kwamba uumbaji unaendelea

Kama ungekua umeisha vilema wa maswali ya Ajabu ajabu juu ya Muumba wasingekuwepo

Raha kama hii ya kutype ningeipata wapi na kufanya hili ninalofanya..!?
Huwezi kuthibitisha kwamba Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote yupo.

Kwa sababu hayupo.
 
Huwezi kuthibitisha kwamba Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote yupo.

Kwa sababu hayupo.
Swali lenye sehemu A na B

Toka umezaliwa mpaka umepata umri huo ulio nao

Umewahi kuona Mtu anayeweza yote.?

Au labda wewe mwenyewe kuhisi unaweza yote.?
 
Imani Yangu Ni Kwamba Mungu ametengeneza kanuni (Principles) Hapa Dunia,...

Kama unaposema (Water is made up of two hydrogen atoms and one oxygen atom) kwa ndo upate maji lazima hii kanuni ifuatwe

Hivi kuna principles nyingi zipo,..
_kama hujui kuendesha gari sio ngumu ww kupata ajali
_ngono zembe na mtu aliyeathirika inaweza kusababisha ww pia kuathirika
_kula vyakula ovyo na lifestyle mbaya inaweza kusababisha magonjwa mengi

Basi Maisha yetu yanafuata hizi kanuni kwamba kama upo hai leo jua ww ni zao la mwanamke na mwanaume,...

Mungu haendi nje ya izi kanuni,...''what others see as work of miracles are just principles of physics and mathematics" huu ni msemo wa mwana sayansi NIKOLA TESLA

Basi ata ukiwafufua wazee wa zamani wakaona the technological advancement wanaweza sema ni miujiza kumbe ni kanuni za hesabu na fisikia tu...

Nafikiri 'Ni Mpango Wa Mungu' ni statement rahisi yakusema 'Sijui kuelezea kilichotokea'

'Mungu amempenda zaidi' ni statement nyingine ya kusema aliyekufa amechukulia na mipango ya Mungu na kwa mara nyingi kifo ni sababu ya uvujanji kanuni hizi (Old age, diseases, accidents and so forth)

'Lets ask ourselves hard questions like why life span in US is at 70 and here at home is at 45'
Hapo mwishoni ni wachache watakokuelewa,lakini umenena vema
 
Swali lenye sehemu A na B

Toka umezaliwa mpaka umepata umri huo ulio nao

Umewahi kuona Mtu anayeweza yote.?

Au labda wewe mwenyewe kuhisi unaweza yote.?
Hujathibitisha Mungu yupo, thibitisha au sema huwezi kuthibitisha kabla ya kuniuliza mimi swali.

Nimekuuliza swali unaniuliza mimi kabla ya kunijibu?

Mimi naweza kukujibu kwa kukuambia hakuna mtu wala Mungu anayeweza yote, ndiyo maana kusema Mungu huyo yupo ni uongo.
 
Imani Yangu Ni Kwamba Mungu ametengeneza kanuni (Principles) Hapa Dunia,...

Kama unaposema (Water is made up of two hydrogen atoms and one oxygen atom) kwa ndo upate maji lazima hii kanuni ifuatwe

Hivi kuna principles nyingi zipo,..
_kama hujui kuendesha gari sio ngumu ww kupata ajali
_ngono zembe na mtu aliyeathirika inaweza kusababisha ww pia kuathirika
_kula vyakula ovyo na lifestyle mbaya inaweza kusababisha magonjwa mengi

Basi Maisha yetu yanafuata hizi kanuni kwamba kama upo hai leo jua ww ni zao la mwanamke na mwanaume,...

Mungu haendi nje ya izi kanuni,...''what others see as work of miracles are just principles of physics and mathematics" huu ni msemo wa mwana sayansi NIKOLA TESLA

Basi ata ukiwafufua wazee wa zamani wakaona the technological advancement wanaweza sema ni miujiza kumbe ni kanuni za hesabu na fisikia tu...

