Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

madokta wamekimbia wanaenda kupekua notes@definition kala matapish yake kaenda kulala .aiseeee we deception ni mtu mbaya sana.umenifanya adi najichekea mwenyewe.jamaa wamekuja na miterminologies ya ajabu ili sisi tutoke kapa.lakini kumbe wamedandia treni kwa mbele.wanauliza vitu ambavyo vingi vilishatolewa ufafanuzi mda tu.nashindwa kuelewa ni wavivu wa kusoma au??kama wanashindwa kupitia uzi huu wa page 40 hayo mavitabu ya maugonjwa na maresearch wanapataga mda kwelibwa kuyapitia???

Toka ile siku ya kwanza nilivyoona comments za yule dokta nikajua kabisa hamna kitu yani, ata sijui uo udaktar wanapataga wapi kwa kweli,wanatuulia ndugu zetu mijitu yenyewe akili haina kichwan mxiuuu
 
Hahaaa usikimbie mkuu jibu hoja itatusaidia sisi wafuatiliaji wa mjadala huu...tupo hapa ili kusaidiana kujua ukweli...

Hao ni wa kuwaonea huruma tu ndugu yangu, kama madokta wenyewe ndio wako ivi? Basi tutaendelea kufa na ARV, dunia imebadilika sasa ivi, watu wanazidi kupata ufahamu kuhusu magonjwa mbali mbali,yan hawa madokta ni wa kuwahurumia kwa kweli hawajielewi, sasa mtu kama huyo akikutibu unategemea nn kama sio kifo?
 
Huyu jamaa yuko vizuri,anaongea kwa facts na sio kwa hisia kama wengi wetu tunavyobisha kwa hoja ya nguvu na sio nguvu ya hoja

Mi nilivyosoma comment yake tu nikatamani kumsikiliza tena, anajua anachokifanya, na anajua jinsi ya kuwasilisha mada kwa uzito unaostahili, sasa hao madokta hawajui ata jinsi ya kuwaandaa watu kuwasikiliza, wanakurupuka tu kama wehu mmh, sijajuta kufungua huu uzi na kusoma.
 
Na kwann awasisitizi katika kutibu magonjwa nyemelezi badala yake wanasisitiza matumizi ya ARVs? Kwan haya magonjwa nyemelezi hayatibiki?

Kuna ndugu yangu aliumwa homa wakampeleka hospital, wakakataa kumtibu wakasema akapime ukimwi, wakimpa dawa za maralia watamuua, sasa nikashangaa kama walimkuta na maralia kwa nn wasimtibu maralia? Au kuna maralia wa kawaida na wa ukimwi? Watufungue tujue kwa kweli
 
Kuna ndugu yangu aliumwa homa wakampeleka hospital, wakakataa kumtibu wakasema akapime ukimwi, wakimpa dawa za maralia watamuua, sasa nikashangaa kama walimkuta na maralia kwa nn wasimtibu maralia? Au kuna maralia wa kawaida na wa ukimwi? Watufungue tujue kwa kweli

Hii nayo mpya duuuuuuuuuuh
 
Ndio mkuu,yaani sikubakisha kitu,documentary zote zinazohusu mambo haya nimezifuatila kwa undani kabisa tena karibu mara sita sita kila moja.Hakuna documentary nilibakisha.Pia scientific papers mbalimbali nimefuatilia na nimefanya tafiti mbalimbali clinic za watu wanaotumia ARVs na nimefuatilia pia watu wanaotumia ARVs walio kwenye hatua za mwisho/yaani wenye hali mbaya zaidi kiafya.
Nikaja kuhitimisha kwamba,sisi tunauawa kwa kukosa maarifa na uelewa,kwa kweli inaniuma sana hadi leo hii baada ya kujua ukweli huu na ninadhani ipo siku walioshikiria biashara hii ya ARVs wataniua kwa kuwaelimisha watu ukweli kwa maana sina hata chembe ya uvumilivu ya kuhifadhi ukweli huu ndani ya ubongo wangu.
Tumedanganywa kuhusu ugonjwa huu kuanzia;
1.Historia yake(ni feki)
2.Hypothesis yake(ni uongo uliopindukia)
3.Vipimo vya HIV(ni feki na very misleading)
4.na Dawa zake za ARVs(hazina faida yoyote na ndio hizi hasa zinazosababisha matatizo halafu tunamsingizia HIV).

