blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,278
- 7,966
- Thread starter
- #421
We ni zako?kwani wewe "" hizo si labi "" unazozitumia ni zakwako ""..! ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni zako?kwani wewe "" hizo si labi "" unazozitumia ni zakwako ""..! ?
Hili ni jibu?Wewe huwezi kutumia internet ya kwako ya kugundua mwenyewe na kuandika kwa alphabet yako?
haha haha naona umejibu swali ""!?? daahh weee Jamaa bwanaWe ni zako?
Ni jibu linaloonesha upotovu wa swali lako.Hili ni jibu?
Kama mimi ni mpotovu wewe ni nani? Naumejuaje kama upotovu siyo mzuri?Ni jibu linaloonesha upotovu wa swali lako.
Nimeuliza hivi "mtu akisema anachoamini ni kweli" hapo tatizo lipo wapi?Kama anaweza kuthibitisha, hakuna tatizo.
Kamahawezi kuthibitisha,tatizoni "false advertisement".
Nisawa na mtu kukuuzia muhogo, halafu anakwambia huu muhogo ni dawa ya UKIMWI.
Lazima athibitishe. Asipoweza kuthibitisha anakuwa tapeli anayeweza kuhatarisha maisha ya watu. Kuna watu watapata matumaini feki kwamba muhogo dawa ya UKIMWI na kufanya ngonozembe wakijua muhogoutawaponya, halafu wakafa kwa vile muhogo hauponyi UKIMWI.
Thibitisha muhogounaosema unaponya UKIMWI unaponya UKIMWI kweli.
Kama hujathibitisha, unafanya "false advertisement".
Thibitisha Mungu yupo kweli.
Kama hujathibitisha, na unasemayupokweli, unafanya "false advertisement".
Wewe hata hujui tofauti kati ya upotovu wa swali lako na upotovu wako.Kama mimi ni mpotovu wewe ni nani? Naumejuaje kama upotovu siyo mzuri?
ha hah hahaWewe hata hujui tofauti kati ya upotovu wa swali lako na upotovu wako.
Bado hujajibu upotovu ni nini?Wewe hata hujui tofauti kati ya upotovu wa swali lako na upotovu wako.
Mbona unarudia swali ambalo nimelijibu kirefu tu katika bandiko ulilolinukuu?Nimeuliza hivi "mtu akisema anachoamini ni kweli" hapo tatizo lipo wapi?
Mtu ana haki ya kuamini na anaona anachokiamini ni jambo la kweli,hapo kuna kosa gani?
Hayo ya kutangaza dawa ya ukimwi ni masuala mengine kabisa hayana uhusiano na mtu kusema anachokiamini ni jambo la kweli.
Upotovu ni kukubali kitu ambacho sicho, mfano wake ni kuamini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo wakati dhana ya kuwepo Mungu huyo inajipinga yenyewe. Angekuwepo, dunia isingekuwa na baya lolote.Bado hujajibu upotovu ni nini?
Wewe siyo mpotovu unaepinga hakuna Mungu? Ni kwanini binadam wote tuna muundo wa viungo sawa?Upotovu ni kukubali kitu ambacho sicho, mfano wake ni kuamini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo wakati dhana ya kuwepo Mungu huyo inajipinga yenyewe. Angekuwepo, dunia isingekuwa na baya lolote.
Kama unabisha, thibitisha Mungu huyo yupo.
Haujajibu nilichokuuliza,we ulileta mambo ya kutangaza dawa ya ukimwi na ndiyo hayo uliyokuwa ukiyazungumzia.Mbona unarudia swali ambalo nimelijibu kirefu tu katikabandiko ulilolinukuu?
Unaelewa kwamba ukisema unaamini maana yake unakubali kwamba unajipa nafasi kwamba imani yako inaweza ikawa si kweli,na hivyo kusema "naamini ni kweli" ni sawa na kusema "nakubalikwamba imaniyangu inaweza kuwa si kweli, lakini ni ya kweli", na kwamba kauli hii inajipinga yenyewe, ni contradiction, ni oxymoron?
Unaelewa hili?
Hujathibitisha Mungu yupo.Wewe siyo mpotovu unaepinga hakuna Mungu? Ni kwanini binadam wote tuna muundo wa viungo sawa?
Kwa sababu claim ya kitu kuwa kweli inataka uthibitisho.Haujajibu nilichokuuliza,we ulileta mambo ya kutangaza dawa ya ukimwi na ndiyo hayo uliyokuwa ukiyazungumzia.
Haujajibu ni vp inakuwa kosa mtu kuona kile anachoamini ni kweli na kusema anachokiamini ni kweli?
Ukishasema imani hauwezi tena kuniambia nithibitishe,ndiyo maana wewe unasema hapa haujadili imani.Kwa sababu claimya kitu kuwa kweli inataka uthibitisho.
Kama unaweza kuthibitisha imani yako ni kweli, hakuna tatizo.
Kama huwezi, unafanya claims ambayo huwezi kuithibitisha. Sasa tutajuaje kwamba wewe si tapeli tu?
Sasa kama unatambua hivyo kunawengine wanazaliwa hivyo kwa nini wewe usishukuru kuzaliwa ukiwa na afya tele?Wengine wana makaliomakubwa, wengine viflatscreen.
Mjadala si kuhusu mimi. Mimi nikishukuru au nisiposhukuru si muhimu. Mimi ni mtu mmoja tu.Sasa kama unatambua hivyo kunawengine wanazaliwa hivyo kwa nini wewe usishukuru kuzaliwa ukiwa na afya tele?
Nakwambia uthibitishe kwa sababu umesema ni kweli.Ukishasema imani hauwezi tena kuniambia nithibitishe,ndiyo maana wewe unasema hapa haujadili imani.
Halafu hayo ya utapeli yameingiaje hapa? maana utapeli ni kosa.