Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

ahaaa...acha siasa kwenye medical unapotosha jamii na siasa zako zisizo na evidences....

Mnaona shida yenu ninyi,mnakimbilia kusema napotosha bila kusema wapi nimepotosha.Je,umeomba evidence nikashindwa kukupa?Ndio maana mwenzako kakimbia hapa.Hebu tuone na wewe.

...ikumbukwe virus hasa wenye RNA wana stage 6 za ukuwaji wao na ant virus...ARV kama ziduvudane ina inhabitor only 3 stages of virus kati ya 6 ndio sababu znashindwa kutibu HIV buli zina sogeza mda kwaku zuia hzo atua 3 za ukuaji...pia ikumbukwe kuwa kumuua HIV virus inakuwa ngumu kwasababu ana reverse...RNA material yake kwenye DNA yako kulazmisha replication ya more virus ivyo ili kuzuia replication nilazma ufanye kuuwa T-lymphocytes kwanza ndo uweze kuuwa new generation ya virus....ukiacha CD4 kuna CD8 cytotoxic ambazo hufanya kuuwa target infrcted CD4 naku sababisha upungufu wa kinga kwakuwa cd4 cells ztakuwa zna kisha due to repture after virises replication and cytotoxic...sasa kwa style hii kwanini CD4( kinga zisishuke) je utashindwa sema HIV ina leta AIDS.....!!???????????

Hata mwezako alikuja na theory hivyohivyo.Tatizo ninyi mko biased na theories zenu tu ambazo zinakwenda kinyume kabisa na uhalisia.Mimi nikileta theory tofauti na hiyo mnasema ni speculations.Na ndio maana nikasema tuzungumzie maisha ya kila siku mtaani ambao huo ndio uthibitisho mzuri kila mtu anaweza kujionea mwenyewe.Maswali yangu ya msingi yanayoakisi uhalisia hamtaki kuyajibu na badala yake mnakimbilia kwenye theories ambazo nina uhakika ni watu wachache sana wataelewa mnazungumzia nini,na hata hao watakaoelewa bado hawawezi kuthibitisha hivyo vitu kwa maana hawavioni zaidi ya terminologies tu ili kuwaogopesha watu wasiojua ukweli.

...tukrudi kwenye Arvs nina evidence tosha kuwa zna ongeza maisha(CD4) nshawahi kumu hufumia patient with HIV infection nakumbuka alikuwa na CD4 < 200 ila baada yakuanza ARVs dose zka rise na akatoka kwenye deadline ya AIDS.....!! mfano mwingne waku jiulza kwanini watu wenye HIV + baada ya CD4 kuwa <200 wanapata opportunity disease such us CANdIDIASIS.....TB....PNEUMOCYTIS CARINII...TAXOPLASMA GONDII...!!??? kama syo wana upungufu wa kinga mwilini such us T helper cells(CD4)...!!???....

-Hivi wewe unajua kwamba kuna vitu vingi vinaweza kuongeza CD4 mwilini zaidi ya hizo ARVs?
-Je,unajua pia kwamba kuna vitu vingi vinaweza kushusha CD4 mwili katika maisha yetu ya kila siku?
-Je,unajua kwamba kushuka kwa CD4 si kitu cha kuogopa na cha kutisha kama mlivyokaririshwa darasani?Immune System ni somo pana sana na mojawapo ya mambo ambayo wanasayansi bado hawajalielewa kwa ufasaha.CD4 sio ishu ndugu yangu,mtu anaweza kuwa na CD4 chini ya kiwango mnachosema halafu bado akawa na afya njema kama watu wengine.Acheni kukariri nadharia,twendeni kwenye vitendo tulinganishe.Fungua akili yako kwanza ili twende sawa.

Mojawapo ya uthibitisho kwamba kushuka kwa CD4 sio ishu ya msingi ni huu hapa chini:
Ushuhuda huu umetoka kwako mwenyewe,usinilaumu mimi.

...wakat mwngne 2kiacha mambo ya medical mungu pia yupo ma anasaidia nasema hivi kwasababu nakumbuka mm mwenyewe ka mkono wangu nmesha wahi mpma patient ana CD4 63 ila bado anatembea na anaongea vzr na ana afya tele...haya ni maajabu japo kuwa najua ata weza fika mbali...

Hebu tuchambue huu uthibitisho:
1."wakat mwngne 2kiacha mambo ya medical mungu pia yupo ma anasaidia"
Hivi ndivyo walivyo watu wengi kifikra,hata hawa madaktari wako hivi.Yanapotokea mambo kama haya yenye mkanganyiko,badala ya kufanya udadisi ili kujiongeza ubongo wao,wanakimbilia kusema eti mungu yupo.Msinilaumu mimi,hii ndio kasumba waliyonayo ambayo ndio inawafanya wasiweze kabisa kuangalia upande wa pili na kujiongeza.

2."ana CD4 63 ila bado anatembea na anaongea vzr na ana afya tele"

Je,ndugu daktari,huna hata maelezo ya kufoji kuelezea hili tukio?Au tuendelee kusema kwamba mungu yupo?

3."haya ni maajabu japo kuwa najua ata weza fika mbali"
Haya ni maajabu kwako wewe ambaye hutaki kuangalia na upande wa pili.Kwangu mimi sio maajabu.Na huyu mgonjwa atafika mbali tu tofauti na wewe unavyotaka,labda mkiendelea kumpa lumbesa la ARVs hapo ndio nitakubaliana na wewe kwamba hatafika mbali,maana ARVs ndio ugonjwa wenyewe.

