Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

nadhani ambacho huelewi ni kuhusu matokeo ya vipimo kabla na baada ya kuanza dawa, na tafsiri yake in medical terms. ni vizuri pia kuelewa mechanism ya dawa kufanya kazi na mda mpaka kuonekana effect ya dawa. pia, naomba utaje hizo dawa hapa jamvini tupeane elimu
pili, unaposema "alipewa dawa ya malaria na UTI", halafu unaongelea sumu,, una maana gani hapo? ulivyoiweka ni kama vile mwanao alipewa sumu ya panya kwa mchanganyiko huo!! inataka watu waamini kwamba hizi dawa ni sumu zaidi, na side effect zake zina outweigh faida zake?
now kwa swali langu la msingi: kupima HIV ni hiari, ila in some circumstances inategemea na historia ya ugonjwa, na viashiria vingine. kwa situation kama hiyo, daktari anaweza kushauri kufanya kipimo cha HIV. Swali langu ni kwamba, je kama mwanao angepima HIV mwanzoni wakati kapelekwa hosp, unadhani majibu yangekuwa +ve ilihali baada ya matibabu majibu yalikuwa -ve? maana we unadai vipimo ni feki

Drug abuse is the use of drugs for the purpose which is not intended, ukipewa dawa yeyote ambayo haihusiani na ugonjwa wako inaenda kutengeneza SUMU katika mwili wako.
 
Mkuu nimesoma post zako zote na kukuelewa,naomba unipe maelekezo ya kumuachisha ARV mtu ambaye tayari anazitumia

Mkuu kuna mambo mengi ya kujua kabla hujafanya hivyo,tena nawashauri wengine wasijaribu kwa kuwa unatakiwa uwe unaelewa mambo fulani kwanza.Halafu suala hili sio la kuzungumza hadharani,nitakwambia kwanini,wewe utani PM.
Mimi nilishafanya hivyo na watu wako poa hadi leo,ila unahitaji kujua ARVs zinaleta athari gani mwilini baada ya kuacha na unahitaji kujua utazikabili vipi hizo athari.Watu huwa wanachanganya maeneo haya,wakiona mtu amekufa kwa sababu kaacha ARVs wanasema HIV amemuua kwa kuwa kaacha ARVs,kumbe hawajui kwamba ARVs zinasababisha DRUG INDUCED DISEASE.Atakayepinga namsubiri.Mimi mbona watu wameacha halafu bado wako poa muda mrefu sasa na hawaumwi?
Najua watasema,"hao walioacha hawana muda mrefu watakufa tu".Ha ha haaa,kasumba ni kitu kibaya sana.
 
Afya Duni na Kutozingatia Afya Bora.. Hata Ukiugua Malaria Inakulaza Una Ukimwi kwa Jinsi nilivyomuelewa Deception

Hasaaa,we unaelewa.Ila ushauri wangu ni kwamba,hata kama mtu hana uhakika na mambo haya ninayoeleza,sina uwezo kabisa wa kumlazimisha kwa kuwa na yeye ana ubongo wake.Ila,narudia,ila,anatakiwa ajue wazi kwamba kujiingiza kwenye matumizi ya ARVs ni sawa na kujiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya.
Kama umetumia dawa za kulevya muda mrefu,ukiacha ghafla unakufa,ukiendelea nazo pia zitakuua tu.Na ndio maana wanaotumia dawa za kulevya kama heroin wana utaratibu wao wa kuachishwa,hawaachi kiholela tu.
ARVs nazo vivyo hivyo,ukiacha ghafla unakufa,ukiendelea nazo pia zitakuua tu,kuna taratibu zake pia za kuacha,huachi kiholela tu.
Kuna ushauri nitautoa mwishoni ambao ndio wa maana zaidi kivitendo na si kinadharia.
 
