Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

mkuu alianza kupata hzo effcts baada ya kutembea na mtu mwenye ukimwi (ambao ni feki) au alikuwa tayari amisha anza kutokana na ugonjwa alio kwenda kupima badaye na kugundulika anao

Unajua kuna muda hofu inaweza kukuangamiza. Ipo hivi huyo ndugu yangu ni mtu wa kusafiri dar-mbeya na hiyo pneumonia aliipatia mbeya ila hakuitambua mapema sasa aliporudi dar yule mwanamke wake akamuambukiza(HIV+) baada ya kuelezwa akaanza kuwa na hofu kubwa pamoja na kuanza vilevi (huku pneumonia ikiendelea kudevelop) ndipo symptoms zikajitokeza.
 
Deception

I wish ningeyajua haya mapema,katka ukoo wetu tumepoteza ndugu zetu wengi kwa ukimwi yaan had nawazaga pengine tuna laana,lakini kuna mama angu mkubwa mmoja aligoma kabisa kutumia Arv na hadi leo anadunda tena mzima na afya yake zaid ya miaka 15 sasa,naanza kupata picha kilichowaondoa wa mwanzo pengine ndo haya unayoyasema maana huwaga hawachukui hata miaka mitano wakishajijua.
 
Last edited by a moderator:
Unajua kuna muda hofu inaweza kukuangamiza. Ipo hivi huyo ndugu yangu ni mtu wa kusafiri dar-mbeya na hiyo pneumonia aliipatia mbeya ila hakuitambua mapema sasa aliporudi dar yule mwanamke wake akamuambukiza(HIV+) baada ya kuelezwa akaanza kuwa na hofu kubwa pamoja na kuanza vilevi (huku pneumonia ikiendelea kudevelop) ndipo symptoms zikajitokeza.

Bravoo!
Kila kitu kinaelezeka kwa mantiki yake endapo watu watataka na watakuwa na nia ya kuelewa.Kama watu hawatapenda kuwa wadadisi na watachukulia mambo juu juu basi kila kitu watamsingizia huyu HIV(feki).Safi sana arafa,flow nzuri sana yenye mashiko.

-Alipata pneumonia=kukohoa,homa za mara kwa mara,kifua kuuma,moyo kwenda mbio,kuharisha nk.
-Baada ya kujua mke wake ni HIV+ akaanza kuwa na hofu=MSONGO WA MAWAZO HUSHUSHA KINGA
-Baada ya kujua mke wake ni HIV+ akaanza vilevi=VILEVI HUSHUSHA KINGA

Mkuu,waambie wana JF pia kwamba mwanzo alipimwa HIV+ lakini baada ya kushughulikia taarifa uliyompa alipima tena na kukutwa HIV-,rudia kuwaambia kwa mkazo zaidi.Penda kuirudia hii mara kwa mara kwa mtu yeyote anayepinga ili akupe jibu kwa nini imetokea hivyo.
 
I wish ningeyajua haya mapema,katka ukoo wetu tumepoteza ndugu zetu wengi kwa ukimwi yaan had nawazaga pengine tuna laana,.......

Hapana sio laana,ni kwa sababu ukoo wenu mnapenda sana kupima HIV.Mtu yeyote anayependa kupima HIV hata akiambiwa HIV- lakini ipo siku atapata majibu ya HIV+.Suala hapa halipo kwenye HIV bali lipo kwenye vipimo vyenyewe.Kipimo kikisha kukubambikia kesi ya kuwa HIV+,utapewa zigo lako la dawa za ARVs,ukianza kutumia ARVs ndio kwa heri.Watu hawajui kama ARVs ndio ukimwi wenyewe.Watu huweza kuvumilia madhara ya ARVs kutokana na staili ya maisha wanayoishi,staili ya maisha ikiwa mbovu basi ARVs zitakuua mapema,ukiwa na staili nzuri ya maisha unaweza ukaishi muda mrefu lakini ipo siku zitakukataa tu.Leo hii Njombe wanaongoza kitakwimu kwa kuwa HIV kwa sababu watu wa njombe wanapima sana HIV(hawaogopi kupima na kuchukua majibu yao).Kupima ndio mtego wao wa kupatia wateja,na ndio maana kampeni za kupima HIV sasa hivi zimepamba moto kwa kuwa wanaona soko lao limeshuka,magari yanakuja hadi mlangoni kwako kukuhamasisha upime.Sisi tusiojua tunadhani wamarekani wanatupenda saaaana.Wewe mtu yuko marekani na familia yake,hakujui,atakupendaje wewe zaidi ya unavyojipenda wewe mwenyewe?Kama wangekuwa wanapenda watu kweli wasife,mbona wanauwa watu wengi sana wasio na hatia kwenye vita?Kina mama,watoto wadogo,wachanga,vilema nk,wanawaua bila ya hatia.Watu huwa hawajiulizi maswali haya.

