Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Kama HIV haisababishi ukimwi je ni ugonjwa gani huo unaowafanya watu Kukonda sana mpaka wabaki na kilo mbili, na kunyonyoka nywele? nini kinasababisha mkanda wa jeshi na nini tiba yake?

kama ARVs ndiyo inasababisha ukimwi iweje mtu ambaye hakuwahi kutumia ARV apungukiwe na nguvu kiasi cha kumuacha na kilo 2 na maradhi yasiyo na idadi.

Bado napata utata na kivipi ARV ndie msababishi wa AIDS
Mkuu deception naomba ufafanuz
 
yani imenibidi nikashee na rafiki zangu hii elimu. ahsante sana DECEPTION

Madaktari na maprofesa walioibua ukweli huu pia walisema endapo mtu atapata taarifa hizi basi asiwe mchoyo kwa wengine.Usihofu,mimi natimiza wajibu wangu tu kuwapa wengine taarifa.

Kwa elimu ya deception juz jioni nimekaa na familia yangu tulijadili sana hii issue na sasa naanza kuona mwanga uliojificha

Fuatilia hapa mkuu kwa elimu zaidi
www.fadhilipaulo.com
Ukweli kuhusu AIDS/HIV

Unajua,akili ya binadamu ni ya ajabu sana,ina uwezo mkubwa kuliko watu wanavyofikiri.Hivyo utakapo iruhusu ifanye kazi ya kudadisi na kuujua ukweli wa mambo yaliyojificha kamwe haitakuangusha,utajua tu.Wewe hongera kwa kuruhusu akili yako kuhoji,kamwe hutajuta,ukweli utauona muda si mrefu.

Mi nadhani inawezekana. Kuna jirani yangu mmoja jina(), kabla ya kuoa alikwisha lala na wanawake wasiopungua 60, na wengine alikuwa anaambiwa wana ukimwi na kwa kudhibitisha kabisa ni kweli wanao na wengine washafariki kwa hali zao kuwa mbaya ila yeye mpaka leo kila anapopima ukimwi anakutwa hana.

Wenyewe watakwambia hakupata mchubuko au ana blood group O au vinginevyo ilimradi uamini kwamba kweli HIV yupo na anasababisha AIDS,lakini siku zote penye ukweli uongo hujitenga wenyewe.Unachokieleza hapo juu ni mojawapo ya ishara inayoonesha kwamba ugonjwa huu ni feki.Endelea kufuatilia utajua zaidi.Pia fuatilia link aliyotoa amaizing utajua mengi zaidi.
 
ey try to get serious.... mi naona unapotosha watu tu na theory zako!!!

Watanzania wengi hawajakomaa katika kufanya mijadala,na ndio maana tunabaki nyuma kiuelewa kwa kuwa tunapoona au kusikia kitu kipya tunaanza na kupinga kwanza kabla ya kuruhusu akili kudadisi au kujiuliza,hii ni mbaya sana.
1.Kuwa makini sana, usije wewe ndio ukawa hauko serious.
2.Unathibitisha vipi kwamba mimi napotosha watu?
3.Una uhakika gani kwamba haya ninayoeleza ni theory zangu?

* HIV/AIDS Imeanza kuingia kabla hata ya ARVs kuuzwa, unavosema kuwa HIV/AIDS ni mradi wa kuuza ARVs unakosea sana.... ingeku hivyo basi ARVs zingekuja zamani sana pamoja na ugonjwa huo

Wewe umeshajikita kwenye upingaji na umefunga kabisa milango yako ya fahamu kuelewa chochote nitakachoeleza,hivyo nakusikitikia sana kwa kukosa kuujua ukweli huu wa karne,na kuikosa elimu hii kunaweza kukusababishia matatizo makubwa aidha wewe au ndugu zako wa karibu endapo utafikwa na janga hili.
Unachokiongea hapo juu hukielewi kabisa;
1.Hufahamu hata historia ya HIV/AIDS hata kwa tanzania pekee.
2.Hujawahi hata kuhudhuria clinic za watu wanaotumia ARVs na kufanya utafiti.
3.Unaweza kunijibu nimekosea vipi kusema kwamba HIV/AIDS ni mradi wa kuuza ARVs?
4.Una uhakika unajua ni lini ARVs zilianza kutumika?na ni aina gani za ARVs zalianza kutumika?

* HIV/AIDS inasababishwa na ARVs.... seriously!???

Seriously!
Ugonjwa wa AIDS kwa watu wanaotumia ARVs unasababishwa na ARVs na si HIV.Una hoja ya kupinga hilo ninalosema mimi ili tuwape wengine faida?

...wangapi ambao hawajaanza hata kutumia hizo dawa na tiari wanaugua ukimwi...

1.Nikikuuliza ukimwi ni nini utajibu vipi?
2.Unajua ukimwi unasababishwa na nini?
3.Je,unajua kama ukimwi ulikuwepo karne nyingi kabla ya kutangazwa kwa HIV mwaka 1984?

... ni ugonjwa gani unaowadhoofisha mpaka kufa ambao bado hauna jina na ni nini dawa ya huo ugonjwa...

1.Kuna magonjwa mengi yanadhoofisha watu mpaka kufa zaidi ya huu ugonjwa feki wa HIV/AIDS,ni kweli wewe hujui hili?
Mfano mmojawapo wa ugonjwa huo ni TB.Je,unajua kwamba ukiwa na TB muda mrefu utakonda sana,utaishiwa nguvu,unaweza kutapika,unaweza kuharisha kutegemea na aina ya TB,utakosa hamu ya kula,utakuwa na homa mara kwa mara,na ajabu zaidi unaweza ukapimwa HIV na vipimo vikatoa majibu Negative/huna HIV.Je,hizi nilizotaja sio dalili za ugonjwa feki wa HIV/AIDS ulizoambiwa wewe zamani?Huoni kwamba dalili hizo zinafanana?
Kama hayo maelezo ni sahihi,Je,ukimwi ni nini basi?

2.Dawa ya ugonjwa hutegemea na aina ya ugonjwa.Kama ugonjwa ni TB utapewa tiba ya TB na utapona kabisa.

....ukimwi upo jamani, acheni siasa kwenye mambo ya msingi

Wewe ndio unaleta siasa kwenye mambo ya msingi.Watu wameshaanza kuelewa,wewe unaleta siasa,hujaleta hata hoja moja ya kisayansi kuthibitisha unachokisema,sasa nani kati ya mimi na wewe analeta siasa?
Ndugu yangu ninakushauri tu.Hata kama umegundua umeingia vibaya kwenye mada hii,usijali kuonekana mdhaifu,hivyo ndivyo mijadala ilivyo,jitahidi kuwa na free mind katika maisha yako ili uwe mwepesi wa kuhoji/kudadisi au kuuliza endapo utakumbana na kitu kipya akilini mwako,usiwe mwepesi wa kupinga tu kila jambo jipya.Utakosa mengi na hasa yale ya muhimu katika maisha yako.
 
Kama HIV haisababishi ukimwi je ni ugonjwa gani huo unaowafanya watu Kukonda sana mpaka wabaki na kilo mbili, na kunyonyoka nywele?

Angalau wewe umeanza kwa kuuliza na si kupinga.Napenda kukushauri kwamba,mada hii ni nzito na inahitaji uwe na open/free mind ili uelewe,usijikite kwenye kupinga zaidi bali jikite kwenye hoja za kudadisi zaidi.

1.Swali lako hapo juu ni zuri sana.Kuna mmoja nilimjibu hili.Nilisema kwamba kuna magonjwa mengi yapo hata kabla ya kutangaziwa ugonjwa huu feki wa HIV/AIDS ambayo huwafanya watu wakonde na hata kupungua sana uzito.Je,hujui kama TB nayo ina dalili hizi,kama huamini hebu ingia mtandaoni ili ujithibitishie hili.Hawa jamaa wamezishika akili zetu na tumezuiwa kufikiri kabisa kwamba TB nayo ina dalili kama hizi na ndio mojawapo ya magonjwa yaliyoua watu wengi miaka hiyo hata kabla watu hawajaanza kutumia ARVs.Ingia link hapo chini uone dalili za TB.

Tuberculosis Causes, Symptoms, Treatment - Tuberculosis Symptoms and Signs - eMedicineHealth

2.Kuwa makini,elimu nzito inakuja hapa;
Kunyonyoka nywele ni dalili mojawapo pia kwa wagonjwa wa cancer/saratani wanaotibiwa kwa dawa za chemotherapy,dawa hizi huwa zinauwa kinga na kudhibiti chanzo cha kuzalisha nywele na hivyo nywele hunyonyoka.Kama huamini ingia mtandaoni uangalie side effects za chemotherapy.
Sasa basi,ARVs zinazotumiwa na watu ambao wamebambikiwa kesi ya kuwa na HIV pia zina component ya chemorapy ila katika dozi ndogo.Unapotumia ARVs kwa muda mrefu na hasa bila kuzingatia lishe bora itafikia muda nywele zako zitakuwa dhaifu na kunyonyoka.Hii ni kwa sababu component ambayo ipo kwenye dawa za chemotherapy ipo pia kwenye ARVs.
Kama hujui mtandao wa kuingia,basi ingia hapa chini uone side effects za chemotherapy.Fahamu pia kwamba side effects za chemotherapy zinafanana kabisa na side effects za ARVs kwa kuwa zina common component ambayo kazi yake ni kuua cell za mwili,na kazi yake hii walimaanisha iwe hivyo,hawajakosea.

Haya mambo ni sayansi tu.Ukijua ukweli wa mambo fulani, halafu ukijua sayansi,huwezi kudanganywa kirahisi.

...nini kinasababisha mkanda wa jeshi na nini tiba yake?...

Unasababishwa na kirusi aitwaye vericella/herpes zoster.Sababu kuu ya ugonjwa huu ni upungufu wa kinga.Hivyo tiba yake ni kurudisha kinga ya mwili na ugonjwa utapona kirahisi kabisa kwa kuwa virusi hivi hudhibitiwa vizuri sana na kinga ya mwili.Najua utashangaa.Upungufu wa kinga pia usikutishe,ni suala dogo sana hili,upungufu wa kinga unaweza kuwa nao kama huli vizuri,mnywaji sana wa pombe bila kula vizuri,utumiaji wa madawa ya hospitali mara kwa mara kama vile antibiotics,diclofenac,vidonge vya uzazi wa mpango,ARVs nk,utumiaji wa madawa ya kulevya nk.Najua pia na hapa utashangaa,maana siku hizi vitu vya kawaida watu huviona vya ajabu na vya ajabu huviona vya kawaida.Hii ni sayansi na sio hisia zangu binafsi.

...kama ARVs ndiyo inasababisha ukimwi iweje mtu ambaye hakuwahi kutumia ARV apungukiwe na nguvu kiasi cha kumuacha na kilo 2 na maradhi yasiyo na idadi.

Nilikueleza hapo juu kwamba mojawapo ya magonjwa ambayo watu hujifanya kukisingizia kirusi VVU kwamba kimesababisha ilihali si kweli ni ugonjwa wa TB.Nimekupa link hapo juu usome dalili za TB ambayo najua hutapinga kwamba TB haisababishwi na HIV,soma hiyo link na kama dalili utakazozisoma hazijatosha basi unaweza kunitajia maradhi hayo ambayo wewe unasema hayana idadi na mimi nitakwambia yanasababishwa na nini hata kama mtu hatumii ARVs.
Tatizo watu wengi hawajui sayansi,wamezi-lock akili zao kwamba HIV ndio msababishaji wa magonjwa zaidi ya 30 na wameng'ang'ania hicho wanachokijua bila kwenda upande wa pili wa shilingi na kujiuliza kwamba huyo HIV anawezaje kusababisha magonjwa yote hayo peke yake.Kama hujui sayansi,huwezi kujua ukweli huu na badala yake mtu ataishia kupinga tu bila kuwa na hoja zozote za kisayansi anazozisimamia.

....Bado napata utata na kivipi ARV ndie msababishi wa AIDS
Mkuu deception naomba ufafanuz

Rahisi sana.Ni hivi,angali mtiririko hapo chini;
-AIDS=UKIMWI=Upungufu wa Kinga Mwilini.Kinga inashindwa kufanya kazi yake.
-Kinga ya mwili si kitu kingine bali ni seli(si seli zote bali ni seli maalum)
-ARVs zina side effects nyingi ikiwemo ile ya kuua seli za mwili na kudhibiti uzalishwaji wa seli hizo hasa makao makuu ya kuzalisha seli hizo(bone marrow)
-ARVs zinasababisha lactic acidiosis kwenye damu.Damu inapokuwa na acid nyingi seli zinashindwa kupumua,zinakosa oksijeni,fikiria wewe ukikosa oksijeni utaishi vipi?Kama seli zitakosa oksijeni basi mitochondria(kitovu cha kuzalisha nguvu kwenye seli) haitafanya kazi na hivyo seli zitashindwa kufanya kazi na mwishowe hufa.

Kama ninayoeleza hapo juu ni kweli,basi ni kweli pia ARVs zinasababisha AIDS.Ili kuthibitisha kama ni kweli ,soma/fuatilia hizo link hapo chini;Ukitaka scientific paper/proof utaniambia nitakupa.Hiyo ni link ya wamarekani wenyewe waliotudanganya kuhusu ugonjwa huu,sio mimi.Ina maana hao wenyewe wanakubali kwamba dawa za ARVs zina matatizo.

Tenofovir Disoproxil Fumarate (Viread) | Patient Version | AIDSinfo


Ulishawahi pia kujiuliza kwamba;
1.Je HIV ni kirusi kipya au kilikuwapo miaka mingi kabla ya kutangazwa mwaka 1984?
2.Kama kilikuwapo miaka/karne nyingi,Je,kwa nini hakikusababisha AIDS miaka mingi ya nyuma na kije kisababishe AIDS miaka ya hivi karibuni?

HIV ni retrovirus ambaye amesingiziwa kwamba yeye(retrovirus) ndio anayesababisha AIDS,na ndio kisa cha kupewa jina hili HIV.Retrovirus huyu alikuwapo karne nyingi zilizopita na si kirusi kipya.Sasa kwa nini hakikusababisha AIDS miaka ya nyuma na kije kusababisha miaka ya hivi karibuni?
 
HIV virus inapenya kwa Urahisi kwenye epithelium tissues/cells, mfano wa Epithelium cells ni zile cells ambazo kiasili zina unyevunyevu na blood capillaries zipo karibu karibu, mfano wa cells hizo ni Kichwa cha uume ambao haujatahirwa, au kama umetahiriwa basi ni pale kwenye kitundu cha kutolea mkojo, ukibinya uume na kuangalia kile kitundu utaona kale ka ngozi kekundu.
Uke wa mwanamke kwa ndani ndo kuna aina hii ya tissue sana.

Tissue zenye ngozi ngumu mfano mikono, vidole siyo rahisi vidudu kupenya kwa sababu tissue za viungo hivi hazina receptors za HIV.

Ndiyo maana inashauriwa kutahiriwa wanaume, ili ngozi ngumu iote ambayo haina receptors kwa HIV

Unaweza Ukamtia kidole mwanamke mwenye Ukimwi, usipate Ukimwi, kwa sababu kidole hakina receptors hizi unless uwe una jeraha/ mchubuko haswa unaokuexpose kwa receptors wa virusi hivi

Au Shahawa za mwanaume zinaweza kudondokea let say kwenye ngozi ya nje ya mwili, kama tumbo, kifua, mapaja lakini Mhusika asipate Ukimwi, mpaka iwepo jeraha lenye kuexpose inner epithelium cells.

Sehemu nyingine zenye epithelium cells kwa wingi ni ukibinua jicho ngozi ile nyekundu, ukibinua mdomo, Mkunduni.

NA LIQUIDS ZENYE HIV LOAD KWA WINGI ZAIDI NI 1. DAMU, 2. SHAHAWA, 3. MAJI YA UKENI
 
Deception

Nakupongeza sana kwa elimu nzuri unayoitoa mwanzoni nilipoanza kusoma huu uzi nilibaki 50/50 ,nilitaka kupinga kama watu wengine wanavyokupinga lakini niliona kwamba kabla ya kukupinga niliona ni vyema nikatafuta facts kwanza.

Kizuri ni kwamba ulimwengu wa teknolojia umekua, niliingia Google kuutafuta ukweli ulipo. Niliyokutana nayo ndiyo yamenifanya nije hapa leo nikupongeze ingawa bado naendelea ku-speculate zaidi na zaidi.

Facts nilizokutana nazo ni kwamba HIV ni retrovirus kama ulivyoeleza hapo mwanzo na amesingiziwa tu kuwa anasababisha AIDS. But purposely walitengeneza Antiretrovirus drugs ili kurasmisha walichokisema kumbe ARV ndizo zinazoharibu kinga ya mwili halafu wanamsingizia HIV.

Pamoja sana mkuu nashukuru kwa kunifumbua macho juu ya hilo , ushauri wangu kwa wengine ni kwamba kwamba mtu anapokuja na hoja aliyoiwekea evidences tusikimbilie kupinga tu. Be ready to learn something kutoka kwake,penye doubt muulize, hujaridhika na majibu tafuta ukweli kwenye mitandao.

NA KWA TAARIFA YAKO UKIMWI HAUJAANZIA AFRIKA KAMA TULIVYOKARIRISHWA
 
Last edited by a moderator:
HIV virus inapenya kwa Urahisi kwenye epithelium tissues/cells, mfano wa Epithelium cells ni zile cells ambazo kiasili zina unyevunyevu na blood capillaries zipo karibu karibu, mfano wa cells hizo ni Kichwa cha uume ambao haujatahirwa, au kama umetahiriwa basi ni pale kwenye kitundu cha kutolea mkojo, ukibinya uume na kuangalia kile kitundu utaona kale ka ngozi kekundu.
Uke wa mwanamke kwa ndani ndo kuna aina hii ya tissue sana.

Tissue zenye ngozi ngumu mfano mikono, vidole siyo rahisi vidudu kupenya kwa sababu tissue za viungo hivi hazina receptors za HIV.

Ndiyo maana inashauriwa kutahiriwa wanaume, ili ngozi ngumu iote ambayo haina receptors kwa HIV

Unaweza Ukamtia kidole mwanamke mwenye Ukimwi, usipate Ukimwi, kwa sababu kidole hakina receptors hizi unless uwe una jeraha/ mchubuko haswa unaokuexpose kwa receptors wa virusi hivi

Au Shahawa za mwanaume zinaweza kudondokea let say kwenye ngozi ya nje ya mwili, kama tumbo, kifua, mapaja lakini Mhusika asipate Ukimwi, mpaka iwepo jeraha lenye kuexpose inner epithelium cells.

Sehemu nyingine zenye epithelium cells kwa wingi ni ukibinua jicho ngozi ile nyekundu, ukibinua mdomo, Mkunduni.

NA LIQUIDS ZENYE HIV LOAD KWA WINGI ZAIDI NI 1. DAMU, 2. SHAHAWA, 3. MAJI YA UKENI

Unaelezeaje kuhusu wanaume ambao wamepimwa wakakutwa HIV+ wanaishi na wanawake na kuwapa mimba lakini wanawake hao wanapimwa ila hawakutwi na HIV?
 
Nakupongeza sana kwa elimu nzuri unayoitoa mwanzoni nilipoanza kusoma huu uzi nilibaki 50/50 ,nilitaka kupinga kama watu wengine wanavyokupinga lakini niliona kwamba kabla ya kukupinga niliona ni vyema nikatafuta facts kwanza. Kizuri ni kwamba ulimwengu wa teknolojia umekua, niliingia Google kuutafuta ukweli ulipo. Niliyokutana nayo ndiyo yamenifanya nije hapa leo nikupongeze ingawa bado naendelea ku-speculate zaidi na zaidi. Facts nilizokutana nazo ni kwamba HIV ni retrovirus kama ulivyoeleza hapo mwanzo na amesingiziwa tu kuwa anasababisha AIDS. But purposely walitengeneza Antiretrovirus drugs ili kurasmisha walichokisema kumbe ARV ndizo zinazoharibu kinga ya mwili halafu wanamsingizia HIV.
Pamoja sana mkuu nashukuru kwa kunifumbua macho juu ya hilo , ushauri wangu kwa wengine ni kwamba kwamba mtu anapokuja na hoja aliyoiwekea evidences tusikimbilie kupinga tu. Be ready to learn something kutoka kwake,penye doubt muulize, hujaridhika na majibu tafuta ukweli kwenye mitandao. NA KWA TAARIFA YAKO UKIMWI HAUJAANZIA AFRIKA KAMA TULIVYOKARIRISHWA

Mkuu hongera sana,ni jambo la kushukuru sana kwa wewe kuwa na attitude hiyo,si wote wanayo.Na hili ndilo ninalopigania ili watu wabadilike.Sasa kwa jinsi utakavyoendelea kutafiti,ndivyo jinsi utakavyogundua mengi zaidi ya hayo unayoyajua na utajionea mwenyewe jinsi tunavyoishi kwenye dunia yenye full of fiction.Ninakuomba na wewe uwe msaada kwa wengine utakapomaliza tafiti zako kama mimi ninavyofanya.
 
Watanzania wengi hawajakomaa katika kufanya mijadala,na ndio maana tunabaki nyuma kiuelewa kwa kuwa tunapoona au kusikia kitu kipya tunaanza na kupinga kwanza kabla ya kuruhusu akili kudadisi au kujiuliza,hii ni mbaya sana.
1.Kuwa makini sana, usije wewe ndio ukawa hauko serious.
2.Unathibitisha vipi kwamba mimi napotosha watu?
3.Una uhakika gani kwamba haya ninayoeleza ni theory zangu?



Wewe umeshajikita kwenye upingaji na umefunga kabisa milango yako ya fahamu kuelewa chochote nitakachoeleza,hivyo nakusikitikia sana kwa kukosa kuujua ukweli huu wa karne,na kuikosa elimu hii kunaweza kukusababishia matatizo makubwa aidha wewe au ndugu zako wa karibu endapo utafikwa na janga hili.
Unachokiongea hapo juu hukielewi kabisa;
1.Hufahamu hata historia ya HIV/AIDS hata kwa tanzania pekee.
2.Hujawahi hata kuhudhuria clinic za watu wanaotumia ARVs na kufanya utafiti.
3.Unaweza kunijibu nimekosea vipi kusema kwamba HIV/AIDS ni mradi wa kuuza ARVs?
4.Una uhakika unajua ni lini ARVs zilianza kutumika?na ni aina gani za ARVs zalianza kutumika?



Seriously!
Ugonjwa wa AIDS kwa watu wanaotumia ARVs unasababishwa na ARVs na si HIV.Una hoja ya kupinga hilo ninalosema mimi ili tuwape wengine faida?



1.Nikikuuliza ukimwi ni nini utajibu vipi?
2.Unajua ukimwi unasababishwa na nini?
3.Je,unajua kama ukimwi ulikuwepo karne nyingi kabla ya kutangazwa kwa HIV mwaka 1984?



1.Kuna magonjwa mengi yanadhoofisha watu mpaka kufa zaidi ya huu ugonjwa feki wa HIV/AIDS,ni kweli wewe hujui hili?
Mfano mmojawapo wa ugonjwa huo ni TB.Je,unajua kwamba ukiwa na TB muda mrefu utakonda sana,utaishiwa nguvu,unaweza kutapika,unaweza kuharisha kutegemea na aina ya TB,utakosa hamu ya kula,utakuwa na homa mara kwa mara,na ajabu zaidi unaweza ukapimwa HIV na vipimo vikatoa majibu Negative/huna HIV.Je,hizi nilizotaja sio dalili za ugonjwa feki wa HIV/AIDS ulizoambiwa wewe zamani?Huoni kwamba dalili hizo zinafanana?
Kama hayo maelezo ni sahihi,Je,ukimwi ni nini basi?

2.Dawa ya ugonjwa hutegemea na aina ya ugonjwa.Kama ugonjwa ni TB utapewa tiba ya TB na utapona kabisa.



Wewe ndio unaleta siasa kwenye mambo ya msingi.Watu wameshaanza kuelewa,wewe unaleta siasa,hujaleta hata hoja moja ya kisayansi kuthibitisha unachokisema,sasa nani kati ya mimi na wewe analeta siasa?
Ndugu yangu ninakushauri tu.Hata kama umegundua umeingia vibaya kwenye mada hii,usijali kuonekana mdhaifu,hivyo ndivyo mijadala ilivyo,jitahidi kuwa na free mind katika maisha yako ili uwe mwepesi wa kuhoji/kudadisi au kuuliza endapo utakumbana na kitu kipya akilini mwako,usiwe mwepesi wa kupinga tu kila jambo jipya.Utakosa mengi na hasa yale ya muhimu katika maisha yako.




Ni kwel kabla hujatumia unakua vizuri kosa utumie na ukaacha ndo unaanza kuumwa



Na inakuaje mtu anakonda unakohoa kama ukimwi haupo nifundishe tafadhali



Na kwa nn wanasema ukitumia hzo dawa hutakiwi kuacha
 
1.Ukimwi hauambukizwi
2.Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono
3.HIV hawezi kusababisha ukimwi na hasababishi ukimwi kwa kuwa hana sifa ya kusababisha ukimwi.Nashauri tujitahidi kwenda nje ya mainstream kutafuta habari,mambo mengi tunayoyafahamu kwenye dunia hii hayapo kama tunavyoyaona au kuyasikia,na mambo yamewekwa hivyo kwa sababu maalum kabisa.Anayesikia haya kwa mara ya kwanza atadharau au kufunga milango yake ya fahamu,kufunga milango ya fahamu hakubadilishi ukweli kuwa uongo,ukweli utabaki palepale.
Ukielewa ukweli kuhusu jambo hili utakubaliana na mimi kwamba mtu yeyote anayeogopa HIV ni sawa na kuogopa kivuli chake mwenyewe.Kama una swali lolote ambalo unadhani lina utata kuwa huru kuuliza.Nimetimiza wajibu wangu kutoa dokezo,kama mtu ana dukuduku/swali awe huru kuniuliza.

Hebu gusa link hapo chini kwa kuanzia;

https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0

Mkuu inaonekana unajua mengi tuwekee taarifa kwa kina zaidi au anzisha uzi nasi tupate uelewa wa kina
 
Hao wanaopinga kuwa HIV hasababishi AIDS hivi mko serious?.

Kama hoja ni kama ya Thabo Mbeki kwamba Umasikini na lishe duni ndo inasababisha Ukimwi, vipi kuhusu matajiri kama Lwambo Makiadi, Vipi kuhusu Mashoga wa Marekani wenye pesa walioambukizwa, Vipi Matajiri Lukuki ambao wanaafford Misosi ya maana?.

Jamani Tumeuguza mama zetu, kaka zetu, ndugu zetu n.k Tumeona hali ilivyo, msifanye masikhara.

Na kama HIV hasababishi AIDS kwa nini hutokea mpenzi mmoja aliyefiwa na mwenziwe kwa AIDS naye baada ya muda fulani huanza kudevelop Dalili za AIDS?
 
Ni kwel kabla hujatumia unakua vizuri kosa utumie na ukaacha ndo unaanza kuumwa....

ARVs zimetengenezwa kwa makusudi kabisa ziwe addictive,kama yalivyo madawa ya kulevya.Hivyo ukiacha ghafla unakufa,na hii ndio point wanayoitegemea sana kuwaaminisha watu kwamba ARVs zinasaidia na ndio maana ukiacha unakufa.Lakini ukweli ni kwamba hazina msaada wowote ule zaidi kukufanya uwe teja kama watumiaji wengine wa madawa ya kulevya na hivyo ukiacha ghafla unakufa.Kuna utaratibu wake wa kuacha.Wametumia sayansi kubwa sana hapa kurubuni akili zetu.
Mimi nimemuachisha kutumia ARVs ndugu yangu na yuko safi mpaka sasa.Mtu akipinga nitacheka tu kumhurumia kwa maana kupinga kunamkosesha elimu ya karne.

...Na inakuaje mtu anakonda unakohoa kama ukimwi haupo nifundishe tafadhali.....

Sikusema ukimwi haupo,nilisema VVU/Ukimwi haupo,yaani ukimwi hausababishwi na VVU na ukimwi ulikuwapo karne nyingi zilizopita na si ugonjwa wa ajabu kihivyo na si hatari kihivyo na unapona kirahisi sana kama utarekebisha kitu kinachosababisha kinga yako kushuka.
Kama ungenifuatilia vizuri,ungeshapata jibu la swali hili.Ni hivi,kuna magonjwa mengi yana dalili kama hizi tulizoambiwa za VVU/Ukimwi feki,mojawapo ya ugonjwa huo ni TB.Baadhi ya dalili za TB ni;
1.Kukohoa sana
2.Kukonda
3.Kupungua uzito
4.Kukosa hamu ya kula
5.Homa za mara kwa mara
6.Kuishiwa nguvu nk.

Kama hizi dalili zinafana na zile za VVU/ukimwi feki tulizoaminishwa,Je,VVU/Ukimwi ni ugonjwa wa aina gani sasa?Akili kichwani.Ukweli huu watu wanajifanya hawaujui.

....Na kwa nn wanasema ukitumia hzo dawa hutakiwi kuacha....

Wanaosema hivyo ni madaktari au manesi.Hao wameshakaririshwa kwamba bila kutumia hizo dawa lazima ufe na pia wana uzoefu wa kuona watu waliotumia muda mrefu dawa hizo wakaacha wakafa.Hivyo wanaamini kwamba dawa zinasaidia na ndio maana mtu akiacha anakufa,kumbe hawajui mtu anakkufa kwa addiction.

Nilishasema kwamba hutakiwi kuacha ARVs ghafla kwa kuwa watu wengi hawana elimu hii,hivyo wanaweza kuacha ghalfa halafu wakafa.Wakishakufa baada ya kuacha maksi zinakwenda kwa wale waliotuletea ARVs kwamba wako sahihi.Inabidi mtu awe na ujuzi jinsi ya kuacha ndio aache,ARVs zinaachwa kwa utaratibu sio ghafla.Nadhani unajua kwamba hata wale wanaotumia madawa ya kulevya huwa wana vituo vyao wanahudhuria ili kuacha,wakienda huko huwa wanapewa dozi fulani tofauti na madawa hayo mpaka wanakuwa safi kabisa.ARVs nazo zina utaratibu wake.

Kuwa makini hapa:
Wagonjwa wanaopewa dawa za ARVs na zile za Cancer(chemotherapy) mahospitalini huwa wanakufa kwa dawa.Yaani dawa ndizo zinawauwa kabla ya ugonjwa halisi kuwaua.
Mtu ana TB wanampa dawa za TB na ARVs baada ya kumpima.Anapona TB lakini ARVs zinamwua.Mtu ana cancer anapewa dawa za cancer.Dawa zinaua cancer ya zamani na kusababisha cancer mpya ambayo ni hatari kuliko ile ya zamani.Je,ulikuwa unajua hili?Ndio maana pia mara nyingi husema cancer haiponi.

Nikikuchukua wewe mzima kabisa huumwi chochote.Nikikupa dozi wanayopewa wagonjwa wa cancer kwa muda wa miaka mitatu tu,tunaenda kukuzika.Pia nikikuchukua wewe mzima wa afya,huumwi chochote nikakupa ARVs halafu nikakunyima vyakula vya asili,baada ya miaka 5 hadi 10 tunaenda kukuzika.
 
Mkuu inaonekana unajua mengi tuwekee taarifa kwa kina zaidi au anzisha uzi nasi tupate uelewa wa kina

Uko sahihi mkuu,watu wengi walishaniambia hivyo.Tatizo mada hii ina mambo mengi sana na watu ni lazima wayasome yote ili wakubaliane na ukweli,haitakiwi kusoma kwa kurukaruka.Kwa navyowajua wana JF wengi hawana tabia hiyo.Nina mifano hai,mimi sio wa kwanza kuanzisha mada kama hii,kuna mwana JF mmoja alishawahi kuanzisha lakini watu waliishia kupinga tu,lakini ukiisoma ile mada jinsi ilivyoandaliwa,utagundua kwamba jamaa alitumia muda wake mwingi sana kuonesha upendo kwa wengine,lakini aliishia kupingwa tu na sijamwona tena akizungumzia au kuchangia kwenye mada kama hizi tena hadi leo,labda pengine hakuwa na hoja na uzoefu wa kutosha kujibu hoja za watu.Hii inakatisha sana tamaa,na ndio maana mimi ninatumia utaratibu huu.Natoa dokezo,watu wanauliza maswali,mimi ninajibu kwa kutoa evidence pale zinapohitajika.
Nashukuru kwa maoni yako.Sasa hivi niko mbioni kuanda kajarida/kakitabu kinachoeleza ukweli kuhusu;
1.HIV/AIDS
2.CANCER
3.MARIJUANA(BANGI)
4.GMO(Genetic Modified Foods)

na mambo mengine kama hayo.Napanga kuweka maandishi na video kwa kiswahili.Watu wengi wanachukulia mambo kirahisi sana,hawajui kwamba karibu mambo yote tunayoyaona na kuyajua sasa ni feki,yapo kwa ajili ya manufaa ya wengine.Na ndio maana ID yangu ni Deception,niko humu kuwajuza watu mambo tuliyodanganywa.
 
Hao wanaopinga kuwa HIV hasababishi AIDS hivi mko serious?.
Kama hoja ni kama ya Thabo Mbeki kwamba Umasikini na lishe duni ndo inasababisha Ukimwi, vipi kuhusu matajiri kama Lwambo Makiadi, Vipi kuhusu Mashoga wa Marekani wenye pesa walioambukizwa, Vipi Matajiri Lukuki ambao wanaafford Misosi ya maana?.

Jamani Tumeuguza mama zetu, kaka zetu, ndugu zetu n.k Tumeona hali ilivyo, msifanye masikhara
Na kama HIV hasababishi AIDS kwa nini hutokea mpenzi mmoja aliyefiwa na mwenziwe kwa AIDS naye baada ya muda fulani huanza kudevelop Dalili za AIDS?

Hujakuwa tayari kuelewa.Ukiwa tayari nitajua tu na kuanza kukupa elimu.Kwa sasa naogopa kupoteza muda wangu,nina uzoefu huo humu JF kwa watu kama ninyi.Labda sasa nitasikitika tu kwanini hauko huru kusikiliza na kuhoji na badala yake unalaumu tu.Kwenye maswali yako hamna hata swali moja ambalo halina jibu sahihi na hamna hata swali moja lenye utata.Tatizo ni kwamba hujajiandaa kusikiliza.

Kwa kuwa nina nia ya kukuokoa,ngoja nikupe test moja nijue kama uko tayari kuelewa;Fuatilia hapo chini.Ukisha fuatilia,usipotee,rudi tena humu nikusikilize unasemaje.Kama hujiamini wewe mwenyewe unaweza kuomba msaada kwa daktari yoyote ambaye wewe unamwamini akusaidie kuuliza maswali.

https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0
 
Hao wanaopinga kuwa HIV hasababishi AIDS hivi mko serious?.
Kama hoja ni kama ya Thabo Mbeki kwamba Umasikini na lishe duni ndo inasababisha Ukimwi, vipi kuhusu matajiri kama Lwambo Makiadi, Vipi kuhusu Mashoga wa Marekani wenye pesa walioambukizwa, Vipi Matajiri Lukuki ambao wanaafford Misosi ya maana?.