Habari doctor.Naomba kwanza kabisa uniambie unataka evidence kuhusu nini,halafu pia uniambie evidence inakuaga vipi,yaani ili ujue hii ni evidence inatakiwa iweje.Naogopa usije kuikataa ukasema kwamba sio evidence.Nakusubiri.

ubishi umekwsha nmekupa ushindi pia nashukuru kwa challnge zako..ww pamoja na Team yako@Team Deception. naomba usi ni QUOTE tena.
 
nimefatilia kwa uchache baadhi ya page za thread hii, na nimegundua yafuatayo.
1. asilimia 99 ya wafuatiliaji/wachangiaji ni layman wa mambo ya afya, na hasa HIV/AIDS. wanafanya kuburuzwa tu na hizo wanazoziita fact, ilihali hawaelewi foundation ya hizo "fact". and trust me, arguments za Deception haziko founded, wala haziko documented, na wala hawezi kuzi prove.
2. watu always wanatafuta the easiest way out, someone or something to put blame on. lets face the facts, ukimwi upo na unaua. hiyo iko proven beyond reasonable doubt
3. ushabiki maandazi hausaidii, tena kama unashabikia mtu kwa kuangalia volume ya maneno katika post zake, kwa concepts ambazo wewe na yeye wote hamzielewi.
4. kiasi napata picha kwanini babu wa loliondo aliweza kutushika masikio, sababu ya akili zetu mbovu. we are very easily manipulated, wala hatufikiri.
5. tusicheze na taaluma za watu, tena hasa when it comes to diseases with severe mortality and morbidity. tuwe na huruma na hawa wanaohangaikia maisha yao.
6. the subject of HIV is very broad, na sio rahisi kama wengine humu wanavyotaka kuamini. mi nawaita waganga wa kienyeji. sasa wewe nenda kavu uone kama hatukuziki. ni nani humu hajaguswa na ugonjwa wa HIV maishani? do you still think its a myth? acheni kuaibisha taaluma za watu kwa kumanipulate laymen

Haya wewe bado hujajubu hoja za msingi zinazotiliwa nashaka kuhusu ukimwi...unajaribu kutisha watu wanaotaka kujifunza zaidi,,malaria inaua kuliko huo ukimwi,watu tunataka tupate majibu ya msingi siyo vitisho,,usiwe kama muumini wa kibwetere unalazimisha watu waogope ukimwi bila kujenga hoja za msingi..umefuatilia huu mjadala toka mwanzo?
 
We warumi toka katika uzi huu ..mbumbu hujui kaa kimya....VIRUSI VYA AIDS VIPO

kama kunywa dawa nyingi kuna side effect chunguza dozi za mtu anayeugua Tb tena ile chronic anapewa madawa mengi sana kushinda hata hizo ARV

Kinachonishangaza mimi ni kwamba,pamoja na madawa yote hayo ya TB tena chronic na mengi sana kama unavyosema kushinda ya ARVs,mbona hujiulizi kwa nini mgonjwa wa TB anapona kabisa na kuendelea na shughuli zake lakini mgonjwa wa AIDS haponi mpaka anakufa?
Uliwahi kujiuliza hilo swali?
 
Mkuu kuna mambo mengi ya kujua kabla hujafanya hivyo,tena nawashauri wengine wasijaribu kwa kuwa unatakiwa uwe unaelewa mambo fulani kwanza.Halafu suala hili sio la kuzungumza hadharani,nitakwambia kwanini,wewe utani PM.
Mimi nilishafanya hivyo na watu wako poa hadi leo,ila unahitaji kujua ARVs zinaleta athari gani mwilini baada ya kuacha na unahitaji kujua utazikabili vipi hizo athari.Watu huwa wanachanganya maeneo haya,wakiona mtu amekufa kwa sababu kaacha ARVs wanasema HIV amemuua kwa kuwa kaacha ARVs,kumbe hawajui kwamba ARVs zinasababisha DRUG INDUCED DISEASE.Atakayepinga namsubiri.Mimi mbona watu wameacha halafu bado wako poa muda mrefu sasa na hawaumwi?
Najua watasema,"hao walioacha hawana muda mrefu watakufa tu".Ha ha haaa,kasumba ni kitu kibaya sana.

Habari nzuri, kuna watu apa wanaharisha wakiskia ARV inaua, hahah ahaha nacheka kama mazuri, ebu tupe elimu bro
 
nimefatilia kwa uchache baadhi ya page za thread hii, na nimegundua yafuatayo.
1. asilimia 99 ya wafuatiliaji/wachangiaji ni layman wa mambo ya afya, na hasa HIV/AIDS. wanafanya kuburuzwa tu na hizo wanazoziita fact, ilihali hawaelewi foundation ya hizo "fact". and trust me, arguments za Deception haziko founded, wala haziko documented, na wala hawezi kuzi prove.
2. watu always wanatafuta the easiest way out, someone or something to put blame on. lets face the facts, ukimwi upo na unaua. hiyo iko proven beyond reasonable doubt
3. ushabiki maandazi hausaidii, tena kama unashabikia mtu kwa kuangalia volume ya maneno katika post zake, kwa concepts ambazo wewe na yeye wote hamzielewi.
4. kiasi napata picha kwanini babu wa loliondo aliweza kutushika masikio, sababu ya akili zetu mbovu. we are very easily manipulated, wala hatufikiri.
5. tusicheze na taaluma za watu, tena hasa when it comes to diseases with severe mortality and morbidity. tuwe na huruma na hawa wanaohangaikia maisha yao.
6. the subject of HIV is very broad, na sio rahisi kama wengine humu wanavyotaka kuamini. mi nawaita waganga wa kienyeji. sasa wewe nenda kavu uone kama hatukuziki. ni nani humu hajaguswa na ugonjwa wa HIV maishani? do you still think its a myth? acheni kuaibisha taaluma za watu kwa kumanipulate laymen

Hebu na wewe jaribu bahati yako.Niambie kitu chochote ambacho wewe unahitaji kupewa fact.
 
Haya wewe bado hujajubu hoja za msingi zinazotiliwa nashaka kuhusu ukimwi...unajaribu kutisha watu wanaotaka kujifunza zaidi,,malaria inaua kuliko huo ukimwi,watu tunataka tupate majibu ya msingi siyo vitisho,,usiwe kama muumini wa kibwetere unalazimisha watu waogope ukimwi bila kujenga hoja za msingi..umefuatilia huu mjadala toka mwanzo?

Achana nae huyo, akawatishe uko instagram, kama hana hoja ni bora akae kimya aendelee kujifunza ndipo aanze kubisha
 
We warumi toka katika uzi huu ..mbumbu hujui kaa kimya....VIRUSI VYA AIDS VIPO

kama kunywa dawa nyingi kuna side effect chunguza dozi za mtu anayeugua Tb tena ile chronic anapewa madawa mengi sana kushinda hata hizo ARV

Je,wewe uliyeandika hapo juu ndio huyu aliyeandika hapa chini?

DISADVANTAGES OF USING ANTIRETROVIRAL DRUGS.

There are number of bad side effects of antiretroviral drugs (ARVs) that also depends with an individual body type and the level of hiv infection. The behaviour and side effects of antiretroviral drugs, ARVs, varies significantly and may be aggrevated by patient's nutrition as well as other health conditions.
I) Drug resistance to HIV.
The benefits of antiretroviral drugs are short lived when a single doze is used alone. The short term effects results when HIV mutates or changes it genetic structure, becoming resistant to drug. The structure of the virus’s enzyme changes if the virus mutates. Drugs no longer work against the enzymes, making the drugs ineffective against viral infection, and resistance sets in. Genes mutate during the course of viral replication, so the best way to prevent mutation is to halt replication. The most effective treatment to halt HIV replication is to employ a combination of three drugs.
ii) HIV drugs side effects.
There are unpleasant side effects of HIV drugs. Common side effects of antiretroviral drugs include; diarrhoea, fatigue, headache, nausea, kidney stones, abdominal pain, tingling or numbness in the hand an feet and anaemia. Some patients may develop diabetes mellitus while others will collect fat deposits in the abdomen or back, causing a noticeable change in body configuration. Some antiretroviral drugs produce an increase in blood fat levels, placing the victim at risk of developing hypertension, cardiovascular disease, and stroke.
iii) Cost of treatment.
The greatest drawback in the treatment of HIV AIDS is the high cost of treatment and low health care facilities, most of these HIV drugs are not reachable by the vast majority whose income is very low.
HOW TO REDUCE SIDE EFFECTS ASSOCIATED WITH ANTIRETROVIRAL DRUGS........
 
Je,wewe uliyeandika hapo juu ndio huyu aliyeandika hapa chini?

Umeona wanavyochanganyikiwa hawa? Mimi ndie ninaetoa Elimu kuhusu ARV humu? ,kwa nini ninakuwa tishio kwao?, mimi nikitoka inakuaje? Kweli umewavuruga sio mchezo
 
Uvundo mtupu.Hujajibu swali la msingi halafu theory kibao.Hizo theories hata mimi ninazo,siziandiki kwa kuwa najua watu hawataelewa,ila mifano hai katika maisha ndio itakayowafanya watu waelewe.Kama theories haziendani na ukweli ujue hamna kitu hapo.

Angalia hapo kwenye nyekundu ulivyoweka uvundo.Yaani wewe ukisema una uhakika lazima alishapoteza maisha basi ndio unataka tukuamini?
Je unajua wakati umempima na kugundua ana idadi hiyo ya CD4 alikuwa katika hali hiyo muda gani kabla hujampima?
Yaani ninyi mnapenda sana kung'ang'ania nadharia hata kama haziendani na uhalisia.Kwa hiyo baada ya kukosa theory ya kufoji kuelezea mkanganyiko huu ndio umejibu hizi pumba kwamba atakuwa ameshapoteza maisha?Kwa hiyo ile imani uliyokuwa nayo kwamba mungu ndiye amemsaidia mpaka kufika hali ile imepotea?Kwa nini usiendelee basi kuamini kwamba mungu bado anamsaidia na badala yake unasema atakuwa amepoteza maisha?

Mmmh!!!Hapa hamna suluhu.Ngoja niandae hitimisho langu watu wasome na waamue wenyewe.

Hii sentensi ya mwisho ,Naisubiri kwa hamu mkuu.
 
Mara Nyingi Darasani hatuelezwi madhara ila. faida kwa sana..

Hivi Kubadili Genetic make up ya mmea uliokuwa unazaa Kwa mwaka mara moja uwe unazaa Hata Mara Tatu hakuna madhara katika kupunguza ubora wa kinachozalishwa?

Good question,sasa tulia peke yako chumbani,asikubughuzi mtu,kula tartiiib hiyo documentary hapo chini.Ukimaliza mpaka mwisho ndio utaelewa kwamba dunia unayoishi sasa ni ya namna gani.

https://www.youtube.com/watch?v=eUd9rRSLY4A
 
usilo lijua lita kusumbua sana Medical ni science pana sana tafuta maana ya MD na specialist...utajua nini.kina anza badae knafuata kipi....acha ushabiki maandazi ujui kitu...jitahidi urudi kwenye majukwaa yako ya MMU& UDAKU...nlikuona uki mwandama GEORGEOUSMIMi...ivi ivi..ila kumbuka elimu siyo vita unajikuta unaropoka kuliko alie anzsha uzi...Tufikie hitimisho sisi madoctor tumeshindwa kwenye huu uzi ..siyo kwamba nimeshindwa kwa hoja za mkuu hapo juu ...bali kwa mm binafsi nmeamua kujitoa kwenye huu uzi kwajili ya kiherehere chako unavyoruga wengine wanaotaka kupata knowledge juu ya tatizo hili....

NOTE: no matter sumu utakayo mezeshwa ukfanya unsafe sex lazma upate maambukizi na CD4 ztakapo shuka ARVs utakunywa tuu tena bila kulazmishwa..

Mkuu kuwa mvumilivu,nadhani hata mafundisho yenu yanasema hivyo.Tulia tujadili,hayo ni mambo ya kawaida kwenye mijadala,hata mimi hunitokea mara nyingi tu.Chukulia ni kama sehemu ya mjadala.Hata mimi siko hapa ili nishinde.
Take it easy.
 
Mkuu kuwa mvumilivu,nadhani hata mafundisho yenu yanasema hivyo.Tulia tujadili,hayo ni mambo ya kawaida kwenye mijadala,hata mimi hunitokea mara nyingi tu.Chukulia ni kama sehemu ya mjadala.Hata mimi siko hapa ili nishinde.
Take it easy.

Sasa ivi mimi naonekana mbaya kuliko ata wewe, sijui ni kwa nini
 
Back
Top Bottom