Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

we jamaa unaejiia Deception, ni mtu usiefaa kabisa katika jamii, kwa sababu unaleta mizaha katika mambo ya msingi na ni mpotoshaji mkubwa usiefaa kuishi. Thanks lord JF ni jukwaa la watu wachache otherwise ungepotosha wengi na kuangamiza maisha ya watu. Sijui hasa nia yako ni nini? Kwa jinsi unavyoandika makala zako inaonyesha unaufahamu kidogo, ila napata shida kujua intention yako kwa huu uongo unaoutunga! Kumbuka suala la HIV ni la kisayansi na hupaswi kuliumba kisiasa. People like you deserve to be put on a firing squad since your presence is dangerous for our society.

Naomba mimi na wewe tujadili hoja za kisayansi kuhusu HIV/AIDS kwa kutoa uthibitisho wa kisayansi,ili wana JF waweze kutambua kati ya mimi na wewe ni nani analeta mzaha na siasa na muuaji na hafai kabisa kuishi katika jamii.
Naomba usilete siasa,twende moja kwa moja kwenye hoja za msingi.
 
Mkuu Deception kama kuna mgonjwa alishaanza arv na kwa maelezo yako sio salama mwishoni nini ushauri wako kwake ili aweze kuishi maisha marefu na kurudisha uzima wa mwili wake?
 
Last edited by a moderator:
Unafanyaje kuweka pH ya damu sawa mkuu? Angalau kwa ufupi..

Kuna aina fulani ya vyakula kama utakuwa na mazoea ya kula ndio utafanikiwa kuweka damu sawa.Baadhi ya vyakula hivyo ambavyo vinapatikana hapa kwetu kirahisi ni;
-Limao/lemon/lime
-Mineral water
-Nanasi
-Maboga na hasa mbegu zake
-Vitunguu
-Sea salt
-Viazi vitamu
-Juisi ya mboga za majani hasa zile za kijani sana mfano;spinachi,tembele nk
-Tikiti
-Tufaa/apple
-Broccoli
-Karoti
-Kitunguu saumu
-Tangawizi
-Embe
-Olive oil
-Kabichi
-Parachichi
-Green tea
-Komamanga
-Bilinganya
-Bamia

Vipo vyakula vingi sana,ila hivyo hapo juu ni baadhi ambavyo vina uwezo mkubwa wa kuweka sawa pH ya damu.
 
Unafanyaje kuweka pH ya damu sawa mkuu? Angalau kwa ufupi..

Pia nimesahau kukupa angalizo;Wakati unatumia vyakula hivyo unatakiwa uepuke vyakula vyenye mafuta mengi,nyama nyekundu(punguza/acha),sukari(punguza/acha),alcohol(punguza/acha),tumia mafuta ya mimea,acha vyakula vya viwandani/vilivyosindikwa,Kuwa na tabia ya kunywa maji.
 
mi kuna kitu kinaniumiza kichwa.. mbona hapo zamani watu walikua wakijulikana wana ukimwi baada ya mda afya inadhoofu, wanatoka dots mwilini na ilhali walikua hawatumii arv...labda hapo tatizo ni nini?

Angalia reply/post yangu #103 .Kama hujaelewa rudi tena hapa.
 
Mkuu Deception kama kuna mgonjwa alishaanza arv na kwa maelezo yako sio salama mwishoni nini ushauri wako kwake ili aweze kuishi maisha marefu na kurudisha uzima wa mwili wake?

Swali la msingi sana mkuu;
Mimi nina ndugu yangu nimeshamwachisha ARVs baada ya kuzitumia kwa miaka saba(7 Years).Sasa hivi yuko safi na haumwi chochote miaka imeshapita.Najua kuna watu wajinga watakurupuka na kupinga hili jambo huku wakitoa vitisho,mimi ninayejua nitacheka tu.