Jamani Tumeuguza mama zetu, kaka zetu, ndugu zetu n.k Tumeona hali ilivyo, msifanye masikhara
Na kama HIV hasababishi AIDS kwa nini hutokea mpenzi mmoja aliyefiwa na mwenziwe kwa AIDS naye baada ya muda fulani huanza kudevelop Dalili za AIDS?

Unakumbuka swali hilo hapo chini?Kama ulikuwa hujaliona basi nimekuwekea tena hapo chini.

Unaelezeaje kuhusu wanaume ambao wamepimwa wakakutwa HIV+ wanaishi na wanawake na kuwapa mimba lakini wanawake hao wanapimwa ila hawakutwi na HIV?
 
Unakumbuka swali hilo hapo chini?Kama ulikuwa hujaliona basi nimekuwekea tena hapo chini.

Jibu ni kwamba kuna watu hawapati Virusi vya Ukimwi Naturally, wana genetic composition ambayo haifevi virusi kuingia , kwa mfano kuna hii gene inaitwa CCR5-Δ32, wenye gene hii hawaathiriwi na HIV

Google hii information ya CCR5 Delta 32
 
Ndio maana nikasema kwamba kutokana na ufeki wa ugonjwa huu kuna mikanganyiko mingi sana,we mwenyewe umejionea au kusikia kama ulivyoeleza hapo juu.Maneno yako hapo juu hata wenyewe wanakubali kwamba si rahisi mtoto kuambukizwa na wametoa asilimia 98% kama mama atakula ARVs na 75% kama mama hatakula ARVs kuonesha uwezekano wa mtoto kuepuka maambukizi haya ambayo mimi kwangu ni feki.Hongera kwa kuhoji hilo,maana kujihoji ni mwanzo wa kuelewa ukweli.



Unajua mkuu,hawa jamaa wanajua hii ndio starehe ya watu wengi,na ndio maana wameng'angania kwamba unaambukizwa kwa njia hii kwa kuwa kila mtu akiambiwa anao atakuwa na uwezekano mkubwa kwamba alishawahi kufanya ngono hivyo hata mtu mwenyewe hatapinga akiambiwa kwamba anao.Mkuu wewe furahia maisha tu,wasitufanye tuwe watumwa wa asili yetu.Wanajifanya hao ndio miungu,tumeshabaini ukweli na tuko huru.



Hata ukiwa na manjonjo ya aina gani,fanya mbwembwe zote unazozijua duniani kwenye ngono,huwezi kupata ukimwi/VVU.Kuonekana kwamba una VVU ni matokeo ya vipimo feki na si kwamba kweli una VVU.VVU hayupo kiuhalisia hivyo basi ukimwi hausababishwi na VVU.Fuatilia vizuri post zangu utaelewa au watu kama mavado wanaweza kukusaidia pia.Ukijua sayansi inayotumika katika vipimo vya VVU utajua ukweli uko wapi.Na ndio maana niliwahi kusema kwamba,ukitaka ukimwi uishe,basi watu wasijitokeze kupima VVU,au wagome kabisa kupima VVU na badala yake mtu akiumwa apimwe ugonjwa wake halisi tu na kupewa tiba halisi kama zamani,hapo ukimwi utakuwa umeisha.Lakini kwa kampeni hizi feki za kutuonesha kama vile wanatupenda saaaana na wanajali saaaana maisha yetu,watu watapimwa VVU na vipimo feki,wataonekana VVU+ na hatimaye watapewa dawa za ARVs ambazo ndio hasa zinazosababisha ukimwi kwa wanaozitumia halafu tunamsingizia VVU.Ukijua mtego huu basi utakuwa umejikomboa na janga hili.Njombe wanaongoza kitakwimu kwa VVU/Ukimwi kwa sababu wanajitokeza sana kupima VVU,hawaogopi kupima na kuchukua majibu,hii ndio sababu kubwa na hamna sababu nyingine,lakini kwa mtu anayechukulia mambo kiurahisi hataelewa ninachosema,labda watu kutoka njombe waje kuthibitisha wenyewe hapa.

Duuh...mkuu hoja zako kama zina ukweli ndan yake...sasa kwann miaka ya nyuma kabla ya ARVs wagonjwa wa ukimwi walikuwa wakiumwa sana na kukonda au ule nao haukuwa ukimwi?
 
Daaah halafu ukiangalia huu ugonjwa waweza sema unapendelea asee. Kuna ndugu yangu yeye ni mlevi sana na anahakikisha kila akilewa anaondoka na barmaid. yaani kwa siku hata wadada watatu anaondoka nao tena wale hatarishi kabisa na hana rekodi ya kutumia kondom kabisaa. Tangu ujana wake ndio yuko hivohivo na mpaka sasa umri unamtupa mkono lakini bado na wadada kama damu.
Lakini mpaka leo hana vvu wala ukimwi asee na anadunda kama kawa mipombe kama kawa mademu mwendo uleule. Sasa katembee wewe na barmaid mmoja tu uone kama hujafa kwa presha kabla tarehe yako ya kurudia kupima.
 
Back
Top Bottom