Nafikiri 'Ni Mpango Wa Mungu' ni statement rahisi yakusema 'Sijui kuelezea kilichotokea'

'Mungu amempenda zaidi' ni statement nyingine ya kusema aliyekufa amechukulia na mipango ya Mungu na kwa mara nyingi kifo ni sababu ya uvujanji kanuni hizi (Old age, diseases, accidents and so forth)

'Lets ask ourselves hard questions like why life span in US is at 70 and here at home is at 45'
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Hujathibitisha Mungu yupo, thibitisha au semahuwezikuthibitisha kabla ya kuniuliza mimi swali.

Nimekuuliza swali unaniuliza mimikabla ya kunijibu?

Mimi nawezakukujibu kwa kukuambiahakuna mtu wala Mungu anayeweza yote, ndiyo maana kusema Mungu huyoyupo ni uongo.
Nilishakuambia Uthibitisho unapatikana kupitia vinavyooneka tena vilivyokuzunguka

Kama huoni huo Uthibitisho Tatizo ni lako si langu

Na mimi nimekuuliza habari ya mtu au wewe mwenyewe sio Mungu

Usijisafirishe kabla sijakupa lift sawa.
 
Nilishakuambia Uthibitisho unapatikana kupitia vinavyooneka tena vilivyokuzunguka

Kama huoni huo Uthibitisho Tatizo ni lako si langu

Na mimi nimekuuliza habari ya mtu au wewe mwenyewe sio Mungu

Usijisafirishe kabla sijakupa lift sawa.
Vinavyoionekana na kunizunguka ni magonjwa, vita, njaa, shida, majonzi, kifo.

Hata tajiri ana shida, kila siku anawaza jinsi gani atalinda utajiri wake usiibiwe!

Hivyo havithibitishii kwamba kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Vinathibitisha Mungu huyohayupo.

Angekuwepo, angetunusuru tusipate shida zote hizo viumbe wake anaotupenda.
 
1. Kuaminimaana yake ni kutokuwa na hakikakama jambonikweli, halafu ukalikubali tu bila hakika.
2. Ukisemaunaamini maana yake umekubali jambo bila kuwa na hakika kwamba ni kweli
3. Ukisema unaamini ni kweli, huelewi kuamini ni nini wala kweli ni nini. Nikama umesema "sinahakika kama ni kweli, nakubali tu bila hakika kwamba nikweli, lakini, nina hakika ni kweli". Unaji contradict mwenyewe.
Neno "hakika" maana yake bila shaka,kweli. Hivyo ukisema kwamba kuamini ni kutokuwa na hakika,maana yake una mashaka,na kuona hilo jambo si kweli.

Sasa sijui nani anajichanganya kati ya mimi na wewe?
 
Neno "hakika" maana yake bila shaka,kweli. Hivyo ukisema kwamba kuamini ni kutokuwa na hakika,maana yake una mashaka,na kuona hilo jambo si kweli.

Sasa sijui nani anajichanganya kati ya mimi na wewe?
Maana yake nina mashaka kwamba kuamini ni kutokuwa na hakika au maana yake kuamini ni kuwa na mashaka na kutokuwa na hakika?

Umeandika kwa namna ambayo inaweza kutafsirika vyovyote na umeonekana huna nidhamu ya uandishi.

Sasa kati yangu mimi na wewe nani anajichanganya?

Thibitisha Mungu yupo.

Hujathibitisha bado.
 
Maana yake nina mashaka kwamba kuamini ni kutokuwa na hakika au maana yake kuamini ni kuwa na mashaka na kutokuwa na hakika?
Hebu liweke vizuri hili swali lako nilielewe ili niweze kukujibu.
 
Hebu liweke vizuri hili swali lako nilielewe ili niweze kukujibu.
Imani maana yake nini?

Nikisema nakuja nyumbani kwako, nina imani upo kunipokea na sitakuta mlango umefungwa na hakuna wa kunipokea, maana yake nini?

Maana yake nina hakika upo?

Au sina hakika upo?
 
Wanazaliwa na nani na kwanini wazaliwe?

Mbona hunijibu swali langu unataka mimi nikujibu wewe tu?

Tukiendelea hivyo, tutashindwa kujadiliana. Mimi sitaki niwe nakujibu wewe tu wakati wewe hutaki kujibu mswali yangu.

Wanazaliwa na mama zao (hili nishajibu, unarudia kuuliza vile vile tu, kwa nini?) kwa sababu baba zao na mama zao wamekutana kimwili.

Umekubali kwamba hoja kwamba watu wote wanazaliwa na viungo sawa ni potofu?

Umekubali kwamba kutumia hoja kwamba watu wote wanazaliwa na viungo sawa kuonesha Mungu yupo, kumetuonesha kwamba Mungu hayupo, kwa sababu watu wote hawazaliwi na viungo sawa, kuna wengine wanazaliwa bila mikono?

Unakubali kwamba hii hoja ya watu wanavyozaliwa na viungo inaonesha Mungu hayupo?
 
Mbona hunijibu swali langu unataka mimi nikujibu wewe tu?

Tukiendelea hivyo, tutashindwa kujadiliana. Mimi sitaki niwe nakujibu wewe tu wakati wewe hutaki kujibu mswali yangu.

Wanazaliwa na mama zao (hili nishajibu, unarudia kuuliza vile vile tu, kwa nini?) kwa sababu baba zao na mama zao wamekutana kimwili.

Umekubali kwamba hoja kwamba watu wote wanazaliwa na viungo sawa ni potofu?

Umekubali kwamba kutumia hoja kwamba watu wote wanazaliwa na viungo sawa kuonesha Mungu yupo, kumetuonesha kwamba Mungu hayupo, kwa sababu watu wote hawazaliwi na viungo sawa, kuna wengine wanazaliwa bila mikono?

Unakubali kwamba hii hoja ya watu wanavyozaliwa na viungo inaonesha Mungu hayupo?
Mkuu tupo hapa kujifunza si kwamba majibu yako sija kujibu! Sote tujifunze kwaupole na utaratibu hatushindani. Maswali yangu yana lenga mwanadamu katoka wapi kwanza kabla ya hao vilema kuzaliwa, umenijibu hao vilema wamezaliwa na wazazi wao baada yakukutana kwenye tendo la ndoa! Jibu safi kabisa. Je unakubali dunia ilianza na watu wawili mwanaume na mwanamke kupitia kwao watu waliongezeka kupitia tendo la ndoa?
 
Mkuu tupo hapa kujifunza si kwamba majibu yako sija kujibu! Sote tujifunze kwaupole na utaratibu hatushindani. Maswali yangu yana lenga mwanadamu katoka wapi kwanza kabla ya hao vilema kuzaliwa, umenijibu hao vilema wamezaliwa na wazazi wao baada yakukutana kwenye tendo la ndoa! Jibu safi kabisa. Je unakubali dunia ilianza na watu wawili mwanaume na mwanamke kupitia kwao watu waliongezeka kupitia tendo la ndoa?
Sasa unapokata kunijibu maswali yangu, tutajifunza vipi?

Kama mimi nina cha kujifunza kutoka kwako, na wewe hujibu maswali yangu, nitajifunza vipi?

Dunia ilianza na watu wawili? Unaelewa kwamba kisayansi na kidini dunia ilikuwepo kabla ya watu?

Unaposema dunia ilianza na watu wawili umejuaje hilo? Una uhakika gani? Una ushahidi gani? Mtu ni nani?

Kama unashikilia sana habari ya mwanzo wa vyote, na unasisitiza kila kitu kina mwanzo, Mungu alianzaje?
 
Sasa unapokata kunijibu maswali yangu, tutajifunza vipi?

Kama mimi nina cha kujifunza kutoka kwako, na wewe hujibu maswali yangu, nitajifunza vipi?

Dunia ilianza na watu wawili? Unaelewa kwamba kisayansi na kidini dunia ilikuwepo kabla ya watu?

Unaposema dunia ilianza na watu wawili umejuaje hilo? Una uhakika gani? Una ushahidi gani? Mtu ni nani?

Kama unashikilia sana habari ya mwanzo wa vyote, na unasisitiza kila kitu kina mwanzo, Mungu alianzaje?
Mkuu punguza mwemko! Hatugombani, sema wewe asili ya binadamu ni wapi?
 
Back
Top Bottom