....nakumbuka pia umesha wahi sema amna m2 aliye ona virus uki maanisha ni CONSPIRATORY THEORY..? jambo hili syo kweli deily watu wanawaona virus by using ELECTONE MICROSCOPE..... na ndio maana wakapata structure za virus + morphological future....

Huwezi kukiona kirusi na kuweza kupata picha ya structure+morphology bila ya kufanya isolation na purification ya huyo virus,hata wewe unajua hilo.Sasa jibu maswali haya chini:
1.Waliwahi kufanya isolation na purification ya huyo HIV?
2.Kama walifanya niambie ni mwaka gani, na ulete hapa electronic micrographs zake ili na sisi tuchambue.Hapo ndipo tutakapoona nani mkweli.
 
Nikiri kuwa niliwahi kutumia ARVs (PEP) kama kinga nilipojaminiana na mdada hatarishi wazo nililopewa na wana JF.
Rejea hapa https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/585017-mawazo-yananiua.html
Ndugu zangu nilipata mateso ya hali ya juu kwani madawa haya yana nguvu sana.
Nilianza kupoteza kumbukumbu,
Muda mwingine nakua sijielewielewi,
Nikawa nina hasira sana,
Nilianza onyesha dalili za kusumbuliwa na ini (nail decoloration ) Ikabidi nirudi hospitali kupimwa ufanisi wa ini.
Nashkuru nilimaliza salama dozi hii ya mwezi mmoja nikapimwa niko sawa.
Swali. Ingekua ndio nameza madawa haya siku zote ningekua wapi saa hii? Tuombe sana wadau tusiingie kwenye tatizo hili.
 
hili nitukio liminitokea mm nimekuwa na mahusiano mwanamke tangu mwaka 2012 mpaka leo huyu mwanamke miaka 10 iliyopita alipata maradhi ya hiv badae aliugua sana tena akapata matezi shingoni miguuni vidonda baada ya muda mwaka 2011 alianzishia dozi ya arvs code 171 mpaka leo anatumia hizo dawa binafsi nimekuja kuyagundua haya mwezi watatu kwa kipindi chote alinificha siku mikakati ya ndoa nikaanza kufanya ss baada ya kupeleka barua ya posa nikawa najiuliza mbona mimba akipata zina haribika nikaset cm yake iwe inarekodi maongezi ndipo nikaja kusikia kwa mdomo wake yy na mama yake wakilizungumza mama yake alikuwa anamuuliza je mwanaume anajua hali yko mawanamke akamjibu hajui nilishiwa nguvu baadae nikaja kupekua pochi yake nikakutana na vidonge vya arv nikamilisha upelelezi wangu nikatafuta siku nzuri tukaa sehemu nikamuuliza kweli alikiri ni hiv + niliumia sana ila nilikuta namsamehe nikaenda kupima mm nikajikuta nipo salama yani sina huo ugonjwa nikaa baada ya wiki nikarudi tena hosp nikapima nipo salama na dokta aliniambia nisiwe na shaka baada ya kupata juzi jumatatu ilikuwa zamu yake kwenda kuchukua vidonge nilamwambia tuende wote tukaenda mpaka hind mandal hosp kweli nililipa ili kupimwa cd4 zake mana mara ya mwisho aliniambia alipima zilikuwa 567 na nilipa sh 3000 kumuona dokta na kweli wakati ukafika tukaingia kwa dokta baada ya pale tukaenda chumba cha dawa tukapatiwa vikopo viwili wallah hapo nikawa nimepata jibu sahihi kuwa mwenzangu ni mgonjwa sasa kuna vitu.najiuliza nilikuwa naishi naye kiwembe chake ndio kiwembe changu mm namtindo wa kungata kucha na vinyaama vya vidole na mie Namchezo wa kuchezea kule kwa vidole mpaka ss sijaelewa nm mimetokeà na bado Ninaye huyo mwanamke sasa kutokana na elimu ya ndugu yetu Nitapenda nimshauri huyu mwanamke wangu akapime tena isije naye akawa analishwa madawa bila sababu

Watakwambia una CCR5 au CXCR4 gene mutation,au hukupata mchubuko,au blood group O.Maana hawakosagi majibu hao.Maswali kama haya huwa wanayakimbia,wanajibu yale mepesi tu.
 
Kipimo sio feki ila health personal wanaweza kukosea kuinterpret majibu vizuri kutokana na lack of skills/training.Kipimo kinaweza kufail kutokana na sababu kama sensitivity ya kipimo cha haraka kuwa chini au kutoa mixed up results na kusababisha kuwa interpreted kimakosa.Ni kawaida kwenye tests tofauti hata ya mimba inaweza ikupe false positive results.Na ndio maana ukipima HIV unashauriwa upime at least mara 3 na katika muda tofauti.Hata maabara kama unafanya experiment lazima uifanye mara 3 au zaidi ili uproove hypothesis yako na majibu yawe na uwiano in ratio at least 2:1.
Ni muhimu ukipima HIV upime mara tatu kwa nyakati tofauti na daktari ainterpret majibu yako.

Jibu hoja zangu reply number 326 na reply number 330 katika page number 17.


inaonekana sumu ya uyo mweshimiwa ime kuingia sana....siwez sema ni mwongo bali naweza sema namchkulia kama m2 asiye jua akibishacho!!!

Wewe ndiye unayejua.Naomba umsaidie mwenzako hapo juu kujibu hoja zangu kama hutajali.Msilete siasa.Na wewe nakusubiri kwenye reply yangu number 341 page number 18.

Nawasihi muache siasa,nataka mjibu hizo hoja wana JF wote waone na walinganishe.Narudia,jibuni hoja,msilete siasa.
 
Nikiri kuwa niliwahi kutumia ARVs (PEP) kama kinga nilipojaminiana na mdada hatarishi wazo nililopewa na wana JF.
Rejea hapa https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/585017-mawazo-yananiua.html
Ndugu zangu nilipata mateso ya hali ya juu kwani madawa haya yana nguvu sana.
Nilianza kupoteza kumbukumbu,
Muda mwingine nakua sijielewielewi,
Nikawa nina hasira sana,
Nilianza onyesha dalili za kusumbuliwa na ini (nail decoloration ) Ikabidi nirudi hospitali kupimwa ufanisi wa ini.
Nashkuru nilimaliza salama dozi hii ya mwezi mmoja nikapimwa niko sawa.
Swali. Ingekua ndio nameza madawa haya siku zote ningekua wapi saa hii? Tuombe sana wadau tusiingie kwenye tatizo hili.

Tunashukuru kwa ushuhuda, ubarikiwe
 
Watakwambia una CCR5 au CXCR4 gene mutation,au hukupata mchubuko,au blood group O.Maana hawakosagi majibu hao.Maswali kama haya huwa wanayakimbia,wanajibu yale mepesi tu.

mkuuu unatufungua sana vichwa vyetu naomba uendelee kutoa vitu namm nitafanya juu chini nikampime tena huyu mpenzi wangu na hata ule ushauri wako naufanyia kazi
 
Deception

I wish ningeyajua haya mapema,katka ukoo wetu tumepoteza ndugu zetu wengi kwa ukimwi yaan had nawazaga pengine tuna laana,lakini kuna mama angu mkubwa mmoja aligoma kabisa kutumia Arv na hadi leo anadunda tena mzima na afya yake zaid ya miaka 15 sasa,naanza kupata picha kilichowaondoa wa mwanzo pengine ndo haya unayoyasema maana huwaga hawachukui hata miaka mitano wakishajijua.

Na wewe watakwambia pia mama yako mdogo ana CCR5 au CXCR4 gene mutation,au blood group O.Au bado HIV yuko kwenye dormant period,lakini wenyewe wanasema kuwa dormant period huwa si zaidi ya miaka 10 au 11,sasa huyo ma mdogo miaka 15 mbona mingi,au umekosea wewe naa,aahaaa haa haaa.
Ha ha haaa,unajua nacheka sana madaktari wanaponiona kwamba mimi sijielewi bila kujichunguza wao kwamba inawezekana ndio hawajielewi.Hakuna kitu kibaya kama kasumba,ukiwa na kasumba kwenye suala fulani huwezi kamwe kukubali mambo tofauti na suala hilo,na sio tu kukubali,bali hata kuhoji huwezi,hii ndio mbaya zaidi.
Nimecheka sana leo,ngoja niende mishughulikoni,nitarudi kuwapa nondo.
Lakini mkae mkujua kwamba kuogopa HIV ni sawa na kuogopa kivuli chako mwenyewe,mkigundua ukweli mtajicheeeeka sana,ndio maana mimi nimecheka.Kinachotakiwa kuogopwa ni ARVs na si HIV,maana ARVs ndio muziki munene wenyewe.
Na kama mtu anaumwa umwa halafu hatumii ARVs,basi ukimfanyia uchunguzi bila bias yoyote,lazima utagundua tatizo halisi linalomsumbua na ukimpa tiba husika anapona kabisa,forget about HIV,its not real.Lakini mtu huyu anayeumwa umwa ukijiroga kumpima HIV tu,kuna posibility kubwa kumkuta HIV+ kutokana na magonjwa yanayosumbua,na kumkuta HIV+ haina maana kwamba ana HIV,la hasha,bali hizo ni tricks za vipimo tu ambazo ninyi hamzijui.

Ninarudia,hata kama mtakuwa vichwa ngumu inabidi mfahamu hivyo kwamba ARVs ndio muziki munene.Ukiona unaumwa jitibu tatizo husika halafu change diet,kula vizuri kabisa halafu uone kama utaendelea kuumwa umwa,hii ndiyo sayansi ya kweli.Mkiwasikiliza hao madaktari watawamaliza.Kwa maana hao wenyewe wanaishi na wanalisha familia zao kwa biashara hiyohiyo.Mwenye masikio na asikie.
 
Jibu hoja zangu reply number 326 na reply number 330 katika page number 17.




Wewe ndiye unayejua.Naomba umsaidie mwenzako hapo juu kujibu hoja zangu kama hutajali.Msilete siasa.Na wewe nakusubiri kwenye reply yangu number 341 page number 18.

Nawasihi muache siasa,nataka mjibu hizo hoja wana JF wote waone na walinganishe.Narudia,jibuni hoja,msilete siasa.
Wewe mbona hujibu unayoulizwa??unataka ujibiwe wewe tu tangia jana umeyaepuka maswali au huna jibu??!!Usivutie kila kitu kwako!!
Tell me whats a virus na kwanini hakuna tiba ya kuua virusi?? na kuna sehemu umesema virus hana host nakukosoa virus anae host na inaweza kuwa different living organisms thats a host.Na kwanini unafikiri kuna CCR5 gene mutation?how does a virus reproduce Mr Deception?
 
Last edited by a moderator:
mkuuu unatufungua sana vichwa vyetu naomba uendelee kutoa vitu namm nitafanya juu chini nikampime tena huyu mpenzi wangu na hata ule ushauri wako naufanyia kazi

Muulize pia je hakuna virusi maana hata mi atanifumbua macho coz kuna ebola virus,human papilloma virus,herpes simplex virus,varicella zooster virus,hepatittis A,B,C,E virus,rotavirus,norovirus,influenza virus,rabiesvirus,poliovirus list ni ndefu mnooo......virusi sio vya HIV tu!!Na wote hao hawana dawa za kuwaua why????
 
Muulize pia je hakuna virusi maana hata mi atanifumbua macho coz kuna ebola virus,human papilloma virus,herpes simplex virus,varicella zooster virus,hepatittis A,B,C,E virus,rotavirus,norovirus,influenza virus,rabiesvirus,poliovirus list ni ndefu mnooo......virusi sio vya HIV tu!!Na wote hao hawana dawa za kuwaua why????

But haviui coz ukitibiwa vizuri, na kinga ikiwa imara life goes on & u can heal, so why hiv??? There is a lot of shit behind this!!! Especially wen USA are behind this.
 
  • Thanks
Reactions: naa
But haviui coz ukitibiwa vizuri, na kinga ikiwa imara life goes on & u can heal, so why hiv??? There is a lot of shit behind this!!! Especially wen USA are behind this.
Vinaua au kusababisha vilema vya maisha ebola virus haiui?Hepatittis haiui?vingine vina vaccine na ndio maana watoto wanapozaliwa tu lazima wachomwe vaccine! Na ni kweli vinakwenda into latent stage ya virusi lakini vinaamka immune system ikiwa down!Hakuna dawa ya kuua virusi yoyote!Wamarekani wenyewe wameshindwa kuzindua dawa ya kuua virusi vya aina yoyote unafikiri hawataki kuzindua dawa hizo maana hata wao wanaathirika in the same level kama wengine!
 
Vinaua au kusababisha vilema vya maisha ebola virus haiui?Hepatittis haiui?vingine vina vaccine na ndio maana watoto wanapozaliwa tu lazima wachomwe vaccine! Na ni kweli vinakwenda into latent stage ya virusi lakini vinaamka immune system ikiwa down!Hakuna dawa ya kuua virusi yoyote!Wamarekani wenyewe wameshindwa kuzindua dawa ya kuua virusi vya aina yoyote unafikiri hawataki kuzindua dawa hizo maana hata wao wanaathirika in the same level kama wengine!

Vinaua iwapo, hutopata matibabu mazuri, mfano wale wazungu walipata ebola Kuna aliyekufa!!!!! Hope you know why??? That means hiv can be cured if you treat them well , just like other virus, I got some hope in this.
 
Mnaona shida yenu ninyi,mnakimbilia kusema napotosha bila kusema wapi nimepotosha.Je,umeomba evidence nikashindwa kukupa?Ndio maana mwenzako kakimbia hapa.Hebu tuone na wewe.



Hata mwezako alikuja na theory hivyohivyo.Tatizo ninyi mko biased na theories zenu tu ambazo zinakwenda kinyume kabisa na uhalisia.Mimi nikileta theory tofauti na hiyo mnasema ni speculations.Na ndio maana nikasema tuzungumzie maisha ya kila siku mtaani ambao huo ndio uthibitisho mzuri kila mtu anaweza kujionea mwenyewe.Maswali yangu ya msingi yanayoakisi uhalisia hamtaki kuyajibu na badala yake mnakimbilia kwenye theories ambazo nina uhakika ni watu wachache sana wataelewa mnazungumzia nini,na hata hao watakaoelewa bado hawawezi kuthibitisha hivyo vitu kwa maana hawavioni zaidi ya terminologies tu ili kuwaogopesha watu wasiojua ukweli.



-Hivi wewe unajua kwamba kuna vitu vingi vinaweza kuongeza CD4 mwilini zaidi ya hizo ARVs?
-Je,unajua pia kwamba kuna vitu vingi vinaweza kushusha CD4 mwili katika maisha yetu ya kila siku?
-Je,unajua kwamba kushuka kwa CD4 si kitu cha kuogopa na cha kutisha kama mlivyokaririshwa darasani?Immune System ni somo pana sana na mojawapo ya mambo ambayo wanasayansi bado hawajalielewa kwa ufasaha.CD4 sio ishu ndugu yangu,mtu anaweza kuwa na CD4 chini ya kiwango mnachosema halafu bado akawa na afya njema kama watu wengine.Acheni kukariri nadharia,twendeni kwenye vitendo tulinganishe.Fungua akili yako kwanza ili twende sawa.

Mojawapo ya uthibitisho kwamba kushuka kwa CD4 sio ishu ya msingi ni huu hapa chini:
Ushuhuda huu umetoka kwako mwenyewe,usinilaumu mimi.