Pole sana ndugu yangu,lakini pia ni muhimu sasa umejua haya ili uokoe waliobaki.Mama yako mkubwa ni uthibitisho tosha kabisa kwamba HIV/AIDS ni ugonjwa feki,kinachoua si HIV bali ni ARVs,umeshang'amua ukweli halisi,hongera sana kwa kujua hili.

.....lakini kuna mama angu mkubwa mmoja aligoma kabisa kutumia Arv na hadi leo anadunda tena mzima na afya yake zaid ya miaka 15 sasa,.....

Waambie tena wana JF wengine ukweli huu ili wale wanaopinga wauone.Najua hata watu wakiona ukweli huu bado watapinga.Watakwambia ni kwa sababu ya mutation.Na ndio maana nilitoa data za WHO kwamba 97% ya watu wenye HIV katika bara la Afrika hawana AIDS,hii inaonesha wazi kwamba HIV hana mchango wowote kwenye ukimwi.Watu hawa wakianza kutumia ARVs tu,wataingia kwenye kundi la watu wenye AIDS muda si mrefu.
Mwambie mama yako mkubwa kwamba Deception anakupa big up kwa kukataa kutumia ARVs,mwambie ARVs ni mtego na asitumie kabisa,akaze uzi huohuo,na ninakuhakikishia akiwa na tabia ya kupima mara kwa mara,lazima ipo siku ataambiwa ni HIV- kama kwa sasa ni HIV+.

......naanza kupata picha kilichowaondoa wa mwanzo pengine ndo haya unayoyasema maana huwaga hawachukui hata miaka mitano wakishajijua.

Sio pengine,bali haswaa ndio haya ninayoyasema.
 
  • Thanks
Reactions: naa
HIV ni retrovirus.Retrovirus huyu amebambikiziwa jina hili la HIV ili aonekane ana sifa za kusababisha AIDS kitu ambacho si kweli.HIV is a political and commercial/business name,watu wawili tu wamekaa na kuamua apewe jina hilo bila hata single scientific proof/paper published kuthibitisha ukweli huo.Hakuna ugonjwa unaoitwa AIDS unaosababishwa na HIV.Najua hili ni jambo geni kwa wengi,ila ndio ukweli.
Nakaribisha mtu yeyote mwenye mashaka au anayepinga hili na hasa madaktari ndio target yangu maana wao wamelishwa sumu hii wakiwa masomoni.HIV free generation ni ile tu inayojua ukweli ulivyo.Na ndio maana contradictions haziishi kuhusu ugonjwa huu feki.Karibuni kwenye mjadala ambao utakuondoa kwenye utumwa wa kifikra.

Dah, ningeweza kukuamini lkn bahati mbaya ID unayoitumia (Deception) hainiruhusu nikuamini.

Vv
 
Sasa hapa namuelewa kua mkuu Deception sio kua anapinga ukimwi upo bali anapinga matumizi ya dawa za ARV's ambazo kihalisia japokua zinasaidia kuongeza kinga za mwili ili mwili usishambuliwe kirahisi na magonjwa andamizi pia zina side effects za ku alter hiyo blood pH. kama zilivyodawa nyingine. Na kwakua dawa hizi humezwa siku zote basi tutarajie pia side effects zake kua ni kubwa.
Cha muhimu mdau hebu njoo na njia mbadala sasa itumike ili kukamilisha research report yako ambayo kwakweli itasaidia wengi.
Unafikiri watu watumie nini badala ya hizo ARV's ili waweze kumaintain miili yao kupambana na hayo maradhi nyemelevu?
 
Last edited by a moderator:
Sasa hapa namuelewa kua mkuu Deception sio kua anapinga ukimwi upo bali anapinga matumizi ya dawa za ARV's ambazo kihalisia japokua zinasaidia kuongeza kinga za mwili ili mwili usishambuliwe kirahisi na magonjwa andamizi pia zina side effects za ku alter hiyo blood pH. kama zilivyodawa nyingine. Na kwakua dawa hizi humezwa siku zote basi tutarajie pia side effects zake kua ni kubwa.
Cha muhimu mdau hebu njoo na njia mbadala sasa itumike ili kukamilisha research report yako ambayo kwakweli itasaidia wengi.
Unafikiri watu watumie nini badala ya hizo ARV's ili waweze kumaintain miili yao kupambana na hayo maradhi nyemelevu?

Soma reply zangu vizuri utaelewa niliposema kwamba ukimwi upo nilimaanisha nini.Sikumaanisha VVU/Ukimwi bali niliaanisha ukimwi.Na nikataja sababu halisi zinazosababisha ukimwi na jinsi ya kuzitatua,pia nikatoa evidence.
Mkuu ankol nilishawahi kukusisitiza usome reply zangu,lakini inawezekana hukuiona hiyo post.
Sasa nasisitiza tena kwamba soma reply zangu vizuri utaelewa tu kwamba ukimwi hauambukizwi kwa njia yoyote ile na si ugonjwa wa kutisha na HIV hasababishi ukimwi.Wewe ni mfuatiliaji mzuri sana lakini huwa unaruka baadhi ya post.
 
Inawezekana kutoupata kwa sababu ukimwi uambukizwa kwa kiwango kikubwa kwa njia ta kujamiana na mtu mwenye virusi vinavyosababisha ugonjwa huo,hususani kama kutatokea michubuko wakati wa tendo hilo ndo mana unatakiwa kumuanda mwanamke vizuri kabla ya tendo hilo hapo hapo utakuwa salama kabisa
 
He he hee,wewe bado sana.Lakini bado una nafasi.Pia fahamu kwamba siko hapa ili wewe uniamini,nataka ujue.

yaan mkuu jinsi unavyonifanya nihangaishe iki kichwa kwenye hili suala hata wakati nasoma ckua na juhudi ivi.ila nakuhakikishia nmejifunza sana n nmeelewa sana.bado nakaza kuelewa zaidi na zaidi.uko mbeleni ntaelewz zaidi.wazungu wametufanya watumw wa fikra na bado hadi wanatutumia .maarifa ni kitu mhimu sna.nmekuelewa na nazidi kukuelewa
 
Wakuu,tulipo kuwa wadogo tulikuwa tunakatazwa na wazazi kuwa tusile limao kwamba inamaliza damu,hv kuna ukweli wowote kuhusiana na hili.
 
na ukiwa na ukosefu wa vitamin c pia uyaambiwa ule limao machungwa vitu vichachu chachu hapo chacha
 
.Nashukuru sana Ndugu Deception kwa kutuamsha kutoka kwenye usingizi mzito wa ugonjwa huu feki.

Binafsi imekua rahisi kukuamini kwa sababu mimi mwenyewe ni mfatiliaji wa mambo.mfano kuna research article moja iliyoandikwa na prof. mmoja wa ivory coast akielezea uowongo wa CDC kuhusu ebola na chanzo chake.ishu kama za uzazi wa mpango kwa wamerekani weusi na secrete agenda behind,global warming n.k....
Yote hayo yananiaminisha kuwa VITU VINAVYOONEKANA DUNIANI SIO KAMA VILIVYO.
 
yaan mkuu jinsi unavyonifanya nihangaishe iki kichwa kwenye hili suala hata wakati nasoma ckua na juhudi ivi.ila nakuhakikishia nmejifunza sana n nmeelewa sana.bado nakaza kuelewa zaidi na zaidi.uko mbeleni ntaelewz zaidi.wazungu wametufanya watumw wa fikra na bado hadi wanatutumia .maarifa ni kitu mhimu sna.nmekuelewa na nazidi kukuelewa

Hongera sana kwa kuwa na hiyo attitude.Kaza uzi hivyohivyo utajua mengi sana,na mimi niko humu kumwaga vitu kama hivi endapo utanifuatilia vizuri.
 
Hongera sana kwa kuwa na hiyo attitude.Kaza uzi hivyohivyo utajua mengi sana,na mimi niko humu kumwaga vitu kama hivi endapo utanifuatilia vizuri.

Umenifungua macho sana mkuu, kumbe Ndio maana waganga WA jadi husema wako na dawa, kumbe yawezekana wanajua ukweli, WA hii issues.
 
Wakuu,tulipo kuwa wadogo tulikuwa tunakatazwa na wazazi kuwa tusile limao kwamba inamaliza damu,hv kuna ukweli wowote kuhusiana na hili.

Wewe utakuwa umeoteshwa kulizungumzia tunda hili humu.Haya ndiyo mambo ambayo ninayaongelea mara nyingi kwamba elimu ambayo tunapewa nyumbani na mashuleni ni irrelevant,yaani haikidhi haja/mazingira tunayoishi,yaani haina maana.
Ukifuatilia kwa undani kwa nini tuliambiwa hivyo lazima utagundua kwamba kulikuwa na mkono wa mtu hapo.Wazazi wetu wamepigwa changa la macho kwa faida ya watu wachache.Sasa kwa nini nasema umeoteshwa;

Jibu;
Limao halikaushi damu,bali limao lina faida lukuki mwilini ambapo kama mtu,na hasa watoto,watatumia vizuri tunda hili basi kwa mtu/mtoto huyo kuumwa kwake ni hadithi.Hata leo ukianza kulitumia tunda hili ninakuhakikishia utarudi hapa kutoa ushuhuda.Unaweza ku google mwenyewe uone faida zake;

1.Huimarisha kinga ya mwili-vitamin C
2.Husafisha utumbo mpana,huzuia constipation-Dietary Fiber
3.Hutibu malaria,kipindupindu-Antibacteria
4.Huweka sawa pH ya damu-Limao hufanya damu iwe alkaline.
5.Husaidia mmeng'enyo wa chakula-Husaidia/huchochea kuzalishwa kwa nyongo
6.Huzuia magonjwa ya moyo na presha ya juu ya damu-pH balance,calcium,magnesium na potassium
7.Hutuliza homa na mafua
8.Huondoa sumu mwilini-alkaline blood/pH balance
9.Hutibu arthritis na Rheumatism-Husafisha damu na huondoa uric acid
10.Huondoa mikunjo kwenye ngozi
11.Huondoa maumivu ya kuumwa na nyuki,sunburn
12.Huboresha afya ya macho
13.Huzuia kuvuja kwa damu ndani ya mwili au puani
14.Huondoa makovu kwenye ngozi

Na mengine mengi madogomadogo.

-Kisukari(Type 1 diabetes) kwa heri(angalia;4,8)
-Cancer ya utumbo mpana kwa heri(angalia; 2)
-Cancer yoyote kwa heri kama utakuwa na tabia ya kunywa maji ya limao(angalia;2,4,8)
-Kipindupindu kwa heri kama una tabia ya kunywa maji ya lima kila asubuhi(angalia;1,3)
-Soko la dawa za malaria litashuka kama watu watakuwa wanatumia maji ya limao(angalia;1,3)
-Kwa watu wenye maumivu ya magoti huweza kupata nafuu kwa kunywa maji ya limao tu na kusahau dawa za hospitalini(angalia;9)
-Kwa kina dada warembo;kwa kutumia limao tu wataepukana na vipodozi vyenye sumu ili kungarisha ngozi zao(angalia;10,14)

Yaani usiende mbali sana,chukulia cancer,kisukari na malaria pekee.Kama watu watapenda kutumia maji ya limao mara kwa mara kwenye maisha yao ina maana soko la dawa za cancer,kisukari na malaria kwisha habari yake.Limao ni tunda tulilolizoea sana lakini hatujui faida zake,tumelidharau kwa sababu ya mazoea.
Na hivi ndivyo baadhi ya vitu ambavyo viko kwenye mlolongo wa mambo ninayotaka wana JF wenzangu wajue.Ni muhimu sana hili tunda,dharau tu na mazoea ndivyo vinatuathiri.

Kwa mfano;Mtu kama anaumwa ugonjwa wa joints(magoti yanauma/yamevimba nk),ukimpa maji ya limao kila asubuhi ni tiba tosha.Ukitaka kukata mzizi wa fitina unaweza kujumlisha tiba.Limao+mafuta ya nazi/olive oil+tumeric(bizari)+tangawizi+celery,hapo utakuwa umemaliza kabisa.Lakini watu wanahangaika kwa kukosa uelewa.
Malaria,cancer,kisukari na mengineyo vivyohivyo.Hapo ndipo utakapoona kwamba vitu vingi tunavyovijua sasa tumebebeshwa/irrelevant.Waliotudanganya wasingependa tujue ukweli huu kwa kuwa hakutakuwa na soko tena.Kibaya zaidi tiba kama hizi hawawezi kuzi patent.
 
Mnaletaleta siasa kwenye vitu siliasi!mnapimia asilimia ndogo ili mfanye sana! Shetani anawatamani hamjui tuu! Historia ya huo ugonjwa hatali mnajua wazi kabisa! Lakini mkitaka kukamatwa basi endeleeni na izo peku!
 
Wewe utakuwa umeoteshwa kulizungumzia tunda hili humu.Haya ndiyo mambo ambayo ninayaongelea mara nyingi kwamba elimu ambayo tunapewa nyumbani na mashuleni ni irrelevant,yaani haikidhi haja/mazingira tunayoishi,yaani haina maana.
Ukifuatilia kwa undani kwa nini tuliambiwa hivyo lazima utagundua kwamba kulikuwa na mkono wa mtu hapo.Wazazi wetu wamepigwa changa la macho kwa faida ya watu wachache.Sasa kwa nini nasema umeoteshwa;

Jibu;
Limao halikaushi damu,bali limao lina faida lukuki mwilini ambapo kama mtu,na hasa watoto,watatumia vizuri tunda hili basi kwa mtu/mtoto huyo kuumwa kwake ni hadithi.Hata leo ukianza kulitumia tunda hili ninakuhakikishia utarudi hapa kutoa ushuhuda.Unaweza ku google mwenyewe uone faida zake;

1.Huimarisha kinga ya mwili-vitamin C
2.Husafisha utumbo mpana,huzuia constipation-Dietary Fiber
3.Hutibu malaria,kipindupindu-Antibacteria
4.Huweka sawa pH ya damu-Limao hufanya damu iwe alkaline.
5.Husaidia mmeng'enyo wa chakula-Husaidia/huchochea kuzalishwa kwa nyongo
6.Huzuia magonjwa ya moyo na presha ya juu ya damu-pH balance,calcium,magnesium na potassium
7.Hutuliza homa na mafua
8.Huondoa sumu mwilini-alkaline blood/pH balance
9.Hutibu arthritis na Rheumatism-Husafisha damu na huondoa uric acid
10.Huondoa mikunjo kwenye ngozi
11.Huondoa maumivu ya kuumwa na nyuki,sunburn
12.Huboresha afya ya macho
13.Huzuia kuvuja kwa damu ndani ya mwili au puani
14.Huondoa makovu kwenye ngozi

Na mengine mengi madogomadogo.

-Kisukari(Type 1 diabetes) kwa heri(angalia;4,8)
-Cancer ya utumbo mpana kwa heri(angalia; 2)
-Cancer yoyote kwa heri kama utakuwa na tabia ya kunywa maji ya limao(angalia;2,4,8)
-Kipindupindu kwa heri kama una tabia ya kunywa maji ya lima kila asubuhi(angalia;1,3)
-Soko la dawa za malaria litashuka kama watu watakuwa wanatumia maji ya limao(angalia;1,3)
-Kwa watu wenye maumivu ya magoti huweza kupata nafuu kwa kunywa maji ya limao tu na kusahau dawa za hospitalini(angalia;9)
-Kwa kina dada warembo;kwa kutumia limao tu wataepukana na vipodozi vyenye sumu ili kungarisha ngozi zao(angalia;10,14)

Yaani usiende mbali sana,chukulia cancer,kisukari na malaria pekee.Kama watu watapenda kutumia maji ya limao mara kwa mara kwenye maisha yao ina maana soko la dawa za cancer,kisukari na malaria kwisha habari yake.Limao ni tunda tulilolizoea sana lakini hatujui faida zake,tumelidharau kwa sababu ya mazoea.
Na hivi ndivyo baadhi ya vitu ambavyo viko kwenye mlolongo wa mambo ninayotaka wana JF wenzangu wajue.Ni muhimu sana hili tunda,dharau tu na mazoea ndivyo vinatuathiri.

Kwa mfano;Mtu kama anaumwa ugonjwa wa joints(magoti yanauma/yamevimba nk),ukimpa maji ya limao kila asubuhi ni tiba tosha.Ukitaka kukata mzizi wa fitina unaweza kujumlisha tiba.Limao+mafuta ya nazi/olive oil+tumeric(bizari)+tangawizi+celery,hapo utakuwa umemaliza kabisa.Lakini watu wanahangaika kwa kukosa uelewa.
Malaria,cancer,kisukari na mengineyo vivyohivyo.Hapo ndipo utakapoona kwamba vitu vingi tunavyovijua sasa tumebebeshwa/irrelevant.Waliotudanganya wasingependa tujue ukweli huu kwa kuwa hakutakuwa na soko tena.Kibaya zaidi tiba kama hizi hawawezi kuzi patent.

Watu wengi hawajui haya, toka nijue hizi tiba Za matunda na mizizi, +mimea kwa kweli hospitali na madawa ya pharmaceutical nayaskia tuuu kwa majirani, kwa kweli namshukuru Mungu kwa kunifunua na kunipa uwezo WA kujua tiba Za kiasili. ..
 
Back
Top Bottom