Sasa basi;Mtu kama huyo kuna mambo kadhaa anatakiwa kufanya,lakini mwisho wa siku anatakiwa kuacha kabisa kutumia ARVs.Lakini kwa sasa hatakiwi kuziacha ARVs ghafla,narudia tena,hatakiwi kuacha ARVs ghafla mpaka apitie taratibu fulani.Hata wanaotumia madawa ya kulevya kuna taratibu wanapitia ili kuyaacha,sio ghafla tu,ARVs nazo ziko vivyo hivyo.
La msingi hapa;
-Inabidi nijue ana muda gani tangu aanze kutumia ARVs
-Kuna tatizo lolote linalomsumbua kwa sasa?kama lipo/yapo,ni matatizo gani hayo?

Baada ya kujua hayo,ndio nitaanza kukupa ushauri.Lakini si hapa,utani PM.
 
Mkuu naomba unitoe tongotongo kuhusu kuhusu ukimwi na haya mambo;

1.Nini mkanda wa jeshi,kwa nini unatokea na nini kifanyike baada ya kutokea

1.Kwa nini mtoto inasemekana anazaliwa na maambukizi ya ukimwi

3.Inasemekana ukisex na mtu ambaye ana maambukizi na ukawa na wasiwasi kwamba unaweza ambukizwa kuna dawa ukimeza (nafikiri ARV,sina hakika) ndani ya masaa 48 zinakinga,nini lengo lao hapa?
 
Mkuu naomba unitoe tongotongo kuhusu kuhusu ukimwi na haya mambo;

1.Nini mkanda wa jeshi,kwa nini unatokea na nini kifanyike baada ya kutokea ....

Swali hili kuna mwana JF mmoja alishawahi kuniuliza.Fuatilia post yangu iko page namba 4,reply namba 68 utapata jibu lake.Soma na maelezo mengine pia kwenye reply hiyo ili uongeze uelewa wako.Pia reply namba 103 na 113 zote zipo page namba 6,hizi zitakusaidia kukuongezea maarifa zaidi.

....1.Kwa nini mtoto inasemekana anazaliwa na maambukizi ya ukimwi......

Umekosea jinsi ya kunukuu huo uongo.Uongo wenyewe uko hivi;"Inasemekana kuna watoto wanaozaliwa na maambukizi ya VVU/HIV".Ni maambukizi ya HIV na si maambukizi ya ukimwi.Sasa kuwa makini hapa upate elimu,na kama unamfahamu daktari yeyote unayemwamini nenda kamuulize haya ninasema hapa halafu msikilize atakujibu vipi;
Ukisoma reply zangu za nyuma utaona nasema kwamba HIV hasababishi ukimwi kama watu walivyodanganywa hivyo hata kama mtu akipimwa HIV+ sio ishu,ni ulimbukeni tu wa kukosa elimu.Utaona pia kwamba vipimo vyenyewe vya HIV ni feki na wameweka trick ya kisayansi ili vilete majibu wanayoyataka,hivyo mtu yeyote yule anaweza kupimwa HIV+ bila kujali kama yeye ni bikira, aliwahi kupata maambukizi au la,haijalishi,unaweza kuwa HIV+.Hivi wametumia akili nyingi sana kutudanganya kuanzia kwenye historia ya HIV,Hypothesis yake(yaani HIV anasababisha ukimwi),Vipimo vyake na dawa zake zinazotumika yaani ARVs,vyote hivi ni feki.