Hebu tuchambue huu uthibitisho:
1."wakat mwngne 2kiacha mambo ya medical mungu pia yupo ma anasaidia"
Hivi ndivyo walivyo watu wengi kifikra,hata hawa madaktari wako hivi.Yanapotokea mambo kama haya yenye mkanganyiko,badala ya kufanya udadisi ili kujiongeza ubongo wao,wanakimbilia kusema eti mungu yupo.Msinilaumu mimi,hii ndio kasumba waliyonayo ambayo ndio inawafanya wasiweze kabisa kuangalia upande wa pili na kujiongeza.

2."ana CD4 63 ila bado anatembea na anaongea vzr na ana afya tele"

Je,ndugu daktari,huna hata maelezo ya kufoji kuelezea hili tukio?Au tuendelee kusema kwamba mungu yupo?

3."haya ni maajabu japo kuwa najua ata weza fika mbali"
Haya ni maajabu kwako wewe ambaye hutaki kuangalia na upande wa pili.Kwangu mimi sio maajabu.Na huyu mgonjwa atafika mbali tu tofauti na wewe unavyotaka,labda mkiendelea kumpa lumbesa la ARVs hapo ndio nitakubaliana na wewe kwamba hatafika mbali,maana ARVs ndio ugonjwa wenyewe.



Huwezi kukiona kirusi na kuweza kupata picha ya structure+morphology bila ya kufanya isolation na purification ya huyo virus,hata wewe unajua hilo.Sasa jibu maswali haya chini:
1.Waliwahi kufanya isolation na purification ya huyo HIV?
2.Kama walifanya niambie ni mwaka gani, na ulete hapa electronic micrographs zake ili na sisi tuchambue.Hapo ndipo tutakapoona nani mkweli.
haaaaa tangulini ukasikia kuna isolation ya virus only virus ninaye jua nafanyiwa isolation nrabies by using NEGRI BODIES NA TISSUE CULTURE... haya yako wazi HIV VIRUS hawez fanyiwa isolation(CULTURE) kwakuwa ni INTRACELLULAR & NO SPECIFIC CULTURE MEDIA FOR THE HIV VIRUSES GROWTH..KAMA ZILIVYO MCA,BA,CA&SDA......IVYO ACHA ULIZA MASWALI YASIYO NA MSHIKO YANAYO JULIKANIKA MAJIBU... !!"
UKI NGA'NG'ANIA ISOLATION NTAKULIZA MBNA HAEMOPARASITE( INTRACELLULAR) SUCH US PLASMODIUM SPECIES& LEISMANIA SPECIES....HAWAFANYIWI ISOLATION LAKINI NI POSSIBLE KUWAFANYIA LABORATORY DIAGNOSIS...!??? VIRUSES SUCH US PAPOVAVORUSES(POLYOMA&SV40) NAO MBNA WANAONEKANA BILA ISOLATION...??? IVYO BASI ISOLATION SYO LAZMA ILI KUWEZA KUFANYA INVESTGATION YA INFECTED VIRUSES KWAN WANAWEZA ONEKANA BILA STAIN...CHA MSINGI NI +VE SPECIMEN....
NIKIRUDI KWENYE SWALA LA MPRPHOLOGICAL FETURE VIRUS ANA UKUBWA WA 20-30nm IVYP UTAONA KUWA VIRUS NDO KIUMBE PEKEE KWA UDOGO DUNIANI BADO HAKIJA PATIKANA KINGINE ZAIDI YAKE...!!!! REFER monica chesbrogh medical laboratpry in tropical countries...

NIRUDI KWENYE SWALI LA CD4 NAOMBA WW UNII JBU NI NINI KINACHO SABABISHA CD4 KUWA BELOW NORMAL RANGE 100.. KAMA UMESEMA SIYO HIV...???????!!!! PIA UMESEMA CD4 SYO MUHIMU KWA BINADAMU KIWEZA KUISHI ...JE NIKULIZE MWILI UNAWEZA VP KUJIENDESHA BILA KIWA NA NATURAL IMMUNITY ZAKU KULINDA NA PATHOGENI INFECTION..!!???????
ABT PATIENT ALYE KUWA NA CD4 BELOW NORMAL RANGE UYO NA HUWAKIKA LAZMA ALISHA POTEZA MAISHA....
 
Mnaona shida yenu ninyi,mnakimbilia kusema napotosha bila kusema wapi nimepotosha.Je,umeomba evidence nikashindwa kukupa?Ndio maana mwenzako kakimbia hapa.Hebu tuone na wewe.



Hata mwezako alikuja na theory hivyohivyo.Tatizo ninyi mko biased na theories zenu tu ambazo zinakwenda kinyume kabisa na uhalisia.Mimi nikileta theory tofauti na hiyo mnasema ni speculations.Na ndio maana nikasema tuzungumzie maisha ya kila siku mtaani ambao huo ndio uthibitisho mzuri kila mtu anaweza kujionea mwenyewe.Maswali yangu ya msingi yanayoakisi uhalisia hamtaki kuyajibu na badala yake mnakimbilia kwenye theories ambazo nina uhakika ni watu wachache sana wataelewa mnazungumzia nini,na hata hao watakaoelewa bado hawawezi kuthibitisha hivyo vitu kwa maana hawavioni zaidi ya terminologies tu ili kuwaogopesha watu wasiojua ukweli.



-Hivi wewe unajua kwamba kuna vitu vingi vinaweza kuongeza CD4 mwilini zaidi ya hizo ARVs?
-Je,unajua pia kwamba kuna vitu vingi vinaweza kushusha CD4 mwili katika maisha yetu ya kila siku?
-Je,unajua kwamba kushuka kwa CD4 si kitu cha kuogopa na cha kutisha kama mlivyokaririshwa darasani?Immune System ni somo pana sana na mojawapo ya mambo ambayo wanasayansi bado hawajalielewa kwa ufasaha.CD4 sio ishu ndugu yangu,mtu anaweza kuwa na CD4 chini ya kiwango mnachosema halafu bado akawa na afya njema kama watu wengine.Acheni kukariri nadharia,twendeni kwenye vitendo tulinganishe.Fungua akili yako kwanza ili twende sawa.

Mojawapo ya uthibitisho kwamba kushuka kwa CD4 sio ishu ya msingi ni huu hapa chini:
Ushuhuda huu umetoka kwako mwenyewe,usinilaumu mimi.



Hebu tuchambue huu uthibitisho:
1."wakat mwngne 2kiacha mambo ya medical mungu pia yupo ma anasaidia"
Hivi ndivyo walivyo watu wengi kifikra,hata hawa madaktari wako hivi.Yanapotokea mambo kama haya yenye mkanganyiko,badala ya kufanya udadisi ili kujiongeza ubongo wao,wanakimbilia kusema eti mungu yupo.Msinilaumu mimi,hii ndio kasumba waliyonayo ambayo ndio inawafanya wasiweze kabisa kuangalia upande wa pili na kujiongeza.

2."ana CD4 63 ila bado anatembea na anaongea vzr na ana afya tele"

Je,ndugu daktari,huna hata maelezo ya kufoji kuelezea hili tukio?Au tuendelee kusema kwamba mungu yupo?

3."haya ni maajabu japo kuwa najua ata weza fika mbali"
Haya ni maajabu kwako wewe ambaye hutaki kuangalia na upande wa pili.Kwangu mimi sio maajabu.Na huyu mgonjwa atafika mbali tu tofauti na wewe unavyotaka,labda mkiendelea kumpa lumbesa la ARVs hapo ndio nitakubaliana na wewe kwamba hatafika mbali,maana ARVs ndio ugonjwa wenyewe.



Huwezi kukiona kirusi na kuweza kupata picha ya structure+morphology bila ya kufanya isolation na purification ya huyo virus,hata wewe unajua hilo.Sasa jibu maswali haya chini:
1.Waliwahi kufanya isolation na purification ya huyo HIV?
2.Kama walifanya niambie ni mwaka gani, na ulete hapa electronic micrographs zake ili na sisi tuchambue.Hapo ndipo tutakapoona nani mkweli.
haaaaa tangulini ukasikia kuna isolation ya virus only virus ninaye jua nafanyiwa isolation nrabies by using NEGRI BODIES NA TISSUE CULTURE... haya yako wazi HIV VIRUS hawez fanyiwa isolation(CULTURE) kwakuwa ni INTRACELLULAR & NO SPECIFIC CULTURE MEDIA FOR THE HIV VIRUSES GROWTH..KAMA ZILIVYO MCA,BA,CA&SDA......IVYO ACHA ULIZA MASWALI YASIYO NA MSHIKO YANAYO JULIKANIKA MAJIBU... !!"
UKI NGA'NG'ANIA ISOLATION NTAKULIZA MBNA HAEMOPARASITE( INTRACELLULAR) SUCH US PLASMODIUM SPECIES& LEISMANIA SPECIES....HAWAFANYIWI ISOLATION LAKINI NI POSSIBLE KUWAFANYIA LABORATORY DIAGNOSIS...!??? VIRUSES SUCH US PAPOVAVORUSES(POLYOMA&SV40) NAO MBNA WANAONEKANA BILA ISOLATION...??? IVYO BASI ISOLATION SYO LAZMA ILI KUWEZA KUFANYA INVESTGATION YA INFECTED VIRUSES KWAN WANAWEZA ONEKANA BILA STAIN...CHA MSINGI NI +VE SPECIMEN....
NIKIRUDI KWENYE SWALA LA MPRPHOLOGICAL FETURE VIRUS ANA UKUBWA WA 20-30nm IVYP UTAONA KUWA VIRUS NDO KIUMBE PEKEE KWA UDOGO DUNIANI BADO HAKIJA PATIKANA KINGINE ZAIDI YAKE...!!!! REFER monica chesbrogh medical laboratpry in tropical countries...

NIRUDI KWENYE SWALI LA CD4 NAOMBA WW UNII JBU NI NINI KINACHO SABABISHA CD4 KUWA BELOW NORMAL RANGE 100.. KAMA UMESEMA SIYO HIV...???????!!!! PIA UMESEMA CD4 SYO MUHIMU KWA BINADAMU KIWEZA KUISHI ...JE NIKULIZE MWILI UNAWEZA VP KUJIENDESHA BILA KIWA NA NATURAL IMMUNITY ZAKU KULINDA NA PATHOGENI INFECTION..!!???????
ABT PATIENT ALYE KUWA NA CD4 BELOW NORMAL RANGE UYO NA HUWAKIKA LAZMA ALISHA POTEZA MAISHA....
 
haaaaa tangulini ukasikia kuna isolation ya virus only virus ninaye jua nafanyiwa isolation nrabies by using NEGRI BODIES NA TISSUE CULTURE... haya yako wazi HIV VIRUS hawez fanyiwa isolation(CULTURE) kwakuwa ni INTRACELLULAR & NO SPECIFIC CULTURE MEDIA FOR THE HIV VIRUSES GROWTH..KAMA ZILIVYO MCA,BA,CA&SDA......IVYO ACHA ULIZA MASWALI YASIYO NA MSHIKO YANAYO JULIKANIKA MAJIBU... !!"
UKI NGA'NG'ANIA ISOLATION NTAKULIZA MBNA HAEMOPARASITE( INTRACELLULAR) SUCH US PLASMODIUM SPECIES& LEISMANIA SPECIES....HAWAFANYIWI ISOLATION LAKINI NI POSSIBLE KUWAFANYIA LABORATORY DIAGNOSIS...!??? VIRUSES SUCH US PAPOVAVORUSES(POLYOMA&SV40) NAO MBNA WANAONEKANA BILA ISOLATION...??? IVYO BASI ISOLATION SYO LAZMA ILI KUWEZA KUFANYA INVESTGATION YA INFECTED VIRUSES KWAN WANAWEZA ONEKANA BILA STAIN...CHA MSINGI NI +VE SPECIMEN....
NIKIRUDI KWENYE SWALA LA MPRPHOLOGICAL FETURE VIRUS ANA UKUBWA WA 20-30nm IVYP UTAONA KUWA VIRUS NDO KIUMBE PEKEE KWA UDOGO DUNIANI BADO HAKIJA PATIKANA KINGINE ZAIDI YAKE...!!!! REFER monica chesbrogh medical laboratpry in tropical countries...

NIRUDI KWENYE SWALI LA CD4 NAOMBA WW UNII JBU NI NINI KINACHO SABABISHA CD4 KUWA BELOW NORMAL RANGE 100.. KAMA UMESEMA SIYO HIV...???????!!!! PIA UMESEMA CD4 SYO MUHIMU KWA BINADAMU KIWEZA KUISHI ...JE NIKULIZE MWILI UNAWEZA VP KUJIENDESHA BILA KIWA NA NATURAL IMMUNITY ZAKU KULINDA NA PATHOGENI INFECTION..!!???????
ABT PATIENT ALYE KUWA NA CD4 BELOW NORMAL RANGE UYO NA HUWAKIKA LAZMA ALISHA POTEZA MAISHA....

Maandishi yako yanatia kinyaa, kuwa mtulivu acha papara, ata ukiandika kwa herufi ndogo tutakuelewa tu na kukusoma, usilazimishe vitu we nenda taratibu usi panick, be a doctor, be professional, be smart
 
Mnaona shida yenu ninyi,mnakimbilia kusema napotosha bila kusema wapi nimepotosha.Je,umeomba evidence nikashindwa kukupa?Ndio maana mwenzako kakimbia hapa.Hebu tuone na wewe.



Hata mwezako alikuja na theory hivyohivyo.Tatizo ninyi mko biased na theories zenu tu ambazo zinakwenda kinyume kabisa na uhalisia.Mimi nikileta theory tofauti na hiyo mnasema ni speculations.Na ndio maana nikasema tuzungumzie maisha ya kila siku mtaani ambao huo ndio uthibitisho mzuri kila mtu anaweza kujionea mwenyewe.Maswali yangu ya msingi yanayoakisi uhalisia hamtaki kuyajibu na badala yake mnakimbilia kwenye theories ambazo nina uhakika ni watu wachache sana wataelewa mnazungumzia nini,na hata hao watakaoelewa bado hawawezi kuthibitisha hivyo vitu kwa maana hawavioni zaidi ya terminologies tu ili kuwaogopesha watu wasiojua ukweli.



-Hivi wewe unajua kwamba kuna vitu vingi vinaweza kuongeza CD4 mwilini zaidi ya hizo ARVs?
-Je,unajua pia kwamba kuna vitu vingi vinaweza kushusha CD4 mwili katika maisha yetu ya kila siku?
-Je,unajua kwamba kushuka kwa CD4 si kitu cha kuogopa na cha kutisha kama mlivyokaririshwa darasani?Immune System ni somo pana sana na mojawapo ya mambo ambayo wanasayansi bado hawajalielewa kwa ufasaha.CD4 sio ishu ndugu yangu,mtu anaweza kuwa na CD4 chini ya kiwango mnachosema halafu bado akawa na afya njema kama watu wengine.Acheni kukariri nadharia,twendeni kwenye vitendo tulinganishe.Fungua akili yako kwanza ili twende sawa.

Mojawapo ya uthibitisho kwamba kushuka kwa CD4 sio ishu ya msingi ni huu hapa chini:
Ushuhuda huu umetoka kwako mwenyewe,usinilaumu mimi.



Hebu tuchambue huu uthibitisho:
1."wakat mwngne 2kiacha mambo ya medical mungu pia yupo ma anasaidia"
Hivi ndivyo walivyo watu wengi kifikra,hata hawa madaktari wako hivi.Yanapotokea mambo kama haya yenye mkanganyiko,badala ya kufanya udadisi ili kujiongeza ubongo wao,wanakimbilia kusema eti mungu yupo.Msinilaumu mimi,hii ndio kasumba waliyonayo ambayo ndio inawafanya wasiweze kabisa kuangalia upande wa pili na kujiongeza.

2."ana CD4 63 ila bado anatembea na anaongea vzr na ana afya tele"

Je,ndugu daktari,huna hata maelezo ya kufoji kuelezea hili tukio?Au tuendelee kusema kwamba mungu yupo?

3."haya ni maajabu japo kuwa najua ata weza fika mbali"
Haya ni maajabu kwako wewe ambaye hutaki kuangalia na upande wa pili.Kwangu mimi sio maajabu.Na huyu mgonjwa atafika mbali tu tofauti na wewe unavyotaka,labda mkiendelea kumpa lumbesa la ARVs hapo ndio nitakubaliana na wewe kwamba hatafika mbali,maana ARVs ndio ugonjwa wenyewe.



Huwezi kukiona kirusi na kuweza kupata picha ya structure+morphology bila ya kufanya isolation na purification ya huyo virus,hata wewe unajua hilo.Sasa jibu maswali haya chini:
1.Waliwahi kufanya isolation na purification ya huyo HIV?
2.Kama walifanya niambie ni mwaka gani, na ulete hapa electronic micrographs zake ili na sisi tuchambue.Hapo ndipo tutakapoona nani mkweli.
haaaaa tangulini ukasikia kuna isolation ya virus only virus ninaye jua nafanyiwa isolation nrabies by using NEGRI BODIES NA TISSUE CULTURE... haya yako wazi HIV VIRUS hawez fanyiwa isolation(CULTURE) kwakuwa ni INTRACELLULAR & NO SPECIFIC CULTURE MEDIA FOR THE HIV VIRUSES GROWTH..KAMA ZILIVYO MCA,BA,CA&SDA......IVYO ACHA ULIZA MASWALI YASIYO NA MSHIKO YANAYO JULIKANIKA MAJIBU... !!"
UKI NGA'NG'ANIA ISOLATION NTAKULIZA MBNA HAEMOPARASITE( INTRACELLULAR) SUCH US PLASMODIUM SPECIES& LEISMANIA SPECIES....HAWAFANYIWI ISOLATION LAKINI NI POSSIBLE KUWAFANYIA LABORATORY DIAGNOSIS...!??? VIRUSES SUCH US PAPOVAVORUSES(POLYOMA&SV40) NAO MBNA WANAONEKANA BILA ISOLATION...??? IVYO BASI ISOLATION SYO LAZMA ILI KUWEZA KUFANYA INVESTGATION YA INFECTED VIRUSES KWAN WANAWEZA ONEKANA BILA STAIN...CHA MSINGI NI +VE SPECIMEN....
NIKIRUDI KWENYE SWALA LA MPRPHOLOGICAL FETURE VIRUS ANA UKUBWA WA 20-30nm IVYP UTAONA KUWA VIRUS NDO KIUMBE PEKEE KWA UDOGO DUNIANI BADO HAKIJA PATIKANA KINGINE ZAIDI YAKE...!!!! REFER monica chesbrogh medical laboratpry in tropical countries...

NIRUDI KWENYE SWALI LA CD4 NAOMBA WW UNII JBU NI NINI KINACHO SABABISHA CD4 KUWA BELOW NORMAL RANGE 100.. KAMA UMESEMA SIYO HIV...???????!!!! PIA UMESEMA CD4 SYO MUHIMU KWA BINADAMU KIWEZA KUISHI ...JE NIKULIZE MWILI UNAWEZA VP KUJIENDESHA BILA KIWA NA NATURAL IMMUNITY ZAKU KULINDA NA PATHOGENI INFECTION..!!???????
ABT PATIENT ALYE KUWA NA CD4 BELOW NORMAL RANGE UYO NA HUWAKIKA LAZMA ALISHA POTEZA MAISHA MANA BODY DEFENCE YAKE IPO LOW SANA.....
NA PIA NINA UTHIBITISHO KUWA CD4( RECEPTOR) NDIZO ZINAZO.SHAMBULIWA NA VIRAL INFECTION KWAKUWA HUI NI.MGAWANYIKO WAKI MAJUKUMU BAINA YA MAKUNDI YA CELLS ZLIZO NDANI YA WBC NIKI MAANISHA.....LYMPHOCYTES...NEUTRACYTES...BASOPHILS...MONOCYTES& EOSINOPHILIS....NIKIANZA NA BASOPHILIS ZENYEWW ZIPO RESPNSBLE NA ALLERGIC FACTOR....EOSINOPHILIS HIZI NI KWAJILI YA PARASITIC INFECTION....NEUTOPHIL HIZI NI KWAJLI YA BACTERIA INFECTION...NA LYMPHOCTES AMBAYO IMEGAWANYKA KWENYE B - LYPHOCYES YENYE CD45 RESEPTOR PAMOJA NA T-LYPHOSITES YENYE YENYE CD4,CD8& CD 3 HIZI NI SPECIAL KWAJL YA VIRAL INEFTION IVYO UTAONA AMNA CELL INA FANYA KAZ YA MWINGINE WALA AMNA UGONJWA MWNGNE UNAO SHAMBULIA CD4 ZAIDI YA VIRAL.....
 
Muulize pia je hakuna virusi maana hata mi atanifumbua macho coz kuna ebola virus,human papilloma virus,herpes simplex virus,varicella zooster virus,hepatittis A,B,C,E virus,rotavirus,norovirus,influenza virus,rabiesvirus,poliovirus list ni ndefu mnooo......virusi sio vya HIV tu!!Na wote hao hawana dawa za kuwaua why????

knakazia na Adeno virus, pox virus, paramyxo viruses,orhtomyxo virus...&picoma virus aeleze tumwelewe....au aka google kama kawaida yake
 
Back
Top Bottom