Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?


Drug abuse is the use of drugs for the purpose which is not intended, ukipewa dawa yeyote ambayo haihusiani na ugonjwa wako inaenda kutengeneza SUMU katika mwili wako.
 
Mkuu nimesoma post zako zote na kukuelewa,naomba unipe maelekezo ya kumuachisha ARV mtu ambaye tayari anazitumia

Mkuu kuna mambo mengi ya kujua kabla hujafanya hivyo,tena nawashauri wengine wasijaribu kwa kuwa unatakiwa uwe unaelewa mambo fulani kwanza.Halafu suala hili sio la kuzungumza hadharani,nitakwambia kwanini,wewe utani PM.
Mimi nilishafanya hivyo na watu wako poa hadi leo,ila unahitaji kujua ARVs zinaleta athari gani mwilini baada ya kuacha na unahitaji kujua utazikabili vipi hizo athari.Watu huwa wanachanganya maeneo haya,wakiona mtu amekufa kwa sababu kaacha ARVs wanasema HIV amemuua kwa kuwa kaacha ARVs,kumbe hawajui kwamba ARVs zinasababisha DRUG INDUCED DISEASE.Atakayepinga namsubiri.Mimi mbona watu wameacha halafu bado wako poa muda mrefu sasa na hawaumwi?
Najua watasema,"hao walioacha hawana muda mrefu watakufa tu".Ha ha haaa,kasumba ni kitu kibaya sana.
 
Afya Duni na Kutozingatia Afya Bora.. Hata Ukiugua Malaria Inakulaza Una Ukimwi kwa Jinsi nilivyomuelewa Deception

Hasaaa,we unaelewa.Ila ushauri wangu ni kwamba,hata kama mtu hana uhakika na mambo haya ninayoeleza,sina uwezo kabisa wa kumlazimisha kwa kuwa na yeye ana ubongo wake.Ila,narudia,ila,anatakiwa ajue wazi kwamba kujiingiza kwenye matumizi ya ARVs ni sawa na kujiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya.
Kama umetumia dawa za kulevya muda mrefu,ukiacha ghafla unakufa,ukiendelea nazo pia zitakuua tu.Na ndio maana wanaotumia dawa za kulevya kama heroin wana utaratibu wao wa kuachishwa,hawaachi kiholela tu.
ARVs nazo vivyo hivyo,ukiacha ghafla unakufa,ukiendelea nazo pia zitakuua tu,kuna taratibu zake pia za kuacha,huachi kiholela tu.
Kuna ushauri nitautoa mwishoni ambao ndio wa maana zaidi kivitendo na si kinadharia.
 
Habari doctor.Naomba kwanza kabisa uniambie unataka evidence kuhusu nini,halafu pia uniambie evidence inakuaga vipi,yaani ili ujue hii ni evidence inatakiwa iweje.Naogopa usije kuikataa ukasema kwamba sio evidence.Nakusubiri.

ubishi umekwsha nmekupa ushindi pia nashukuru kwa challnge zako..ww pamoja na Team yako@Team Deception. naomba usi ni QUOTE tena.
 

Haya wewe bado hujajubu hoja za msingi zinazotiliwa nashaka kuhusu ukimwi...unajaribu kutisha watu wanaotaka kujifunza zaidi,,malaria inaua kuliko huo ukimwi,watu tunataka tupate majibu ya msingi siyo vitisho,,usiwe kama muumini wa kibwetere unalazimisha watu waogope ukimwi bila kujenga hoja za msingi..umefuatilia huu mjadala toka mwanzo?
 
We warumi toka katika uzi huu ..mbumbu hujui kaa kimya....VIRUSI VYA AIDS VIPO

kama kunywa dawa nyingi kuna side effect chunguza dozi za mtu anayeugua Tb tena ile chronic anapewa madawa mengi sana kushinda hata hizo ARV

Kinachonishangaza mimi ni kwamba,pamoja na madawa yote hayo ya TB tena chronic na mengi sana kama unavyosema kushinda ya ARVs,mbona hujiulizi kwa nini mgonjwa wa TB anapona kabisa na kuendelea na shughuli zake lakini mgonjwa wa AIDS haponi mpaka anakufa?
Uliwahi kujiuliza hilo swali?
 

Habari nzuri, kuna watu apa wanaharisha wakiskia ARV inaua, hahah ahaha nacheka kama mazuri, ebu tupe elimu bro
 

Hebu na wewe jaribu bahati yako.Niambie kitu chochote ambacho wewe unahitaji kupewa fact.
 

Achana nae huyo, akawatishe uko instagram, kama hana hoja ni bora akae kimya aendelee kujifunza ndipo aanze kubisha
 
We warumi toka katika uzi huu ..mbumbu hujui kaa kimya....VIRUSI VYA AIDS VIPO

kama kunywa dawa nyingi kuna side effect chunguza dozi za mtu anayeugua Tb tena ile chronic anapewa madawa mengi sana kushinda hata hizo ARV

Je,wewe uliyeandika hapo juu ndio huyu aliyeandika hapa chini?

 
Je,wewe uliyeandika hapo juu ndio huyu aliyeandika hapa chini?

Umeona wanavyochanganyikiwa hawa? Mimi ndie ninaetoa Elimu kuhusu ARV humu? ,kwa nini ninakuwa tishio kwao?, mimi nikitoka inakuaje? Kweli umewavuruga sio mchezo
 

Hii sentensi ya mwisho ,Naisubiri kwa hamu mkuu.
 
Mara Nyingi Darasani hatuelezwi madhara ila. faida kwa sana..

Hivi Kubadili Genetic make up ya mmea uliokuwa unazaa Kwa mwaka mara moja uwe unazaa Hata Mara Tatu hakuna madhara katika kupunguza ubora wa kinachozalishwa?

Good question,sasa tulia peke yako chumbani,asikubughuzi mtu,kula tartiiib hiyo documentary hapo chini.Ukimaliza mpaka mwisho ndio utaelewa kwamba dunia unayoishi sasa ni ya namna gani.

https://www.youtube.com/watch?v=eUd9rRSLY4A
 

Mkuu kuwa mvumilivu,nadhani hata mafundisho yenu yanasema hivyo.Tulia tujadili,hayo ni mambo ya kawaida kwenye mijadala,hata mimi hunitokea mara nyingi tu.Chukulia ni kama sehemu ya mjadala.Hata mimi siko hapa ili nishinde.
Take it easy.
 
Mkuu kuwa mvumilivu,nadhani hata mafundisho yenu yanasema hivyo.Tulia tujadili,hayo ni mambo ya kawaida kwenye mijadala,hata mimi hunitokea mara nyingi tu.Chukulia ni kama sehemu ya mjadala.Hata mimi siko hapa ili nishinde.
Take it easy.

Sasa ivi mimi naonekana mbaya kuliko ata wewe, sijui ni kwa nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…