ahaaa...acha siasa kwenye medical unapotosha jamii na siasa zako zisizo na evidences....
Mnaona shida yenu ninyi,mnakimbilia kusema napotosha bila kusema wapi nimepotosha.Je,umeomba evidence nikashindwa kukupa?Ndio maana mwenzako kakimbia hapa.Hebu tuone na wewe.
...ikumbukwe virus hasa wenye RNA wana stage 6 za ukuwaji wao na ant virus...ARV kama ziduvudane ina inhabitor only 3 stages of virus kati ya 6 ndio sababu znashindwa kutibu HIV buli zina sogeza mda kwaku zuia hzo atua 3 za ukuaji...pia ikumbukwe kuwa kumuua HIV virus inakuwa ngumu kwasababu ana reverse...RNA material yake kwenye DNA yako kulazmisha replication ya more virus ivyo ili kuzuia replication nilazma ufanye kuuwa T-lymphocytes kwanza ndo uweze kuuwa new generation ya virus....ukiacha CD4 kuna CD8 cytotoxic ambazo hufanya kuuwa target infrcted CD4 naku sababisha upungufu wa kinga kwakuwa cd4 cells ztakuwa zna kisha due to repture after virises replication and cytotoxic...sasa kwa style hii kwanini CD4( kinga zisishuke) je utashindwa sema HIV ina leta AIDS.....!!???????????
Hata mwezako alikuja na theory hivyohivyo.Tatizo ninyi mko biased na theories zenu tu ambazo zinakwenda kinyume kabisa na uhalisia.Mimi nikileta theory tofauti na hiyo mnasema ni speculations.Na ndio maana nikasema tuzungumzie maisha ya kila siku mtaani ambao huo ndio uthibitisho mzuri kila mtu anaweza kujionea mwenyewe.Maswali yangu ya msingi yanayoakisi uhalisia hamtaki kuyajibu na badala yake mnakimbilia kwenye theories ambazo nina uhakika ni watu wachache sana wataelewa mnazungumzia nini,na hata hao watakaoelewa bado hawawezi kuthibitisha hivyo vitu kwa maana hawavioni zaidi ya terminologies tu ili kuwaogopesha watu wasiojua ukweli.
...tukrudi kwenye Arvs nina evidence tosha kuwa zna ongeza maisha(CD4) nshawahi kumu hufumia patient with HIV infection nakumbuka alikuwa na CD4 < 200 ila baada yakuanza ARVs dose zka rise na akatoka kwenye deadline ya AIDS.....!! mfano mwingne waku jiulza kwanini watu wenye HIV + baada ya CD4 kuwa <200 wanapata opportunity disease such us CANdIDIASIS.....TB....PNEUMOCYTIS CARINII...TAXOPLASMA GONDII...!!??? kama syo wana upungufu wa kinga mwilini such us T helper cells(CD4)...!!???....
-Hivi wewe unajua kwamba kuna vitu vingi vinaweza kuongeza CD4 mwilini zaidi ya hizo ARVs?
-Je,unajua pia kwamba kuna vitu vingi vinaweza kushusha CD4 mwili katika maisha yetu ya kila siku?
-Je,unajua kwamba kushuka kwa CD4 si kitu cha kuogopa na cha kutisha kama mlivyokaririshwa darasani?Immune System ni somo pana sana na mojawapo ya mambo ambayo wanasayansi bado hawajalielewa kwa ufasaha.CD4 sio ishu ndugu yangu,mtu anaweza kuwa na CD4 chini ya kiwango mnachosema halafu bado akawa na afya njema kama watu wengine.Acheni kukariri nadharia,twendeni kwenye vitendo tulinganishe.Fungua akili yako kwanza ili twende sawa.
Mojawapo ya uthibitisho kwamba kushuka kwa CD4 sio ishu ya msingi ni huu hapa chini:
Ushuhuda huu umetoka kwako mwenyewe,usinilaumu mimi.
...wakat mwngne 2kiacha mambo ya medical mungu pia yupo ma anasaidia nasema hivi kwasababu nakumbuka mm mwenyewe ka mkono wangu nmesha wahi mpma patient ana CD4 63 ila bado anatembea na anaongea vzr na ana afya tele...haya ni maajabu japo kuwa najua ata weza fika mbali...
Hebu tuchambue huu uthibitisho:
1."wakat mwngne 2kiacha mambo ya medical mungu pia yupo ma anasaidia"
Hivi ndivyo walivyo watu wengi kifikra,hata hawa madaktari wako hivi.Yanapotokea mambo kama haya yenye mkanganyiko,badala ya kufanya udadisi ili kujiongeza ubongo wao,wanakimbilia kusema eti mungu yupo.Msinilaumu mimi,hii ndio kasumba waliyonayo ambayo ndio inawafanya wasiweze kabisa kuangalia upande wa pili na kujiongeza.
2."ana CD4 63 ila bado anatembea na anaongea vzr na ana afya tele"
Je,ndugu daktari,huna hata maelezo ya kufoji kuelezea hili tukio?Au tuendelee kusema kwamba mungu yupo?
3."haya ni maajabu japo kuwa najua ata weza fika mbali"
Haya ni maajabu kwako wewe ambaye hutaki kuangalia na upande wa pili.Kwangu mimi sio maajabu.Na huyu mgonjwa atafika mbali tu tofauti na wewe unavyotaka,labda mkiendelea kumpa lumbesa la ARVs hapo ndio nitakubaliana na wewe kwamba hatafika mbali,maana ARVs ndio ugonjwa wenyewe.
....nakumbuka pia umesha wahi sema amna m2 aliye ona virus uki maanisha ni CONSPIRATORY THEORY..? jambo hili syo kweli deily watu wanawaona virus by using ELECTONE MICROSCOPE..... na ndio maana wakapata structure za virus + morphological future....
Huwezi kukiona kirusi na kuweza kupata picha ya structure+morphology bila ya kufanya isolation na purification ya huyo virus,hata wewe unajua hilo.Sasa jibu maswali haya chini:
1.Waliwahi kufanya isolation na purification ya huyo HIV?
2.Kama walifanya niambie ni mwaka gani, na ulete hapa electronic micrographs zake ili na sisi tuchambue.Hapo ndipo tutakapoona nani mkweli.