Mkuu tuelimishe na sie asee, inaonekana wengi tupo katika wingu zito sana
 
Cha muhimu ni kuzingatia tu lishe bora na kufanya mazoezi, uwe unao au huna, maana hawa madaktari wetu wa sewahaji na kibasilia hawaeleweki, unaweza kuambiwa unao kumbe huna, unaweza kuambiwa huna kumbe unao, muhimu kuzingatia ni afya yako tu na kuhakikisha hupati magonjwa nyemelezi mara kwa mara, ukizidiwa sana waweza kwenda hospital au ukiona dalili mbaya vinginevyo
 
Hapo kwenye nyekundu soma kwa makini ninachoeleza hapa chini;
Kuna link moja nilimpa daktari mmoja humu afuatilie lakini akasema kwamba ile link haitoshi kuwa evidence.Mojawapo ya mambo yalikuwemo kwenye ile link ni sababu za kisayansi zinazothibitisha kwamba HIV hasababishi AIDS.Kuna sababu 10 za kisayansi ndani ya ile link zinazothibitisha kwamba HIV hasababishi AIDS.

Sababu namba 7 inasema kwamba HIV hasababishi AIDS kwa kuwa anashindwa kukidhi haja za Sheria za Koch(Koch's Postulates).Sheria za Koch zipo 4.Hapa nitazungumzia ile ya 1 na ya 3.
1.Virus au bacteria anayesababisha ugonjwa fulani,lazima awepo katika maeneo yote(hosts) ambayo ugonjwa huo upo/unaonekana.
3.Virus au bacteria/germ lazima asababishe ugonjwa huohuo kama atadungwa kwenye host mwingine mwenye afya.

Hizi ni sheria za kisayansi kabisa na endapo ugonjwa hautakidhi sheria zote nne basi ugonjwa huo utakuwa hausababishwi na germ(virus au bacteria).Hata madaktari wenyewe hawawezi kupinga hili,kama huamini waulize.

HIV amefeli postulate/sheria zote hizi bila kipingamizi.Na ndio maana hapo kwenye nyekundu kuna mkanganyiko.Huyo aliyeleta mkanganyiko huu inawezekana hajui hizi sheria za Koch,sasa mimi nimemsaidia kisayansi zaidi kujibu swali lake.Kama kuna daktari anapinga hili alete ushahidi wa kisayansi pamoja na ushahidi wa kiuhalisia kama ulivyoletwa kwenye post hii.

Mimi nimezisoma hizo Robert Koch Prostulates. Na wanasanyansi Wamezimodify na kusema kuwa ni za Kizamani..

Kwa Sababu kuu hii

* Si lazima Mdudu aliyesababisha Mfano mm nitoke Vipele mwili mzima asababishe Vipele kwako Deception kwa Sababu ya Immunity system zetu kuwa Tofauti. Kwahiyo wakasema kuwa Robert koch hakuliona hili la immunity yeye akageneralize kuwa Ugonjwa ili usababishwe na mdudud ni lazima Ulete Effect sawa kama Ukiingizwa kwa Mtu Mwingine
 
Last edited by a moderator:
Hawa madaktari wa vichochoroni watatuua kwa kweli, mimi ndio habar za kupima sitaki ata kuzisikia, kama uo ukimwi upo utajijua wenyewe uko mwilini, labda nisikie safar za kwenda ulaya ndio ntashawishika kupima

Ha ha ha waeza kua stress za hapa na pale ndo vjihoma tena ukiwahadisia tu pima ngoma vpimo haviaminki waeza pewa dawa kumbe ungekunywa maji ya kutosha tu ungepona ha ha ha
 
Cha muhimu ni kuzingatia tu lishe bora na kufanya mazoezi, uwe unao au huna, maana hawa madaktari wetu wa sewahaji na kibasilia hawaeleweki, unaweza kuambiwa unao kumbe huna, unaweza kuambiwa huna kumbe unao, muhimu kuzingatia ni afya yako tu na kuhakikisha hupati magonjwa nyemelezi mara kwa mara, ukizidiwa sana waweza kwenda hospital au ukiona dalili mbaya vinginevyo

Hafu ujue tunashindwa kuelewa kifo hakina dawa ujue mbona marelia inaua tena sana tu y watutishe kama 20 ndani 40 nnje?
 
Wakuu,nimesoma huu mjadala tangu mwanzo na kuulewa kabisa lkn kuna jambo ambalo linanitatiza.kuna mjomba wangu alitembea na mtu ambaye alisadikika anaukimwi baadaye nae alipima akakutwa nao na akafa nao.alikuwa na wake wawili nao walipoenda kupima walikutwa na maambukizi hayo ya ukimwi.je!,kama sio ukimwi waliambukizana nini.naomba ufafanuzi ktk hili
 
Ninachofahamu kutokana na theory ya Microbiology na uzoefu kidogo ni kuwa huo uwezekano upo, lakini ni mdogo sana. Kuna takriban asilimia 5 ya watu ambao seli zao nyeupe zinakosa receptors muhimu kwa ajili ya virusi kuingia ndani ya miili yao, hivyo hata wakikitana na mtu mwenye VVU, kwao kupata maambukizi ni kitu kigumu. Na kuna asilimia ndogo sana ya watu ambao hata akipata maambukizi, kamwe hatobadilika status kwenda kwenye kuwa na AIDS(UKIMWI). Yeye ataishia kwenye kiwa na VVU tu. Na tukumbuke kuwa kinachoketa athari kubwa ni kubadilika na kuwa na UKIMWI (AIDS) baada ya kupata VVU. Lakini ni watuwachache sana walio hivyo. Kuna proof juu ya hilo, kuna mgonjwa wa UKIMWI alifanyiwa transplantation ya bone marrow (uboho wa mfupa) kutoka kwa mtu ambaye apparently seli hai nyeupe zake zilikuwa zinakosa hizo receptors, na baada ya kipindi fulani yule mgonjwa alikuja kuwa AIDS free (tukumbuke pia kuwa seli hai hutengenezwa kwenye bone marrow). Watu wa namna hii huwa ni medical miracles, lakini wapo. Na wakati mwingine watu walio kwenye ndoa huwa wanakuja wakiwa serodiscordant, mmoja kaathirika na mmoja hajaathirika na ukiwauliza watakwambia wanashiriki...tena bila hata ya kutumia condoms.

http://www.ibtimes.co.uk/aids-cure-hiv-free-two-men-boston-367459

http://www.m.webmd.com/a-to-z-guides/news/20120724/man-cured-of-aids-virus-news-conference

Hizo links mbili zinaonyesha kuwa watu wenye hizo genetic mutations wapo kweli. Ila ni wachache SANA!
 
Ha ha ha waeza kua stress za hapa na pale ndo vjihoma tena ukiwahadisia tu pima ngoma vpimo haviaminki waeza pewa dawa kumbe ungekunywa maji ya kutosha tu ungepona ha ha ha

Anayetaka kuishi kwa matumaini nani? Yani naishi najijua kabisa eti nina ukimwi khaa!! Huo ujinga sitaki mimi, bora wawepo nisijue kwa kweli
 
Toka ile siku ya kwanza nilivyoona comments za yule dokta nikajua kabisa hamna kitu yani, ata sijui uo udaktar wanapataga wapi kwa kweli,wanatuulia ndugu zetu mijitu yenyewe akili haina kichwan mxiuuu

choice s your...syo lazma humuamini mtu au umkubali mtu..ila ukiangalia utaona ushabiki ni mkibwa na siasa ni nyingi kuliko evidence...ukiangalia hapo juu kwenye post zote utaona mkuu kaulizwa maswali mengi sana ana jitetea ni theory hataki jibu bali ana andka siasa nyingi na kukwepa kwingo...angalieni msiliwe kichwa...na pia naku shauri uache maandishi ya chuki maana naona una type viti vynye chuki wakato tupo kwenye ku elimishana..ni hayo tu mkuu.
 
Wakuu,nimesoma huu mjadala tangu mwanzo na kuulewa kabisa lkn kuna jambo ambalo linanitatiza.kuna mjomba wangu alitembea na mtu ambaye alisadikika anaukimwi baadaye nae alipima akakutwa nao na akafa nao.alikuwa na wake wawili nao walipoenda kupima walikutwa na maambukizi hayo ya ukimwi.je!,kama sio ukimwi waliambukizana nini.naomba ufafanuzi ktk hili

Baada ya kupima tu na kugundulika wana ukimwi wakafa? Au walikaa muda gan mpaka kufa? ,je walikuwa wanatumia ARV? ngoja Deception aje akufafanulie mie mpambe tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom