Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Itakuwa vyema mkuu Deception ukifanya hivyo ,pia katika pitapita zangu kwenye harakati za kuutafuta ukweli nilikutana na issue fulan ambayo ilinistua kidogo kwamba hiki tunachoambiwa kuwa GLOBAL WARMING ndani yake kuna uongo mwingi sana. Sijalifuatilia sana lakini kuna dalili ambazo naanza kuona kwamba kuna mambo mengi sana ambayo ni uongo ila tunakaririshwa tu kwa manufaa ya kikundi Fulani cha watu

Ndio, ni kweli mkuu,naona wewe unaanza kufunguka sasa,kaza uzi huohuo utajua mengi tu zaidi ya hayo,this world is full of fiction,utajua mengi tu,nenda taratibu.
Wanasema kwamba global warming inasababishwa na hewa ukaa(carbon dioxide) kitu ambacho si kweli.Au kivingine, wanasema global warming ni anthropogenic,yaani husababishwa na shughuli za kibinadamu ambazo huzalisha hewa ya ukaa.Yaani hapa mkuu hawa jamaa wanadanganya mpaka utapenda badala ya kuchukia.
Lakini wanapata profit kubwa sana kwa uongo huu,tukipata muda tutaijadili hii pia.Huu upumbavu aliuanzisha Al Gore,unamkumbuka huyu jamaa?Unajua ukiwa una influence kwenye serikali ya marekani ni rahisi sana kuanzisha biashara hata kama ni feki,kama hii ya HIV/AIDS.Kuna mtaalam mmoja alisema "If you find something doesn't make sense then follow the money and you will find any answer"
Hivyo mkuu,kuna biashara nyingi feki nenda taratibu utazijua tu na itakufanya uwe huru kwenye maisha yako.Najua kuna mambo mengi kwa sasa yamekuweka kifungoni na tumekaririshwa mashuleni,lakini baada ya kujua ukweli utakuwa huru na utaanza kuona raha ya dunia.
 
Sasa Unawashauri Wale Wanandoa Ambao Wameamua Kwenda Kupima Ukimwi? Wasiende?

Na Vipi Mtu Ambae Aliyeugua Sanaa Na Akatanabahi Kuwa Inamladhimu Akachek Vipimo Vikuu Yani Ukimwi? Naye Huyu Wamshauri Vip?

Na Kuna Kipindi Walileta Hivi Vipimo Vya Kujipima Mwenyewe Vile VyA Kuonesha Mistari, Vimepotelea Wapi, UnawezA Kufahamu Kwa Nini Vimepotea?
 
Mh, I love ua maandiko, u real know what you are presenting, African mind, especially Watanzania, hawatokuelewa coz elimu yenyewe tuuu ni ya kuunga unga... Well said

Mkuu hongera kwa wewe kuwa hivyo.Unajua mkuu,mambo haya awali ya yote,ni magumu sana.Hivyo ili mtu aelewe inabidi kwanza ajitoe na awe ameamua kwelikweli kuelewa na aruhusu akili yake kupokea mambo mapya na kufanya udadisi,hapo ndipo atakapoanza kuelewa,na hatopata ukweli wote kwa siku moja kwa kuwa mambo ni mengi sana.Wengi humu JF hawako hivyo.

Yaani jambo hili ninalojitahidi kuwaelimisha watu ni moja kati ya mambo mengi sana yanayotuathiri katika maisha yetu,yapo mengine mengi bado sijaanza kuyafunua humu.Hili tu watu kulielewa ni mgogoro,Je,nikianza kuwaambia watu kwamba mimi nina uwezo wa kutibu cancer ya aina yoyote ile na unapona kabisa si watanitafuta waniue kabisa.Hili kihistoria liliwahi kutokea katika jamii za zamani,yaani watu wenye akili ndogo walikuwa wanawaua watu wenye akili kubwa kwa sababu za kishenzi tu.

Hebu angalia na hili pia;Marekani ndio aliyeanzisha sheria dhidi ya madawa ya kulevya na ndiye anayeongoza vita dhidi ya madawa hayo.Je,nikikwambia kwamba wakubwa kwenye serikali ya Marekani ndio wanaolima na kutengeneza madawa ya kulevya,kwa harakaharaka si utaniona mimi ni kichaa?Mtu yeyote mwenye akili ndogo atakimbilia kwanza kupinga kabla ya kuhoji.Lakini tukienda taratibu ukweli utauona unakuja wenyewe.

Nikupe faida mojawapo ya kuujua ukweli kama huu;
Mwaka mmoja uliopita,ndugu yangu wa karibu alipimwa vipimo vingi sana na madaktari wasema kwamba ana dalili zote za cancer ya ini,na kweli ini lake lilikuwa limevimba hata ukimuangalia tumboni ubavuni unaona waziwazi,lilikuwa limevimba sana.Tumbo lake pia lilikuwa kubwa/limejaa.Baada ya vipimo madaktari wakaniambia kwamba watampa tu dawa za kutuliza maumivu kwa kuwa hawana tiba ya cancer,bila shaka na mimi nililijua hilo na nilienda pale kwa ajili ya vipimo tu na si tiba,kwa kuwa jamaa wako vyema sana kwenye vipimo.

Baada ya kujua kinachomsumbua,nikaanza kumpatia tiba mimi mwenyewe.Sasa hivi ndugu yangu anaendelea na shughuli zake kama kawaida.Alikuwa hawezi kutembea hata mita mbili,sasa anatembea mwenyewe umbali mrefu wowote ambao mtu yeyote mwenye afya anatembea.Kwa kifupi amepona.Nina evidence ya vipimo vyake vyote kabla na baada ya kupona.Mtu mwenye akili ndogo akipinga nitacheka tu kumhurumia.

Kama nisingejua ukweli kuhusu cancer,ndugu yangu angeshapotea,na ndugu yangu yeyote pamoja na mimi mwenyewe sitakuwa na ujanja kama nitapata cancer.Kama hujui ukweli huu utakuwa kama mfugo,watakupeleka kokote wanapotaka.Hii ni mojawapo ya faida ya kujua mambo haya.Lakini wenye akili ndogo wakiona haya mambo watakimbilia kusema ni conspiracy.Sisi weusi bado sana.
 
Mkuu hongera kwa wewe kuwa hivyo.Unajua mkuu,mambo haya awali ya yote,ni magumu sana.Hivyo ili mtu aelewe inabidi kwanza ajitoe na awe ameamua kwelikweli kuelewa na aruhusu akili yake kupokea mambo mapya na kufanya udadisi,hapo ndipo atakapoanza kuelewa,na hatopata ukweli wote kwa siku moja kwa kuwa mambo ni mengi sana.Wengi humu JF hawako hivyo.
.....

Hilo LA wakubwa WA serikali ya us kuuza madawa, mbona like wapi, ni vile tuuu watu wanasikiliza mainstream tuuu. Also ugaidi, it's Jews and us and not moslems but watu wasiochambua ukweli wanasikiliza tuuu western media, watapinga because they just belive everything they say . It's too bad
 
Jipe moyo tu lkn ngoma ipo na ukipiga peku utaukwaa.
 
Sasa Unawashauri Wale Wanandoa Ambao Wameamua Kwenda Kupima Ukimwi? Wasiende?....

Kupima VVU/Ukimwi ni utumwa wa kiakili tu,ni ignorance ndio inasababisha mambo yote haya.Ukijua ukweli kuhusu ugonjwa huu feki utajicheka saaana.Yaani ni sawa na wewe mwenyewe katika umri huo wa utu uzima halafu unaogopa kivuli chako.
Ngoja nikupe dokezo dogo sana hapa;
-Najua unajua ya kwamba antibodies/kinga ya mwili ndio inatulinda dhidi ya magonjwa yote.
-Najua mpaka sasa unajua ya kwamba vipimo vya VVU vinapima antibodies/kinga dhidi ya VVU/HIV na havipimi mwonekano wa VVU/HIV.
-Najua unajua ya kwamba mtu akiwa HIV+ maana yake mwili wake umetoa antibodies dhidi ya HIV,na akiwa HIV- mwili hauna HIV.
-Najua unajua pia ya kwamba sayansi ya ufanyaji kazi wa antibodies ndio basis ya all vaccines,vaccines zote zimetengenezwa kufuata sayansi ya antibodies,na ndio maana leo hii unaamini ukipewa chanjo ya tetenus basi hutapata tetenus kamwe.

Sasa basi;umeshawahi kujiuliza ni kwa nini na kwa vipi ukipimwa HIV+(yaani mwili umetoa kinga dhidi ya HIV feki),watakwambia kwamba umeathirika na wasikwambie kwamba you are safe kwa sababu mwili wako umejibu mapigo ya HIV feki?
Hili swali kwamba kwa nini hizo antibodies haziwezi kukukinga wewe dhidi ya HIV feki hata waliotudanganya hawawezi kulijibu.Ni madaktari weusi tu wanaojifanya wako kimbelembele/wapambe na wanajifanya wanajua zaidi ya mabwana zao waliotudanganya ndio hujifanya kujibu swali hili.Ukitaka ugomvi wambie wakupe any scientific paper published,hawana.
Zaidi ya yote,HIV hasababishi AIDS,ukitaka ugomvi hapa tena waambie wakupe scientific proof kwamba HIV anasababisha AIDS.Wanaosema kwamba hasababishi AIDS wana scientific paper/proof published.
Science politics ni mbaya sana.

