Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Mjadala si kuhusu mimi. Mimi nikishukuru au nisiposhukuru si muhimu. Mimi ni mtu mmoja tu.

Mjadala wa muhimu kabisa ni kuhusu kuwapo kwa Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na uoendo wote.

Kama yupo, na unatumia usawa wa viungo vya watu kama uthibitisho kwamba yupo, huoni kwamba wanaozaliwa vilema wanaonesha hayupo?

Kwa nini Mungu mjuzibwa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote aumbe ulimwengu ambao watu wengine wanazaliwa wazima, wengine wanazaliwa vilema?

Mungu gani wa uoendeleo hivyo?

Alishindwa kufanya watu wote wazaliwe bila vilema?
Unajua habari za vilema kwasababu umewaona, wasinge kwepo ungeijulia wapi habari hiyo? Amewafanya hivyo ili wewe usiye amini! Uamini yeye ashindwi kitu. Jiulize kwanini tuna kufa? Kwajinsi dunia ilivyo endelea tunashindwa kupata dawa ili tusife?
 
Unajua habari za vilema kwasababu umewaona, wasinge kwepo ungeijulia wapi habari hiyo? Amewafanya hivyo ili wewe usiye amini! Uamini yeye ashindwi kitu. Jiulize kwanini tuna kufa? Kwajinsi dunia ilivyo endelea tunashindwa kupata dawa ili tusife?
Mungu wako muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote alishindwa kujidhihirisha yupo bila kuwafanya watu wazaliwe vilema?
 
Wamezaliwa na nani?

Wamezaliwa na mama zao. Mimi nakujibu. Weee hunijibu.

Hujajibu swali. Sijui hata kama umelielewa.

Mungu wako muweza yote, mjuzibwa yote na mwenye upendonwote alishindwa kujidhihirisha tujue yupo bila kufanya watu wazaliwe na vilema?

Mbina unalikwepa swali hili?
 
Mungu wako muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote alishindwa kujidhihirisha yupo bila kuwafanya watu wazaliwe vilema?
Shida yako wewe ni moja Tu

Unadhani Mungu kamaliza kuumba

Ukweli ni kwamba sisi bado Tunaumbika

Na ndio sababu ya ulimwengu unao onekana
 
Nakwambia uthibitishe kwa sababu umesema ni kweli.

Unheaema ni imani yako tu, hata sina sababu ya kukutaka uthibitishe.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Au umechanganyikiwa tu hujui tofauti ya imani na fact?
Ndiyo nimesema ninachoamini ni kweli,na hakuna kosa hapo.

Je unataka nithibitishe ninachokiamini? maana unasema kwa sababu nimesema "kweli" ndio maana unataka nithibitishe.

Unaweza kuonesha kosa hapo?
 
Hao vilema unaosema wewe wame zaliwa? Nani kawazaa?
Wamezaliwa na mama zao. Mimi nakujibu. Weee hunijibu.

Hujajibu swali. Sijui hata kama umelielewa.

Mungu wako muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote alishindwa kujidhihirisha tujue yupo bila kufanya watu wazaliwe na vilema?

Mbina unalikwepa swali hili?
 
Shida yako wewe ni moja Tu

Unadhani Mungu kamaliza kuumba

Ukweli ni kwamba sisi bado Tunaumbika

Na ndio sababu ya ulimwengu unao onekana
Hujajibu swali hili.

Mungu wako muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote alishindwa kujidhihirisha yupo bila kuwafanya watu wazaliwe vilema?

Halafu pia umezalisha maswali mengine mengi.

Huyo Mungu hajamaliza kuumba kwa sababu gani? Kazi ya kuumba kubwa sana kulikouwezo wakeanahitajimuda zaidi kuimaliza?

Na kama hajamaliza kuumba, kashindwa kutomaliza kuumba bila kufanya watu wazaliwe na vilema?
 
Wewe umezaliwa na nani?
Nijibu swalihili kwanza nitakujibu, mbona unalikwepa?

Umeandikavilema wapo ili Mungu ajidhihirishe (hapa, kwakukubali kwamba kuna vilema, ushajipinga kauli yako ya awali kwamba watu wote tuna viungo sawa).

Kwa hiyohojaya kwamba wote tuna viungo sawa tushaiona haina ukweli.

Tunaendelea.

Mungu wako muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendowote alishindwa kujidhihirisha tujue yupo bila kufanya watu wazaliwe na vilema?

Mbina unalikwepa swali hili?
 
Ndiyo nimesema ninachoamini ni kweli,na hakuna kosa hapo.

Je unataka nithibitishe ninachokiamini? maana unasema kwa sababu nimesema "kweli" ndio maana unataka nithibitishe.

Unaweza kuonesha kosa hapo?
1. Kuaminimaana yake ni kutokuwa na hakikakama jambonikweli, halafu ukalikubali tu bila hakika.
2. Ukisemaunaamini maana yake umekubali jambo bila kuwa na hakika kwamba ni kweli
3. Ukisema unaamini ni kweli, huelewi kuamini ni nini wala kweli ni nini. Nikama umesema "sinahakika kama ni kweli, nakubali tu bila hakika kwamba nikweli, lakini, nina hakika ni kweli". Unaji contradict mwenyewe.
 
Nijibu swalihili kwanza nitakujibu, mbona unalikwepa?

Umeandikavilema wapo ili Mungu ajidhihirishe (hapa, kwakukubali kwamba kuna vilema, ushajipinga kauli yako ya awali kwamba watu wote tuna viungo sawa).

Kwa hiyohojaya kwamba wote tuna viungo sawa tushaiona haina ukweli.

Tunaendelea.

Mungu wako muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendowote alishindwa kujidhihirisha tujue yupo bila kufanya watu wazaliwe na vilema?

Mbina unalikwepa swali hili?
Viungo sawa mimi nilikuwa namaanisha macho mawili, pua mdomo maskio unazaliwa ukiwa huna meno laki yanaota, kila mtu anaenda chooni matako hayawezi kuwa kichwa na kichwa kikawa matako. Ni nani anae pangilia kila kiungo kiwe mahali pake? Na hijiyo siyo kwa mfupi mrefu au mnene! Na si kwa wazungu wachina au weusi. HUYO ALIYE FANYA HAYO YOTE NI NANI!!??
 
Hujajibu swali hili.

Mungu wako muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote alishindwa kujidhihirisha yupo bila kuwafanya watu wazaliwe vilema?

Halafu pia umezalisha maswali mengine mengi.

Huyo Mungu hajamaliza kuumba kwa sababu gani? Kazi ya kuumba kubwa sana kulikouwezo wakeanahitajimuda zaidi kuimaliza?

Na kama hajamaliza kuumba, kashindwa kutomaliza kuumba bila kufanya watu wazaliwe na vilema?
Aliyekuambia ndogo nani..!? Wewe unaweza?

Tena mda unahitajika sana ili mtu kama wewe upate kuelewa
 
Viungo sawa mimi nilikuwa namaanisha macho mawili, pua mdomo maskio unazaliwa ukiwa huna meno laki yanaota, kila mtu anaenda chooni matako hayawezi kuwa kichwa na kichwa kikawa matako. Ni nani anae pangilia kila kiungo kiwe mahali pake? Na hijiyo siyo kwa mfupi mrefu au mnene! Na si kwa wazungu wachina au weusi. HUYO ALIYE FANYA HAYO YOTE NI NANI!!??
Unaelewa kwamba kuna watu wanazaliwa bila macho mawili?
 
Aliyekuambia ndogo nani..!? Wewe unaweza?

Tena mda unahitajika sana ili mtu kama wewe upate kuelewa
Hujathibitisha Mungu yupo. Hujaeleza kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambaomabaya yanawezekana.
 
Back
Top Bottom