Uchaguzi 2020 Je, inawezekana msimamizi wa uchaguzi ambaye ni Kada wa CCM kumtangaza "Mshindi" mgombea wa CHADEMA?

Uchaguzi 2020 Je, inawezekana msimamizi wa uchaguzi ambaye ni Kada wa CCM kumtangaza "Mshindi" mgombea wa CHADEMA?

Wasimamizi huwa wanakula kiapo cha kusimamia uchaguzi bila upendeleo kwa mujibu wa sheria. Ndio maana hata vyama vya upinzani vilishinda wabunge na madiwani
Hicho kilikuwa ni kipindi cha awamu ya 4 ambapo angalau Ccm ilikuwa tayari kushindana ktk ngazi za kata na Jimbo . Siyo hii mtu anamuapisha mkurugenzi na kumpa maelekezo ya kutoshindwa !!.

Mami mambo mengine hayahitaji kutetea . Huwezi kujua kesho
 
Hicho kilikuwa ni kipindi cha awamu ya 4 ambapo angalau Ccm ilikuwa tayari kushindana ktk ngazi za kata na Jimbo . Siyo hii mtu anamuapisha mkurugenzi na kumpa maelekezo ya kutoshindwa !!.

Mami mambo mengine hayahitaji kutetea . Huwezi kujua kesho
Ahaaa. Hamna mkurugenzi aliyepewa hayo maagizo. Uchaguzi ni process ndefu ndio maana kuna mawakala wa kila chama ambao wanahakikisha hakuna wizi. Na mawakala wanakuwepo katika ngazi zote.
 
Najiuliza tu katika mazingira ya kawaida ya kibinadamu kwamba inawezekana msimamizi wa uchaguzi ambaye ni kada wa CCM kumtangaza mshindi mgombea ubunge au udiwani wa CHADEMA?

Kiukweli wapinzani kama wanalijua hili wamechukua hatua gani au wanadhani 2015 na 2020 zinafanana?

Maendeleo hayana vyama!
Je inawezekana 1 + 2 jibu likawa 7 ?
 
Yohana mbatizaji nimekuuliza unaitisha uchaguzi wa nini ?! Kama wananchi siyo wa kuamua uchaguzi wenyewe ?!

Mambo ya chama dola hayamuingizii mtu yeyote siku
Kuna wabunge wa CHADEMA act na NCCR


Je wame ingiaje bungen ikiwa wasimamiz ni Hao makada wa CCM tuanze hapa kwanza

Au ilo limeanza Leo la Hao wasimamiz??
 
Ahaaa. Hamna mkurugenzi aliyepewa hayo maagizo. Uchaguzi ni process ndefu ndio maana kuna mawakala wa kila chama ambao wanahakikisha hakuna wizi. Na mawakala wanakuwepo katika ngazi zote.
Unakumbuka kuna kanuni mwaka huu imepitishwa ya wakala kutopewa nakala rasmi ya matokeo kutoka kituoni ?!. Think out of the box, Mami .
 
Kuna wabunge wa CHADEMA act na NCCR


Je wame ingiaje bungen ikiwa wasimamiz ni Hao makada wa CCM tuanze hapa kwanza

Au ilo limeanza Leo la Hao wasimamiz??
Umefuatilia kanuni zilizopitishwa mwaka huu ?!
 
Unakumbuka kuna kanuni mwaka huu imepitishwa ya wakala kutopewa nakala rasmi ya matokeo kutoka kituoni ?!. Think out of the box, Mami .
Jaduong hilo jambo haliwezekani. Ni upinzani kutafuta kisingizio tu baada ya kujua watashindwa na Ccm. Kwa nini usipewe nakala ya matokeo? Hii ni ngumu. Hamna kauli ya Nec juu ya hili suala, zaidi ya mnyika kupotosha watu.
 
Umefuatilia kanuni zilizopitishwa mwaka huu ?!
Kama issue ni kanuni ya Mwaka huu basi msingi wa Mada yako inge kuwa kanuni iliyo wekwa Mwaka huu


Mimi na amin kabisa kuwa ikiwa CHADEMA wa naona upo ugumu basi ni bora wagome kuliko kushiriki ukijua hakuna utakacho Pata
 
Jaduong hilo jambo haliwezekani. Ni upinzani kutafuta kisingizio tu baada ya kujua watashindwa na Ccm. Kwa nini usipewe nakala ya matokeo? Hii ni ngumu. Hamna kauli ya Nec juu ya hili suala, zaidi ya mnyika kupotosha watu.
Mngetamba kupendwa na hatimaye kushinda uchaguzi laiti play ground ingekuwa leveled . Lakini hii ya kufanya kila kitu kwa favour yako halafu majigambo kibao !!!. Daahh [emoji107]
 
Kama issue ni kanuni ya Mwaka huu basi msingi wa Mada yako inge kuwa kanuni iliyo wekwa Mwaka huu


Mimi na amin kabisa kuwa ikiwa CHADEMA wa naona upo ugumu basi ni bora wagome kuliko kushiriki ukijua hakuna utakacho Pata
Kugoma kuliisaidia nini Cuf 2016 ?!. Au upinzani kwa ujumla wake serikali za mitaa 2019 ?!.

Tatizo la Tz ni kujaribu ku practice u communists ambayo haiwezi kututoa mrisi
 
Kugoma kuliisaidia nini Cuf 2016 ?!. Au upinzani kwa ujumla wake serikali za mitaa 2019 ?!.

Tatizo la Tz ni kujaribu ku practice u communists ambayo haiwezi kututoa mrisi
Wame goma wengine wakashiriki hivyo ime vunja ule mgomo

Shida ya upinzan ni woga


Hoja hapa likiwa kupambana kutafuta suruhu mapema na si pale tuu unapo karibia uchaguzi


Unapo pambana na chombo DOLA ni lazima uwe na tactics ya kukuwezesha
 
Hicho kilikuwa ni kipindi cha awamu ya 4 ambapo angalau Ccm ilikuwa tayari kushindana ktk ngazi za kata na Jimbo . Siyo hii mtu anamuapisha mkurugenzi na kumpa maelekezo ya kutoshindwa !!.

Mami mambo mengine hayahitaji kutetea . Huwezi kujua kesho

Wamejitoa ufahamu na wapo tayari kwa lolote(Out of Desperation),hawajali matokeo ya muda Mrefu.Wanatumia gharama kubwa sana kubaki madarakani huku wakiharibu mifumo,wakikiuka sheria zote na kuvunja Katiba waliyoapa kuilinda na kuidumisha.
Hiki chama siyo ile CCM tuliyokuwa tunaifahamu ya wakulima na wafanyakazi.Tusidanganyike,wameingiza siasa za visasi,kukomoana na uharamia wa kiwango cha kutisha kwa wapenda haki.
 
Jaduong hilo jambo haliwezekani. Ni upinzani kutafuta kisingizio tu baada ya kujua watashindwa na Ccm. Kwa nini usipewe nakala ya matokeo? Hii ni ngumu. Hamna kauli ya Nec juu ya hili suala, zaidi ya mnyika kupotosha watu.
Mnyika ameelezea kanuni zilizowekwa kinyamela,na siyo hiyo tu.
Naamini kuna mwenye hizi kanuni za uchaguzi mkuu 2020 atuwekee hapa jukwaani tuifahamu wote.
 
Wame goma wengine wakashiriki hivyo ime vunja ule mgomo

Shida ya upinzan ni woga


Hoja hapa likiwa kupambana kutafuta suruhu mapema na si pale tuu unapo karibia uchaguzi


Unapo pambana na chombo DOLA ni lazima uwe na tactics ya kukuwezesha
Unadhani hao waliishiriki, walishiriki bahati mbaya ?! . Angalia baada ya ushiriki wao walitunikiwa uwaziri .

Uoga ni WaTz wote
 
Najiuliza tu katika mazingira ya kawaida ya kibinadamu kwamba inawezekana msimamizi wa uchaguzi ambaye ni kada wa CCM kumtangaza mshindi mgombea ubunge au udiwani wa CHADEMA?

Kiukweli wapinzani kama wanalijua hili wamechukua hatua gani au wanadhani 2015 na 2020 zinafanana?

Maendeleo hayana vyama!
Mzee mgaya anasemaje kwenye hili

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Najiuliza tu katika mazingira ya kawaida ya kibinadamu kwamba inawezekana msimamizi wa uchaguzi ambaye ni kada wa CCM kumtangaza mshindi mgombea ubunge au udiwani wa CHADEMA?

Kiukweli wapinzani kama wanalijua hili wamechukua hatua gani au wanadhani 2015 na 2020 zinafanana?

Maendeleo hayana vyama!
Ni jukumu la mahakama kusema mgombea wa CCM ameshindwa siyo la msimamizi.
 
Back
Top Bottom