...Na Vipi Mtu Ambae Aliyeugua Sanaa Na Akatanabahi Kuwa Inamladhimu Akachek Vipimo Vikuu Yani Ukimwi? Naye Huyu Wamshauri Vip?...

Mkuu unajua,watu wamesahau kwamba kuna magonjwa mengi sana halisi yanayotusumbua wanadamu.Ulishawahi kusikia mtu anaumwa sana halafu kila hospitali anayokwenda wanamwambia hawaoni tatizo?
Ulishawahi kusikia madaktari wanasema "this disease has unkown cause" Je,unaelewa maana ya hiyo statement?Maana yake ni kwamba cause ipo ila wao(madaktari) hawaijui.Mimi nikiwa karibu na mgonjwa kama huyo unayesema nitajua nifanye nini baada ya kumuangalia.Mara nyingi magonjwa ambayo sio infectious mfano,autoimmune disease,nk hospitali za kawaida hawawezi kuyagundua au kutibu.Na mwisho wake lazima madaktari watatafuta mhusika wa kumbwagia zigo hili na kusema kwamba yeye ndiye amesababisha,mhusika huyu ambaye ana bahati mbaya ya kusingiziwa ni HIV.Kwa mtu mwenye autoimmune disease,vitiligo and the likes,ni rahisi sana kumpima HIV+ kutokana na sayansi ya vipimo.Na watu wenye magonjwa kama haya watakapoanza kula ARVs,hawachukui muda mrefu,wanakufa.Sasa lawama ziko mtaani bwana;"jamaa ngoma ndio iliyomuondoa" au "aaah yule mshikaji si mambo yetu yale ndio yamemwondoa" nk.Upumbavu mtupu.Ujinga ni kitu kibaya sana,yaani unakuwa kama ng'ombe,huna consciousness.
Msingi wa afya ya binadamu uko kwenye damu,pH ya damu ndio mpango mzima.pH ya damu ikiwa mbovu unaweza kuumwa kila aina ya ugonjwa ambao upo duniani,ni chance tu.Weka pH yako sawa na hata kama utakuwa na magonjwa 20 kwa pamoja,yote yataondoka yenyewe,na utashangaa,hii ndio sayansi.

....Na Kuna Kipindi Walileta Hivi Vipimo Vya Kujipima Mwenyewe Vile VyA Kuonesha Mistari, Vimepotelea Wapi, UnawezA Kufahamu Kwa Nini Vimepotea?

Utakuwa unazungumzia rapid test.Rapid tests ni stimulants za kuwachomoa watu wenye HIV feki mafichoni ili waende kupima tena na kuanza kupewa ARVs ambalo hasa ndio lengo lao.Hakuna hata kipimo kimoja cha HIV ambacho kiko sahihi,vyote ndani yake vina siasa ya sayansi.Sina haja ya kujua kwa nini vimepotea kwa kuwa najua kwamba vipimo hivi vyote ni siasa tu.
Hivi wewe ukiambiwa mwili wako una kinga dhidi ya malaria si utafurahi sana?Lakini kwa nini ukiambiwa mwili wako una kinga dhidi ya HIV unalia sana na kama hamna watu karibu yako waweza kujinyonga?Hapa ndipo utakapojua kwamba HIV/AIDS is a mindset disease/is not real.Vipimo vya HIV vinapima kinga dhidi ya HIV na si vinginevyo.Kama mtu anaumwa sana lazima ukimpima utamkuta na ugonjwa fulani ambao tayari unajulikana na una tiba yake,ukimpatia tiba anapona kabisa.

Sasa jiandae vyema na umsikilize kwa makini kabisa neno baada ya neno(usiruke neno) huyu mgunduzi wa HIV anachosema hapa.Narudia,huyu anayesema hapa ndiye mgunduzi wa HIV.Yaani ni 'mungu' wa wale wanaoamini katika dini ya VVU/Ukimwi.Natarajia kwamba hakuna mtu yeyote duniani atakayepinga maneno yake;msikilize hapa chini;
"You can be exposed to HIV many times without being chronically infected,our immune system will get rid of the virus within few weeks if you have good immune system"

Halafu endelea kumsikiliza anazungumzia matatizo halisi yanayotusumbua hasa katika nchi za afrika.

1.Nutrition/misosi
2.Oxidative stress;Hii nitaizungumzia kwa undani baadaye
3.Clean water

Halafu anasema "their immune system doesn't work well already even if they are not infected with HIV",maana yake ni kwamba, watu wanakuwa na ukimwi hata kabla ya kuingiwa na VVU.

Anaendelea kushauri njia za kupunguza maambukizi ya HIV huyu feki ambazo ni;
1.Nutrition
2.Proper antioxidants
3.Hygiene measures
4.Fighting the specific infection(tusisingizie HIV,tutibu tatizo halisi)

Anaulizwa:"If you have good immune system then your body can get rid of HIV?"
Anajibu:Yes.
Ooooh very interesting!!! au mimi naota?Hebu sikiliza wewe mwenyewe.

Anaendelea kusema tena kwamba;"This is important knowledge which is completely neglected,people always think of drugs and vaccines"

Na mwisho yeye mwenyewe anakubali kwamba alichokisema ni tofauti na kile alichosema kipindi cha nyuma,yaani vinapingana.Huyu jamaa ameingizwa kwenye kundi la watu wenye roho mbaya bila kupenda,sasa roho yake inamsuta na anaamua kusema ukweli.Huyu ndiye mgunduzi wa HIV feki,Robert Gallo alimuibia tu data na yeye ndiye katangazwa kwanza.Walichokigundua hata wenyewe wanajua kwamba hakisababishi Ukimwi,ni njaa tu ndio inawasumbua.

Haya sikiliza sasa;

https://www.youtube.com/watch?v=XSSpoFq7uhM
 
Sasa mkuu kama mtu asipotumia ARVs mwisho wake ni upi kiafya endapo atakua na Hiv +?

Soma soma soma soma soma soma soma ndugu yangu,yote haya nilishaelezea.Yako wazi kabisa kama utahitaji kujua utajua tu mkuu,Jitahidi kusoma,tupende kusoma.Maswali yote hayo nimeshayajibu,fuatilia vizuri,utajua tu mkuu.
 
1.Ukimwi hauambukizwi
2.Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono
3.HIV hawezi kusababisha ukimwi na hasababishi ukimwi kwa kuwa hana sifa ya kusababisha ukimwi.Nashauri tujitahidi kwenda nje ya mainstream kutafuta habari,mambo mengi tunayoyafahamu kwenye dunia hii hayapo kama tunavyoyaona au kuyasikia,na mambo yamewekwa hivyo kwa sababu maalum kabisa.Anayesikia haya kwa mara ya kwanza atadharau au kufunga milango yake ya fahamu,kufunga milango ya fahamu hakubadilishi ukweli kuwa uongo,ukweli utabaki palepale.
Ukielewa ukweli kuhusu jambo hili utakubaliana na mimi kwamba mtu yeyote anayeogopa HIV ni sawa na kuogopa kivuli chake mwenyewe.Kama una swali lolote ambalo unadhani lina utata kuwa huru kuuliza.Nimetimiza wajibu wangu kutoa dokezo,kama mtu ana dukuduku/swali awe huru kuniuliza.

Hebu gusa link hapo chini kwa kuanzia;

https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0

mi kuna kitu kinaniumiza kichwa.. mbona hapo zamani watu walikua wakijulikana wana ukimwi baada ya mda afya inadhoofu, wanatoka dots mwilini na ilhali walikua hawatumii arv...labda hapo tatizo ni nini?
 
Ngoja nikwambie kitu hapa mkuu;r jamii hii ya watu ninayoiona humu JF,wataishia kuongozwa kama ng'ombe malishoni,waombe tu wasipimwe HIV+,watajuta,kwa kuwa hawatajua la kufanya ili kujitetea.Na lazima ARVs ziwaue watu kama hawa.

we jamaa unaejiia Deception, ni mtu usiefaa kabisa katika jamii, kwa sababu unaleta mizaha katika mambo ya msingi na ni mpotoshaji mkubwa usiefaa kuishi. Thanks lord JF ni jukwaa la watu wachache otherwise ungepotosha wengi na kuangamiza maisha ya watu. Sijui hasa nia yako ni nini? Kwa jinsi unavyoandika makala zako inaonyesha unaufahamu kidogo, ila napata shida kujua intention yako kwa huu uongo unaoutunga! Kumbuka suala la HIV ni la kisayansi na hupaswi kuliumba kisiasa. People like you deserve to be put on a firing squad since your presence is dangerous for our society.
 
Back
Top Bottom