Sasa tuje kwenye swali la msingi;
Wenyewe wanasema hivi;Mtoto anayezaliwa kutoka kwa mama mwenye HIV ana uwezekano wa kupata HIV kwa 25% tu kama mama yake atakuwa hatumii ARVs,na ana uwezekano wa kupata HIV kwa 2% kama mama yake atatumia ARVs.Kuna watu humu wana akili za kupinga tu najua watapinga na hili pia,kabla ya kupinga angalia link hapo chini.Hizi ni data kutoka CDC marekani.Hawa jamaa wa CDC ndio walioanzisha ile slogan ya "ONE TEST TWO LIVES",hawa ndio wazee wa slogan za HIV/AIDS,slogan zote tunazozisikia zinaanzishwa na hawa jamaa ili kuturubuni akili.Hata sheria ya kupima mama wajawazito HIV kwa lazima hapa kwetu imeanzishwa na hawa jamaa.Nauliza swali "Eti hawa jamaa watakuwa wanatupenda eeenh,yaani wanatupenda mpaka wanatulazimisha kupima!!!,yaani wana upendo na sisi kuliko tunavyojipenda wenyewe"
Soma link hapo chini;
OTTL | Campaigns | Act Against AIDS | CDC

Mtoto kama mtu mwingine yeyote yule kama akipimwa HIV,narudia,kama akipimwa HIV kwa kutumia vipimo hivi ambavyo wameweka trick zao za kisayansi,ana uwezekano wa kumkuta na HIV.Lakini uwezekano huu hajalishi kama mama yake ana HIV au la.Narudia,mtoto kupimwa HIV+ hakujalishi kama mama yake ni HIV+ au la,sasa wewe mwenyewe unaweza kujiuliza kwa nini mtoto awe HIV+ wakati mama yake ni HIV-?Hizo case zipo nyingi tu.

Kama nikiambiwa nitoe uthibitisho,sitatumia data za zamani,nitaanza kufanya vipimo upya vya watoto wapya waliozaliwa kutoka kwa mama zao ambao ni HIV-.Lazima nitapata watoto ambao ni HIV+.Nadhani hapa utakuwa unanielewa nikisema kwamba kwa mtu kuwa HIV+ sio ishu,ni suala la sayansi ya vipimo tu na si uhalisia,na pia HIV huyo wanayemnadi hasababishi ukimwi kama wanavyosema,hivyo pia mtu kuwa HIV+ tena sio ishu.Mtu anadhoofu kwa matatizo halisi ambayo yapo kweli kiuhalisia na ukimpa tiba husika anapona kabisa.Ila mbaya zaidi ukimpa ARVs,ni suala la muda tu mtu huyu lazima afe kwa matatizo yafuatayo;
1.Ugonjwa wa moyo
2.Ini
3.Figo
4.Cancer yoyote
5.Upungufu wa damu

Kama huamini,fanya utafiti wako mwenyewe kwa watu waliozidiwa/wanaoumwa sana wanaotumia ARVs.Ukimaliza tafiti rudi tena hapa.

Kuna kina mama wamepimwa HIV+ na hawatumii ARVs na wanazaa watoto ambao hawana huyo HIV.Case hizi zipo nyingi mno.Hawawezi kuelezea kwa nini haya hutokea pia.Wanajifanya kuangalia upande mmoja tu.Kwa jinsi mtoto anavyokaa tumboni na anavyopata chakula kwa diffusion kutoka kwa mama yake na mambo mengine lukuki,bado mtoto anatoka hana maambukizi hata kama mama yake ni HIV+.Hili swali ushawahi kujiuliza?
Unajua hawa jamaa elimu wanayoingiza kwenye vichwa vyetu kupitia vyombo vya habari inafanya ubongo wetu ujiulize maswali fulani tu na si maswali ya aina nyingine,kwa kifupi tunasema wametu 'brain wash'.

Sasa ngoja nikwambie kwa nini wanalazimisha mama wajawazito ambao ni HIV+ watumie ARVs;
Jibu ni kwamba,wanajua sisi tutakuwa na mashaka sana endapo mama mwenye HIV atazaa mtoto asiye na HIV kwa kuwa hilo si jambo la kawaida,ofcourse,sio la kawaida na ndio uhalisia ulivyo kwamba case hizo zipo nyingi sana.
Sasa kama mama atatumia ARVs halafu atazaa mtoto ambaye hana HIV akili zetu zitakuwa tuned kwamba ARVs ndizo zimemuokoa mtoto,lakini ukweli ni kwamba hata mama asipotumia ARVs chance ni ileile.Chance ya mtoto kuwa HIV+ haichangiwi na mama kutumia au kutotumia ARVs bali huchangiwa na vipimo vya HIV.Fanya utafiti utajua tu.

.....3.Inasemekana ukisex na mtu ambaye ana maambukizi na ukawa na wasiwasi kwamba unaweza ambukizwa kuna dawa ukimeza (nafikiri ARV,sina hakika) ndani ya masaa 48 zinakinga,nini lengo lao hapa?

Dawa hizi zinaitwa PEP(Post/Pre exposure prophylaxis ),mojawapo ya dawa hizi ni truvada.Fahamu kwamba mkuu wa Centre for infectious disease control(CDC) mshenzi Antonio Faucci anataka dawa hizi ziwe zinatumika kila siku watu wanapotaka kujamiiana.Kuna jambo hapa muhimu,lakini refu kidogo ngoja nilipotezee.
Wanatudanganya kwamba ukimeza dawa hizi ndani ya masaa 72 zinakukinga dhidi ya maambukizi ya HIV.Mkuu hapa tunarudi kwenye concept ileile ya kuwapa mama wenye mimba ARVs ili kuzuia watoto wao wasipate maambukizi.Wanajua kwamba mtu anaweza kufanya ngono bila kinga na mtu mwenye HIV zaidi ya mara 200 na asipimwe HIV+,hizi wanatumia mwanya huu kurubuni akili zetu ili ukimeza dawa hizo halafu ukipimwa HIV- ushangilie kwamba dawa hizo ndio zime kusevu/kukuokoa na kwenye ubongo wako utajenga imani hiyo na hamna mtu atakayeweza kubadili imani yako hiyo.Kumbe HIV huyu feki kamwe haambukizwi kwa njia ya ngono kama tulivyodanganywa.
Lengo lao lingine ni lilelile maalum la kuuza dawa za ARVs.Na ndio maana Antonio Faucci anafanya kampeni ili dawa hizi ziwe zinatumika kila mara watu wanapotaka kufanya ngono zembe.Ila nimemsikia daktari mmoja hapa kwetu akipingana na maelezo hayo ya Antonio Faucci kwamba yeye, huyu daktari wa bongo hakubaliani na hilo kwa kuwa dawa hizi zinapotumika muda mrefu zina madhara hatari mwilini,nilifarijika sana kusikia anasema hivyo kwa kuwa sasa watanzania tunaanza kufunguka.Ningekuwa nakumbuka nakala ile ya gazeti la Mwananchi ningewawekea hapa msome wenyewe.

Ndugu yangu,haya mambo ni mazito na pia ni mengi sana na yote yana ukweli usiopingika ndani yake,inahitaji uwe jasiri wa kudadisi na kujitoa muda wako.Wachache sana wenye uwezo wa kufanya hivyo na ndio maana Ugonjwa huu wa ARVs/AIDS(sijakosea,ninamanisha kweli ARVs/AIDS na sio HIV/AIDS) hautaisha leo wala kesho.
 
Ukimwi huambukizwa kwa njia ya michubuko au vidonda ukeni au kwa kwenye uume, inashauriwa umwandae mkeo vizuri ukihakikisha ametoa maji maji ukeni na wewe vile vile ili kulainisha pindi ufanyapo tendo, kumbuka yale maji yana aina fulani ya uterezi ambayo husaidia musuguano usiwepo. Kwa wale wanaopenda kitu mnato pia ni hatari sana maana mwanamke huwa ajamwaga au hajahisi hamu ndio maana ile sehemu ni kavu.
Ninae rafiki ambae yupo kwenye ndoa na mke mwenye hilo tatizo tangia 2009 na wamezaa mtoto hana virusi pia yeye hana virusi kabisa na alimwoa huyo dada akiwa mwatilika tayari na anatumia vidonge na Alianza kutumia vidonge hivyo wakati akiwa mjamzito kwa ushauri wa madactari ili kumkinga mtoto.
Rafiki alinieleza kwamba huwa hatumii condom kwasababu haoni tija yake, kikubwa yeye huwa makini katika kumuandaa mwanamke ili asiweze kuambukizwa.
 
Deception

Ahsante!
Na vipi kuhusu hizi kondomu hazijatiwa sumu kweli ns hawa jamaa?
 
Last edited by a moderator:
Ahsante!
Na vipi kuhusu hizi kondomu hazijatiwa sumu kweli ns hawa jamaa?

Sijafanya utafiti huo bado,hivyo sina jibu sahihi kwenye hili.Kuhusu nilichokujibu mwanzo angalia post namba 135 ya mwana JF mwenzetu ili ujithibitishie mwenyewe baadhi ya vifungu nilivyotoa mimi kwenye maelezo yangu.
 
Ukimwi huambukizwa kwa njia ya michubuko au vidonda ukeni au kwa kwenye uume, inashauriwa umwandae mkeo vizuri ukihakikisha ametoa maji maji ukeni na wewe vile vile ili kulainisha pindi ufanyapo tendo, kumbuka yale maji yana aina fulani ya uterezi ambayo husaidia musuguano usiwepo. Kwa wale wanaopenda kitu mnato pia ni hatari sana maana mwanamke huwa ajamwaga au hajahisi hamu ndio maana ile sehemu ni kavu.
Ninae rafiki ambae yupo kwenye ndoa na mke mwenye hilo tatizo tangia 2009 na wamezaa mtoto hana virusi pia yeye hana virusi kabisa na alimwoa huyo dada akiwa mwatilika tayari na anatumia vidonge na Alianza kutumia vidonge hivyo wakati akiwa mjamzito kwa ushauri wa madactari ili kumkinga mtoto.
Rafiki alinieleza kwamba huwa hatumii condom kwasababu haoni tija yake, kikubwa yeye huwa makini katika kumuandaa mwanamke ili asiweze kuambukizwa.

Kama una nia ya kujua ukweli tofauti na yale tuliyoambiwa kuhusu HIV/AIDS,fuatilia reply zangu na hasa reply namba 134.Hapa utapata reply nyingine ndani yake ambazo kama utafuatilia vizuri ukiwa na mlengo wa kulia basi utajua kwamba haya unayoyajua sasa hayako kama ulivyoambiwa.
 
Nimekufuatilia vizuri sana ila unapaswa kutueleza kuhusu ukimwi zaidi maana hiv umefafanua tayari mkuu
 
Mkuu nachojua unaweza kupima na ukakutwa ni HIV+ lakini ukashauriwa usianze kutumia ARVs kwakua kinga yako haijashuka sana,,ila unashauriwa kujenga afya yako na kupima kiwango cha kinga yako mara kwa mara ili kujua siku unayoweza kuaanza kutumia ARVs...hii ikoje?
 
Ukimwi huambukizwa kwa njia ya michubuko au vidonda ukeni au kwa kwenye uume, inashauriwa umwandae mkeo vizuri ukihakikisha ametoa maji maji ukeni na wewe vile vile ili kulainisha pindi ufanyapo tendo, kumbuka yale maji yana aina fulani ya uterezi ambayo husaidia musuguano usiwepo. Kwa wale wanaopenda kitu mnato pia ni hatari sana maana mwanamke huwa ajamwaga au hajahisi hamu ndio maana ile sehemu ni kavu.
Ninae rafiki ambae yupo kwenye ndoa na mke mwenye hilo tatizo tangia 2009 na wamezaa mtoto hana virusi pia yeye hana virusi kabisa na alimwoa huyo dada akiwa mwatilika tayari na anatumia vidonge na Alianza kutumia vidonge hivyo wakati akiwa mjamzito kwa ushauri wa madactari ili kumkinga mtoto.
Rafiki alinieleza kwamba huwa hatumii condom kwasababu haoni tija yake, kikubwa yeye huwa makini katika kumuandaa mwanamke ili asiweze kuambukizwa.
Mweh! na katika majimaji hayohayo ya ukeni ndo tunaambiwa vidudu hivi vinapenda kuishi ukiachilia kwenye damu. Hii sayansi inahitaji unyambulifu wa hali ya juu kwakweli.
 
Mweh! na katika majimaji hayohayo ya ukeni ndo tunaambiwa vidudu hivi vinapenda kuishi ukiachilia kwenye damu. Hii sayansi inahitaji unyambulifu wa hali ya juu kwakweli.

mkuu hapo ndo nauliza kwenye majimaji ya mdomoni (mate)namo vipo??na kwenye machozi je???
 
Mweh! na katika majimaji hayohayo ya ukeni ndo tunaambiwa vidudu hivi vinapenda kuishi ukiachilia kwenye damu. Hii sayansi inahitaji unyambulifu wa hali ya juu kwakweli.

Unyambulifu upo humuhumu lakini hamuuoni,ukiwa na nia ya kuuona utauona tu.

mkuu hapo ndo nauliza kwenye majimaji ya mdomoni (mate)namo vipo??na kwenye machozi je???

Hata kama vikiwepo halafu vikawa havina madhara je,kuna haja ya kujua uwepo wake?

Ndugu zangu,ninawasihi sana tusome.Elimu yote ya kweli kuhusu mambo haya ipo humuhumu lakini watu wanai bypass.Siko hapa kumlazimisha mtu yeyote kuamini hiki ninachoelezea kwa kuwa kila mtu ana mawazo yake,lakini nina uhakika kama watu wataamua kufuatilia haya niliyoeleza humu kwa makini,lazima watauona ukweli.

Tupende kuwa na mazoea ya kuangalia upande wa pili wa shilingi,hii itatusaidia kujua ukweli wa jambo lolote lile.Lakini tuking'ang'ania upande mmoja tu kamwe hatuwezi kubadilika kiuelewa.

Jamani huwa nasisitiza siku zote kwamba hawa jamaa wametudanganya katika kila nyanja ya ugonjwa huu feki kwa madhumuni ya kufanya biashara ya dawa,lakini watu wanadharau.Mimi nimesoma sana mambo haya,nimefanya tafiti,nimetembelea clinics,nimeuguza watu wanaotumia dawa hizi za ARVs.

Sisemi haya mambo kwa hisia bali hii ni sayansi ya kweli kabisa hata wenyewe waliotudanganya wanalijua hili ila wameamua kuwa kichwa ngumu kwa kuwa wana uhakika hata kama wachache wanajua ukweli lakini bado wapo wengi wajinga na hasa katika nchi zinazoendelea kama yetu Tanzania.Fungukeni jamani jambo hili ipo siku litakuja kuwaathiri ninyi au ndugu zenu.Mbona elimu ya bure ipo hapa jamani?

Isitoshe ukweli huu nimeupata kutoka kwa madaktari wazito duniani na wengine wana nobel prizes.Madaktari hawa wameshindwa kuvumilia kukaa kwenye kundi moja na wenzao ambao ndio hawa wanaofanya biashara hii,wakaamua kujitenga na kueleza ukweli.Mwanzoni hawa wote walikuwa wanafanya kazi pamoja,je,hamuoni kwamba kuna ukweli hapo.

Madaktari wale wanaopinga wamepata wakati mgumu sana wa kuandamwa na baadhi kuna ushahidi wa kimazingira kabisa kwamba wameuawa.Tuzinduke jamani kutoka katika kifungo hiki,bado tuna mawazo ya kizamani sana.Mimi silipwi kupoteza muda wangu kushiriki nanyi hiki ninachokijua,ingekuwa nalipwa au natangaza biashara mngepata sababu ya kusema,lakini silipwi,je,hamuoni bado kwamba huu ni upendo wa bure tu kwa ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom